*Makamba upepo si mzuri ndani ya CCM.
*Kamati kuu kukutana D'Salaam kesho.
*Msekwa naye atoboa, ajenda ni moja.
Na John Daniel.
HATIMAYE siri ya kuachwa kwa aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika Baraza jipya la
30 November 2010
Polisi yaruhusu mikutano CHADEMA.
Na Tumaini Makene.
SIKU moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kulilalamikia Jeshi la Polisi juu ya kutoa amri ya kuzuia mikutano yake ya hadhara na ile ya kuwapokea wabunge wa
SIKU moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kulilalamikia Jeshi la Polisi juu ya kutoa amri ya kuzuia mikutano yake ya hadhara na ile ya kuwapokea wabunge wa
Mawaziri waanza semina elekezi.
Na Tumaini Makene.
BARAZA la Mawaziri jipya chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete limekutana kwa mara ya kwanza, ambapo
BARAZA la Mawaziri jipya chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete limekutana kwa mara ya kwanza, ambapo
CHADEMA yaonya CCM kuhusu azimio la kuwatimua.
Na Mwandishi wetu.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo kimetoa tahadhari kwa Chama Cha Mapinduzi, dhidi ya hatua yoyote ya kutumia mabavu badala ya sheria au kanuni, kuwafukuza bungeni wabunge
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo kimetoa tahadhari kwa Chama Cha Mapinduzi, dhidi ya hatua yoyote ya kutumia mabavu badala ya sheria au kanuni, kuwafukuza bungeni wabunge
Shinyanga wamzuia Shibuda awahutubie.
Na Suleiman Abeid, Shinyanga.
MBUNGE wa Maswa Magharibi mkoani Shinyanga, Bw. John Shibuda jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya kuzuiwa na wananchi wa mjini Shinyanga wakishinikiza aongee
MBUNGE wa Maswa Magharibi mkoani Shinyanga, Bw. John Shibuda jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya kuzuiwa na wananchi wa mjini Shinyanga wakishinikiza aongee
Baraza la Kikwete kubwa-FemAct.
Na Flora Amon.
MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) ukishirikiana na mashirika mengine 50 yanayotetea usawa wa kijinsia, haki za binadamu na ukombozi wa wanawake kimapinduzi (FemAct) umesema
MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) ukishirikiana na mashirika mengine 50 yanayotetea usawa wa kijinsia, haki za binadamu na ukombozi wa wanawake kimapinduzi (FemAct) umesema
Atupa kichanga kwenye banda la mbwa.
Na Jamillah Daffo, Manyara.
JESHI la Polisi linamshikilia Bi. Jenipher Kitundo mkazi wa Kitongoji cha Lamai–Kateshi wilayani Hanang kwa tuhuma ya kujifungua na kutupa kichanga kwenye banda la mbwa.Kwa
JESHI la Polisi linamshikilia Bi. Jenipher Kitundo mkazi wa Kitongoji cha Lamai–Kateshi wilayani Hanang kwa tuhuma ya kujifungua na kutupa kichanga kwenye banda la mbwa.Kwa
Mchakato wa malipo Kigilagila kuanza kesho.
Na Peter Mwenda.
HATIMAYE kitendawili cha lini fidia ya wakazi wa Kigilagila wanaotakiwa kuhamishwa kupisha upanuzi wa uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kimetenguliwa baada ya
HATIMAYE kitendawili cha lini fidia ya wakazi wa Kigilagila wanaotakiwa kuhamishwa kupisha upanuzi wa uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kimetenguliwa baada ya
NMB Iringa kujenga jengo jipya .
Na Eliasa Ally, Iringa
ZAIDI ya sh. milioni 60 zitatumika kujenga Tawi Benki ya NMB katika eneo la Gangilonga katika Manispaa ya Iringa.Akizungumza ofisini Majira Meneja wa Benki ya NMB Tawi la
ZAIDI ya sh. milioni 60 zitatumika kujenga Tawi Benki ya NMB katika eneo la Gangilonga katika Manispaa ya Iringa.Akizungumza ofisini Majira Meneja wa Benki ya NMB Tawi la
Chalenji Cup kuiingilio bure.
*Uganda, Malawi zatoka kifua mbele
Na Zahoro Mlanzi.
BAADA ya mashindano ya Chalenji kukosa msisimko kwa mashabiki kushindwa kuingia uwanjani, Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limetoa ofa kwa
Na Zahoro Mlanzi.
BAADA ya mashindano ya Chalenji kukosa msisimko kwa mashabiki kushindwa kuingia uwanjani, Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limetoa ofa kwa
DRC wapangwa kundi moja na Ivory Coast CHAN.
KHARTOUM, Sudan.
MABINGWA watetezi wa michuano ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) itakutana uso kwa uso na timu za Ivory Coast, Cameroon na
MABINGWA watetezi wa michuano ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) itakutana uso kwa uso na timu za Ivory Coast, Cameroon na
Beckham, mkewe wapongeza wachumba wa familia ya kifalme.
LONDON, England.
NAHODHA wa zamani wa timu ya taifa ya England David Beckham na mkewe, Victoria ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuwapongeza wachumba wa familia ya kifalme kwa kuvalishana pete ya
NAHODHA wa zamani wa timu ya taifa ya England David Beckham na mkewe, Victoria ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuwapongeza wachumba wa familia ya kifalme kwa kuvalishana pete ya
Chamakh aingia kundi la majeruhi.
LONDON, Uingereza.
