30 November 2010

Siri ya kuachwa Chiligati yatajwa.

*Makamba upepo si mzuri ndani ya CCM.
*Kamati kuu kukutana D'Salaam kesho.
*Msekwa naye atoboa, ajenda ni moja.
 


Na John Daniel.

HATIMAYE siri ya kuachwa kwa aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika Baraza jipya la

Polisi yaruhusu mikutano CHADEMA.

Na Tumaini Makene.

SIKU moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kulilalamikia Jeshi la Polisi juu ya kutoa amri ya kuzuia mikutano yake ya hadhara na ile ya kuwapokea wabunge wa

Mawaziri waanza semina elekezi.

Na Tumaini Makene.

BARAZA la Mawaziri jipya chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete limekutana kwa mara ya kwanza, ambapo

CHADEMA yaonya CCM kuhusu azimio la kuwatimua.

Na Mwandishi wetu.

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo kimetoa tahadhari kwa Chama Cha Mapinduzi, dhidi ya hatua yoyote ya kutumia mabavu badala ya sheria au kanuni, kuwafukuza bungeni wabunge

Shinyanga wamzuia Shibuda awahutubie.

Na Suleiman Abeid, Shinyanga.

MBUNGE wa Maswa Magharibi mkoani Shinyanga, Bw. John Shibuda jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya kuzuiwa na wananchi wa mjini Shinyanga wakishinikiza aongee

Baraza la Kikwete kubwa-FemAct.

Na Flora Amon.

MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) ukishirikiana na mashirika mengine 50 yanayotetea usawa wa kijinsia, haki za binadamu na ukombozi wa wanawake kimapinduzi (FemAct) umesema

Atupa kichanga kwenye banda la mbwa.

Na Jamillah Daffo, Manyara.

JESHI la Polisi linamshikilia Bi. Jenipher Kitundo mkazi wa Kitongoji cha Lamai–Kateshi wilayani Hanang kwa tuhuma ya kujifungua na kutupa kichanga kwenye banda la mbwa.Kwa

Mchakato wa malipo Kigilagila kuanza kesho.

Na Peter Mwenda.

HATIMAYE kitendawili cha lini fidia ya wakazi wa Kigilagila wanaotakiwa kuhamishwa kupisha upanuzi wa uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kimetenguliwa baada ya

NMB Iringa kujenga jengo jipya .

Na Eliasa Ally, Iringa

ZAIDI ya sh. milioni  60 zitatumika kujenga Tawi Benki ya NMB katika eneo la Gangilonga  katika Manispaa ya Iringa.Akizungumza ofisini Majira Meneja wa Benki ya NMB Tawi la

Chalenji Cup kuiingilio bure.

*Uganda, Malawi zatoka kifua mbele

Na Zahoro Mlanzi.

BAADA ya mashindano ya Chalenji kukosa msisimko kwa mashabiki kushindwa kuingia uwanjani, Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limetoa ofa kwa

DRC wapangwa kundi moja na Ivory Coast CHAN.

KHARTOUM, Sudan.

MABINGWA watetezi wa michuano ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) itakutana uso kwa uso na timu za Ivory Coast, Cameroon na

Beckham, mkewe wapongeza wachumba wa familia ya kifalme.

LONDON, England.

NAHODHA wa zamani wa timu ya taifa ya England David Beckham na mkewe,  Victoria ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuwapongeza wachumba wa familia ya kifalme kwa kuvalishana pete ya

Chamakh aingia kundi la majeruhi.

LONDON, Uingereza.

MAROUANE Chamakh ameingia katika kundi la majeruhi, ambapo atalazimika kukosa kucheza mechi kadhaa.Mshambuliaji huyo wa Arsenal, alifunga bao lake la 10 katika msimu wake wa

29 November 2010

CHADEMA yalaani kuzuia mikutano.

*Yasema polisi inataka kujenda dola ya kipolisi
*Yatoa sharti kushirikiana na CUF katika bunge


Na Tumaini Makene.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani kitendo cha Jeshi la Polisi, kuzuia mikutano ya wabunge wake na mingine ya hadhara ya chama hicho, kikidai kuwa ni

Wasomi wameisaliti nchi-Askofu.

Na Charles Mwakipesile, Mbeya.

ASKOFU Kiongozi wa Kanisa la Moravian Tanzania  mhashamu Alinikisa Cheyo amesema kuwa kuwa chanzo cha ufisadi na uhujumu mkubwa nchini ni wasomi walioamua kuisaliti nchi baada ya

Wakesha nje kuhofia 'popobawa'.

Na Theonestina Juma, Ngara.

WANANCHI wa Kata ya Muganza wilayani Ngara mkoani Kagera wanakesha nje ya nyumba zao huku wakipiga ngoma na kukoka moto kwa madai ya kuhofiwa kuvamiwa na

Warushiwa bomu la mkono kwa wivu.

* Wawili wafa, wengine wajeruhiwa

Na Theonestina Juma, Ngara.
 WATU wawili wameuawa na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya kurushiwa na bomu la kutupwa kwa mkono katika tukio linalodaiwa kuwa ni kutokana na wivu wa

CBE yakumbushwa kuwekeza kwenye tafiti.

Na Pendo Mtibuche, Dodoma.

SERIKALI imesema kuwa ili Chuo cha Elimu ya Bishara (CBE) kiweze kufanikiwa ni lazima kijikite zaidi  katika kufanya tafiti makini zitakazowasaidia Watanzania kupata biashara za kisasa kwa lengo la

Kandoro ataka BMU chafu zivunjwe.

Na Faida Muyomba, Sengerema.

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Bw. Abass Kandoro, ameziagiza halmashauri zote za wilaya mkoani humo kuhakikisha Kamati za Ulinzi na Rasilimali za Uvuvi (BMU) zinazonuka vitendo vya

Wadau wataka utungaji vitabu upitiwe upya.

 Na Grace Michael

WADAU wa elimu wameshauri kurejewa kwa  utaratibu wa utungaji vitabu vya kujifunzia na kufundishia unaoshirikisha jopo lenye watalaamu mbalimbali ili kuhakikisha vitabu hivyo vinazingatia

Ferguson amwagia sifa Berbatov.

LONDON, England.

KOCHA Sir Alex Ferguson amemwagia sifa mchezaji wake, Dimitar Berbatov kwa mabao yake matano aliyoifungia timu hiyo na kuifanya iondoke na ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya  Blackburn, katika mechi ya

Serikali kuendeleza Kili Marathon.

Na Flora Temba, Moshi.

SERIKALI ya Mkoa Kilimanjaro, imeahidi kutoa ushirikiano wake katika kuendeleza mbio za Kilimanjaro Marathon kutokana na umuhimu wake wa kukuza uchumi wa Mkoa huo.

Ally ndiye kinara wa mashindano ya gofu.

Na Amina Athumani

MCHEZAJI gofu Hassan Ally, ameibuka kidedea katika mashindano ya gofu ya mwisho wa mwezi yaliyodhaminiwa na Kambuni ya simu za mkononi Zantel, yaliyofanyika juzi kwenye viwanja vya

Stewart atamba kuinyosha Ivory Coast

*Baada ya kuichapa Sudan 2-0, Rwanda yang'ara

Na Zahoro Mlanzi.
BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya Taifa ya Sudan, Kocha Mkuu wa Zanzibar 'Zanzibar Heroes', Hall Stewart ametamba kuendeleza wimbi la ushindi katika michezo

26 November 2010

Mawaziri wapya walonga.

*Tibaijuka asema ni kuchapa kazi, vitendo vitaongea zaidi
*Ngeleja: Mgao wa umeme kufikia mwisho, umeme hadi vijijini
*Chami aonya waliochukua viwanda lakini hawaviendelezi
*Maige awatolea macho wasafirishaji wa magogo, wawindaji


Na Tumaini Makene.

SIKU moja baada ya kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kushika nafasi ya uwaziri, baadhi ya mawaziri wameeleza matarajio yao na jinsi walivyojiopanga

Mbeya wafurahia 'Mwa' kwenye baraza la mawaziri.

Na Charles Mwakipesile, Mbeya.

WANAHARAKATI wa siasa na maendeleo Mkoa wa Mbeya wamefurahia uteuzi wa Dkt. Harrison Mwakyembe, Prof. Mark Mwandosya na Bw. Philipo Mulugo kuingia

Tume kuchunguza mikopo ya wanafunzi.

Na Pendo Mtibuche, Dodoma

RAIS Jakaya Kikwete amewatoa hofu wanafunzi wa elimu ya juu kuwa serikali inaendelea na jitihada za kuongeza fedha katika mfuko wa bodi ya mikopo ambao kwa mwaka huu ulipewa

Wasomi waibua mawazo ya Nyerere kuchochea maendeleo.

Na Mwandishi wetu, Morogoro.

VIJANA wa Kitanzania wametakiwa kujifunza na kuelewa mafundisho na mawazo ya Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere kwa manufaa ya taifa.Hayo yalisemwa na

Wanne kizimbani kwa tuhuma za ujambazi.

Na Rehema Maigala.

WAKAZI wanne wa Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi ya Kinondoni kwa tuhuma za wizi wa kutumia silaha katika kesi tofauti.Mashtakiwa hao ni

Wagonjwa wa moyo watakiwa kujitokeza.

