*Awasili uwanjani KIA na ndege nne binafsi
*Yuko na wafanyabiashara wakubwa hamsini
*Pesa yake ni bajeti ya Tanzania mara nane
Na Said Njuki, Arusha
TAJIRI namba moja duniani, Bw. Mukesh Ambani (53) (pichani) raia wa India amewasili nchini jana alfajiri kimyakimya kwa safari ya
SAKATA ya malipo ya mabilioni ya walipa kodi kwa Kampuni ya Dowans limeingia katika hatua mpya baada ya jopo la wanasheria kuungana na kuanza kupitia vifungu vya sheria kwa lengo la kupinga hukumu hiyo iwapo itasajiliwa katika
WAKAZI wa Madunda Wilaya ya Ludewa, mkoani Iringa, Bw. Tito Willa (29) na mkewe Bi. Theopista Mtitu (29) juzi wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya kwa makosa mawili ya kuwaua
MGONJWA aliyefanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) na kudaiwa kusahaulika mkasi tumboni, Scolastika Rwambo (43), mkazi wa Kigogo, alifariki usiku wa kuamkia jana hospitalini hapo.Kwa mujibu wa msemaji wa
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Huria nchini, Prof. Tolly Mbwete ameishangaa na kuibeza mikakati ya serikali kuhusu kujenga vyuo vikuu vya bweni kila kanda kwa kuwa mpango huo ni kupoteza mabilioni ya Watanzania bila faida.Akizungumza wakati
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi amesema kuwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa haijafuta jina la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, bali imebadilisha mfumo wa muundo wa serikali.Balozi Seif alitoa tamko hilo
MAHAKAMA ya Rufaa nchini imekataa kubatilisha uamuzi wa Mahakama Kuu na kutoa dhamana kwa washtakiwa wanaokabiliwa na kesi ya uvuvi katika Bahari ya Hindi eneo la Tanzania na badala yake imeamuru kurejeshwa kwa ombi hilo
KLABU ya soka ya Yanga inatafuta sh.bilioni 4.5 kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Kaunda na jengo la Mtaa wa Mafia, Kariakoo Dar es Salaam.Akizungumza Dar es Salaam jana, Msemaji wa klabu hiyo, Louis Sendeu, alisema
UONGOZI wa klabu ya Yanga unatarajia kuitangaza nafasi ya Meneja wa timu hiyo mwakani.Kwa sasa nafasi hiyo inashikiliwa na Emmanuel Mpangala, ambaye katika uongozi uliopita alikuwa Katibu wa Kamati ya Mashindano.Habari za
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limeguswa na kauli ya Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mheshiwa Shamsi Vuai Nahodha ya kuzitaka idara za Serikali kutumia sanaa katika kutoa elimu kwa Umma.Akizungumza Ofisini kwake jana
MSANII maarufu wa kizazi kipya, Judith Wambura 'Lady Jay Dee', amezindua bidhaa yake mpya ya maji yanayojulikana kwa jina la Jay Dee.Akizungumza Dar es Salaam jana, wakati wa uzinduzi wa bidhaa hiyo ya
JESHI la Polisi katika Wilaya ya Bundibugyo nchini Uganda, linawasaka mashabiki watatu wa timu ya Chelsea kwa kumpiga na kumuua shabiki wa Arsenal.Kamanda wa Polisi wa Wilaya hiyo, Dennis Namuwoza, alimtaja marehemu kuwa
TIMU ya AC Milan, imetangaza dau la euro milioni 8 ili iweze kumuachia nyota wake Ronaldinho.Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30, raia wa Brazil kwa sasa yupo mwaka wa mwisho katika mkataba wake na vinara hao wa
KOCHA Carlo Ancelotti, amekiri akisema kwamba ni faraja kubwa kwake kurejea tena katika njia ya ushindi, baada ya Chelsea kuondoka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Bolton, usiku wa kuamkia jana.Hadi inapata ushindi huo, Blues ilikuwa
Na Rehema Maigala
UMATI mkubwa ulifurika jana katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kusikiliza hukumu dhidi ya Mbunge wa Bariadi Magharibi, Bw. Andrew Chenge na kuhitimishwa kwa ndugu na marafiki kufurahia maamuzi.Baada ya hukumu kusomwa na
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma limewakamata ndugu wawili wakitafuta soko la viungo vya binadamu walivyotarajia kupita kwa kumuua baba yao mzazi.Vijana hao walikamatwa wakitafuta soko hilo kwa mfanyabiashara maarufu wa mafuta katika
WATU watano wamekufa papo hapo na wengine 10 kujeruhiwa vibaya baada ya magari mawili madogo kugongana uso kwa uso katika eneo la Mabilioni-Hedaru wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro.Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imesimamisha kusudio la Mamlaka ya Majisafi na Majitaka ya Wilaya ya Kahama (KUWASA) juu ya ombi lake la kutaka kuongeza gharama ya akra ya maji kwa wateja wake.Katika kikao
WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Bw. Shamsi Vuai Nahodha ameliagiza Jeshi la Polisi kuendeleza mpango wa kuzawadia na kutunuku maofisa na askari waliotekeleza majukumu yao kwa umakini na uadilifu.Akizungumza wakati wa gwaride la
WAKIMBIZI 200 wa Burundi waliokuwa wakiishi katika Kambi ya Mtabila, wilayani Kasulu mkoani Kigoma, wamerejeshwa nchini mwao baada ya kuhamasishwa na kupewa vitu mbalimbali ikiwemo fedha tasilimu, vyombo vya ndani na
BUNDI ameanza kuranda tena ndani ya klabu ya Yanga, baada ya kundi la wanachama wenye nguvu ndani ya klabu hiyo, kupanga kumwandikia barua Mwenyekiti wa klabu hiyo, Llyod Nchunga ili aachie ngazi.Hatua hiyo imekuja siku chache, baada ya
TIMU ya vijana wenye umri wa miaka 20 ya Simba B, juzi ilikalia usukani wa kundi B katika michuano ya Uhai Cup inayoshirikiha timu za vijana za klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kuifunga Toto Afrika mabao 3-1 inayofanyika
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 ya Mtibwa, jana iliianza vyema michuano ya Uhai Cup baada ya kuifunga Majimaji mabao 4-0.Michuano hiyo inashirikisha timu za vijana za klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania, inachezwa katika
MSHAMBULIAJI, Mario Balotelli amesema kwamba anajisikia furaha akiwa Manchester City na akajitetea kuhusu kutoshangilia, wakati anapofunga mabao.Mchezaji huyo wa timu ya taifa ya Italia, juzi aliifungia mabao matatu katika mchezo ambao
BILIONEA na mmiliki wa Chelsea, Roman Abramovich amepanga kukodi wanamuziki wa bendi ya The Black Eyed Peas kwa ajili ya kuburudisha wakati wa mwaka mpya.Tajiri huyo wa Chelsea mwenye miaka 44, rafiki yake wa kike, Dasha Zhukova mwenye
KAULI mbili tata za Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema kuhusiana na suala la malipo ya sh. bilioni 185 kwa kampuni ya Dowans na kupinga kuandikwa upya kwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zimepokelewa kwa
WAZIRI wa Nishati na Madini, Bw. William Ngeleja amekejeli tishio la Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), kutaka kuandamana kupinga ongezeko la bei ya umeme na kueleza kuwa Watanzania si wajinga kuburuzwa na watu wenye
WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Bw. Shamsa Vuai Nahodha ameshangazwa na utaratibu wa Kampuni ya Night Support kutoza sh. milioni 5 kwa huduma ya kuzima moto nyumba yenye thamani ya sh. milioni 10 .Akizungmza katika ziara yake
JESHI la Polisi Mkoa wa Manyara limewaua kwa kuwapiga risasi watu wawili kwa tuhuma za ujambazi wakati walipojaribu kuwatoroka polisi baada ya kukamwatwa.Kamanda wa Polisi mkoani Manyara, Bi. Parmena Sumari alisema majambazi hao
KAZI kubwa ya madiwani wa Manispaa ya Arusha kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika Baraza la Madiwani la Halmashauri hiyo ni ukusanyaji na kudhibiti watu wanaotafuna mapato ya halmashauri na
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umepanga kuwalipa wachezaji wake deni lao Januari 10, mwakani na kuwataka kusitisha mgomo waliodhamiria kuufanya.Hatua hiyo imefikiwa katika kikao cha Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo, iliyokutana
TIMU za vijana za soka za klabu zinazoshiriki Ligi Kuu za Yanga na African Lyon wenye umri chini ya miaka 17, jana zilitoka suluhu katika mfululizo wa mechi za mashindano ya Kombe la Uhai, iliyofanyika asubuhi katika Uwanja wa
BONDIA Said Momba, juzi alimtwanga kwa pointi Charles Mashali katika pambano lisilo la ubingwa lililofanyika katika Ukumbi wa Manzese Texas, Dar es Salaam.Pambano hilo ambalo lilikuwa ni la raundi 6, liliandaliwa na Rama Jah na
KWA kile kinachoonekana ni kuvimba kichwa, kocha wa Arsenal, Arsene Wenger anaamni kwamba kikosi chake kwa sasa kimekomaa baada ya mafanikio kilichoyapata dhidi ya Chelsea.Kabla ya mechi hiyo iliyochezwa usiku wa
RAPA Jay- Z kwa mara nyingine tena ameonesha jeuri ya fedha kwa kutumia pauni 220,000, ambazo kwa fedha za Kitanzania zaidi ya sh. milioni 499 kwa kununua zawadi za Krismasi kwa ajili ya mkewe Beyonce Knowles.Mwanamuziki huyo
*Mwanasheria mkuu amaliza kupitia hukumu
*Waziri Ngeleja ajiandaa kutoa taarifa rasmi
John Daniel na Grace Michael
SIKU moja baada ya wananchi kuja juu na kumtaka Rais Jakaya Kikwete kumtaja kwanza mmiliki wa Kampuni ya Dowans kabla ya kulipwa mabilioni ya walipa kodi, serikali imeahidi kutoa taarifa rasmi juu ya
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimeazimia kufanya maandamano leo ya kutoa rasimu ya mapendekezo ya katiba serikalini, licha ya Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kuyazuia.Akizungumza na gazeti hili, Naibu Katibu Mkuu Bara, Bw. Julius Mtatiro alisema
WAKATI Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Bw. John Mnyika akiwasilisha hoja binafsi ya mabadiliko ya katiba mpya, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema amesema kuwa haiwezekani kuandikwa upya na badala yake
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad, amewataka viongozi na wanachama wa chama hicho kukaa chini na kutafakari kwa namna gani waliikosa asilimia moja ya kura, ambayo iliwapatia
MAHABUSU wanaokabiliwa na kesi za mauaji wamegoma kupanda gari la polisi kurudi gerezani na baadhi yao kuvua nguo kwa madai ya kucheleweshewa upelelezi wa kesi zao zinazazowakabili.Tukio hilo lilitokea jana pale
SIKU moja baada ya uteuzi wa Jaji Mkuu mpya wa Tanzania, Mohamed Chande, kisha kuapishwa jana, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa pongezi, kikimuahidi ushirikiano, lakini kikitoa tahadhari pia.Akizungumza
MWANAMKE mmoja asiyefahamika aliiba mtoto wa miezi mitano, Twaha Masudi katika eneo la Mtoni Relini Wilaya ya Temeke, Desemba, 26 mwaka huu.Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Temeke, Bw. David Misime alisema
WAJUMBE wa Kamati ya Maendeleo ya Kata (WDC) ya Elerai wamemkataa mwenyekiti wa kamati hiyo, Bw. John Bayo kwa sababu ni diwani kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Bw. Bayo ambaye pia ni
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umepanga kuwaadhibu baadhi ya wachezaji wake wanaodaiwa kuwa ni vinara wa mgomo wa mazoezi yaliyofanyika Ijumaa katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.Wachezaji hao licha ya kugoma
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 ya AFC Arusha jana iliinza vyema michuano ya Uhai Cup, baada ya kuifunga timu ya vijana ya Polisi Tanzania mabao 2-0, katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Karume.Michuano
TIMU ya soka ya Mtibwa Sugar, imetamba kutwaa tena ubingwa wa Kombe la Mapinduzi 'Mapinduzi Cup' ambalo michuano yake itaanza kutimua vumbi Januari 2, mwakani mjini Zanzibar.Akizungumza kwa simu jana, Kocha Msaidizi wa
MWANAMUZIKI Teena Marie, ambaye alikuwa akifahamika kama "Ivory Queen of Soul" amefariki Dunia, Jumapili akiwa na umri wa miaka 54.