MAROUANE Chamakh ameingia katika kundi la majeruhi, ambapo atalazimika kukosa kucheza mechi kadhaa.Mshambuliaji huyo wa Arsenal, alifunga bao lake la 10 katika msimu wake wa
MAROUANE Chamakh ameingia katika kundi la majeruhi, ambapo atalazimika kukosa kucheza mechi kadhaa.Mshambuliaji huyo wa Arsenal, alifunga bao lake la 10 katika msimu wake wa
29 November 2010
CHADEMA yalaani kuzuia mikutano.
*Yasema polisi inataka kujenda dola ya kipolisi
*Yatoa sharti kushirikiana na CUF katika bunge
Na Tumaini Makene.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani kitendo cha Jeshi la Polisi, kuzuia mikutano ya wabunge wake na mingine ya hadhara ya chama hicho, kikidai kuwa ni
*Yatoa sharti kushirikiana na CUF katika bunge
Na Tumaini Makene.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani kitendo cha Jeshi la Polisi, kuzuia mikutano ya wabunge wake na mingine ya hadhara ya chama hicho, kikidai kuwa ni
Wasomi wameisaliti nchi-Askofu.
Na Charles Mwakipesile, Mbeya.
ASKOFU Kiongozi wa Kanisa la Moravian Tanzania mhashamu Alinikisa Cheyo amesema kuwa kuwa chanzo cha ufisadi na uhujumu mkubwa nchini ni wasomi walioamua kuisaliti nchi baada ya
ASKOFU Kiongozi wa Kanisa la Moravian Tanzania mhashamu Alinikisa Cheyo amesema kuwa kuwa chanzo cha ufisadi na uhujumu mkubwa nchini ni wasomi walioamua kuisaliti nchi baada ya
Wakesha nje kuhofia 'popobawa'.
Na Theonestina Juma, Ngara.
WANANCHI wa Kata ya Muganza wilayani Ngara mkoani Kagera wanakesha nje ya nyumba zao huku wakipiga ngoma na kukoka moto kwa madai ya kuhofiwa kuvamiwa na
WANANCHI wa Kata ya Muganza wilayani Ngara mkoani Kagera wanakesha nje ya nyumba zao huku wakipiga ngoma na kukoka moto kwa madai ya kuhofiwa kuvamiwa na
Warushiwa bomu la mkono kwa wivu.
* Wawili wafa, wengine wajeruhiwa
Na Theonestina Juma, Ngara.
WATU wawili wameuawa na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya kurushiwa na bomu la kutupwa kwa mkono katika tukio linalodaiwa kuwa ni kutokana na wivu wa
Na Theonestina Juma, Ngara.
WATU wawili wameuawa na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya kurushiwa na bomu la kutupwa kwa mkono katika tukio linalodaiwa kuwa ni kutokana na wivu wa
CBE yakumbushwa kuwekeza kwenye tafiti.
Na Pendo Mtibuche, Dodoma.
SERIKALI imesema kuwa ili Chuo cha Elimu ya Bishara (CBE) kiweze kufanikiwa ni lazima kijikite zaidi katika kufanya tafiti makini zitakazowasaidia Watanzania kupata biashara za kisasa kwa lengo la
SERIKALI imesema kuwa ili Chuo cha Elimu ya Bishara (CBE) kiweze kufanikiwa ni lazima kijikite zaidi katika kufanya tafiti makini zitakazowasaidia Watanzania kupata biashara za kisasa kwa lengo la
Kandoro ataka BMU chafu zivunjwe.
Na Faida Muyomba, Sengerema.
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Bw. Abass Kandoro, ameziagiza halmashauri zote za wilaya mkoani humo kuhakikisha Kamati za Ulinzi na Rasilimali za Uvuvi (BMU) zinazonuka vitendo vya
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Bw. Abass Kandoro, ameziagiza halmashauri zote za wilaya mkoani humo kuhakikisha Kamati za Ulinzi na Rasilimali za Uvuvi (BMU) zinazonuka vitendo vya
Wadau wataka utungaji vitabu upitiwe upya.
Na Grace Michael
WADAU wa elimu wameshauri kurejewa kwa utaratibu wa utungaji vitabu vya kujifunzia na kufundishia unaoshirikisha jopo lenye watalaamu mbalimbali ili kuhakikisha vitabu hivyo vinazingatia
WADAU wa elimu wameshauri kurejewa kwa utaratibu wa utungaji vitabu vya kujifunzia na kufundishia unaoshirikisha jopo lenye watalaamu mbalimbali ili kuhakikisha vitabu hivyo vinazingatia
Ferguson amwagia sifa Berbatov.
LONDON, England.
KOCHA Sir Alex Ferguson amemwagia sifa mchezaji wake, Dimitar Berbatov kwa mabao yake matano aliyoifungia timu hiyo na kuifanya iondoke na ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Blackburn, katika mechi ya
KOCHA Sir Alex Ferguson amemwagia sifa mchezaji wake, Dimitar Berbatov kwa mabao yake matano aliyoifungia timu hiyo na kuifanya iondoke na ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Blackburn, katika mechi ya
Serikali kuendeleza Kili Marathon.
Na Flora Temba, Moshi.
SERIKALI ya Mkoa Kilimanjaro, imeahidi kutoa ushirikiano wake katika kuendeleza mbio za Kilimanjaro Marathon kutokana na umuhimu wake wa kukuza uchumi wa Mkoa huo.