Na Mwandishi Wetu

WATANZANIA wanaosumbuliwa na ugonjwa moyo wameshauriwa kujitokeza ili wapimwe na kisha watafutiwe wafadhili wa kwa ajili ya kwenda kutibia nje ya nchi.

Yanga yakumbwa na mpasuko.

*Mosha atangaza kukaa pembeni

Na Elizabeth Mayemba

MAKAMU Mwenyekiti wa Yanga, Davis Mosha amesema ameamua kujiweka pembeni na  hatojishughulisha na jambo lolote ndani ya klabu hiyo.

Mjamaica kutumbuiza Str8 Muzik Festival.

Na Mwandishi Wetu

MSANII wa kimataifa raia wa Jamaica, Windel Beneto Edwards 'Gyptian', amewasili nchini na kuwaomba wanachuo na wapenzi wa muziki kujitokeza kwa wingi kesho katika tamasha la

Inter, Barca, Man United zatinga 16 bora.

ROME, Italia

MABINGWA watetezi wa klabu bingwa Ulaya, Inter Milan usiku wa kuamkia jana walifuzu hatua ya mtoano baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya FC Twente  katika mechi iliyofanyika

Eto'o aomba radhi kwa kumpiga mchezaji kichwa.

MILAN, Italia

MSHAMBULIAJI wa timu ya Inter Milan, Samuel Eto'o ameomba radhi kwa kitendo chake cha kumtandika kichwa mchezaji mwenzake, wakati wa mechi ya Ligi ya Seria A iliyofanyika

25 November 2010

Baraza la mawaziri 2010.

Baraza la mawaziri hili hapa

Kikwete awaridhisha wananchi.

Na Reuben Kagaruki.

WATANZANIA wa kada mbambali wametoa maoni yanayotofautiana kuhusu uteuzi wa Baraza la Mawaziri kwa maelezo kwamba hakuna jambo jipya, ingawa wengine wamepongeza hasa

BAE yakiri makosa kesi ya kashfa ya rada.

Na Tumaini Makene.

KAMPUNI ya Serikali ya Uingereza inayoshughulika na uuzaji wa zana za kijeshi (BAE Systems), imekiri makosa katika kesi ya kashfa uuzaji wa rada ya kijeshi kwa Serikali ya Tanzania.

Wakazi mijini kuongezeka mara tatu 2050.

Na Tumaini Makene

SHIRIKA la Makazi la Umoja wa Mataifa (UN-HABITAT) limetoa ripoti na kutahadharisha kuwa idadi ya watu mijini barani Afrika inatarajiwa kuongezeka mara tatu miaka 40, hivyo kuwataka

Mgombea CUF amtaka Tendwa kuchukua hatua

Na Gladness Mboma.

ALIYEKUWA Mgombea bunge wa Jimbo la Temeke, kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Bw. Lucasi Limbu amempa siku tano Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Bw. John Tendwa kuwachukulia

EAC kuongeza kasi kuweka silaha alama.

Na Nicodemus Ikonko, Arusha.

JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imenunua mashine maalumu zitakazosaidia kuongeza kasi ya kuweka silaha, magari na vifaa vya kuhifadhi takwimu katika nchi tano wanachama wa

Yanga yanywea kwa Manji.

*Sendeu avunjwa nguvu.

Na Elizabeth Mayemba

KAMATI ya Utendaji ya Yanga, imekubaliana na mapendekezo ya Mdhamini wake, Yusuf Manji na kuahidi kuanza kuyafanyia kazi haraka na pia imeamuliwa kuanzia sasa Msemaji wa

CECAFA yazindua kombe Jipya.

Na Zahoro Mlanzi.

BARAZA la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limezindua na kukabidhi Kombe jipya la mashindano ya CECAFA Tusker Chalenji yanayotarajiwa

Ufupi wa Twiga Stars wailiza Nigeria.

LAGOS, Nigeria

KIUNGO mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria 'Super Falcons', Perpetual Nkwocha amesema katika mashindano ya Afrika yaliyofanyika Afrika Kusini, Tanzania iliwapa

Zantel kudhamini mashindano ya gofu.

Na Amina Athumani

KAMPUNI ya simu za mkononi Zantel, jana imetangaza udhamini wa mashindano ya gofu ya mwisho wa  mwezi yatakayofanyika Jumamosi katika viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam.

Fabregas kukaa benchi wiki 3.

LONDON, England

KOCHA Arsene Wenger amesema nahodha wa Arsenal, Cesc Fabregas huenda akakaa nje ya uwanja kwa muda wa wiki zaidi ya tatu, baada ya kuumia misuli ya paja wakati wa mechi ya

24 November 2010

Leo ndiyo leo.

*Rais Kikwete kuanika Baraza lake la Mawaziri.
*Ikulu yathibitisha, yakwepa kutaja muda, mahali.


Na Tumaini Makene.

LEO ndiyo leo. Muda wowote, kwa njia yoyote na mahali popote, kadri itavyoonekana kufaa, Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuweka wazi baraza lake jipya la mawaziri litakalomsaidia

Udini wapenya uchaguzi wa meya Tanga.

Na Mwandishi Wetu, Tanga

MBIO za kumsaka Meya wa Jiji la Tanga, zinazidi kupamba moto huku kukiwa na suala la udini likipenyezwa na  baadhi ya wagombea kuchafuliwa kwa tuhuma walizokuwa nazo wakiwa

KKKT yamtetea Askofu Malasusa.

Na Edmund Mihale.

KANISA la Kiinjili la Kilutheri, Dayosisi ya Mashariki na Pwani (KKKT-DMP) limesema kuwa tuhuma zinazotolewa katika vyombo vya habari dhidi ya dayosisi hiyo ni uzushi na chuki dhidi ya

Shahidi wa Mramba abanwa mahakamani.

Na Peter Mwenda.

SHAHIDI wa 13 katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili Waziri wa Zamani wa Fedha, Bw. Basil Mramba jana alipata wakati mgumu baada ya kubabaika mara kwa mara kujibu maswali ya

Serikali kuwajengea albino kituo Arusha .

Na Peter Mwenda.

WAZIRI Mkuu Bw. Mizengo Pinda ameahidi kujenga kituo kwa ajili ya kutoa elimu na matibabu wa ngozi watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) mkoani Arusha.

Kikwete kuzindua UDOM kesho.

Na Pendo Mtibuche, Dodoma.

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za uzinduzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kesho.Chuo hicho ambacho kilifunguliwa Septemba, 2007 kikitumia

Mamia wapoteza maisha katika msongamano Cambodia.

PHNOM PENH,Cambodia.

WAZIRI Mkuu wa Cambodia,Bw.Hun Sen amesema kuwa watu wapatao  345 wamepoteza maisha katika msongamano wakati wa maadhimisho ya sikukuu muhimu  katika mji mkuu wa

Nguvu za Marekani zaporomoka Irak.

BAGHDAD,Irak.

INARIPOTIWA kuwa makubaliano ya kugawana madaraka nchini Irak yanaashiria kusafiri kwa nguvu za ushawishi kutoka kwa Wamarekani kwenda kwa Wakurdi na Wairani

China,A.Kusini zaiwania Zimbabwe.

HARARE,Zimbabwe.

HUKU  upande mmoja China na Afrika Kusini zikiimarisha uhusiano wao, kwa upande mwingine nchi hizo zinaripotiwa kuwa zipo kwenye kinyang'anyiro cha kuidhibiti Zimbabwe kwa

Mwaikimba amkosha Poulsen.

*Aitungua Harambee Stars.

Na Zahoro Mlanzi

BAADA ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya taifa ya Kenya 'Harambee Stars', Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya

TFF yataja viingilio CECAFA Tusker Chalenji.

Na Elizabeth Mayemba

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza viingilio vya michuano ya Kombe la CECAFA Tusker Chalenji, inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi.

Ancelotti akana kuitema Chelsea.

LONDON, England

KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelotti amekana taarifa zinazodai kuwa bado anatafakari hatima yake, katika klabu hiyo ya Stamford Bridge.Kauli hiyo ya Ancelotti, imekuja baada ya mabingwa hao wa

Mancini: Sina presha Manchester City.

LONDON, England

KOCHA Roberto Mancini, amesema kazi yake katika timu ya Manchester City, haina kashikashi ikilinganishwa na alivyokuwa Inter Milan.Muitaliano huyo ndiye anayetarajia kuleta

23 November 2010

Wanaosaka uwaziri wamchelewesha JK.

*Sasa kutangaza baraza lake leo au kesho.
*Membe, Tibaijuka wagongana mambo ya nje.


Na Tumaini Makene.

WAKATI Watanzania wakiwa katika kimuhemuhe cha kusubiri baraza jipya la mawaziri, habari zimevuja kuwa mpaka jana ilikuwa imeshindikana kutangazwa kutokana na

Uamuzi wa Zitto wazua mjadala.

Na Mwandishi Wetu.

UAMUZI wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe wa kupingana na uamuzi wa chama chake ambacho kiliamua kwa kura wabunge wake watoke nje ya bunge wakati Rais Jakaya Kikwete akihutubia

Sitta: Namshukuru Mungu kwa yote.

*Waumini wa KKKT Kinondoni wabubujikwa machozi.

Na Mwandishi Wetu.

SPIKA mstaafu wa Bunge, Bw. Samuel Sitta amesema yote yaliyotokea juu yake anamwachia Mwenyezi Mungu na hakuna sababu ya kutafuta mlolongo mrefu.