Nyota huyo alitamba na nyimbo zake kama 'Lovergirl,' 'Square Biz,' na
SAKATA la malipo ya sh. bilioni 185 kwa Kampuni ya DOWANS iliyorithi mikoba ya kampuni hewa ya Richmond imezidi kuchafua hali ya hewa baada ya wananchi kumtaka Rais Jakaya Kikwete kumtaja hadharani mmiliki wa kampuni hiyo
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, Mohamed Chande Othman kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania kushika nafasi inayoachwa wazi na Jaji Augustino Ramadhan anayestaafu.Jaji Ramadhan anastafu kwa mujibu wa
MWANGWI wa kilio cha ama kufanyika kwa marekebisho makubwa ya msingi ama kuwa na katiba mpya kabisa nchini, unazidi kusikika kila kukicha ambapo sasa imeelezwa kuwa Watanzania wawe makini katika kuijadili katiba ya sasa, ili kuepuka
JUMLA ya shilingi milioni 16.25 zimekusanywa kumsaidia Mwenyekiti wa Kijiji cha Kiraracha, Kata ya Marangu Magharibi mkoani Kilimanjaro, Bw. Andrea Lekule, aliyechomewa nyumba yake na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi usiku wa
MWENYEKITI wa baraza la wafanyakazi wa ofisi ya taifa ya takwimu ameagizwa kumchukulia hatua za kisheria mtumishi mmoja ambaye anadaiwa kuwaambukiza Ukimwi kwa makusudi watumishi wa taasisi hiyo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya
IMAMU wa mwalimu wa dini wa Kijiji cha Mkuzi, Kata ya Kwai wilayani Lushoto Bw. Amir Kijangwa (47) amefikishwa mahakamani akituhumiwa kuiba Nyaya za umeme zenye uzito wa kilo 19 huku zikiwa na thamani ya sh. 285,000.Akisoma
WAKAZI wa Kijiji cha Panyakoo, Kata ya Goribe wilayani Rorya mkoani Mara wameilalamikia serikali kwa kushindwa kuwapatia huduma ya maji ya mifugo na matumizi ya majumbani tangu uhuru na kusababisha kufuata huduma hizo katika nchi jirani ya
KIUNGO mpya wa Majimaji, Ulimboka Mwakingwe amewataka wachezaji na vongozi wa klabu hiyo kushirikiana ili waweze kufanya vizuri mzunguko wa pili Ligi Kuu Tanzania Bara.Ulimboka ambaye ameichezea Simba kwa muda mrefu ni
HALI ndani ya Klabu ya Yanga, inaonekana kutengemaa baada ya uongozi wa klabu hiyo kuwapoza wachezaji wao waliokuwa wamegoma kwa kuwapa posho za sikukuu ya Krismasi.Wachezaji hao walimgomea Kocha wao, Kostadin Papic
JUMLA ya sh. milioni 24 zimepatikana katika maonesho ya mavazi ya Red Ribbon 2010 yaliyofanyika kwa ajili ya kuchangisha fedha za kununua gari la watoto yatima wanaoishi na virusi vya ugonjwa wa Ukimwi, Tanzania Mitindo House (TMH).Fedha
BAADA ya kufanikiwa kufunga bao katika mechi waliyoibuka na ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya AFC Leopards, mshambuliji mpya wa timu ya Simba, Ally Ahmed 'Shiboli', ametamba kuwa, huo ni mwanzo mzuri kwake.Shiboli amesajiliwa na
MIAMBA ya soka inayofukuzana kuwania ubingwa wa Ligi Kuu England, Arsenal na Chelsea, inakutana leo katika mechi ya Ligi Kuu kwenye Uwanja wa Emirates, London.Miamba hiyo inakutana kila mmoja akiwa katika mazingira
SIKU moja kabla ya sikukuu ya Krismasi Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza mgawo mwingine wa umeme katika mikoa yote iliyoungwa katika gridi ya taifa kutokana na upungufu wa umeme.Meneja Mawasiliano wa
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Zitto Kabwe amesema kuwa hajapewa sumu kama ilivyokuwa imedaiwa huku akisisitiza kuwa hakuna binadamu anayeweza kufanya hivyo.Pia mbunge huyo
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetoa masharti ya kumaliza mgogoro ya uchaguzi wa mameya katika maeneo yote yenye utata vinginevyo kitaitisha maandamano ya amani nchi nzima ifikapo Januari 5, mwaka huu.Katika
MWENDESHA pikipiki mmoja ameuawa na wananchi katika wilaya ya Ukerewe, Mwanza baada ya kugongwa na baiskeli, katika ajali iliyosababisha kifo cha mtu mmoja kati ya wawili waliokuwa wamepanda baiskeli hiyo.Mwendesha
MWANDISHI wa habari wa kujitegemea mkoani Ruvuma, Bw Kwirunus Mapunda, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Ruvuma kujibu kosa la kushawishi na kupokea rushwa ya sh. 200,000, Mwandesha Mashitaka wa
WIZARA ya Maliasili na Utalii itawawekea mitambo ya kisasa zaidi faru wanne waliobaki baada ya mwenzao kuuawa na majangili ili kuratibu mwenendo wa wanyama hao kila siku.Mbali na hatua hiyo, pia wizara hiyo
Na Elizabeth Mayemba
HALI imeonekana kuwa si shwari ndani ya Yanga, baada ya wachezaji wa timu hiyo kutishia kugoma kufanya mazoezi, endapo hawapalipwa fedha zao za usajili.Habari za uhakika zilizopatikana Dar es Salaam jana kutoka kwa
WACHEZAJI wa kimataifa wa Simba Emmanuel Okwi, Patrick Ochan na Joseph Owino kesho hawatacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya AFC Leopards ya Kenya utakaochezwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.Akizungumza
Bendi ya muziki wa dansi ya African Stars 'Twanga Pepeta' imewaomba wapenzi wao kujitoteza kwa wingi leo usiku kwenye onesho lao la Mkesha wa Krismasi, litakalofanyika katika Ukumbi wa Da’ West Park Tabata.Akizungumza
WACHEZAJI Cristiano Ronaldo na Karim Benzema, usiku wa kuamkia jana waliibuka mashujaa baada ya kuifungia Real Madrid mabao matatu kila mmoja yaliyoifanya timu hiyo, kuibuka na ushindi mnono wa mabao 8-0 dhidi ya
Na Rose Itono
WAZIRI wa Nishati na Madini Bw. William Ngeleja ametetea kupanda kwa bei ya umeme kuwa ni kutokana na kupanda kwa gharama za endeshaji na si kulipa fidia ya kampuni ya Dowans kama inavyodaiwa.Juzi Shirika la Umeme nchini (TANESCO) lilipata
SIKU moja baada ya kutekelezwa kwa agizo la Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka la kuvunja uzio uliowekwa katika eneo la wazi kwenye kiwanja namba 1006 kilichopo Palm Beach, Dar es Salaam, anayedai
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeonya tabia ya wenye makampuni ya simu na wananchi kuvunja kanuni ya utunzaji wa siri za mawasiliano binafsi ya watumiaji wa huduma za mawasiliano ya simu za mkononi kuchapishwa katika
BODI ya Barabara ya Mkoa wa Singida imezikumbusha halmashauri za wilaya ya manispaa mkoani hapa wajibu wao wa kutenga maeneo maalumu kwa ajili ya maegesho ya magari makubwa ili kupunguza msongamano kwenye maeneo ya
HAKIMU wa Mahakama ya Wilaya ya Kahama, Bi. Lilian Rugarabamu amewataka madiwani kufanya kazi kwa kufuata misingi ya katiba ya nchi wanapotekeleza majukumu ya kazi zao katika kuihudumia jamii.Bi. Rugarabamu alisema
WAZIRI Mkuu, Bw. Mizengo Pinda amesema Tanzania haina budi kubadili mwelekeo na kuwasaidia kwa nguvu zote wakulima wadogo ikiwa ndiyo njia ya uhakika na ya haraka ya kuondoa umasikini nchini.Bw. Pinda alikuwa akizungumza katika kijijiji cha
SIKU moja baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kutangaza waamuzi 14 kupewa beji ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), imebainika miongoni mwao 'wamebebwa' kupewa beji hizo kutokana na
TIMU ya soka ya AFC Leopards ya Kenya, inatarajia kutua nchini leo ikiwa na wachezaji 20, huku sita wakiwa wa kimataifa kwa ajili ya kuumana na Simba katika mchezo utakaopigwa keshokutwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.Mbali na
PADRE John Eyeble kutoka Chicago, Marekani kesho anatarajia kufunga kozi ya makocha wa ngumi ambayo inafanyika katika Uwanja wa ndani wa Taifa, Dar es Salaam.Kozi hiyo iliyoandaliwa na Shirikisho la
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Cameroon, Samuel Eto'o amekataa kwamba yeye ndiye mchezaji bora kuliko wote barani Afrika, licha ya kuweka rekodi ya kuwa mchezaji bora wa mwaka mara nyingi.Mshambuliaji huyo
HATIMA ya baadaye ya klabu ya Manchester United, imeingia mashakani baada ya mtu muhimu kwenye klabu hiyo kusema wamiliki wake familia ya Glazer wataiuza.Aliyekwua mtendaji wa Old Trafford, Mike Edelson alisema: "Hakuna siri katika
BAADA ya tovuti inayovujisha siri nyeti za Serikali za nchi mbalimbali duniani kuanika siri za Taasisi ya Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), mtandao huo wa WeakLeaks umefichua siri nyingine nzito kudai kuwa Tanzania ni kitovu cha
KESI ya mkataba tata kati ya Tanzania na Kampuni ya uuzaji wa vifaa vya kijeshi ya BAE System ya Uingereza imeingia katika sura mpya baada ya Jaji wa Mahakama ya Southwark Crown kunusa rushwa katika mgawo kwa mawakala wa
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC)limewataka wapangaji ambao wamepangishwa na wateja wa shirika isivyo halali, wajitokeze ili kupewa mikataba halali.Mkuu wa Kitengo cha Elimu kwa Umma wa NHC, Bi. Suzan Omari alisema jana kuwa
SIKU moja baada ya kutokea kwa mgomo na kufanyika kwa maandamano ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma na kusababisha vurugu zilizopelekea polisi kuwatawanya kwa virungu na mabomu ya machozi, Waziri wa Mambo ya
WATUMIAJI wa simu za mkononi kwa mtandao wa Tigo juzi na jana walijikuta katika wakati mgumu baada ya kukosa mawasiliano kwa saa kadhaa.