SERIKALI ya Mkoa Kilimanjaro, imeahidi kutoa ushirikiano wake katika kuendeleza mbio za Kilimanjaro Marathon kutokana na umuhimu wake wa kukuza uchumi wa Mkoa huo.
Ally ndiye kinara wa mashindano ya gofu.
Na Amina Athumani
MCHEZAJI gofu Hassan Ally, ameibuka kidedea katika mashindano ya gofu ya mwisho wa mwezi yaliyodhaminiwa na Kambuni ya simu za mkononi Zantel, yaliyofanyika juzi kwenye viwanja vya
MCHEZAJI gofu Hassan Ally, ameibuka kidedea katika mashindano ya gofu ya mwisho wa mwezi yaliyodhaminiwa na Kambuni ya simu za mkononi Zantel, yaliyofanyika juzi kwenye viwanja vya
Stewart atamba kuinyosha Ivory Coast
*Baada ya kuichapa Sudan 2-0, Rwanda yang'ara
Na Zahoro Mlanzi.
BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya Taifa ya Sudan, Kocha Mkuu wa Zanzibar 'Zanzibar Heroes', Hall Stewart ametamba kuendeleza wimbi la ushindi katika michezo
Na Zahoro Mlanzi.
BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya Taifa ya Sudan, Kocha Mkuu wa Zanzibar 'Zanzibar Heroes', Hall Stewart ametamba kuendeleza wimbi la ushindi katika michezo
26 November 2010
Mawaziri wapya walonga.
*Tibaijuka asema ni kuchapa kazi, vitendo vitaongea zaidi
*Ngeleja: Mgao wa umeme kufikia mwisho, umeme hadi vijijini
*Chami aonya waliochukua viwanda lakini hawaviendelezi
*Maige awatolea macho wasafirishaji wa magogo, wawindaji
Na Tumaini Makene.
SIKU moja baada ya kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kushika nafasi ya uwaziri, baadhi ya mawaziri wameeleza matarajio yao na jinsi walivyojiopanga
*Ngeleja: Mgao wa umeme kufikia mwisho, umeme hadi vijijini
*Chami aonya waliochukua viwanda lakini hawaviendelezi
*Maige awatolea macho wasafirishaji wa magogo, wawindaji
Na Tumaini Makene.
SIKU moja baada ya kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kushika nafasi ya uwaziri, baadhi ya mawaziri wameeleza matarajio yao na jinsi walivyojiopanga
Mbeya wafurahia 'Mwa' kwenye baraza la mawaziri.
Na Charles Mwakipesile, Mbeya.
WANAHARAKATI wa siasa na maendeleo Mkoa wa Mbeya wamefurahia uteuzi wa Dkt. Harrison Mwakyembe, Prof. Mark Mwandosya na Bw. Philipo Mulugo kuingia
WANAHARAKATI wa siasa na maendeleo Mkoa wa Mbeya wamefurahia uteuzi wa Dkt. Harrison Mwakyembe, Prof. Mark Mwandosya na Bw. Philipo Mulugo kuingia
Tume kuchunguza mikopo ya wanafunzi.
Na Pendo Mtibuche, Dodoma
RAIS Jakaya Kikwete amewatoa hofu wanafunzi wa elimu ya juu kuwa serikali inaendelea na jitihada za kuongeza fedha katika mfuko wa bodi ya mikopo ambao kwa mwaka huu ulipewa
RAIS Jakaya Kikwete amewatoa hofu wanafunzi wa elimu ya juu kuwa serikali inaendelea na jitihada za kuongeza fedha katika mfuko wa bodi ya mikopo ambao kwa mwaka huu ulipewa
Wasomi waibua mawazo ya Nyerere kuchochea maendeleo.
Na Mwandishi wetu, Morogoro.
VIJANA wa Kitanzania wametakiwa kujifunza na kuelewa mafundisho na mawazo ya Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere kwa manufaa ya taifa.Hayo yalisemwa na
VIJANA wa Kitanzania wametakiwa kujifunza na kuelewa mafundisho na mawazo ya Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere kwa manufaa ya taifa.Hayo yalisemwa na
Wanne kizimbani kwa tuhuma za ujambazi.
Na Rehema Maigala.
WAKAZI wanne wa Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi ya Kinondoni kwa tuhuma za wizi wa kutumia silaha katika kesi tofauti.Mashtakiwa hao ni
WAKAZI wanne wa Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi ya Kinondoni kwa tuhuma za wizi wa kutumia silaha katika kesi tofauti.Mashtakiwa hao ni
Wagonjwa wa moyo watakiwa kujitokeza.
Na Mwandishi Wetu
WATANZANIA wanaosumbuliwa na ugonjwa moyo wameshauriwa kujitokeza ili wapimwe na kisha watafutiwe wafadhili wa kwa ajili ya kwenda kutibia nje ya nchi.
WATANZANIA wanaosumbuliwa na ugonjwa moyo wameshauriwa kujitokeza ili wapimwe na kisha watafutiwe wafadhili wa kwa ajili ya kwenda kutibia nje ya nchi.
Yanga yakumbwa na mpasuko.
*Mosha atangaza kukaa pembeni
Na Elizabeth Mayemba
MAKAMU Mwenyekiti wa Yanga, Davis Mosha amesema ameamua kujiweka pembeni na hatojishughulisha na jambo lolote ndani ya klabu hiyo.
Na Elizabeth Mayemba
MAKAMU Mwenyekiti wa Yanga, Davis Mosha amesema ameamua kujiweka pembeni na hatojishughulisha na jambo lolote ndani ya klabu hiyo.