Zain yabadili jina kuwa Airtel.

Na Tumaini Makene.

ILIYOKUWA Kampuni ya simu za mkononi ya Zain Afrika, 'imezikwa' rasmi ambapo kampuni mpya iitwayo Bharti Airtel imechukua nafasi yake na kuzindua nembo mpya, na

Akosa ubunge CHADEMA, atimkia NCCR.

Na Elisante Kitulo.

MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA, Bi. Leticia Mosore ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na kujiunga na chama cha NCCR-MAEGEUZI kwa madai ya kutoridhishwa na

Karume mgeni rasmi kumuenzi Nyerere Mzumbe.

Na Mwandishi Wetu, Morogoro.

CHUO Kikuu cha Mzumbe kimeandaa siku maalumu ya kesho  kwa ajili ya kumuenzi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kama sehemu ya kutambua mchango wake katika

Nguzo za umeme zachelewesha uwanja wa ndege.

Livinus Feruzi, Bukoba

SHIRIKA la umeme nchini (TANESCO) Mkoa wa Kagera limesema lipo tayari kuhamisha nguzo za umeme karibu na eneo la Uwanja wa Ndege mjini Bukoba baada ya kulipwa fidia ya

Ujerumani kusomesha watoto masikini.

Na Andrew Ignas, Dar es Salaam.

TAASISI  isiyo ya Kiserikali ya Ujerumani   ijulikanayo kwa jina la Pamoja kwanza imetenga zaidi ya sh. bilioni 1 kwa ajili kumalizia ujenzi wa shule ya watoto wasio na uwezo unaoendelea maeneo ya

UMAWADA kwawaka moto.

Na Anneth Kagenda,Dar es Salaam.

UMOJA wa Wafanyabiashara wenye Ulemavu Dar es Salaam (UWAWADA), umesema kuwa kamwe hautakubaliana na uongozi uliokuwepo madarakani kwa miaka mitano kuendelea

Mzambia wa Yanga atua nchini.

Na Elizabeth Mayemba

MSHAMBULIAJI raia wa Zambia, Davies Mwape ambaye Yanga inataka kumwongeza katika kikosi chake katika dirisha dogo la usajili ametua nchini kwa ajili kumalizana na

Ancelotti kutumia makinda kuikabili Zilina.

LONDON, England

KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelotti anatarajia kuwatumia chipukizi wake wakati timu hiyo itakapokuwa ikiumana na Zilina katika michuano ya Klabu Bingwa Ulaya, itakayofanyika

Tanzania ya 12 mashindano ya pool.

Na Amina Athumani

TIMU ya Taifa ya mchezo wa pool, imeshika nafasi ya 10 kati ya nchi 12, zilizoshiriki mashindano ya Dunia ya mchezo huo, yaliyomalizika Novemba 13, mwaka huu nchini Ufaransa.

Klabu Bingwa Ulaya kuendelea leo.

LONDON, England

MICHUANO ya Klabu Bingwa Ulaya, inaendelea leo katika viwanja mbalimbali kwa kuikutanisha miamba 12 kati ya 28, inayoshiriki michuano hiyo.Katika mechi za leo kila

22 November 2010

M'kiti CHADEMA Mbeya ajiuzulu.

*Akimbia tuhuma za kukihujumu chama kwenye uchaguzi.

Na Rashid Mkwinda, Mbeya.

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Mbeya, Bw. Sambwee Shitambala ametangaza kujiuzuru wadhifa huo ili kupisha uchunguzi dhidi

Zitto aeleza alivyotofautiana na wenzake.

Na Mwandishi Wetu.

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe amesema uamuzi wa kutoka nje ya bunge wakati Rais Jakaya Kikwete akihutubia ulikuwa wa chama uliofikiwa kwa kura lakini yeye

Kesi ya rada kunguruma kesho Uingereza.

Na Tumaini Makene.

KESI inayohusu kashfa maarufu ya ununuzi wa rada ya kijeshi iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania kutoka Kampuni ya Vifaa vya Kijeshi ya Uingereza (BAE) itaunguruma mahakamani

CHADEMA Kilimanjaro yaunga mkono wabunge wake.

Na Gift Mongi, Moshi.

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kilimanjaro kimetoa tamko la kuunga mkono kitendo cha wabunge wa chama hicho kutoka bungeni wakati

Nchimbi awashukuru Songea kumchagua.

Na Joseph Mwambije,Songea

Mbunge wa Jimbo la Songea  Mjini, Dkt. Emmanuel Nchimbi amewashukuru wananchi wa Jimbo la Songea kwa kumchagua kuwa mbunge wao na ameahidi kushirikiana nao

Bilal amwakilisha Kikwete Botswana.

Na Mwandishi Maalumu

VIONGOZI na Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika- SADC wamemaliza kikao chao cha siku moja mjini Gaborone Botswana

Diwani aomba ushirikiano Kinyelezi.

Na Mohamed Kazingumbe

DIWANI Mteule wa CCM, Kata ya Kinyelezi katika Halmashauri ya Ilala, Bi. Leah Mgitu ameomba ushirikiano wa karibu wa wapiga kura wake ili kufanikisha ahadi zake kwa wananchi.

Jiji la Mbeya kugawiwa vyandarua.

Na Esther Macha, Mbeya

KATA 36 za Jiji la Mbeya zimepatiwa vyandarua kwa ajili ya kujikinga na ugonjwa wa malaria ambavyo vitagawiwa kwa kila kaya.Akizungumza na mwandishi wa habari Kaimu Mratibu wa

Kili Stars kuikabili Kenya leo.

Na Zahoro Mlanzi

TIMU ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', leo itajitupa uwanjani kumenyana na Kenya 'Harambee Stars' katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaopigwa Uwanja wa

Gulam akiri riadha kuwa na mfumo mbovu.

Na Amina Athumani.

RAIS wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Rashid Gulam amekiri mfumo mbovu wa riadha uliopo kwa sasa na kwamba Tanzania, inaweza kuchukua miaka 10 na zaidi kutwaa medali

Tamasha la STR8 Muzik lawa kivutio Dodoma.

Na Mwandishi Wetu, Dodoma

MAMIA ya wanachuo kutoka vyuo vikuu na taasisi mbalimbali za elimu ya juu mkoani Dodoma, walifurika kwa wingi kuhudhuria tamasha la muziki la Str8Muzik Festival Inter-College

Ancelotti akisifu kikosi chake.

LONDON, England.

KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelotti amewapongeza wachezaji wake, licha ya timu hiyo kupata kipigo cha bao 1-0 bila kutarajia kutoka kwa timu ya Birmingham City.

Wakala amtabiria Lukaku kukipiga England.

BRUSSELS, Ubelgji

WAKALA wa mchezaji, Romelu Lukaku anaamini klabu za England ndizo zitakazoshinda katika mbio za kumwania kinda huyo wa timu ya  Anderlecht.Kwa sasa mchezaji huyo

21 November 2010

Majambazi yamiminia risasi basi, yaua abiria.

*Polisi watupa bunduki kwa kuogopa
*Basi laharibiwa, abiria 23 wajeruhiwa


Na. Prosper Kwigize, Kibondo.
MAJAMBAZI nane wakiwa na silaha za kivita wameshambulia na kuteka gari la abiria na kusababisha kifo cha abiria mmoja na wengine kujeruhiwa kabla ya kupora mali mbalimbali za

Mapambano yetu ya kudumu-Mbowe.

*Asisitiza katiba mpya, tume ya uchaguzi na ya uchunguzi

Na Tumaini Makene.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kuwa mapambano ya kudai katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na tume huru ya kuchunguza kilichojiri katika

Chanzo cha kupungua wapiga kura Nkenge chabainika.

Na Theonestina Juma, Missenyi.

BAADHI ya wakazi wa Jimbo la Nkenge Wilayani Missenyi Mkoani Kagera wakazi wengi wa eneo hilo hawakujitokeza kupiga kura Novemba 14, mwaka huu kutokana na ukosefu wa

Watatu wauawa kwa ujambazi.

Na Veronica Modest, Musoma 

WATU  watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wameuawa  na watu wenye hasira katika Kisiwa cha Nyasaungu Wilaya  ya Musoma Vijijini, mkoani Mara wakidaiwa kujiandaa kwenda

‘Afrika inashindwa kutumia raslimali zake, fursa zilizopo'.

Na Tumaini Makene.

NCHI za Afrika, Tanzania ikiwemo, hazijaweza kutumia raslimali nyingi zilizobarikiwa kuwa nazo pamoja na fursa nyingine zilizopo, kufanya mageuzi makubwa ya viwanda ili kubadilisha

Wadaiwa kuchanga fedha kumwangusha ngombea.

Na Benjamin Masese, Rorya

WAKATI mchakato wa kuwatafuta mameya na wenyeviti wa halmashauri mbalimbali ukianza nchini kote, baadhi ya watumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Rorya wanadaiwa kuchanga fedha kwa

Mgambo 714 wahitimu kumarisha ulinzi.

Na Mhaiki Andrew, Songea
 
WANAMGAMBO 714 mkoani Ruvuma wamehitimu mafunzo ya awali ya miezi  mitatu ya kijeshi katika masuala ya ulinzi wa nchi pamoja na usalama wa raia na mali zao kwa wilaya zote

Kwa hili CHADEMA wana hoja, mfumo wa uchaguzi unachefua .