Tukio hilo lilianza juzi mchana na kuzua usumbufu mkubwa miongoni mwa watumiaji wa
SIKU moja baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), kutoa ratiba ya mashindano ya kimataifa, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limezitaka Klabu za Simba na Yanga zijiandae mapema ili zifike mbali katika
TIMU ya taifa ya vijana wenye miaka chini ya 17 ya Tanzania (Serengeti Boys), juzi ilitawala mchezo wao dhidi ya Kenya, lakini ilibanwa na kutoka sare ya mabao 2-2, katika Uwanja wa Nyamirambo, Kigali, Rwanda. Serengeti Boys ilipoteza
KAMPUNI ya Benchmark Production, jana imewakabidhi zawadi washindi sita wa kinyang'anyiro cha kusaka vipaji vya muziki 'Bongo Star Search', kilichomalizika wiki iliyopita jijini Dar es Salaam.Akizungumza Dar es Salaam, Mkurugenzi wa
MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Carlos Tevez amefuta barua yake ya maombi ya kutaka kuondoka ndani ya klabu hiyo, hivyo kurejesha hali ya utulivu ndani ya City inayofukuzia ubingwa wa nchi hiyo.Manchester City ilitangaza
KOCHA Arsene Wenger, amesisitiza kuwa hataki kununua wachezaji wenye majina, wakati akiwa kocha wa Arsenal.Alisema Gunners, haitaweza kujiweka kwenye hatari ya madeni muda mfupi, baada ya kuanza kuonesha mafanikio kwa
FURAHA ya Watanzania kusherehekea kuanza kwa mwaka mpya wa 2011 imetumbukia nyongo baada ya Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) kuruhusu Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kupandisha
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeitaka Serikali ya Tanzania kulaani hadharani matukio ya uvunjaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya kidemokrasia unaofanywa na Bw. Laurent Gbagbo na wafuasi wake
WATU sita wamekufa na wengine 41 katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Mtwara na Mbeya jana.Ajali ya kwanza ilitokea baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Landrover 110 kupinduka na kushika moto katika Kijiji cha
MADIWANI wa Manispaa ya Arusha kupitia CHADEMA wanadaiwa kufanya mpango wa kumchagua meya wao huku wakijiandaa kwenda mahakamani kupinga uchaguzi uliofanywa na wenzao wa vyama vya CCM na TLP.Hatua hiyo
MAHABUSU 20 waliofikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jana asubuhi waligoma kushuka kutoka kwenye basi la mahabusu ikiwa ni ishara ya kuonesha kuchoshwa na vitendo vya mashahidi wa upande wa mashitaka kutokufika mahakamani
WATU watatu akiwemo Askari Polisi F.3486 PC Jakson Deodatus wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mkoani Kilimanjaro wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kwa tuhuma za uporaji wa sh. milion 7.6 mali ya Kampuni ya Machare Investment.Akizungumza na
UTITIRI wa makanisa nchini umesababisha baadhi ya viongozi wa dini kuanza kutofautiana huku kila mmoja akijitahidi kuvutia kwake na kushawishi wananchi kusali kwenye kanisa lake jambo ambalo badae linaweza kuleta madhara makubwa.Hayo
LONDON, Uingereza
KLABU ya West Ham, iko katika foleni ya kutaka kumsaini mshambuliaji, Emmanuel Adebayor katika kipindi cha dirisha dogo Januari, mwakani.Hammers inataka kumsaini nyota huyo wa Manchester City, kutoka Togo kwa kuwa
KOCHA Jose Mourinho, ameitaka timu ya Real Madrid kumsaidia ili kukabiliana na waamuzi baada ya timu hiyo kuibuka na ushindi wa baoa 1-0 dhidi ya Sevilla, ikiwa nyumbani licha ya beki wake Ricardo Carvalho, kutolewa nje ya uwanja mapema kipindi cha
MASHINDANO ya ligi ya mpira wa kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (RBA), yamesongezwa tena Januari 2 mwakani baada na timu kushindwa kukamilisha usajili wa wachezaji.Awali mashindano hayo yalipangwa kuanza Novemba 27, mwaka
KOCHA Mkuu wa Yanga, amewashangaa masabiki wanaombeza mshambulaji mpya wa timu hiyo, Mzambia Davies Mwape na kuwataka wasimtoe kasoro kwa mechi moja.Baadhi ya mashabiki wa soka wamekuwa na mtazamo tofauti kwa
MCHEZAJI wa Simba, Uhuru Selemani ameondoka nchini jana kwenda nchini India kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji wa goti aliloumia katika mechi ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Bara na hivyo kushindwa kuitumikia timu yake kwa
NDEGE ndogo ya kukodi iliyokuwa ikimuwahisha mgonjwa mahututi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeanguka porini na kusababisha kifo cha mgonjwa huyo na kujeruhi wengine wawili.Bwana Godfrey Mpoli alikuwa amelazwa katika
ASKARI Polisi wa Kituo Kidogo cha Mirongo jijini hapa wanadaiwa kuua mtuhumiwa kwa kipigo wakati wakimshinikiza aeleze alikokuwa ameficha fedha alizotuhumiwa kuiba dukani kwa tajiri wake, Mtaa wa Uhuru mjini hapa.Tukio hilo
BAADHI ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto wameshauri ili kukabiliana na vitendo vya rushwa kwenye nafasi za mameya na wenyeviti wa halmashauri, kura zipigwe na wananchi wote badala ya madiwani wachache.Wakizungumza
WAKATI mjadala wa kuishinikiza mabali ya katiba, madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu mkoani Shinyanga wameomba kupatiwa nakala ya katiba kila mmoja kwa kuwa wengi wao hawaifahamu.Walisema wakipatiwa nakala hiyo
WATUMISHI wa idara za serikali na viongozi wa vyama vya siasa wametakiwa kushirikiana ili kusimamia kikamilifu shughuli za maendeleo zinazofanywa na wananchi.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Savery Maketta alipokuwa
KAMPUNI za Ulaya na Marekani zinazoendesha shughuli zake nchini Zimbabwe zinakabiliwa na tishio la kuchukuliwa hatua na serikali, iwapo vikwazo vilivyowekwa dhidi ya taifa hilo, havitaondolewa.Vitisho hivyo vimo katika hotuba kali ya
UMOJA wa Mataifa (UN) umejibu vikali hatua ya kuwafukuza wanajeshi wa umoja huo nchini Ivory Coast huku mzozo kuhusu uchaguzi wa urais wa mwezi uliopita ukizidi kutokota.Rais Laurent Gbagbo ambaye amekataa kuondoka madarakani baada ya
KOCHA Mkuu wa Azam FC, John Stewart, amesema mchezo wa kirafiki dhidi ya Yanga, umempa mwanga wa kujua aanze vipi kupanga mikakati yake kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara.Timu hizo zilikutana juzi kwenye Uwanja wa
TANZANIA imepanda viwango vya kimataifa vya mchezo wa Nnetiboli vinavyotolewa na Shirikisho la Kimataifa la Netiboli (IFNA), kutoka nafasi ya 24 hadi nafasi ya 20.Pia, imepanda kutoka nafasi ya nne hadi nafasi ya tatu kwa ubora wa
GHASIA zimezuka katika mji wa Lubumbashi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), baada ya timu ya TP Mazembe kushindwa katika fainali ya kuwania Kombe la Dunia kwa klabu mjini, Abu Dhabi, usiku wa kuamkia jana
•Yasema wakati wa NEC kuvunjwa umefika
•Yataja dosari zilizojitokeza Uchaguzi Mkuu
•Yaonya wanasiasa kuchanganya ahadi na haki
•Yakosoa CCM kuingiza Kadhi kwenye Ilani
Na John Daniel
JUMUIYA ya Kikristo Tanzania (CCT) imeitaka Serikali kuhakikisha inakamilisha haraka utaratibu wa kuandikwa Katiba mpya ili kukidhi mazingira yaliyopo ndani ya nchi.Akisoma tamko la Jumuiya hiyo Dar es Salaam jana, kuhusu kasoro zilizojitokeza
WA T U k u m i w a n a o s a d i k i w a kuwa majambazi wamemuua kwa risasi mfanyabiashara mmoja na kujeruhi wengine kadhaa katika kata ya Buselesele wilayani Chato, mkoani Kagera kisha kuwapora zaidi ya sh. milioni 7. Majambazi hayo
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wamemtaka Waziri wa Miundombinu Bw. Omary Nundu kutoa ufafanuzi kuhusu Menejimenti ya Kampuni ya RITES ya India kuendelea kufanya kazi na kukusanya mamilioni ya fedha zinazotokana
JAJI Mkuu wa Tanzania Augustino Ramadhan amegoma kujitoa katika usikilizaji wa rufaa iliyowasilishwa na washtakiwa wanaokabiliwa na kesi ya uvuvi haramu ya kutaka marejeo ya uamuzi wa dhamana uliotolewa na Mahakama Kuu ya
MAWAZIRI wa nchi za Maziwa Makuu wenye dhamana ya kuongoza Wizara za Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto wametakiwa kuhakikisha wanasimamia kikamilifu haki za wanawake na watoto dhidi ya unyanyasaji, unyanyapaa na
WAKAZI wa baadhi ya maeneo Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam na Kisarawe Mkoa wa Pwani wanatarajiwa kupata tena umeme, Jumanne baada ya kutengemaa kwa transifoma inayosambaza umeme katika eneo hilo.Kuharibika transifoma hiyo
MUDA mfupi baada ya Mwendesha mashtaka Mkuu wa Mahakama ya kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC)Bw. Luis Moreno Ocampo kuwataja watu sita wanaoshukiwa kuwa wahusika wakuu katika ghasia zilizozuka baada ya baada ya uchaguzi wa
KATIKA ishara ya kuonesha mshikamano,Waziri Mkuu wa Kenya, Bw. Raila Odinga juzi aliungana na Rais Yoweri Museveni katika mbio za kusaka kura katika Wilaya ya Iganga iliyopo Mashariki mwa nchi hiyo.Habari kutoka nchini
SERIKALI ya Marekani kwa mara ya kwanza imewasilisha ombi la kuishtaki kampuni kubwa ya mafuta nchini Uingereza BP pamoja na kampuni nyingine nane, kuilipa fidia ya mabilioni ya dola kwa uharibifu kutokana na kuvuja kwa mafuta katika Ghuba ya
Na Elizabeth Mayemba
SAKATA la ufujaji wa fedha za usajili sh.milioni 100, zilizotolewa na mdhamini Mkuu wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji, limezidi kuchukua sura mpya, baada ya Katibu Mkuu wa klabu hiyo Lawrence Mwalusako kutaka aombwe radhi ndani ya
CHAMA cha Netiboli Mkoani Morogoro 'CHANEMO', kinakabiliwa matatizo mbalimbali likiwemo la kutokuwa na fedha na vifaa vya mchezo huo.