Mjamaica kutumbuiza Str8 Muzik Festival.
Na Mwandishi Wetu
MSANII wa kimataifa raia wa Jamaica, Windel Beneto Edwards 'Gyptian', amewasili nchini na kuwaomba wanachuo na wapenzi wa muziki kujitokeza kwa wingi kesho katika tamasha la
MSANII wa kimataifa raia wa Jamaica, Windel Beneto Edwards 'Gyptian', amewasili nchini na kuwaomba wanachuo na wapenzi wa muziki kujitokeza kwa wingi kesho katika tamasha la
Inter, Barca, Man United zatinga 16 bora.
ROME, Italia
MABINGWA watetezi wa klabu bingwa Ulaya, Inter Milan usiku wa kuamkia jana walifuzu hatua ya mtoano baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya FC Twente katika mechi iliyofanyika
MABINGWA watetezi wa klabu bingwa Ulaya, Inter Milan usiku wa kuamkia jana walifuzu hatua ya mtoano baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya FC Twente katika mechi iliyofanyika
Eto'o aomba radhi kwa kumpiga mchezaji kichwa.
MILAN, Italia
MSHAMBULIAJI wa timu ya Inter Milan, Samuel Eto'o ameomba radhi kwa kitendo chake cha kumtandika kichwa mchezaji mwenzake, wakati wa mechi ya Ligi ya Seria A iliyofanyika
MSHAMBULIAJI wa timu ya Inter Milan, Samuel Eto'o ameomba radhi kwa kitendo chake cha kumtandika kichwa mchezaji mwenzake, wakati wa mechi ya Ligi ya Seria A iliyofanyika
25 November 2010
Kikwete awaridhisha wananchi.
Na Reuben Kagaruki.
WATANZANIA wa kada mbambali wametoa maoni yanayotofautiana kuhusu uteuzi wa Baraza la Mawaziri kwa maelezo kwamba hakuna jambo jipya, ingawa wengine wamepongeza hasa
WATANZANIA wa kada mbambali wametoa maoni yanayotofautiana kuhusu uteuzi wa Baraza la Mawaziri kwa maelezo kwamba hakuna jambo jipya, ingawa wengine wamepongeza hasa
BAE yakiri makosa kesi ya kashfa ya rada.
Na Tumaini Makene.
KAMPUNI ya Serikali ya Uingereza inayoshughulika na uuzaji wa zana za kijeshi (BAE Systems), imekiri makosa katika kesi ya kashfa uuzaji wa rada ya kijeshi kwa Serikali ya Tanzania.
KAMPUNI ya Serikali ya Uingereza inayoshughulika na uuzaji wa zana za kijeshi (BAE Systems), imekiri makosa katika kesi ya kashfa uuzaji wa rada ya kijeshi kwa Serikali ya Tanzania.
Wakazi mijini kuongezeka mara tatu 2050.
Na Tumaini Makene
SHIRIKA la Makazi la Umoja wa Mataifa (UN-HABITAT) limetoa ripoti na kutahadharisha kuwa idadi ya watu mijini barani Afrika inatarajiwa kuongezeka mara tatu miaka 40, hivyo kuwataka
SHIRIKA la Makazi la Umoja wa Mataifa (UN-HABITAT) limetoa ripoti na kutahadharisha kuwa idadi ya watu mijini barani Afrika inatarajiwa kuongezeka mara tatu miaka 40, hivyo kuwataka
Mgombea CUF amtaka Tendwa kuchukua hatua
Na Gladness Mboma.
ALIYEKUWA Mgombea bunge wa Jimbo la Temeke, kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Bw. Lucasi Limbu amempa siku tano Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Bw. John Tendwa kuwachukulia
ALIYEKUWA Mgombea bunge wa Jimbo la Temeke, kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Bw. Lucasi Limbu amempa siku tano Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Bw. John Tendwa kuwachukulia
EAC kuongeza kasi kuweka silaha alama.
Na Nicodemus Ikonko, Arusha.
JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imenunua mashine maalumu zitakazosaidia kuongeza kasi ya kuweka silaha, magari na vifaa vya kuhifadhi takwimu katika nchi tano wanachama wa
JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imenunua mashine maalumu zitakazosaidia kuongeza kasi ya kuweka silaha, magari na vifaa vya kuhifadhi takwimu katika nchi tano wanachama wa
Yanga yanywea kwa Manji.
*Sendeu avunjwa nguvu.
Na Elizabeth Mayemba
KAMATI ya Utendaji ya Yanga, imekubaliana na mapendekezo ya Mdhamini wake, Yusuf Manji na kuahidi kuanza kuyafanyia kazi haraka na pia imeamuliwa kuanzia sasa Msemaji wa
Na Elizabeth Mayemba
KAMATI ya Utendaji ya Yanga, imekubaliana na mapendekezo ya Mdhamini wake, Yusuf Manji na kuahidi kuanza kuyafanyia kazi haraka na pia imeamuliwa kuanzia sasa Msemaji wa
CECAFA yazindua kombe Jipya.
Ufupi wa Twiga Stars wailiza Nigeria.
LAGOS, Nigeria
KIUNGO mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria 'Super Falcons', Perpetual Nkwocha amesema katika mashindano ya Afrika yaliyofanyika Afrika Kusini, Tanzania iliwapa
KIUNGO mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria 'Super Falcons', Perpetual Nkwocha amesema katika mashindano ya Afrika yaliyofanyika Afrika Kusini, Tanzania iliwapa
Zantel kudhamini mashindano ya gofu.