Na Elisante Kitulo.

HATUA ya wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kondoka Bungeni wakati Rais Jakya Kikwete alipotoa hotuba ya kuzindua Bunge la 10 mjini Dodoma, imeibua

'Wabunge Chadema wamekosa uungwana'.

Na Andrew Ignas

MBUNGE wa Jimbo la Temeke kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Bw. Abbas Zuberi Mtemvu amelaani kitendo kilichofanywa na wabunge wa Chama cha Maendeleo (CHADEMA) wakiongoza

Jinsi ya kumdhibiti mpenzi anayepiga 'mizinga' .

Na Shangazi Glady

NI Jumapili nyingine nipo nanyi wasomaji wa safu hii kwa ajili ya kuendelea kuelimisha mambo mbalimbali yanayohusu mahaba.Leo nitazungumzia kuhusu  tabia za baadhi ya watu walio katika uhusiano ya

Jimbo Kuu Katoliki Mbinga na mkakati wa kutokomeza malaria.

*Wajerumani wajenga kituo cha kutoa elimu
*Kasi ya maambukizi ya ugonjwa yapungua
*Hospitali ya Lituhi yaomba wataalamu


Na Kassian Nyandindi
UGONJWA wa malaria ni ugonjwa tishio kwa maisha ya wananchi wengi duniani. Tatizo hili ni kubwa kwa familia maskini kuliko kundi lingine la watu.

19 November 2010

Pinda aapa, CHADEMA wasusa.

Na John Daniel, Dodoma

RAIS Jakaya Kikwete, amemwapisha Waziri Mkuu Mizengo pinda kwa kumkabidhi rasmi Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ikulu ya Chamwino mjini hapa tayari kuanza

Tatizo la maji Mwananyamala lapata dawa.

Na Athman Hamza

TATIZO la upungufu wa maji katika Hospitali ya Mwananyamala litabaki kuwa historia baada ya Manispaa ya Kinondoni inayoimiliki kuchukua hatua kuepukana nalo.

Serikali yakwama kufunga ushahidi kesi ya EPA.

Na Grace Michael

UPANDE wa Mashtaka katika kesi ya wizi wa mamilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje (EPA), umeshindwa kufunga ushahidi wake kutokana na jopo la mahakimu

Ujenzi wa nyumba kwa siku moja wazinduliwa.

Na Peter Mwenda

TATIZO sugu la ukosefu wa makazi nchini limepata ufumbuzi baada ya kampuni ya Moladi Framework ya Afrika Kusini kuzindua teklonojia mpya ya ujenzi wa nyumba za

Wanafunzi wataka vita ya ufisadi CCM.

Na Peter Saramba, Dodoma

UMOJA wa wanafunzi wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma umewataka wabunge vijana wa chama hicho kuongeza kasi na nguvu ya

Wasomi watofautiana CHADEMA kumkataa Kikwete.

Na Gladness Mboma

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutomtambua Rais Jakaya Kikwete kama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limechukua sura mpya baada ya

AMI yazindua kampeni upimaji kisukari.

Na Elisante Kitulo

KATIKA kuadhimisha mwezi wa kuhamasisha ulimwengu kuhusu ugonjwa wa kisukari, Hospitali ya AMI imeanzisha kampeni ya kushawishi wananchi kujenga utaratibu wa

Zantel yafungua duka la Highlife.

Na Agnes Mwaijega, Dar es Salaam

KAMPUNI ya mawasiliano Zantel imefungua duka kwa wateja wanaotumia huduma ya Highlife jijini Dar es Saalam.Akizungumza katika sherehe za ufunguzi huo Dar es Saalam jana

Nchunga amwalika Manji kikaoni.

*Manji ataka wadhamini waongezeke

Na Elizabeth Mayemba
UONGOZI wa Yanga umepanga kumwalika Mdhamini wa klabu hiyo, Yusuf Manji katika kikao cha Kamati ya Utendaji itakayokutana Novemba 23, mwaka huu ili

Wachezaji Kili Stars kupewa vyandarua.

Na Mwandishi Wetu

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania limepanga kugawa chandarua kwa kila mchezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania Bara ili wavitumie wakiwa kambini wakati

Argentina yailaza Brazil 1-0.

DOHA, Falme za Kiarabu

WAKATI Argentina iliilaza Brazil bao 1-0, Uingereza jana ilipata kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Ufaransa ikiwa ni miongoni mwa mechi za kimataifa za kirafiki za

Azam yatamba kuikomalia Simba kesho.

Na Shaban Mbegu

KOCHA Msaidizi wa timu ya Azam FC, Habibu Kondo amesema kikosi chake kinatarajia kutoa upinzani mkali katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa kesho

Defoe aanza mazoezi na Tottenham.

LONDON, England

MSHAMBULIAJI wa Tottenham Hotspur, Jermain Defoe ameanza mazoezi ikiwa ni karibu mwezi mmoja, kabla ya wakati aliotarajiwa kurejea uwanjani.

Ferdinandi awato hofu mashabiki Man Utd.

LONDON,England

MCHEZAJI Rio Ferdinand amesema kwamba kupumzishwa katika mechi ya  England  dhidi ya Ufaransa alikuwa siyo majeruhi bali ilikuwa ni kwa ajili ya tahadhari.

18 November 2010

Msimamo CHADEMA wamtikisa Makinda.

*Ni wakutomtambua Rais Kikwete.
*Awaita Mbowe, Zitto wateta.
 

Na John Daniel, Dodoma.
SPIKA wa Bunge Bi. Anne Makinda, amewashauri wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufuta msimamo wao wa kutoitambua Serikali na

Bilal kushughulikia mahakama ya kadhi.

Na Elisante Kitulo

WAUMINI wa dini ya kiislamu nchini jana waliungana na wenzao duniani kusherehekea sikukuu ya Idd el Hajj, ibada ambayo kitaifa iliswaliwa katika Msikiti wa

Kikwete awateua Nahodha, Meghji wabunge.

Na Mwandishi Wetu

RAIS Jakaya Kikwete ameteua wanasiasa watatu kutoka Zanzibar kuwa wabunge, ikiwa ni hatua ya kujaza nafasi 10 alizopewa kwa mujibu wa Ibara ya 66 (1) (e) ya Katiba ya Jamhuri ya

Auawa kwa kumbaka mpwa wake.

Na Theonestina Juma, Bukoba

WANANCHI wenye hasira wamemuua Bw. Charle Mushozi, maarufu kwa  jina la Kalwani (25-30) baada ya kumfumania nyumbani kwao akimbaka mpwaye mwenye umri wa

Watanzania waombwa kujitolea huduma za afya.

Na Mwandishi Wetu

KITENGO cha Huduma za Afya cha Agha Khan kimewaomba Watanzania wenye utaalamu wa afya wajenge moyo wa kujitolea ili kuweza kuwafikia watu wengi zaidi kwa

Wananchi wafurahia pinda kurejeshwa.

Na Grace Michael

BAADHI ya wananchi wamempongeza Waziri Mkuu Bw. Mizengo Pinda kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo, huku wakibainisha kuwa na imani naye kutokana na namna

Wazalishaji wa nguo kuwpewa mafunzo.

Na Adam Hussein

WIZARA ya Viwanda, Biashara na Masoko kwa kushirikiana na Serikali ya Japani wameanzisha mafunzo ya vitendo kuhusu mbinu za uendeshaji na usimamizi wa biashara za viwanda

Sasatel yapunguza gharama za Internet.

Na Agnes Mwaijega, Dar es Salaam

KAMPUNI ya  mawasiliano SASATEL imeshusha viwango vya gharama huduma ya mtandao wa internet kwa wateja wake.Akizungumza Dar es Saalam juzi Mkurungenzi wa

Yanga yatakiwa kutafuta mkaguzi.

Na Elizabeth Mayemba

UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umetakiwa kumtafuta mkaguzi wa mahesabu kwa ajili ya kukagua mahesabu kwa kipindi cha miezi mitatu, tangu uongozi mpya uingie

Simba yaanza kuivutia kasi Azam.

Na Zahoro Mlanzi

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wameanza maandalizi ya mchezo wao wa keshokutwa dhidi ya Azam FC, ambapo leo asubuhi wamefanya mazoezi

Waandishi watakiwa kuwa na huruma.

Na Mwandishi Wetu

WAANDISHI wa Habari wameobwa kuwa na huruma na kuacha kuwanyanyapaa wanamichezo wanaoshindwa kufanya vizuri katika mashindano ya kimataifa kwa

Mwaikimba atamba kufanya kweli Kili Stars.

Na Shaban Mbegu

MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', Gaudence Mwaikimba amesema atautumia mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya

Twanga Pepeta mbioni kutoa albamu mpya.

Na Mwali Ibrahim

BENDI ya muziki wa dansi ya African Stars 'Twanga Pepeta', imekamilisha nyimbo tatu zitakazokuwepo katika albamu ya 11, inayotarajiwa kuzinduliwa hivi

Jay-Z akana Beyonce kuwa mjamzito

NEW YORK, Marekani

MWANAMUZIKI nguli nchini hapa, Jay-Z amekana tetesi za kwamba mkewe Beyonce ni mjamzito.Hatua hiyo imekuja baada ya tetesi kusambaa tangu mwezi uliopita,  zikidai

DRC yakaa pembeni kuandaa Mataifa ya Afrika

CAIRO, Misri

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limesema nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), imejitoa katika kinyang'anyiro cha kwania kuandaa fainali za Matifa ya

16 November 2010

Slaa amkataa Kikwete.