Matatizo hayo yanawafanya washindwe kushiriki kwa wakati mashandano ya kombe la Taifa la
TIMU ya netiboli ya Mkoa wa Dodoma, jana imeanza vema mashindano ya Taifa kwa kuifunga Mtwara mabao 43-19, mchezo uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari ya Filbert Bay, Kibaha, Pwani.Hadi mapumziko, Dodoma ilikuwa
MASHINDANO ya Heineken Golf Challenge yanatarajiwa kuanza kuchezwa kesho katika viwanja vya Lugalo, Dar es Salaam.Akizungumza Dar es Salaam jana, nohodha wa klabu ya Golf ya Lugalo, Samuel Hagu, alisema maandalizi ya mashindano hayo
MSANII chipukizi na mchekeshaji Simon Mzungu, anatarajia kuandaa sauti ya hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, ikiwa ni njia mojawapo ya kumenzi.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, alisema sauti hiyo itabeba ujumbe
Tibaijuka akwaa kisiki
*Maagizo aliyotoa juzi kurudisha maeneo yapingwa
*Wahusika watumia barua Ofisi ya Rais kujitetea
*Wasema Mwanasheria Mkuu wa Serikali naye alibariki
*Watishia kumburuta mahakamani endapo atavunja uzio
*Yeye asema hakukurupuka, atasimamia maamuzi yake
Na Grace Michael
SIKU moja baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka kuamuru kuvunjwa ukuta wa kiwanja
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imemwonya mfanyabiashara wa jijini Dar es Salaam Bw. Yusuf Manji kuacha kuchelewesha usikilizaji wa kesi dhidi yake kwa kubadilisha mawakili kila inapopangwa kuanza kusikilizwa.Onyo hilo lilitolewa jana na Jaji wa
MBUNGE wa Jimbo la Ukonga Bi. Eugen Mwaiposa amesema kuna mawasiliano hafifu baina ya watendaji na wenyeviti wa serikali za mitaa hivyo kuzorotesha maendeleo ya mitaa.Akizungumza jijini Dar es Salaam katika semina ya kukumbushana majukumu
WANANCHI wa Manispaa ya Morogoro wameiomba uongozi wa halmashauri hiyo kupiga marufuku uuzaji wa vyakula barabarabani kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu katika baadhi ya maeneo mjini hapa.Wakizungumza na mwandishi wa
WITO umetolewa kwa akina mama wajawazito kupima afya mapema kubaini endapo wamepata maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ili wasaidiwe na wataalamu wa huduma ya afya kwa kupatiwa dawa ya kuzuia maambukizi kwa mtoto.Wito huo ulitolewa hivi
Na Elizabeth Mayemba
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Yanga, Mserbia Kostadin Papic, amesema kwamba, uwezo wa wachezaji wake wapya Mzambia Davies Mwape na Juma Seif 'Kijiko', utaonekana Jumamosi wakati timu hiyo itakapojipima na Azam FC.Timu hizo mbili zinakutana
KAMPUNI ya Future Century kwa kushirikiana na Kampuni ya Vannedrick zote za Dar es Salaam, zinatarajia kudhamini Ligi Kuu ya Zanzibar msimu ujao.Lengo la kudhamini ni kuweza kuendeleza na kukuza vipaji vya vijana katika mchezo wa soka, ambao
UONGOZI wa klabu ya Azam FC jana, ulimtambulisha rasmi Kocha Stewart Hall, kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu.Kocha huyo amechukuliwa kuinoa Azam FC, baada ya klabu hiyo kusitisha makataba na aliyekuwa
MABINGWA wa Afrika, TP Mazembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), wamefuzu fainali ya Kombe la Klabu Bingwa Duniani baada ya kuwafunga mabingwa wa Amerika ya kusini, Internacional kutoka Brazili mabao 2-0 mjini
LONDON, Uingereza
WANAHARAKATI wa haki za mashoga wamemjia juu Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), Sepp Blatter, baada ya kusema kuwa, mashoga wanatakiwa kuacha kufanya mapenzi watakapokwenda katika fainali za Kombe la Dunia 2022
*Arudisha maeneo Palm Beach na Ocean Road Dar
*Aamuru kuta zivunjwe na zitengenezwe bustani
*Eneo la Joseph Mungai,Msasani nalo lachukuliwa
*Apiga marufuku maeneo kutumika kinyume na ramani
*Atumia usafiri wa 'daladala' kutembelea maeneo
Na Grace Michael
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka ameagiza uongozi wa Manispaa ya Ilala kuvunja kuta
ASKARI mmoja wa Jeshi la Magereza katika Gereza Kuu la Butimba Jijini Mwanza, amekufa papo hapo baada ya kujimiminia risasi tatu kichwani kwa kutumia bunduki aina ya Sub Machine Gun (SMG). Akizungumza jana na waandishi wa
WAKATI madai ya kuwepo kwa haja ya Tanzania kuwa na katiba mpya yakizidi kushika kasi kila kukicha kutoka kwa watu na makundi mbalimbali ndani ya jamii nchini, Msajili wa Vyama vya Siasa, Bw. John Tendwa naye ameweka bayana kuwa suala hilo
SIKU chache baada ya gazeti hili kuandika habari kuhusu baadhi ya viongozi akiwemo Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Cyril Chami kupewa vibali vya kuvuna magogo katika msitu wa serikali wa Sao Hill mkoani Iringa, kiongozi huyo amekanusha
WASHTAKIWA watatu katika kesi ya wizi wa kutumia silaha wamefanya kioja cha aina yake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kuvua nguo kwa sababu zilizodaiwa kuwa ni kupinga hukumu ya kuachiwa huru, kisha kukamatwa tena.Kioja
TIMU za Simba na Yanga zimepanga kushirikiana katika michuano ya kimataifa ili waweze kufanya vizuri na kuipeperusha vema bendera ya taifa katika michuano hiyo.Simba inawakilisha nchi katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, baada ya
Na Zahoro Mlanzi
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kimetoa pongezi kwa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania Bara kwa kutwaa ubingwa wa Chalenji kwa mwaka huu.Si kwa timu hiyo, chama hicho pia kimetoa pongezi kwa
VIONGOZI wa Simba na Yanga, wameendelea kuhaha ili waweze kuutumia Uwanja wa Taifa au wa Uhuru, katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa pili.Akizungumza Dar es Salaam jana, Msemaji wa klabu ya Yanga, Louis Sendeu, alisema
KOCHA wa zamani wa Klabu ya Simba, Jamhuri Kihwelu, 'Julio', ameteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuinoa timu ya Taifa ya vijana wenye miaka chini ya 17 (Serengeti Boys).Kocha huyo baada ya kuondoka Simba, alikwenda
SHIRIKISHO la Michezo la Mashirika ya Umma na Makampuni Binafsi Tanzania (SHIMMUTA), limewapongeza wachezaji wa timu ya Kilimanjaro Stars kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Chalenji katika michuano ya CECAFA iliyomalizika
MNYANGE wa Tanzania 2010, Genevieve Mpangala, atawaongoza warembo walioshiriki mashindano ya Miss Tanzania 2010 katika ziara ya shughuli za jamii katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.Akizungumza jijini jana, Mkurugenzi wa
FAINALI za mashindano ya kusaka na kukuza vipaji kwa vijana 'Bongo Star Search', zinatarajiwa kufanyika Ijumaa katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.Akizungumza Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Benchmark Production, ambao
MCHUNGAJI wa Kanisa la Pentekoste wilayani Ngara, Bi. Anna Mulengera (40) na waumini wake wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ngara na kuamriwa kupimwa akili baada ya kudai watadhaminiwa kwa damu ya Yesu katika
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata watuhumiwa watatu wa ujambazi wanaodaiwa kupora silaha ya askari aliyekuwa lindoni katika tawi la Benki ya Akiba, Mwananyamala jijini Dar es Salaam.Watuhumiwa hao
MKUU wa Wilaya ya Korogwe, Bw. Erasto Sima amesema pamoja na Rais Jakaya Kikwete kutembea na majina 'mkononi' ya Ma-DC wapya anaotarajia kuwatangaza wakati wowote, hataogopa kutimiza wajibu wake kwa
Rais Jakaya Kikwete jana asubuhi katika Ikulu ya Dar es Salaam alipokea Hati za Utambulisho za Mabalozi kutoka Sweden na Norway na kufanya nao mazungumzo yanayohusu ushirikiano baina ya nchi zao na Tanzania.Wote kwa nyakati tofauti
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo Bw. John Mnyika ameanza kusaka hoja za kuwasilisha bungeni, kwa kukutana na makundi ya watu mbalimbali katika eneo lake, kabla ya bunge la Februari mwakani, ambapo ameanza na kundi la wasomi kutoka vyuo