Na Amina Athumani
KAMPUNI ya simu za mkononi Zantel, jana imetangaza udhamini wa mashindano ya gofu ya mwisho wa mwezi yatakayofanyika Jumamosi katika viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam.
KAMPUNI ya simu za mkononi Zantel, jana imetangaza udhamini wa mashindano ya gofu ya mwisho wa mwezi yatakayofanyika Jumamosi katika viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam.
Fabregas kukaa benchi wiki 3.
LONDON, England
KOCHA Arsene Wenger amesema nahodha wa Arsenal, Cesc Fabregas huenda akakaa nje ya uwanja kwa muda wa wiki zaidi ya tatu, baada ya kuumia misuli ya paja wakati wa mechi ya
KOCHA Arsene Wenger amesema nahodha wa Arsenal, Cesc Fabregas huenda akakaa nje ya uwanja kwa muda wa wiki zaidi ya tatu, baada ya kuumia misuli ya paja wakati wa mechi ya
24 November 2010
Leo ndiyo leo.
*Rais Kikwete kuanika Baraza lake la Mawaziri.
*Ikulu yathibitisha, yakwepa kutaja muda, mahali.
Na Tumaini Makene.
LEO ndiyo leo. Muda wowote, kwa njia yoyote na mahali popote, kadri itavyoonekana kufaa, Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuweka wazi baraza lake jipya la mawaziri litakalomsaidia
*Ikulu yathibitisha, yakwepa kutaja muda, mahali.
Na Tumaini Makene.
LEO ndiyo leo. Muda wowote, kwa njia yoyote na mahali popote, kadri itavyoonekana kufaa, Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuweka wazi baraza lake jipya la mawaziri litakalomsaidia
Udini wapenya uchaguzi wa meya Tanga.
Na Mwandishi Wetu, Tanga
MBIO za kumsaka Meya wa Jiji la Tanga, zinazidi kupamba moto huku kukiwa na suala la udini likipenyezwa na baadhi ya wagombea kuchafuliwa kwa tuhuma walizokuwa nazo wakiwa
MBIO za kumsaka Meya wa Jiji la Tanga, zinazidi kupamba moto huku kukiwa na suala la udini likipenyezwa na baadhi ya wagombea kuchafuliwa kwa tuhuma walizokuwa nazo wakiwa
KKKT yamtetea Askofu Malasusa.
Na Edmund Mihale.
KANISA la Kiinjili la Kilutheri, Dayosisi ya Mashariki na Pwani (KKKT-DMP) limesema kuwa tuhuma zinazotolewa katika vyombo vya habari dhidi ya dayosisi hiyo ni uzushi na chuki dhidi ya
KANISA la Kiinjili la Kilutheri, Dayosisi ya Mashariki na Pwani (KKKT-DMP) limesema kuwa tuhuma zinazotolewa katika vyombo vya habari dhidi ya dayosisi hiyo ni uzushi na chuki dhidi ya
Shahidi wa Mramba abanwa mahakamani.
Na Peter Mwenda.
SHAHIDI wa 13 katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili Waziri wa Zamani wa Fedha, Bw. Basil Mramba jana alipata wakati mgumu baada ya kubabaika mara kwa mara kujibu maswali ya
SHAHIDI wa 13 katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili Waziri wa Zamani wa Fedha, Bw. Basil Mramba jana alipata wakati mgumu baada ya kubabaika mara kwa mara kujibu maswali ya
Serikali kuwajengea albino kituo Arusha .
Na Peter Mwenda.
WAZIRI Mkuu Bw. Mizengo Pinda ameahidi kujenga kituo kwa ajili ya kutoa elimu na matibabu wa ngozi watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) mkoani Arusha.
WAZIRI Mkuu Bw. Mizengo Pinda ameahidi kujenga kituo kwa ajili ya kutoa elimu na matibabu wa ngozi watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) mkoani Arusha.
Kikwete kuzindua UDOM kesho.
Na Pendo Mtibuche, Dodoma.
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za uzinduzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kesho.Chuo hicho ambacho kilifunguliwa Septemba, 2007 kikitumia
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za uzinduzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kesho.Chuo hicho ambacho kilifunguliwa Septemba, 2007 kikitumia
Mamia wapoteza maisha katika msongamano Cambodia.
Nguvu za Marekani zaporomoka Irak.
BAGHDAD,Irak.
INARIPOTIWA kuwa makubaliano ya kugawana madaraka nchini Irak yanaashiria kusafiri kwa nguvu za ushawishi kutoka kwa Wamarekani kwenda kwa Wakurdi na Wairani
INARIPOTIWA kuwa makubaliano ya kugawana madaraka nchini Irak yanaashiria kusafiri kwa nguvu za ushawishi kutoka kwa Wamarekani kwenda kwa Wakurdi na Wairani
China,A.Kusini zaiwania Zimbabwe.
HARARE,Zimbabwe.
HUKU upande mmoja China na Afrika Kusini zikiimarisha uhusiano wao, kwa upande mwingine nchi hizo zinaripotiwa kuwa zipo kwenye kinyang'anyiro cha kuidhibiti Zimbabwe kwa
HUKU upande mmoja China na Afrika Kusini zikiimarisha uhusiano wao, kwa upande mwingine nchi hizo zinaripotiwa kuwa zipo kwenye kinyang'anyiro cha kuidhibiti Zimbabwe kwa
Mwaikimba amkosha Poulsen.