*Asema urais wake ulitokana na matokeo yasio halali
*Mbowe asisitiza watadai haki kwa misingi ya amani
*Adai wanajipanga kutoa vielelezo vya wizi wa kura
*CHADEMA kutokubali uteuzi wowote wa Rais Kikwete


Na John Daniel, Dodoma.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeseama hakitambui matokeo ya urais wa uchaguzi mkuu uliopita pamoja na

Sikutumia pesa kutafuta uspika- Makinda.

Na John Daniel, Dodoma

SPIKA wa Bunge, Bi. Anne Makinda amesema hakutumia hata senti moja kutafuta nafasi hiyo wala kumpa mtu maji ya kunywa ili kumsaidia na hivyo kuahidi kuwa

CCM, CUF wapata majimbo matatu, CHADEMA moja.

Na Waandishi Wetu

MATOKEO ya uchaguzi katika majimbo saba ambayo uchaguzi uliahirishwa yametangazwa na vyama vya CCM na CUF kuibuka ma matatu kila moja na moja kubaki mikononi mwa

Hatutakubali kuteuliwa na Kikwete-CHADEMA.

Na Peter Saramba, Dodoma

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa msimamo kuwa hakitakubali kushirikishwa kwenye baraza la mawaziri litakaloundwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata

Mbatia wahi mahakamani-Mdee.

Na John Daniel, Dodoma

MBUNGE wa Kawe kupitia Chama cha Dermokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bi. Halima Mdee amevunja ukimya na kumtaka aliyekuwa mgombea ubunge wa

CCM yakanusha mbunge kukimbia jimbo

Na Suleiman Abeid, Shinyanga
 
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Shinyanga mjini kimekanusha uvumi kuwa mbunge aliyechaguliwa hivi karibuni katika Jimbo la Shinyanga

Katibu CCM Babati afariki dunia.

Na Jamillah Daffo, Babati

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara kimepata pigo kwa kufiwa na Katibu wake wa Wilaya ya Babati,  Bi. Tuli Mwang’amba anayeaminika alifanikisha

Wanne watimuliwa CCM Bukoba kwa usaliti.

Na Livinus Feruzi, Bukoba

SIKU chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, wanachama wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Bilele, Manispaa ya Bukoba

Yanga yamrudisha Mbegu kundini.

Na Elizabeth Mayemba

KAMATI ya Nidhamu ya Yanga, imemsamehe mchezaji wake Bakari Mbegu, aliyesimamishwa kwa muda na uongozi huo kwa utovu wa nidhamu.

Talis bingwa mpya wa Muungano.

Na Amina Athumani

KLABU za kuogelea za Tanzania Bara, zimeendelea kushikilia rekodi za ubingwa wa Muungano za mchezo huo, ambapo klabu ya Talis ya Dar es Salaam juzi imetawazwa kuwa

Kipingu ampa changamoto Jaji Mkuu.

Na Amina Athumani

MWENYEKITI wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Idd Kipingu amemtaka mlezi wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), ambaye pia ni Jaji Mkuu

Wajapan kutoa mafunzo ya judo leo.

Na Mwali Ibrahim

WACHEZAJI na viongozi wa judo, leo watahudhuria semina ya mafunzo ya mchezo huo, iliyoandaliwa na ubalozi wa Japan Tanzania ambayo itatolewa na wakufunzi kutoka

Wajapan kutoa mafunzo ya judo leo.

Na Mwali Ibrahim

WACHEZAJI na viongozi wa judo, leo watahudhuria semina ya mafunzo ya mchezo huo, iliyoandaliwa na ubalozi wa Japan Tanzania ambayo itatolewa na wakufunzi

Vyuo vikuu zaidi ya 20 kushiriki tamasha.

Na Addolph Bruno

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia kinywaji chake cha Grand Malt imeandaa tamasha maalumu kwa vyuo vikuu, litakalofanyika Jumamosi katika viwanja vya

15 November 2010

TETESI BARAZA LA MAWAZIRI:Lowassa atajwa kulilia Tamisemi.

*Yeye asema tuyaache hayo, ni uvumi usio na msingi.

Na Tumaini Makene.
WAKATI Watanzania wakisubiri kwa hamu Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete litakalomsaidia kuongoza serikali katika ngwe yake ya mwisho, habari zimevuja zikimhusisha Mbunge wa

Uchaguzi wa amani, watu wachache Mpanda.

Na Juddy Ngonyani, Mpanda

UPIGAJI wa kura katika vituo 202 vya majimbo ya Mpanda Mjini na Mpanda Vijijini mkoani Rukwa limefanyika katika hali ya utulivu huku baadhi ya vituo kukiwa na

Ndugai, Akoonay, Mnyaa kuvaana unaibu spika.

Na John Daniel, Dodoma

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemchagua Mbunge wa Kongwa, Bw. Job Ndugai, kugombea nafasi ya unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa

Mghana abambwa na kilo 13 za cocain.

Na Said Njuki, Arusha

SIKU moja baada ya Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Saidi Mwema kupangua baadhi ya Makamanda wa Jeshi, Kitengo cha Kudhibiti Dawa za Kulevya Tanzania, kwa

Wenye ulemavu wafurahia kupata wabunge.

Na Rabia Bakari

SHIRIKISHO la Vyama vya Watu wenye Ulemavu nchini (SHIVYAWATA), limevipongeza vyama vya siasa kwa kupata wabunge wenye ulemavu katika Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania la

Kikwete atakiwa kuondoa makundi CCM.

Na Faida Muyomba, Geita

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Rais Jakaya Kikwete ameshauriwa kuondoa makundi ndani ya chama hicho kwa kuwatimua wanaokisaliti vinginevyo kitamfia

'Makinda amechaguliwa kulisafisha bunge'

Na Charles Mwakipesile, Mbeya

KATIBU mkuu wa Kanisa la Moravian Tanzania, Jimbo la Kusini Magharibi, Mchungaji Daud Nsweve amesema kuwa spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa

Mbatia kumpinga Mdee mahakamani.

Na Rabia Bakari

CHAMA cha NCCR-Mageuzi kinakusudia kumburuta Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake nchini (TAMWA), Bi. Ananilea Nkya

'Wazazi msiwe mawakala wa kuuza watoto'

Na Jumbe Ismailly,  Singida 
 
WAZAZI  na  walezi wa wanafunzi  katika Kata ya Unyamikumbi, Manispaa ya Singida wametahadharishwa kuachana na tabia ya kugeuzwa kuwa mawakala wa kupeleka kwenye

Yanga kuanza kambi Novemba 26.

*Mbivu na mbichi ya Asamoah leo.

Na Zahoro Mlanzi
KLABU ya Yanga, inatarajia kuanza maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu bara na mashindano ya Kimataifa Novemba 26, mwaka huu jijini Dar es Salaam.Mbali na

TP Mazembe Mabingwa Afrika tena.

TUNIS, Tunisia

KLABU ya TP Mazembe, imeteteza taji lake la ubingwa wa Afrika na kuifanya ilitwae kwa mara ya nne.Timu hiyo ya Congo, iliweza kuibana Esperance ikiwa nyumbani

Simba kumjadili Patrick Phiri leo.

Na Zahoro Mlanzi

KAMATI ya Ufundi ya Klabu ya Simba, inatarajia kukutana leo jioni kujadili ripoti ya benchi la ufundi iliyoachwa na Kocha Mkuu, Patrick Phiri.Akizungumza

Mvua yaahirisha michuano ya Muungano.

Na Amina Athumani

MVUA kubwa iliyoambatana na radi iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imesababisha kusimama kwa mashindano ya muungano kuogelea, yaliyoanza

Wizara ya Habari yatupiwa lawama.

Na Heri Shaaban

WIZARA ya Habari, Utamaduni na Michezo imeelezwa kuwa ndiyo chanzo cha kushuka kwa kiwango cha michezo katika shule za msingi nchini.Hayo yalisemwa

12 November 2010

Bundi anyemelea upinzani bungeni.

*Waunda kambi mbili tofauti, moja kuongozwa na Mbowe, nyingine Hamad Rashid

Peter Saramba na Charles Mwasyeba.
VYAMA vya upinzani vimeunda kambi mbili za upinzani katika Bunge la Jamhuri la Muungano baada Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuunda kambi yake ikijitegemea kutokana na

Makinda, Marando nani zaidi.

Na Tumaini Makene

NCHI bado iko kwenye msimu wa uchaguzi na uteuzi. Baada ya takribani juma moja na nusu kupita tangu uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, umeingia mpambano wa

Sitta kutupwa kwakera wengi.

Tumaini Makene na Gladness Mboma

WAKATI kamati maalumu ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tayari imempitisha kada wake Bi. Anne Makinda kuwa mgombea uspika katika uchaguzi utakaofanyika

Picha za CCTV zazua ubishi kesi ya Muro.

Na Rabia Bakari

PANDE mbili katika kesi ya kuomba rushwa ya sh. mil.10 inayomkabili Mtangazaji wa kituo cha televisheni cha TBC1, Bw. Jerry Muro na wenzake wawili zimevutana kuhusu

Ushindi wa Serukamba kupingwa kortini.