SHIRIKA la Umeme nchini(TANESCO) Mkoa wa Iringa limeanza kudhibiti uhujumu, ubadhilifu wa mali na wizi mbalimbali kwa baadhi ya wafanyakazi shirika hiloShirika hilo tayari limewafukuza wafanyakazi, na mwengine 10 wamefunguliwa
Na Amina Athumani
RAIS Jakaya Kikwete amesema anafikiria zawadi ya kuwapa wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', kutokana na furaha kubwa waliyoileta kwa Watanzania baada ya kunyakuwa ubingwa wa
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya JKT Ruvu, inayoshiriki Ligi Kuu Bara, Charles Kilinda, amesema kuondoka kwa kipa Jackson Chove aliyekwenda Azam FC, ni pengo kubwa kwa timu yakeKipa huyo alisajiliwa na Azam mwanzoni mwa msimu wa
BAADA ya kuiwezesha Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', kutwaa ubingwa wa Chalenji 2010, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Jan Poulsen, amewashukuru mashabiki na wachezaji kwa ushirikiano waliompa na kutamba, Tanzania ikiwezeshwa, inaweza.Ubingwa
CARLOS Tevez ataachana na soka kama klabu ya Manchester City haitamruhusu kuhama mwezi ujao.Mshambuliaji huyo kutoka Argentina anataka kuondoka huku akisema kuwa, hakuna kiasi cha fedha ambacho kinaweza kuzuia abakie.Gazeti la
KOCHA Carlo Ancelotti ameridhishwa na kiwango cha Chelsea ilichoonesha katika mchezo ambao timu hiyo walitoka sare ya bao 1-1 na Tottenham, baada ya kuchechemea katika siku za hizi karibuni.Blues imeshindwa kupata ushindi katika mechi
WAKATI Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ikitarajiwa kutoa msimamo wa chama hicho juu ya masuala mbalimbali ikiwemo hali ya kisiasa nchini na ndani ya chama hicho, imeelezwa kuwa Mbunge wa
MTU mmoja amekufa na mwingine kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wanasafiria kwenda harusini Dar es Salaam wakitokea Arusha, kupinduka katika kijiji cha Kasiga, Kata ya Mazinde, tarafa ya Mombo wilayani Korogwe.Mganga
MADIWANI wateule wa Hamashauri ya Wilaya ya Chato wamemtuhumu Ofisa Usalama wa Taifa wa Wilayani hiyo, Bw. Cusbert Madondola kuwa ameingilia uchaguzi wa kumpata mwenyekiti unaotarajiwa kufanyika wiki hii.Baadhi madiwani
MFANYABIASHARA maarufu na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) visiwani Zanzibar, Bw. Mohamed Raza amekitahadharisha chama hicho kuwa kitatoweka visiwani humo endapo hakitarekebisha mapungufu yaliyojitokeza katika Uchaguzi Mkuu wa
MUUGUZI mmoja wa Hospitali ya Mkoa wa Singida, Bi. Tatu Hassani (50) amekamatwa na polisi baada ya kufanya vitendo vya kumnyanyasa na kutukana mwanamke aliyetaka msaada wakati wa kujifungua.Hayo yalibainishwa juzi na
VIONGOZI wa madhehebu ya dini ya kiislamu mkoani Shinyanga wameshauriwa kujiepusha na ushabiki wa kisiasa ambao unaweza kusababisha mgawanyiko mkubwa miongoni mwa waumini wake kwa misingi vya vyama vya kisiasa.Ushauri huo
BENKI ya Exim imeibuka mshindi wa jumla kwa Utayarishaji mzuri wa mahesabu kwa mwaka 2009 katika hafla ya Tuzo za kila mwaka zinazoandaliwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) iliyofanyika
CHUO cha Elimu ya Biashara nchini (CBE) kinahitaji Sh. milioni 243,264,846 ili kulipia fidia ya ardhi katika eneo la Kiseke jijini hapa kwa ajili ya kupanua chuo hicho katika Kampasi ya Mwanza.Hayo yalisemwa juzi na Mkuu wa Chuo hicho, Dkt. Wycliffe
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', jana imetwaa ubingwa wa Kombe la Chalenji 2010, baada ya kuichapa Ivory Coast bao 1-0, katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Bao pekee lililoipa ubingwa Kili Stars, lilifungwa na
KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limewateua Angetile Osiah kuwa Katibu Mkuu na Boniface Wambura kuwa Ofisa Habari wa shirikisho hilo.Akizungumza Dar es Salaam jana, Rais wa shirikisho hilo, Leodeger Tenga, alisema
MABINGWA wa soka wa zamani wa Mkoa wa Morogoro, timu ya kiwanda cha kusindika tumbaku cha Alliance One Morogoro, imefanikiwa kutwaa ubingwa wa soka Ligi ya Taifa Wilaya ya Morogoro vijijini.Katibu wa Chama cha Mpira Wilaya ya
TIMU ya Maili Moja United ya Kibaha, imeisambaratisha timu ya Back Town kwa mabao 7-0 kwenye mchezo wa Ligi ya Wilaya ya Kibaha, Pwani.Mchezo huo uliopigwa kwenye uwanja wa Mwendapole ulikuwa wa upande mmoja hasa Back Town kuonesha
WADAU wa Michezo wa Chalinze Mkoani Pwani, wameuomba uongozi wa Chama Cha Mpira wa Miguu Pwani (COREFA) kuweka kituo cha Ligi ya Taifa ngazi ya mkoa katika mji huo.Wakizungumza na mjini hapa juzi, wadau hao Moses Monja na
VIMWANA na wanawake wenye sifa za kuwania taji la Kisura wa Tanzania linaloendeshwa na kampuni ya Beautifully Tanzania Agency (BTA), wametakiwa kujitokeza kwenye usaili utakaofanyika kesho mkoani Mara.Mratibu wa mashindano
WA K AT I Ra i s Jakaya Kikwete akiongoza maelfu y a Watanzania katika maadhimisho ya miaka 49 ya Uhuru wa Tanzania Bara, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hawakuonekana
RAIS Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa wapatao 3,563 katika siku ya maadhimisho ya miaka 49 ya Uhuru bila kuhusisha waliohusika na makosa ya kuwapa mimba watoto wa
WATU sita wamekufa na wengine 48 kujeruhiwa juzi baada ya basi kuacha njia na kupinduka wilayani Magu mkoani Mwanza.Ajali hiyo ilitokea katika barabara ya Musoma-Mwanza juzi, saa 9:45 katika
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Bi. Sophia Simba amesema elimu inayotolewa kuhusu madhara ya ukeketaji katika maeneo ya Kanda ya Ziwa ndio iliyofanikisha kuzima njama za
MTU mmoja amekufa na mwingine kunusurika baada ya kusombwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha katika milimani wilayani Mwanga usiku wa kuamkia
UTATA unazidi kuongezeka juu ya nani hasa ni wahusika wakuu wa uhalifu wa kupangwa wa fedha kwenye benki za Tanzania, baada ya viongozi wa Umoja wa Mabenki nchini kukanusha vikali
TAASISI isiyo ya kiserikali ya TAYCO inayojihusisha na masuala ya maadili kwa vijana na uongozi bora imetoa mafunzo kwa wanafunzi zaidi ya 200 wa shule za sekondari na vyuo kwa
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji Tanzania (EPZA) imepewa dhamana ya kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Kanda Huru za Uwekezaji Afrika (AFZA)
MACHO na masikio ya wadau wengi wa soka, leo yataelekezwa katika mchezo wa nusu fainali ya pili ya michuano ya Kombe la Chalenji, kati ya wenyeji Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' itakayooneshana
TIMU ya taifa ya Tanzania ya netiboli ´Taifa Queens´ imeendeleza wimbi la ushindi katika mashindano ya Kimataifa yanayofanyika nchini Singapore, baada ya kuifunga India kwa
BENDI ya muziki wa dansi, Machozi Band inayoongozwa na msanii wa kizazi kipya, Judhith Wambura ‘Lady Jaydee’ kesho inatarajiwa kuvamia mjini Morogoro kwa ajili ya
KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelotti amesema ahofii kibarua chake licha ya timu hiyo kushuka kiwango chake katika siku za hivi karibuni.Kikosi hicho cha Stamford Bridge kwa sasa
ASKOFU wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, Dkt. Martin Shao ameutaka uongozi wa chuo kishiriki cha Tumaini cha KCMC kuwashirikisha wanafunzi wa chuo hicho katika majadiliano kuhusu kupanda kwa gharama za ada na michango mingine
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Huria nchini, Profesa Tolly Mbwete keshokutwa anatarajia kutoa mhadhara wa kiprofesa ikiwa ni miaka ya mitatu baada ya kutunukiwa hadhi hiyo kitaaluma.Mhadhara huo ambao utakuwa ni wa kwanza kutolewa katika
SERIKALI ya Japan imetoa msaada wa sh milioni 764 kwa ajili ya miradi ya maendeleo vijijini katika mikoa sita nchini.Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa chumba cha upasuaji katika Kituo cha Afya Mkuranga, mabweni ya wasichana Shule ya Sekondari
ALIYKUWA mhasibu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw.Justice Katiti na wenzake watatu wanaokabiliwa na tuhuma za kutakatisha fedha haramu, zaidi ya sh. bilioni 3.8 wamekubali maelezo yao binafsi na kukana