TFF yataja viingilio CECAFA Tusker Chalenji.
Na Elizabeth Mayemba
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza viingilio vya michuano ya Kombe la CECAFA Tusker Chalenji, inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi.
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza viingilio vya michuano ya Kombe la CECAFA Tusker Chalenji, inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi.
Ancelotti akana kuitema Chelsea.
LONDON, England
KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelotti amekana taarifa zinazodai kuwa bado anatafakari hatima yake, katika klabu hiyo ya Stamford Bridge.Kauli hiyo ya Ancelotti, imekuja baada ya mabingwa hao wa
KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelotti amekana taarifa zinazodai kuwa bado anatafakari hatima yake, katika klabu hiyo ya Stamford Bridge.Kauli hiyo ya Ancelotti, imekuja baada ya mabingwa hao wa
Mancini: Sina presha Manchester City.
LONDON, England
KOCHA Roberto Mancini, amesema kazi yake katika timu ya Manchester City, haina kashikashi ikilinganishwa na alivyokuwa Inter Milan.Muitaliano huyo ndiye anayetarajia kuleta
KOCHA Roberto Mancini, amesema kazi yake katika timu ya Manchester City, haina kashikashi ikilinganishwa na alivyokuwa Inter Milan.Muitaliano huyo ndiye anayetarajia kuleta
23 November 2010
Wanaosaka uwaziri wamchelewesha JK.
*Sasa kutangaza baraza lake leo au kesho.
*Membe, Tibaijuka wagongana mambo ya nje.
Na Tumaini Makene.
WAKATI Watanzania wakiwa katika kimuhemuhe cha kusubiri baraza jipya la mawaziri, habari zimevuja kuwa mpaka jana ilikuwa imeshindikana kutangazwa kutokana na
*Membe, Tibaijuka wagongana mambo ya nje.
Na Tumaini Makene.
WAKATI Watanzania wakiwa katika kimuhemuhe cha kusubiri baraza jipya la mawaziri, habari zimevuja kuwa mpaka jana ilikuwa imeshindikana kutangazwa kutokana na
Uamuzi wa Zitto wazua mjadala.
Na Mwandishi Wetu.
UAMUZI wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe wa kupingana na uamuzi wa chama chake ambacho kiliamua kwa kura wabunge wake watoke nje ya bunge wakati Rais Jakaya Kikwete akihutubia
UAMUZI wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe wa kupingana na uamuzi wa chama chake ambacho kiliamua kwa kura wabunge wake watoke nje ya bunge wakati Rais Jakaya Kikwete akihutubia
Sitta: Namshukuru Mungu kwa yote.
*Waumini wa KKKT Kinondoni wabubujikwa machozi.
Na Mwandishi Wetu.
SPIKA mstaafu wa Bunge, Bw. Samuel Sitta amesema yote yaliyotokea juu yake anamwachia Mwenyezi Mungu na hakuna sababu ya kutafuta mlolongo mrefu.
Na Mwandishi Wetu.
SPIKA mstaafu wa Bunge, Bw. Samuel Sitta amesema yote yaliyotokea juu yake anamwachia Mwenyezi Mungu na hakuna sababu ya kutafuta mlolongo mrefu.
Zain yabadili jina kuwa Airtel.
Na Tumaini Makene.
ILIYOKUWA Kampuni ya simu za mkononi ya Zain Afrika, 'imezikwa' rasmi ambapo kampuni mpya iitwayo Bharti Airtel imechukua nafasi yake na kuzindua nembo mpya, na
ILIYOKUWA Kampuni ya simu za mkononi ya Zain Afrika, 'imezikwa' rasmi ambapo kampuni mpya iitwayo Bharti Airtel imechukua nafasi yake na kuzindua nembo mpya, na
Akosa ubunge CHADEMA, atimkia NCCR.
Na Elisante Kitulo.
MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA, Bi. Leticia Mosore ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na kujiunga na chama cha NCCR-MAEGEUZI kwa madai ya kutoridhishwa na
MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA, Bi. Leticia Mosore ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na kujiunga na chama cha NCCR-MAEGEUZI kwa madai ya kutoridhishwa na
Karume mgeni rasmi kumuenzi Nyerere Mzumbe.
Na Mwandishi Wetu, Morogoro.
CHUO Kikuu cha Mzumbe kimeandaa siku maalumu ya kesho kwa ajili ya kumuenzi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kama sehemu ya kutambua mchango wake katika
CHUO Kikuu cha Mzumbe kimeandaa siku maalumu ya kesho kwa ajili ya kumuenzi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kama sehemu ya kutambua mchango wake katika
Nguzo za umeme zachelewesha uwanja wa ndege.
Livinus Feruzi, Bukoba
SHIRIKA la umeme nchini (TANESCO) Mkoa wa Kagera limesema lipo tayari kuhamisha nguzo za umeme karibu na eneo la Uwanja wa Ndege mjini Bukoba baada ya kulipwa fidia ya
SHIRIKA la umeme nchini (TANESCO) Mkoa wa Kagera limesema lipo tayari kuhamisha nguzo za umeme karibu na eneo la Uwanja wa Ndege mjini Bukoba baada ya kulipwa fidia ya
Ujerumani kusomesha watoto masikini.
Na Andrew Ignas, Dar es Salaam.