Na Elisante Kitulo

ALIYEKUWA mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Ali Mleh ametangaza dhamira ya

Wanne wafariki dunia Rukwa.

Na Sammy Kisika, Sumbawanga

WATU wanne wamefariki dunia kwa kuawa katika mazingira matatu tofauti mkoani Rukwa likiwamo la mtu mmoja kumchoma kisu cha tumboni rafiki yake baada ya

Mgaya ataka wafanyakazi kuishtaki serikali.

Cresensia Kapinga na Joseph Mwambije, Songea

NAIBU Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya wa Wafanyakazi (TUCTA) nchini, Bw. Nicholas Mgaya amesema wanapanga kuifikisha serikali mahakamani kwa

Mancini akana kutafuta sare.

LONDON, England

KOCHA Roberto Mancini, amesema timu yake ya Manchester City ilikuwa haichezi kwa ajili ya kutafuta sare katika mchezo wao na wapinzani wao wakuu

Drogba aitwa kikosi cha Ivory Coast .

ABIDJAN, Ivory Coast

MSHAMBULIAJI wa Chelsea, Didier Drogba ametangazwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Ivory Coast kitakachowakabili Poland katika mechi ya kirafiki Novemba 17

Kashfa zamponza kipa Dalei wa China.

GUANGZHOU, China

KIPA wa China, Wang Dalei ambaye aliwatukana mashabiki kwa kuwaita wanaharamu na kundi la mbwa, ameomba radhi na amesimamishwa katika timu ya

AC Milan yakamata usukani Italia.

ROME, Italia

KLABU ya AC Milan, imepanda kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu Italia, Serie A baada ya juzi kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Palermo, katika

Wachezaji Yanga wampa 'dole' Manji.

Na Elizabeth Mayemba

WACHEZAJI wa Yanga, wamempongeza Mdhamini Mkuu wa klabu hiyo, Yusuf Manji kwa hatua yake ya kuwaita na kuwauliza matatizo yanayowakabili ikiwa

11 November 2010

Samuel Sitta atemwa rasmi.

Anna Makinda, Anna Abdallah, Kate Kamba wapeta
Makamba asema lengo ni mwanamke aongoze bunge


Emmanuel Kwitema na Tumaini Makene
ULE mkakati uliokuwa ukisemwa muda mrefu wa kutaka kumng'oa Spika wa Bunge, Bw. Samuel Sitta umepata baraka za

Uingereza sasa yairuka Takukuru kuhusu Chenge.

Yasema kashfa ya rada haijafika mwisho
*Kesi yake kuanza kunguruma Novemba 23


Na Tumaini Makene
SAKATA la tuhuma za mlungula linazomkabili aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Bw. Andrew Chenge juu ya ununuzi wa rada linaonekana

Ruwa'ichi ateuliwa kuwa Askofu Mkuu Mwanza.

Na Elisante Kitulo

BABA Mtakatifu Benedict XVI amemteua Mhashamu Askofu Jude Ruwa'ichi kuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Mwanza.Askofu Ruwa'ichi, alikuwa Askofu wa

Katibu asaini matokeo badala ya wagombea.

Na Eliasa Ally Njombe

ALIYEKUWA mgombea ubunge Jimbo la Njombe Kaskazini Kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Alatanga Nyagawa

NHC kujenga nyumba milioni 3.

Na Jovin Mihambi, Mwanza

SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limepanga kuwekeza zaidi katika ujenzi wa nyumba milioni tatu ili kukidhi mahitaji ya wapangaji wake wa sasa na

Biashara ya chuma chakavu yaitesa TANESCO.

Na Patrick Mabula, Kahama

UONGOZI wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Tawi la Kahama limeiomba serikali wilayani hapa kuingilia kati uharibifu wa miundombinu ya nguzo za

Salamu zamiminika kumpongeza Shein.

Na Mwandishi Wetu

SALAMU za pongezi kutoka ndani na nje ya Tanzania zinaendelea kumiminika kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein kwa

Asamoah Gyan azidi kutakata Sunderland.

LONDON, England

MSHAMBULIAJI Asamoah Gyan, juzi aliibuka shujaa baada ya kuisawazishia bao timu yake ya Sunderland na kuifanya kwenda sare ya bao 1-1 dhidi ya Tottenham

Kocha mpya Azam hadharani Jumamosi.

Na Addolph Bruno

UONGOZI wa Klabu ya Azam, unatarajia kutangaza kocha mpya wa timu yao keshokutwa baada ya Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo kuyafanyia kazi majina ya

Njia za Vodacom Cycle zatangazwa.

Na Mwandishi Wetu

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom ambao ni waandaaji wa 'Vodacom Mwanza Cycle Challenge' jana wametangaza njia zitakazotumika kwenye

Usajili wa Asamoah watanda giza.

Na Elizabeth Mayemba

MCHEZAJI raia wa Ghana ambaye alikuja nchini kuichezea Yanga, Keneth Asamoah usajili wake bado umetanda giza kutokana na uongozi wa Yanga, hadi jana ulikuwa

10 November 2010

Nafasi ya Pinda yazua hofu mpya.

Vigogo CCM waanza kuimezea mate, wajipanga.
Kikwete kuunda baraza 'dogo' la mawaziri.

Na Tumaini Makene
WAKATI duru za siasa za Tanzania zikielekezwa mjini Dodoma ambako wiki hii itajulikana mbivu na mbichi juu ya nani atakuwa spika, naibu wake na waziri mkuu, wachambuzi wa

Sitta kuigharimu CCM 2015.

Na John Daniel

MCHUANO wa nafasi ya uspika ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), umezidi kufichua mengi baada ya baadhi ya wabunge na wanazuoni wa chama hicho kutoboa siri kuwa kauli za

Maalim seif, Balozi Idd makamu wa Rais Zanzibar.

Na Ali Suleiman na Tumaini Makene.

RAIS wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa makamu wake wawili, ambapo amemteua Bw. Seif Sharif Hamad kuwa makamu wa kwanza wa Rais na

Shibuba ataka polisi kuharakisha upelelezi.

Na Suleiman Abeid, Shinyanga

MBUNGE mteule katika Jimbo la Maswa Magharibi mkoani Shinyanga kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. John Shibuda amelitaka

Kificho arejeshwa uspika Zanzibar.

Na Mwajuma Juma, Zanzibar

WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, jana walimrejesha tena Bw. Pandu Ameir Kificho (CCM), kuwa Spika kwa kipindi cha miaka mitano ijayo, katika uchaguzi

Akina Seif waapishwa Zanzibar.

Na Ali Suleiman, Zanzibar

MAKAMU wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad na Makamu wa Pili, Balozi Seif Ali Iddi wamekula kiapo cha utii na uaminifu cha kuitumikia Zanzibar

Kayuni ajichanganya kwa Kaseja.

Na Mwandishi Wetu

SAKATA la kipa wa timu ya Simba, Juma Kaseja limezidi kuchukua sura mpya baada ya kubainika kwamba Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),

Poulsen amkumbuka Mwaikimba Stars.

* Awatema Mgosi na Tegete

Na Elizabeth Mayemba.
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' Jan Paulsen ameteua kikosi cha wachezaji 22 kwa ajili ya michuano ya Kombe la

Tamsha la Str8 Muzik kufanyika mikoa mitatu.

Na Mwandishi Wetu

STR8 Muzik imerudi tena mwaka huu huku wasanii maarufu Afrika Mashariki na wa kimataifa wakitarajiwa kutumbuiza mashabiki wa muziki nchini hususan wanafunzi wa

Majimaji kusajili washambuliaji watano .

Na Addolph Bruno

KOCHA Mkuu wa timu ya Majimaji, Peter Mhina amesema baada ya kumaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu kwa matokeo mabaya, anatarajia kusajili wachezaji watano

09 November 2010

Shein ateua wanane baraza la wawakilishi.

Na Ali  Suleiman, Zanzibar

RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein amewateua watu wanane kuwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, wakiwamo manaibu mawaziri watatu wa serikali iliyopita ya

Ngulume atakiwa kuwasilisha nyaraka za rufaa.

Na Rabia Bakari

SERIKALI imemtaka aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Bi. Hawa Ngulume kuwasilisha nyaraka za rufaa kutoka kwa madaktari, ili Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii iweze

CCM Musoma wapiga waandishi wa habari.

Benjamin Masese na Veronica Modest

SIKU chache baada ya kuapishwa Rais Jakaya Kikwete na kusema kuwa muda wa malumbanon umekwisha na kuwataka  waandishi wa habari nchini kutibu majeraha yatokanayo

Hukumu ya wastaafu EAC leo.

Na Gladness Mboma

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania leo itatoa hukumu kuhusiana na hatima ya mafao ya Wazee wa Afrika Mashariki ambayo wameyasotea kwa muda mrefu.

CHADEMA yaalika wanaotaka uspika.

Na Shukrani Kawogo

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wanachama wake wenye nia ya kuomba nafasi ya spika katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mfungwa adaiwa kumlawiti wanafunzi.

Na Daud Magesa, Mwanza

MFUNGWA wa Gereza la Butimba mkoani Mwanza ambaye hajatambuliwa jina lake anatuhumiwa kumlawiti  mwanafunzi wa darasa la kwanza wa Shule ya

Njoolay atuma rambirambi kwa waliokufa maji.