TAASISI ya HCG Group ya nchini India imeahidi kutoa mafunzo kwa madaktari na wauguzi wa Tanzania kuhusu tiba ya saratani na imeonesha nia ya kushirikiana na Wizara ya Afya nchini kwa ajili ya kuanzisha vituo vya kutibu saratani mikoa yote
TIMU za Ivory Coast na Ethiopia, zimekuwa za kwanza kutangulia katika nusu fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea katika Uwanja wa Taifa, baada ya jana kupata ushindi kwenye mechi zao za
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom, imejitosa kudhamini mashindano ya Kombe la Chalenji yanayoendelea kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa kutoa sh. milioni 190, ili kuongeza hamasa kwa mashabiki.Mashindano hayo pia yanadhaminiwa na
TIMU ya taifa ya Tanzania ya netiboli 'Taifa Queens', imeanza vibaya michuano ya Kimataifa inayofanyika Singapore baada ya kufungwa 46-33 na Scotland.Akizungumza kwa simu jana akiwa nchini humo, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Simone Mackinis alisema
WACHEZAJI watatu wa Barcelona, Andres Iniesta, Xavi Hernandez na Lionel Messi wametajwa kwenye orodha ya mwisho ya wachezaji watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa mwaka, inayotolewa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa
BONDIA Amir Khan, anaamini pambano lake la Jumamosi linaweza kuinua heshima ya Waingereza baada ya ya lile lililoboa mashabiki kati ya Audley Harrison, ambaye alipigwa mapema na David Haye.Bingwa huyo wa WBA wa uzani
*Mafundi TANESCO waamriwa kukesha
*Kazi hiyo kukamilika ndani ya siku nane
*Transifoma ya Chalinze kuziba pengo Dar
Na Grace Michael
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Bw. David Jairo amemtaka mkandarasi na wataalamu wa TANESCO wanaoshughulikia uwekaji wa transfoma jipya katika Kituo cha Kupooza Umeme cha Kipawa, Dar es Salaam kufanya kazi hiyo usiku na mchana ili
Na Suleiman Abeid, Shinyanga
JESHI la Polisi mkoani Shinyanga linawashikilia watu 10 wilayani Bukombe wakituhumiwa kuhusika na mauaji ya kikatili ya wakazi wawili wa kijiji cha Ibamba wilayani Bukombe akiwemo mwanamke kikongwe mwenye umri wa miaka 90 waliohisiwa kuwa ni
WILAYA ya Bukoba mkoani Kagera ambayo mwaka jana baadhi ya walimu wake walichapwa viboko kwa matokeo mabaya imeendelea kushika nafasi ya mwisho kwa mwaka nne mfululizo, katika matokeo ya mtihani ya darasa la saba katika mkoa huo.Kwa miaka mitatu iliyopita
WAKATI viongozi na taasisi mbalimbali wakianza kushtuka na kutoa kauli za kupinga vitendo vya ukeketaji vinavyoendelea mkoani Mara, watu wa maeneo hayo wanaendelea na shughuli hiyo bila wasiwasi wowote.Wakati shughuli hiyo ikiendeshwa kwa kasi
SHIRIKA la Fedha la Umoja wa Mataifa (IMF) limesema Tanzania imefanya vizuri katika uchumi wake ambao ulishuka katika mdororo wa uchumi wa dunia lakini kwa sasa umeanza kupanda.Mwakilishi Mkuu wa IMF nchini, Bw. John Wakeman Linn alisema Tanzania
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Shamsi Vuai Nahodha amesema kipaumbele cha Wizara hiyo kwa sasa ni kuimarisha dhana ya ulinzi shirikishi ili wananchi waweze kushiriki kikamilifu katika masuala la ulinzi na usalama wa mali zao.Bw. Nahodha aliyasema
CHAMA Cha Kijamii (CCK), kimeandaa waraka ambao utachambua kasoro zilizopo kwenye katiba na kuzifikisha kwa Waziri wa Katiba na Sheria, Bi. Celina Kombani ili aweze kutoa hoja rasmi kwa nini Tanzania inahitaji katiba mpya.Akizungumza Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa
MANISPAA ya Ilala, Dar es Salaam, imeanza kushughulikia malalamiko yaliyotolewa wiki iliyopita na wachinjaji mifugo katika machinjio ya Vingunguti.Baadhi ya malalamiko hayo ni pamoja na uboreshwaji wa maeneo ya kuchinjia, choo, umeme na usafi wa
MASHABIKI wa soka nchini watalazimika kulipa sh. 1,000 kiingilio cha chini na sh. 5,000 kiingilio cha juu kuzishuhudia timu zao za Tanzania bara 'Kilimanjaro Stars' na Zanzibar'Zanzibar Heroes' zitakapocheza robo fainali ya michuano ya Chalenji.Timu hizo
TIMU ya taifa ya Tanzania ya netiboli 'Taifa Queens' leo saa 8 mchana itarusha karata yake ya kwanza katika michuano ya ufunguzi ya Kimataifa, inayofanyika nchini Singapore dhidi ya Scotland.Akizungumza kwa njia ya simu, Kaimu katibu Mkuu wa Chama cha
MASHINDANO ya kuibua vipaji vya muziki wa dansi ya 'Dance Music Competition', yanatarajia kuanza Desemba 20 na 21 mwaka huu katika Ukumbi wa Africenter, Dar es Salaam.Akizungumza Dar es Salaam jana, Mratibu wa mashindano hayo ambaye pia ni nguli wa
MICHUANO ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya, inatarajia kuendelea leo katika viwanja mbalimbali barani humo, huku baadhi ya vigogo vikiwa vimeshafuzu hatua ya mtoano.Katika mfululizo wa michuano hiyo, Barcelona watakuwa wakiikaribisha
CARLO Ancelotti amekiri anahisi kuwa katika wakati mgumu, kulinda kibarua chake.Mabingwa watetezi Chelsea, wamepungua makali yao ambapo katika mechi sita wameshinda moja tu.Kocha huyo wa Blues, amekiri kuwa hatima yake ya baadaye kwenye klabu hiyo, imeingia
*Kafulila amtaka Ngeleja ang'oke
*Aandaa hoja binafsi ya kutokuwa na imani naye
Na Grace Michael
MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kusini, Bw. David Kafulila amesema anakusudia kuwasilisha hoja binafsi bungeni kwa kulitaka bunge kuazimia kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri wa Nishati ya Madini, Bw. William Ngeleja kutokana na
KANISA Katoliki Jimbo la Sumbawanga limezungumzia sakata la kusimamishwa kwa baadhi ya waumini wa jimbo hilo na kudai kuwa adhabu hiyo ni kawaida kuchukuliwa kwa waumini wanaokwenda kinyume na imani ya kanisa hilo.Hatua hiyo ya kanisa hilo
VITA ya uteuzi wa mgombea wa CCM kuwania nafasi ya umeya Jiji la Mbeya tayari imeibua makundi ndani ya chama hicho na hivyo kuibua wasiwasi kuwa huenda Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinanufaika na mpasuko huo na kuibuka
JUMLA ya watu 11 wamepoteza maisha katika matukio 21 tofauti ya ujambazi wa kutumia silaha za kivita wilayani Kibondo mkoani Kigoma yanayotajwa kutokea katika kipindi cha mwezi July hadi Novemba mwaka huu. Takwimu hizo zimetolewa na Mkuu wa
KUWEPO kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Zanzibar imedaiwa ni mpango wa baadhi ya viongozi wa kutaka kuendelea kuwemo madarakani milele.Akizungumza na Majira jana kwa njia ya simu Bi. Catherine Malila ambaye alijitambulisha kuwa ni mwananchi wa
WANANCHI wa Kata za Kitunda, Msongola, Kivule na Chanika ambao wanatumia barabara ya kutoka Mombasa kupitia Moshi baa, Dar es Salaam wameelekeza kilio chao kwa Waziri wa Miundombinu, Dkt. John Magufuli wakimuomba kuangalia kilichokwamisha
SIKU chache baada ya Jeshi la Polisi nchini kuruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa nchini, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Shinyanga kimefanya mkutano mkubwa wa kihistoria uliohudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa
*Kili Stars, Rwanda uso kwa uso
*Zanzibar Heroes mdomoni mwa Uganda
Na Zahoro Mlanzi
WENYEJI wa michuano ya Chalenji, Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars sasa itakumbana na Rwanda 'Amavubi' katika mechi ya robo fainali itakayopigwa keshokutwa kwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Robo fainali nyingine itakayopigwa
MASHABIKI wa muziki jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki walipata burudani ya aina yake katika Ukumbi wa Mlimani City, ambapo bendi za Malaika ya Afrika Kusini na African Stars 'Twanga Pepeta' ziliweza kutoa uhondo wa nguvu kwenye 'Usiku wa
KOCHA wa Ngumi wa Klabu ya Ashanti, ambaye pia anatoa mafunzo ya kujitegemea, Rajabu Mhamila 'Super D' jana amepata msaada wa sh. 150,000 zitakazomwezesha kushiriki kozi ya 10 ya ukocha, iliyoandaliwa na Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT).