TAASISI isiyo ya Kiserikali ya Ujerumani ijulikanayo kwa jina la Pamoja kwanza imetenga zaidi ya sh. bilioni 1 kwa ajili kumalizia ujenzi wa shule ya watoto wasio na uwezo unaoendelea maeneo ya
TAASISI isiyo ya Kiserikali ya Ujerumani ijulikanayo kwa jina la Pamoja kwanza imetenga zaidi ya sh. bilioni 1 kwa ajili kumalizia ujenzi wa shule ya watoto wasio na uwezo unaoendelea maeneo ya
UMAWADA kwawaka moto.
Na Anneth Kagenda,Dar es Salaam.
UMOJA wa Wafanyabiashara wenye Ulemavu Dar es Salaam (UWAWADA), umesema kuwa kamwe hautakubaliana na uongozi uliokuwepo madarakani kwa miaka mitano kuendelea
UMOJA wa Wafanyabiashara wenye Ulemavu Dar es Salaam (UWAWADA), umesema kuwa kamwe hautakubaliana na uongozi uliokuwepo madarakani kwa miaka mitano kuendelea
Mzambia wa Yanga atua nchini.
Na Elizabeth Mayemba
MSHAMBULIAJI raia wa Zambia, Davies Mwape ambaye Yanga inataka kumwongeza katika kikosi chake katika dirisha dogo la usajili ametua nchini kwa ajili kumalizana na
MSHAMBULIAJI raia wa Zambia, Davies Mwape ambaye Yanga inataka kumwongeza katika kikosi chake katika dirisha dogo la usajili ametua nchini kwa ajili kumalizana na
Ancelotti kutumia makinda kuikabili Zilina.
LONDON, England
KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelotti anatarajia kuwatumia chipukizi wake wakati timu hiyo itakapokuwa ikiumana na Zilina katika michuano ya Klabu Bingwa Ulaya, itakayofanyika
KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelotti anatarajia kuwatumia chipukizi wake wakati timu hiyo itakapokuwa ikiumana na Zilina katika michuano ya Klabu Bingwa Ulaya, itakayofanyika
Tanzania ya 12 mashindano ya pool.
Na Amina Athumani
TIMU ya Taifa ya mchezo wa pool, imeshika nafasi ya 10 kati ya nchi 12, zilizoshiriki mashindano ya Dunia ya mchezo huo, yaliyomalizika Novemba 13, mwaka huu nchini Ufaransa.
TIMU ya Taifa ya mchezo wa pool, imeshika nafasi ya 10 kati ya nchi 12, zilizoshiriki mashindano ya Dunia ya mchezo huo, yaliyomalizika Novemba 13, mwaka huu nchini Ufaransa.
Klabu Bingwa Ulaya kuendelea leo.
LONDON, England
MICHUANO ya Klabu Bingwa Ulaya, inaendelea leo katika viwanja mbalimbali kwa kuikutanisha miamba 12 kati ya 28, inayoshiriki michuano hiyo.Katika mechi za leo kila
MICHUANO ya Klabu Bingwa Ulaya, inaendelea leo katika viwanja mbalimbali kwa kuikutanisha miamba 12 kati ya 28, inayoshiriki michuano hiyo.Katika mechi za leo kila
22 November 2010
M'kiti CHADEMA Mbeya ajiuzulu.
*Akimbia tuhuma za kukihujumu chama kwenye uchaguzi.
Na Rashid Mkwinda, Mbeya.
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Mbeya, Bw. Sambwee Shitambala ametangaza kujiuzuru wadhifa huo ili kupisha uchunguzi dhidi
Na Rashid Mkwinda, Mbeya.
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Mbeya, Bw. Sambwee Shitambala ametangaza kujiuzuru wadhifa huo ili kupisha uchunguzi dhidi
Zitto aeleza alivyotofautiana na wenzake.
Na Mwandishi Wetu.
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe amesema uamuzi wa kutoka nje ya bunge wakati Rais Jakaya Kikwete akihutubia ulikuwa wa chama uliofikiwa kwa kura lakini yeye
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe amesema uamuzi wa kutoka nje ya bunge wakati Rais Jakaya Kikwete akihutubia ulikuwa wa chama uliofikiwa kwa kura lakini yeye
Kesi ya rada kunguruma kesho Uingereza.
Na Tumaini Makene.
KESI inayohusu kashfa maarufu ya ununuzi wa rada ya kijeshi iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania kutoka Kampuni ya Vifaa vya Kijeshi ya Uingereza (BAE) itaunguruma mahakamani
KESI inayohusu kashfa maarufu ya ununuzi wa rada ya kijeshi iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania kutoka Kampuni ya Vifaa vya Kijeshi ya Uingereza (BAE) itaunguruma mahakamani
CHADEMA Kilimanjaro yaunga mkono wabunge wake.
Na Gift Mongi, Moshi.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kilimanjaro kimetoa tamko la kuunga mkono kitendo cha wabunge wa chama hicho kutoka bungeni wakati
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kilimanjaro kimetoa tamko la kuunga mkono kitendo cha wabunge wa chama hicho kutoka bungeni wakati
Nchimbi awashukuru Songea kumchagua.
Na Joseph Mwambije,Songea
Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Dkt. Emmanuel Nchimbi amewashukuru wananchi wa Jimbo la Songea kwa kumchagua kuwa mbunge wao na ameahidi kushirikiana nao
Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Dkt. Emmanuel Nchimbi amewashukuru wananchi wa Jimbo la Songea kwa kumchagua kuwa mbunge wao na ameahidi kushirikiana nao
Bilal amwakilisha Kikwete Botswana.