Na Juddy Ngonyani, Sumbawanga

MKUU wa Mkoa  wa Rukwa, Bw. Daniel ole Njoolay ametuma salamu za rambirambi kwa familia za watu waliokufa na wale zaidi ya kumi wanaohofiwa kufa

Manji ateta na wachezaji Yanga.

Na Elizabeth Mayemba

MDHAMINI Mkuu wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji jana alikuwa na wachezaji wa timu hiyo, kupanga mikakati ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara

Aliyeokolewa mgodini ashiriki Marathon.

NEWYORK, Marekani

MCHIMBA madini raia wa Chile, ambaye alikwama chini ya mgodi kwa siku kadhaa akisubiri kuokolewa, Edison Pena, amefanikiwa kumaliza mbio za 

Ghana yatoa watatu tuzo ya mchezaji bora Afrika.

CAIRO, Misri

WACHEZAJI watatu raia wa Ghana, akiwemo mshambuliaji wa timu ya Sunderland, Asamoah Gyan wametajwa kwenye orodha ya wachezaji

Azam FC kumjadili Kocha ajaye.

Na Addolph Bruno

BODI ya Wakurugenzi ya Azam FC, inatarajia kukutana leo Dar es Salaam kujadili masuala mbalimbali, ambayo yatawawezesha kumpata kocha mpya wa timu hiyo.

08 November 2010

Chenge amvaa Spika Sitta.

*Adai amejenga bunge la chuki, husuda, uzushi, kutoaminiana
*Adai aliliongoza bunge kwa nia ya kujitafutia umaarufu
*Asema bunge lililopita lilijaa majeruhi, yeye anakwenda kutibu
*Sitta asema hana cha kusema, wananchi wanajua ukweli wataamua


Na Tumaini Makene
MBUNGE mteule wa Jimbo la Bariadi Magharibi kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Andrew Chenge amemshambulia

Watano wafa ajali ya boti.

Na Sammy Kisika, Sumbawanga

WATU watano wakiwemo watoto wanne wamekufa na wengine zaidi ya kumi wakihofiwa kufa maji ya baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupasuka na kuzama katika

Wanandoa wauawa kinyama Kahama.

Na Patrick Mabula, Kahama

WANANDOA wawili wameuawa kinyama kwa kucharangwa mapanga na watu wasiojulikana katika kijiji cha Segese, Kata ya Segese wilayani Kahama.

ZEC yateua 20 viti maalumu Zanzibar.

Na Mwajuma Juma, Zanzibar

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imefanya uteuzi wa wajumbe 20 wa Baraza la Wawakilishi kupitia viti maalumu, ambao wataingia katika baraza hilo linalotarajiwa kuanza

Kikwete atakiwa kuwatosa waliomwangusha.

Na Gladness Mboma

RAIS Jakaya Kikwete ametakiwa kuangalia uwezekano wa kupunguza ukubwa wa Serikali yake kwa kuweka watu makini, wazalendo na wachapa kazi na

Tunataka ahadi zitekelezwe-Wananchi.

Na Eliasa Ally,


WANANCHI wa Mkoa wa Iringa wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi zake kama alivyoahidi wakati akisaka kura zao.

Meya, naibu wake waangushwa Shinyanga.

Na Suleiman Abeid, Shinyanga
 
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini kimepata pigo baada ya wagombea wake sita katika viti vya udiwani akiwemo aliyekuwa Meya na

Simba yang'ang'ani kileleni.

*Yanga yaiua Toto African
*Ngassa awa shujaa wa Azam FC

Na Mhaiki Endrew, Songea
MABINGWA soka nchini, Simba jana waliendelea kung'ang'ania kileleni baada ya kuifunga Majimaji mabao 2-0 katika mechi ya

Newcastle yaifumua Arsenal.

LONDON, Uingereza

BAO pekee lililofungwa kwa kichwa na Andy Carroll, kupindi cha kwanza lilitosha kuwafanya Arsenal, kulala nyumbani katika Uwanja wa Emirates dhidi ya

07 November 2010

JK aapishwa rasmi.

*Asema sasa kazi ni moja tu, kutekeleza ahadi
*Akiri wapinzani wameipa changamoto CCM
*Kutoa mwelekeo, dira ya Serikali yake Bungeni
*Aagiza vyombo vya usalama kutoruhusu machafuko

Na John Daniel 
JAJI Mkuu wa Tanzania Augustino Ramadhani, amehitimisha mchakato wa uchaguzi kwa kumwapisha rasmi Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake

Odinga atetea mawaziri wanaotajwa kesi za 'ufisadi'.

NAIROBI,Kenya

WAZIRI Mkuu wa Kenya,Bw. Raila Odinga amewatetea mawaziri kutoka ndani ya Chama cha  ODM ambao wanatajwa katika kesi za rushwa akisema kwamba

Rais Museveni aonya wanaoeneza uongo.

KAMPALA,Uganda

RAIS wa Uganda,Bw. Yoweri Museveni amewaonya wapinzani kwa kueneza uogo kwa wapiga kura akisema kuwa wanaweza kuzuiwa kugombea ama

Mkakati waundwa kummaliza Sitta.

Na John Daniel  

KUNDI la watu wanaodaiwa kuwa ni mahasimu wa kisiasa linadaiwa kuanza mikakati mizito kuhakikisha linamwangusha Spika wa Bunge anayetea nafasi yake

Waislam walalamikia mabucha ya 'kitimoto'.

Na Joseph Mwambije, Songea

WAISLAM wanaofanya biashara zao kwenye soko la Mazao Songea (SODECO)  Mkoani Ruvuma wamelalamikia kuwepo kwa mabucha ya kuuza

CCM Arusha yazuia vijana wake kuandamana.

Na Queen Lema, Arusha

UONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha umepinga na kulaani maandamano
yanayodaiwa kupangwa na baadhi ya vijana wa

Meya, madiwani watano waangushwa Shinyanga.

Na Suleiman Abeid,  Shinyanga
 
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga mjini kimepata pigo baada ya wagombea wake sita katika viti vya udiwani akiwemo aliyekuwa

Mtoto auawa kikatili.

Na Mwandishi Wetu,  Shinyanga
 
MWANAFUNZI wa Darasa la Kwanza katika Shule ya Msingi Bukondamoyo wilayani Kahama mkoani Shinyanga ameuawa kikatili baada ya kupigwa na kitu

Yanga waishangaa Kamati ya Nidhamu TFF.

Na Mwandishi Wetu

UONGOZI wa klabu ya Yanga umeshangazwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kushindwa kumchukulia hatua za kinidhamu kiongozi wa

Pool Taifa yaenda Ufaransa.

Na Addolph Bruno

TIMU ya taifa ya pool imeondoka jana kwenda nchini Ufaransa kushiriki mashindano ya dunia ya mchezo huo yatakayoanza kuchezwa kesho mpaka Novemba 13

Liverpool, Chelsea hatari tupu leo.

LIVERPOOL, England
MACHO ya mashabiki wa soka nchini Uingereza, yameelekezwa katika mechi ya Ligi Kuu nchini humo kati  Liverpool na Chelsea, itakayochezwa katika Uwanja wa Anfield

Mjomba Band kwenda Uholanzi.

Na Tumaini Maduhu

BENDI ya Mjomba inayomilikiwa na Mrisho Mpoto, inarajiwa kufanya ziara nchini Uholanzi kwa ajili ya kujitangaza katika soko la kimataifa hivi karibuni.

Waziri, Manoti kuzichapa leo.

Na Addolph Bruno

MABONDIA Njiri Waziri na William Manoti, leo watapigana kuwania ubingwa wa ngumi Mkoa wa Dar es Salaam, katika ukumbi wa Southern Park

05 November 2010

Usalama wa Taifa wamjibu Dkt. Slaa.

* Wasema madai yake ya uongo, yanalenga kuvuruga amani
* Rostam ajitetea tuhuma za kupanga uchakachuaji kura
* Yeye ataka wasijibu kisiasa bali wafanyie kazi madai

Grace Michael na Tumaini Makene

IDARA ya Usalama wa Taifa imejitokeza kujibu tuhuma mbalimbali zinazotolewa na mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),

Watano wachukua fomu kuwania uspika.

Na John Daniel

KINYANG'ANYIRO cha kuwania nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania kimeshika kasi baada ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na

TACCEO yataja kasoro uchaguzi mkuu.

Na Tumaini Makene

KASORO mbalimbali zilizojitokeza katika uchaguzi mkuu, ikiwemo muundo mbaya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na matumizi ya

Kortini kwa tuhuma za kujeruhi .

Na Yvonne Mussa

MKAZI wa Tandale, Bw. Michael Edward (28) amefikishwa katika Mahakama ya Ilala kwa tuhuma za kumjeruhi, Bw. Ally Abdallah kwa kumpiga na jiwe kwenye

Simba kujenga uwanja wa Kisasa.

Na Zahoro Mlanzi

KLABU ya Simba inakaribia kujenga Uwanja wa kisasa, utakaochukua miezi 24 katika eneo la Bunju jijini Dar es Salaam utakaochukua watu 30,000.

Twiga Stars yale yale.

Na Mwandishi Wetu

WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wanawake, Twiga Stars jana ilifungwa mabao mawili 3-2 na Mali katika mchezo

Vodacom yatangaza zawadi mbio za baiskeli.