KOCHA Arsene Wenger amemwagia sifa mchezaji wake Samir Nasri kwa mabao aliyoifungia na kuifanya timu hiyo ikwee kileleni mwa Ligi Kuu na kuifanya tena iingie katika mbio za kuwani taji la michuano hiyo.Nasri juzi alipachika bao lake la 10 na 11 msimu huu na kuifanya timu
*Waitaka Kamati Kuu imuhoji kwa kukiuka maamuzi
*Wamo pia wengine 9 waliokacha ufunguzi bunge
Na Edmund Mihale
WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameiandikia barua Kamati Kuu ya chama hicho kuiomba imuite Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe na wabunge wengine tisa ili wajieleze kwa nini walikiuka maamuzi halali ya
WAFANYABIASHARA wa Soko la Uhindini lililoungua moto usiku wa kuamkia jana jijini Mbeya wamelilaumu Jeshi la Polisi kuwa baadhi ya askari wa jeshi hilo wamehusika kupora mali zilizokuwa zinaokolewa wakati linateketea. Mwenyekiti wa Soko hilo, Bw. Emili Mwaituka alisema
KANISA la Pentekoste ambalo waumini wake walikimbia nyumba zao na kuishi porini baada ya kukataa kunyunyiziwa dawa ya kuua mbu limechomwa moto na mwananchi mmoja mwenye hasira kwa madai kuwa serikali imeshindwa kumchukulia hatua mchangaji wa
WATANZANIA wametakiwa kuamsha ari ya kufanya kazi kwa bidii, na kuondoa hofu, huku wakishirikiana na wawekezaji wengine kutoka nje kutumia fursa zilizopo kujiendeleza na kuiendeleza nchi ili kujenga upya taswira ya Tanzania kiuchumi.Wameambiwa kuwa
WANAFUNZI wawili wa sekondari wamekufa na watu wengine wanne kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kugonga mnazi.Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Absalom Mwakyoma alisema kuwa ajali hiyo ilitokea
WATU wanne wamefikishwa katika mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu mashtaka ya kujipatia sh. milioni 50 kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Bw. Suleiman Hamisi kwa kumuuzia kiwanja cha wakfu kinyume na utaratibu.Watuhumiwa hao ni
MAMLAKA ya mawasiliano Tanzania (TCRA) inatarajia kuweka wazi mpango kazi wa kuandaa wananchi kuingia kwenye teknolojia mpya ya utangazaji wa digitali katika mkutano wake wa kutimiza miaka kumi kwa utangazaji nchini.Mkurugenzi wa
TIMU ya taifa ya Kenya 'Harambee Stars' imeondolewa katika michuano ya Kombe la CECAFA Tusker Challenge, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Ethiopia jana, katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Hii ni mechi ya pili kwa
KOCHA Mkuu wa timu ya Zanzibar 'Zanzibar Heroes', John Stewart, amesema aliamua kumtoa mshambuliaji wake, Ali Ahmad Shibori kutokana na kucheza chini ya kiwango.Mchezaji huyo amejizolea umaarufu hivi kiribuni kutokana na kuonesha kiwango kizuri katika
PROMOTA wa pambano la Francis Cheka na Mada Maugo, Kaike Siraju amewashupalia mabondia hao kwa kuwataka kuzidunda katika Uwanja wa Jamhuri, Morogoro kama ilivyopangwa.Pambano hilo la fungua mwaka litakua la uzito wa kg. 72 ambapo, Cheka
KOCHA wa Klabu ya soka ya Internazionale Milan, Rafael Benitez anaamini kuwa timu yake inaweza kutwaa ubingwa wa Serie A na Klabu Bingwa ya Dunia katika msimu wake wa kwanza.Benitez anafurahishwa na uchezaji wa sasa wa timu yake, baada kufanya vibaya katika
KLABU ya Ipswich itapambana na Arsenal katika mechi ya nusu fainali ya mashindano ya Kombe la Ligi ya Uingereza, baada ya kuifunga Wes Brom bao 1-0 katika mechi ya robo fainali juzi.Ipswich iliweka pembeni jinamizi la kufanya vibaya katika mashindano ya
*Ni uamuzi wa Waziri Dkt. John Magufuli
*Akabidhiwa barua na Katibu Mkuu Chambo
Na John Daniel
HATIMAYE kasi na viwango katika utendaji kazi wa Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli umeanza kuonekana wazi baada ya kumwondoa rasmi aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS), Bw. Ephraem Mrema.Bw. Mrema ambaye
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa amesema yeye si waziri mpole kwa sababu ya kutotema cheche kama wenzake, bali ni mkali kwa utendaji wake wa kimya kimya.Akizungumza na wakurugenzi na wakuu wa taasisi zilizo chini ya
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Shamsi Vuai Nahodha amewataka askari wote wa Jeshi la Polisi ambao watashindwa kusimamia haki na wajibu wa kazi yao kutafuta kazi nyingine ya kufanya ili kulinda heshma ya jeshi hilo kwa raia na nchi kwa
DEREVA teksi aliyefahamika kwa jina la Nicolaus Mwaikambo(25) mkazi wa Kinyanambo mjini Mafinga ameuawa na watu wasiojulikana kwa kupigwa risasi katika shingo yake na kuweka jeraha lililotoboa shingo yake kumpora gari.Marehemu
JESHI la Polisi mkoani Mara limewakamata watu watatu akiwemo mpiga picha wa kujitegemea wa kituo cha Televisheni cha ITV mjini Musoma kwa kukutwa na zaidi ya kilo mia tano za bangi.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Kamishina Msaidizi wa
BAADHI ya Madiwani wa Viti Maalumu katika Wilaya ya Kahama wiki hii walijikuta wakiangua kilio baada ya kukosa uteuzi kutokana na asilimia waliyopata katika uchaguzi uliomalizika Oktoba 31, mwaka huu.Madiwani hao ambao huingia kwenye
WALINZI wanaolinda katika Soko Jipya la Karume wamelalamikia uongozi wa Shilikisho la Machinga Complex kutowalipa mishahara yao takribani miezi mitatu imepita.Walinzi hao ambao waliwakilishwa na mmoja wao ambaye alitinga katika Ofisi za
BAO pekee lililofungwa dakika ya 61 na mshambuliaji Kipre Bolou wa Ivory Coast, liliifanya timu hiyo kuondoka na ushindi wa bao 1-0, dhidi ya Zanzibar 'Zanzibar Heroes' katika mfululizo wa michezo ya Kombe la Chalenji.Mchezo huo uliopigwa
UONGOZI wa Yanga, umewaongeza wachezaji wawili katika dirisha dogo la usajili lililofungwa juzi, kwa ajili ya kuongezea nguvu safu yake ya ushambuliaji.Wachezaji waliosajiliwa katika usajili huo ni Mzambia Davies Mwape na
WACHEZAJI wa Ligi Kuu ya soka ya Italia maarufu kama Serie A, wameleta mgogoro baada Chama cha Wachezaji Italia (AIC) kuitisha mgomo utaofanyikaa Desemba 11 na 12, mwaka huu.Mgomo huyo umekuja baada ya kuwepo mazungumzo kati ya
LAS VEGAS, Marekani
BAADA ya kufanikiwa kutetea taji lake la uzani wa Light, bondia Juan Manuel Marquez amesema yupo tayari kuzipiga walau kwa raundi tatu na bondia machachari, Manny Pacquiao.
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimelazimika kuahirisha Kikao cha Kamati Kuu (CC) iliyotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam leo kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kupata
HATMA ya Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Bw. Eprahim Mrema, sasa ipo mkononi mwa Waziri wa Ujenzi, Bw. John Magufuli huku kukiwa na matumaini
SHIRIKA la Nyumba na Taifa (NHC) limetoa siku tisini kwa wapangaji wake wanaodaiwa kodi ya nyumba zinazofikia sh. bil. 9 walipe vinginevyo watachukuliwa hatua za kisheria.Mkurugenzi wa
WANAUME wametakiwa kuwa na tabia ya kwenda kuchunguza afya zao kila mara ili kuepukana na ugonjwa wa saratani ya tezi dume ambao ukigundulika mapema kuna
CHUO Kikuu Kishiriki cha Sayansi ya Tiba, Weill Bugando, kimo mbioni kuwa Chuo Kikuu kinachojitegemea endapo mazungumzo kati ya uongozi wake na serikali
HATIMAYE Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Shinyanga kimefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Tabora kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi ya
MECHI za awali za mashindano ya Kombe la Chalenji, zimeshindwa kupigwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kama ilivyopangwa awali kutokana na maandalizi ya
KOZI ya ukocha wa mpira wa kikapu, inatarajia kuanza leo katika viwanja vya Donbosco, Dar es Salaam ambayo itaendeshwa na mkufunzi kutoka Shirikisho la Kimataifa la
KOCHA wa timu ya Real Madrid, Jose Mourinho amesema ilikuwa rahisi kuambulia kipigo cha mabao 5-0 kutoka kwa Barcelona, kutokana na kuwa kikosi chake cha Blancos hakikucheza
KOCHA wa Barcelona, Pep Guardiola amewapongeza wachezaji wake kwa kucheza kwa kujituma na kuibuka na ushindi wa mabao 5-0, dhidi ya Real Madrid 5-0.Mechi hiyo
SIKU moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kulilalamikia Jeshi la Polisi juu ya kutoa amri ya kuzuia mikutano yake ya hadhara na ile ya kuwapokea wabunge wa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo kimetoa tahadhari kwa Chama Cha Mapinduzi, dhidi ya hatua yoyote ya kutumia mabavu badala ya sheria au kanuni, kuwafukuza bungeni wabunge
MBUNGE wa Maswa Magharibi mkoani Shinyanga, Bw. John Shibuda jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya kuzuiwa na wananchi wa mjini Shinyanga wakishinikiza aongee
MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) ukishirikiana na mashirika mengine 50 yanayotetea usawa wa kijinsia, haki za binadamu na ukombozi wa wanawake kimapinduzi (FemAct) umesema
JESHI la Polisi linamshikilia Bi. Jenipher Kitundo mkazi wa Kitongoji cha Lamai–Kateshi wilayani Hanang kwa tuhuma ya kujifungua na kutupa kichanga kwenye banda la mbwa.Kwa
HATIMAYE kitendawili cha lini fidia ya wakazi wa Kigilagila wanaotakiwa kuhamishwa kupisha upanuzi wa uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kimetenguliwa baada ya
ZAIDI ya sh. milioni 60 zitatumika kujenga Tawi Benki ya NMB katika eneo la Gangilonga katika Manispaa ya Iringa.Akizungumza ofisini Majira Meneja wa Benki ya NMB Tawi la
BAADA ya mashindano ya Chalenji kukosa msisimko kwa mashabiki kushindwa kuingia uwanjani, Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limetoa ofa kwa
MABINGWA watetezi wa michuano ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) itakutana uso kwa uso na timu za Ivory Coast, Cameroon na
NAHODHA wa zamani wa timu ya taifa ya England David Beckham na mkewe, Victoria ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuwapongeza wachumba wa familia ya kifalme kwa kuvalishana pete ya
MAROUANE Chamakh ameingia katika kundi la majeruhi, ambapo atalazimika kukosa kucheza mechi kadhaa.Mshambuliaji huyo wa Arsenal, alifunga bao lake la 10 katika msimu wake wa
*Yasema polisi inataka kujenda dola ya kipolisi
*Yatoa sharti kushirikiana na CUF katika bunge
Na Tumaini Makene.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani kitendo cha Jeshi la Polisi, kuzuia mikutano ya wabunge wake na mingine ya hadhara ya chama hicho, kikidai kuwa ni
ASKOFU Kiongozi wa Kanisa la Moravian Tanzania mhashamu Alinikisa Cheyo amesema kuwa kuwa chanzo cha ufisadi na uhujumu mkubwa nchini ni wasomi walioamua kuisaliti nchi baada ya
WANANCHI wa Kata ya Muganza wilayani Ngara mkoani Kagera wanakesha nje ya nyumba zao huku wakipiga ngoma na kukoka moto kwa madai ya kuhofiwa kuvamiwa na
Na Theonestina Juma, Ngara.
WATU wawili wameuawa na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya kurushiwa na bomu la kutupwa kwa mkono katika tukio linalodaiwa kuwa ni kutokana na wivu wa
SERIKALI imesema kuwa ili Chuo cha Elimu ya Bishara (CBE) kiweze kufanikiwa ni lazima kijikite zaidi katika kufanya tafiti makini zitakazowasaidia Watanzania kupata biashara za kisasa kwa lengo la
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Bw. Abass Kandoro, ameziagiza halmashauri zote za wilaya mkoani humo kuhakikisha Kamati za Ulinzi na Rasilimali za Uvuvi (BMU) zinazonuka vitendo vya
WADAU wa elimu wameshauri kurejewa kwa utaratibu wa utungaji vitabu vya kujifunzia na kufundishia unaoshirikisha jopo lenye watalaamu mbalimbali ili kuhakikisha vitabu hivyo vinazingatia
KOCHA Sir Alex Ferguson amemwagia sifa mchezaji wake, Dimitar Berbatov kwa mabao yake matano aliyoifungia timu hiyo na kuifanya iondoke na ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Blackburn, katika mechi ya
SERIKALI ya Mkoa Kilimanjaro, imeahidi kutoa ushirikiano wake katika kuendeleza mbio za Kilimanjaro Marathon kutokana na umuhimu wake wa kukuza uchumi wa Mkoa huo.
MCHEZAJI gofu Hassan Ally, ameibuka kidedea katika mashindano ya gofu ya mwisho wa mwezi yaliyodhaminiwa na Kambuni ya simu za mkononi Zantel, yaliyofanyika juzi kwenye viwanja vya
Na Zahoro Mlanzi.
BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya Taifa ya Sudan, Kocha Mkuu wa Zanzibar 'Zanzibar Heroes', Hall Stewart ametamba kuendeleza wimbi la ushindi katika michezo
*Tibaijuka asema ni kuchapa kazi, vitendo vitaongea zaidi
*Ngeleja: Mgao wa umeme kufikia mwisho, umeme hadi vijijini
*Chami aonya waliochukua viwanda lakini hawaviendelezi
*Maige awatolea macho wasafirishaji wa magogo, wawindaji
Na Tumaini Makene.
SIKU moja baada ya kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kushika nafasi ya uwaziri, baadhi ya mawaziri wameeleza matarajio yao na jinsi walivyojiopanga
RAIS Jakaya Kikwete amewatoa hofu wanafunzi wa elimu ya juu kuwa serikali inaendelea na jitihada za kuongeza fedha katika mfuko wa bodi ya mikopo ambao kwa mwaka huu ulipewa
VIJANA wa Kitanzania wametakiwa kujifunza na kuelewa mafundisho na mawazo ya Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere kwa manufaa ya taifa.Hayo yalisemwa na
WAKAZI wanne wa Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi ya Kinondoni kwa tuhuma za wizi wa kutumia silaha katika kesi tofauti.Mashtakiwa hao ni
WATANZANIA wanaosumbuliwa na ugonjwa moyo wameshauriwa kujitokeza ili wapimwe na kisha watafutiwe wafadhili wa kwa ajili ya kwenda kutibia nje ya nchi.
MSANII wa kimataifa raia wa Jamaica, Windel Beneto Edwards 'Gyptian', amewasili nchini na kuwaomba wanachuo na wapenzi wa muziki kujitokeza kwa wingi kesho katika tamasha la
MABINGWA watetezi wa klabu bingwa Ulaya, Inter Milan usiku wa kuamkia jana walifuzu hatua ya mtoano baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya FC Twente katika mechi iliyofanyika
MSHAMBULIAJI wa timu ya Inter Milan, Samuel Eto'o ameomba radhi kwa kitendo chake cha kumtandika kichwa mchezaji mwenzake, wakati wa mechi ya Ligi ya Seria A iliyofanyika
WATANZANIA wa kada mbambali wametoa maoni yanayotofautiana kuhusu uteuzi wa Baraza la Mawaziri kwa maelezo kwamba hakuna jambo jipya, ingawa wengine wamepongeza hasa
KAMPUNI ya Serikali ya Uingereza inayoshughulika na uuzaji wa zana za kijeshi (BAE Systems), imekiri makosa katika kesi ya kashfa uuzaji wa rada ya kijeshi kwa Serikali ya Tanzania.
SHIRIKA la Makazi la Umoja wa Mataifa (UN-HABITAT) limetoa ripoti na kutahadharisha kuwa idadi ya watu mijini barani Afrika inatarajiwa kuongezeka mara tatu miaka 40, hivyo kuwataka
ALIYEKUWA Mgombea bunge wa Jimbo la Temeke, kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Bw. Lucasi Limbu amempa siku tano Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Bw. John Tendwa kuwachukulia
JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imenunua mashine maalumu zitakazosaidia kuongeza kasi ya kuweka silaha, magari na vifaa vya kuhifadhi takwimu katika nchi tano wanachama wa
KAMATI ya Utendaji ya Yanga, imekubaliana na mapendekezo ya Mdhamini wake, Yusuf Manji na kuahidi kuanza kuyafanyia kazi haraka na pia imeamuliwa kuanzia sasa Msemaji wa
Na Zahoro Mlanzi.
BARAZA la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limezindua na kukabidhi Kombe jipya la mashindano ya CECAFA Tusker Chalenji yanayotarajiwa
KIUNGO mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria 'Super Falcons', Perpetual Nkwocha amesema katika mashindano ya Afrika yaliyofanyika Afrika Kusini, Tanzania iliwapa
KAMPUNI ya simu za mkononi Zantel, jana imetangaza udhamini wa mashindano ya gofu ya mwisho wa mwezi yatakayofanyika Jumamosi katika viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam.
KOCHA Arsene Wenger amesema nahodha wa Arsenal, Cesc Fabregas huenda akakaa nje ya uwanja kwa muda wa wiki zaidi ya tatu, baada ya kuumia misuli ya paja wakati wa mechi ya
*Rais Kikwete kuanika Baraza lake la Mawaziri.
*Ikulu yathibitisha, yakwepa kutaja muda, mahali.
Na Tumaini Makene.
LEO ndiyo leo. Muda wowote, kwa njia yoyote na mahali popote, kadri itavyoonekana kufaa, Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuweka wazi baraza lake jipya la mawaziri litakalomsaidia
MBIO za kumsaka Meya wa Jiji la Tanga, zinazidi kupamba moto huku kukiwa na suala la udini likipenyezwa na baadhi ya wagombea kuchafuliwa kwa tuhuma walizokuwa nazo wakiwa
KANISA la Kiinjili la Kilutheri, Dayosisi ya Mashariki na Pwani (KKKT-DMP) limesema kuwa tuhuma zinazotolewa katika vyombo vya habari dhidi ya dayosisi hiyo ni uzushi na chuki dhidi ya
SHAHIDI wa 13 katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili Waziri wa Zamani wa Fedha, Bw. Basil Mramba jana alipata wakati mgumu baada ya kubabaika mara kwa mara kujibu maswali ya
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za uzinduzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kesho.Chuo hicho ambacho kilifunguliwa Septemba, 2007 kikitumia
PHNOM PENH,Cambodia.
WAZIRI Mkuu wa Cambodia,Bw.Hun Sen amesema kuwa watu wapatao 345 wamepoteza maisha katika msongamano wakati wa maadhimisho ya sikukuu muhimu katika mji mkuu wa
INARIPOTIWA kuwa makubaliano ya kugawana madaraka nchini Irak yanaashiria kusafiri kwa nguvu za ushawishi kutoka kwa Wamarekani kwenda kwa Wakurdi na Wairani
HUKU upande mmoja China na Afrika Kusini zikiimarisha uhusiano wao, kwa upande mwingine nchi hizo zinaripotiwa kuwa zipo kwenye kinyang'anyiro cha kuidhibiti Zimbabwe kwa
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza viingilio vya michuano ya Kombe la CECAFA Tusker Chalenji, inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi.
KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelotti amekana taarifa zinazodai kuwa bado anatafakari hatima yake, katika klabu hiyo ya Stamford Bridge.Kauli hiyo ya Ancelotti, imekuja baada ya mabingwa hao wa
KOCHA Roberto Mancini, amesema kazi yake katika timu ya Manchester City, haina kashikashi ikilinganishwa na alivyokuwa Inter Milan.Muitaliano huyo ndiye anayetarajia kuleta
*Sasa kutangaza baraza lake leo au kesho.
*Membe, Tibaijuka wagongana mambo ya nje.
Na Tumaini Makene.
WAKATI Watanzania wakiwa katika kimuhemuhe cha kusubiri baraza jipya la mawaziri, habari zimevuja kuwa mpaka jana ilikuwa imeshindikana kutangazwa kutokana na
UAMUZI wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe wa kupingana na uamuzi wa chama chake ambacho kiliamua kwa kura wabunge wake watoke nje ya bunge wakati Rais Jakaya Kikwete akihutubia
ILIYOKUWA Kampuni ya simu za mkononi ya Zain Afrika, 'imezikwa' rasmi ambapo kampuni mpya iitwayo Bharti Airtel imechukua nafasi yake na kuzindua nembo mpya, na
MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA, Bi. Leticia Mosore ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na kujiunga na chama cha NCCR-MAEGEUZI kwa madai ya kutoridhishwa na
CHUO Kikuu cha Mzumbe kimeandaa siku maalumu ya kesho kwa ajili ya kumuenzi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kama sehemu ya kutambua mchango wake katika
SHIRIKA la umeme nchini (TANESCO) Mkoa wa Kagera limesema lipo tayari kuhamisha nguzo za umeme karibu na eneo la Uwanja wa Ndege mjini Bukoba baada ya kulipwa fidia ya
TAASISI isiyo ya Kiserikali ya Ujerumani ijulikanayo kwa jina la Pamoja kwanza imetenga zaidi ya sh. bilioni 1 kwa ajili kumalizia ujenzi wa shule ya watoto wasio na uwezo unaoendelea maeneo ya
UMOJA wa Wafanyabiashara wenye Ulemavu Dar es Salaam (UWAWADA), umesema kuwa kamwe hautakubaliana na uongozi uliokuwepo madarakani kwa miaka mitano kuendelea
MSHAMBULIAJI raia wa Zambia, Davies Mwape ambaye Yanga inataka kumwongeza katika kikosi chake katika dirisha dogo la usajili ametua nchini kwa ajili kumalizana na
KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelotti anatarajia kuwatumia chipukizi wake wakati timu hiyo itakapokuwa ikiumana na Zilina katika michuano ya Klabu Bingwa Ulaya, itakayofanyika
TIMU ya Taifa ya mchezo wa pool, imeshika nafasi ya 10 kati ya nchi 12, zilizoshiriki mashindano ya Dunia ya mchezo huo, yaliyomalizika Novemba 13, mwaka huu nchini Ufaransa.
MICHUANO ya Klabu Bingwa Ulaya, inaendelea leo katika viwanja mbalimbali kwa kuikutanisha miamba 12 kati ya 28, inayoshiriki michuano hiyo.Katika mechi za leo kila
*Akimbia tuhuma za kukihujumu chama kwenye uchaguzi.
Na Rashid Mkwinda, Mbeya.
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Mbeya, Bw. Sambwee Shitambala ametangaza kujiuzuru wadhifa huo ili kupisha uchunguzi dhidi
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe amesema uamuzi wa kutoka nje ya bunge wakati Rais Jakaya Kikwete akihutubia ulikuwa wa chama uliofikiwa kwa kura lakini yeye
KESI inayohusu kashfa maarufu ya ununuzi wa rada ya kijeshi iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania kutoka Kampuni ya Vifaa vya Kijeshi ya Uingereza (BAE) itaunguruma mahakamani
Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Dkt. Emmanuel Nchimbi amewashukuru wananchi wa Jimbo la Songea kwa kumchagua kuwa mbunge wao na ameahidi kushirikiana nao
DIWANI Mteule wa CCM, Kata ya Kinyelezi katika Halmashauri ya Ilala, Bi. Leah Mgitu ameomba ushirikiano wa karibu wa wapiga kura wake ili kufanikisha ahadi zake kwa wananchi.