Na Amina Athumani



KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacoma jana imetangaza zawadi za washindi wa mbio za baiskeli za Vodacom Mwanza Cycle Challange ambapo

Watatu gofu kuongeza nguvu Rwanda Open.

Na Andrew Ignas

WACHEZAJI wa tatu wa mchezo wa gofu nchini wanatarajia kwenda nchini Rwanda kuungana na wenzao sita walioopo nchini humo kwa ajili ya mashindano ya Rwanda Open

04 November 2010

Slaa aitaka NEC isitishe matokeo.

*Adai yanayotangazwa ni tofauti na kura za vituoni.
*Asema yameandaliwa makusudi kumbeba mgombea wa CCM.
*NEC yasema kama ana ushahidi awasilishe vielelezo.


Na Tumaini Makene
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amesema zimefanyika njama kuhujumu matokeo ya uchaguzi mkuu

Dkt. Shein aapishwa.

Na Mwajuma Juma, Zanzibar

MAELFU ya wananchi wa Zanzibar, jana walihudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Awamu ya Saba, Dkt. Ali Mohammed Shein, zilizofanyika

Matokeo Segerea yatangazwa saa 8 usiku.

Na Kulwa Mzee

PAMOJA na mvutano mkali na shinikizo kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA hatimaye Msimamizi wa Uchaguzi wa majimbo ya Segerea na Ukonda

CCM yaubeba mkoa wa Kagera.

Na Livinus Feruzi, Bukoba

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi katika majimbo manne mkoani Kagera, yakiwemo mawili ya Wilaya ya Karagwe na moja la Bukoba vijijini, na

CHADEMA, CCM kupinga matokeo Shinyanga.

Na Suleiman Abeid, Shinyanga

WAGOMBEA ubunge katika majimbo ya Shinyanga mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na jimbo la Maswa

Michuano ya Chalenji Stars kufungua na Zambia.

*Bingwa kuzoa mil. 45/-

Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', imepangwa kuanza na Zambia katika michuano inayoandaliwa na Baraza la Vyama

Mpangala aishauri Serikali.

Na Amina Athumani

SERIKALI imetakiwa kuisaidia Kamati ya Miss Tanzania katika maandalizi ya mshiriki wa Tanzania katika mashindano ya Miss World, ili aweze kufanya

Maugo amwendea Cheka Kenya.

Na Addolph Bruno

BONDIA Mada Maugo, anatarajia kwenda Nairobi, Kenya keshokutwa kujiandaa na pambano lake lisilo la ubingwa, dhidi ya Bingwa wa Mabara

Spurs yaitolea uvivu Inter Milan.

LONDON, England

TIMU ya Tottenham Hotspur ya England, usiku wa kuamkia jana iliwachapa mabingwa watetezi wa michuano ya Kalbu Bingwa Ulaya, Inter Milan

Ruvu JKT yajiandaa na ligi netiboli.

Na Omary Mngindo, Kibaha

TIMU ya netiboli ya Ruvu JKT ya Kibaha Mkoa wa Pwani, imeanza kambi kwa ajili ligi ya netiboli daraja la pili taifa.Akizungumza mjini hapa jana, kocha

03 November 2010

Rais Zuma apangua baraza la mawaziri.

JOHANESBURG,A.Kusini.


RAIS wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameonesha uwezo wake wa  madaraka  kwa kupangua mawaziri saba katika baraza lake,mabadiliko ambayo wakosoaji wa

Aliyeteketeza Watutsi Kanisani atupwa jela.

KIGALI,Rwanda

MFANYABIASHARA mashuhuri nchini Rwanda amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumtia hatiani kwa kushiriki kuteketeza Kanisa ambalo lilikuwa

China yakataa pendekezo la Marekani.

HANOI,vietnam

CHINA imekataa pendekezo la Marekani kuandaa mazungumzo ya nchi tatu na Japan kuutanzua mzozo unaozunguka umiliki wa visiwa kadhaa katika bahari ya

Dkt.Besigye azindua kampeni na ahadi za matumaini.

KAMPALA,Uganda

KIONGOZI wa Chama cha Forum for Democratic Change (FDC),Dkt. Kizza Besigye amezindua kampeni zake za kuwania kiti cha urais katika Wilaya ya  Masaka

TFF yazipa somo klabu.

*Yataka wachezaji bora Ligi Kuu

Na Zahoro Mlanzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limezitaka klabu mbalimbali zinazoshiriki mashindano yao, hususan Ligi Kuu Bara kusajili wachezaji

Twiga Stars yatakiwa kukaza msuli.

Na Mwandishi Wetu

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeitaka timu ya taifa ya wanawake 'Taifa Stars' kukaza buti kwa kujipanga upya katika fainali za saba za

Makocha wamiminika Azam FC.

Na Addolph Bruno

SIKU moja baada ya kukatisha mkataba na kocha wao Itamar Amorin, uongozi wa Klabu ya Azam FC umesema umeanza kupokea maombi ya makocha

Simba yajificha Njombe.

Na Mwandishi Wetu

MABINGWA wa Tanzania Bara, Simba wameweka kambi ya muda wilayani Njombe kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wao, dhidi ya Majimaji ambapo leo watajipima

Vodacom yaitengea fedha Mitikisiko.

Na Mwandishi Wetu

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom, imetenga sh. milioni 22 kwa ajili ya Tamasha la Mtikisiko linalotarajia kufanyika katika mikoa ya Mbeya na Iringa.

02 November 2010

Kikwete, Slaa haitabiriki.

Na John Daniel

WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatarajiwa kutangaza matokeo ya jumla ya urais muda wowote kuanzaia leo, mchuano umeendelea kuwa mkali

Kura zayeyuka Segerea, Ukonga.

Na Kulwa Mzee

MATOKEA ya kura za urais na ubunge katika Jimbo la Ukonga na Segerea bado ni tata kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo sanduku la kura za rais kukutwa

CHADEMA wapiga wasimamizi, CCM wachoma nyumba.

Na Faida Muyomba, Geita

NYUMBA nane pamoja na maduka mawili katika kitongoji cha Makanda, Kata ya Nyamalimbe zimeteketezwa kwa moto na wasimamizi wawili

Ucheleweshaji matokeo wazua balaa.

Na Waandishi Wetu

UCHELEWESHAJI wa matokeo katika majimbo mbalimbali umezua balaa katika mikoa mitano nchini, hali iliyosababisha wafuasi wa vyama vya upinzani kuzingira ofisi za

Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi.

Na Mwandishi Wetu

RAIS Jakaya Kikwete, ametuma salamu za rambirambi kwa Chuo Kikuu Huria (OUT), kwa kifo cha mkufunzi Syllersaid Mziray kilichotokea

Yasoda, Tenga waongoza mazishi ya Mziray.

*TASWA yanena kwa majonzi
*Yanga yatoa ubani 500,000/-
Na Zahoro Mlanzi

MKURUGENZI Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo Tanzania, Juliana Yasoda na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga

Azam FC yasitisha kibarua cha kocha.

Na Elizabeth Mayemba

UONGOZI wa timu ya soka ya Azam FC, umesitisha mkataba wa Kocha, Itamar Amorin, sasa timu hiyo itakuwa chini ya Kocha Msaidizi,  Habib Kondo.

01 November 2010

Mchuano Mkali.

Na Waandishi Wetu.

MATOKEO ya awali ya Uchaguzi Mkuu yaliyoanza kutolewa jana jioni baada ya kura kuhesabiwa na kubandikwa vituoni yalionesha mpambano mkali baina ya

Kasoro zatawala uchaguzi Mkuu.

*Majimbo saba yashindwa kupiga kura
*Polisi anaswa na shahada  mkobani
*Wachana shahada kwa kukosa majina
*Mabomu ya machozi yatumika M'nyamala  

Na Waandishi Wetu Dar na mikoani
UCHAGUZI Mkuu wa rais, wabunge, wawakilishi na madiwani

CHADEMA yalalamikia polisi Bukoba.

Na Tumaini Makene

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimelaani Jeshi la Polisi mkoani Kagera kumshikilia mgombea ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Bw. Wilfred Lwakatare

Makada CCM wajeruhiwa Geita.

Na Faida Muyomba, Geita

MAKADA wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Nkome, Jimbo la Geita, wamejeruhiwa vibaya kwa kukatwa mapanga na watu wanaosadikiwa kuwa

Utabiri wa Shekhe Yahya wakwama.

Na Mwandishi Wetu

LICHA ya utabiri wa Mnajimu maarufu nchini, Shekhe Yahya Hussein kubainisha kuwa mwaka huu kusingekuwa na Uchaguzi Mkuu, hali imekuwa tofauti na

Ahadi ya makazi yambeba Slaa.

Na Kulwa Mzee

AHADI ya mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dkt. Willibrod Slaa ya kupunguza gharama za saruji na mabati kwa ajili ya kurahisisha ujenzi imeibua hamasa kwa

Maelfu kumuaga Mziray leo viwanja Biafra.

Na Zahoro Mlanzi

MAELFU ya wadau wa soka nchini, wanatarajia kwenda kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Kocha wa viungo na mshauri wa saikolojia wa timu ya

Twiga Stars yaanza vibaya Afrika Kusini.

Na Zahoro Mlanzi, Mashirika ya habari

TIMU ya Wanawake ya Taifa 'Twiga Stars', jana ilianza vibaya kampeni zake za kutwaa ubingwa wa michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wanawake  baada ya kufungwa mabao 2-1 na