Na Mwandishi Maalumu
VIONGOZI na Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika- SADC wamemaliza kikao chao cha siku moja mjini Gaborone Botswana
VIONGOZI na Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika- SADC wamemaliza kikao chao cha siku moja mjini Gaborone Botswana
Diwani aomba ushirikiano Kinyelezi.
Na Mohamed Kazingumbe
DIWANI Mteule wa CCM, Kata ya Kinyelezi katika Halmashauri ya Ilala, Bi. Leah Mgitu ameomba ushirikiano wa karibu wa wapiga kura wake ili kufanikisha ahadi zake kwa wananchi.
DIWANI Mteule wa CCM, Kata ya Kinyelezi katika Halmashauri ya Ilala, Bi. Leah Mgitu ameomba ushirikiano wa karibu wa wapiga kura wake ili kufanikisha ahadi zake kwa wananchi.
Jiji la Mbeya kugawiwa vyandarua.
Na Esther Macha, Mbeya
KATA 36 za Jiji la Mbeya zimepatiwa vyandarua kwa ajili ya kujikinga na ugonjwa wa malaria ambavyo vitagawiwa kwa kila kaya.Akizungumza na mwandishi wa habari Kaimu Mratibu wa
KATA 36 za Jiji la Mbeya zimepatiwa vyandarua kwa ajili ya kujikinga na ugonjwa wa malaria ambavyo vitagawiwa kwa kila kaya.Akizungumza na mwandishi wa habari Kaimu Mratibu wa
Kili Stars kuikabili Kenya leo.
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', leo itajitupa uwanjani kumenyana na Kenya 'Harambee Stars' katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaopigwa Uwanja wa
TIMU ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', leo itajitupa uwanjani kumenyana na Kenya 'Harambee Stars' katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaopigwa Uwanja wa
Gulam akiri riadha kuwa na mfumo mbovu.
Na Amina Athumani.
RAIS wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Rashid Gulam amekiri mfumo mbovu wa riadha uliopo kwa sasa na kwamba Tanzania, inaweza kuchukua miaka 10 na zaidi kutwaa medali
RAIS wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Rashid Gulam amekiri mfumo mbovu wa riadha uliopo kwa sasa na kwamba Tanzania, inaweza kuchukua miaka 10 na zaidi kutwaa medali
Tamasha la STR8 Muzik lawa kivutio Dodoma.
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MAMIA ya wanachuo kutoka vyuo vikuu na taasisi mbalimbali za elimu ya juu mkoani Dodoma, walifurika kwa wingi kuhudhuria tamasha la muziki la Str8Muzik Festival Inter-College
MAMIA ya wanachuo kutoka vyuo vikuu na taasisi mbalimbali za elimu ya juu mkoani Dodoma, walifurika kwa wingi kuhudhuria tamasha la muziki la Str8Muzik Festival Inter-College
Ancelotti akisifu kikosi chake.
Wakala amtabiria Lukaku kukipiga England.
BRUSSELS, Ubelgji
WAKALA wa mchezaji, Romelu Lukaku anaamini klabu za England ndizo zitakazoshinda katika mbio za kumwania kinda huyo wa timu ya Anderlecht.Kwa sasa mchezaji huyo
WAKALA wa mchezaji, Romelu Lukaku anaamini klabu za England ndizo zitakazoshinda katika mbio za kumwania kinda huyo wa timu ya Anderlecht.Kwa sasa mchezaji huyo
21 November 2010
Majambazi yamiminia risasi basi, yaua abiria.
*Polisi watupa bunduki kwa kuogopa
*Basi laharibiwa, abiria 23 wajeruhiwa
Na. Prosper Kwigize, Kibondo.
MAJAMBAZI nane wakiwa na silaha za kivita wameshambulia na kuteka gari la abiria na kusababisha kifo cha abiria mmoja na wengine kujeruhiwa kabla ya kupora mali mbalimbali za
*Basi laharibiwa, abiria 23 wajeruhiwa
Na. Prosper Kwigize, Kibondo.
MAJAMBAZI nane wakiwa na silaha za kivita wameshambulia na kuteka gari la abiria na kusababisha kifo cha abiria mmoja na wengine kujeruhiwa kabla ya kupora mali mbalimbali za
Mapambano yetu ya kudumu-Mbowe.
*Asisitiza katiba mpya, tume ya uchaguzi na ya uchunguzi
Na Tumaini Makene.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kuwa mapambano ya kudai katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na tume huru ya kuchunguza kilichojiri katika
Na Tumaini Makene.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kuwa mapambano ya kudai katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na tume huru ya kuchunguza kilichojiri katika
Chanzo cha kupungua wapiga kura Nkenge chabainika.
Na Theonestina Juma, Missenyi.
BAADHI ya wakazi wa Jimbo la Nkenge Wilayani Missenyi Mkoani Kagera wakazi wengi wa eneo hilo hawakujitokeza kupiga kura Novemba 14, mwaka huu kutokana na ukosefu wa
BAADHI ya wakazi wa Jimbo la Nkenge Wilayani Missenyi Mkoani Kagera wakazi wengi wa eneo hilo hawakujitokeza kupiga kura Novemba 14, mwaka huu kutokana na ukosefu wa
Watatu wauawa kwa ujambazi.
Na Veronica Modest, Musoma
WATU watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wameuawa na watu wenye hasira katika Kisiwa cha Nyasaungu Wilaya ya Musoma Vijijini, mkoani Mara wakidaiwa kujiandaa kwenda
WATU watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wameuawa na watu wenye hasira katika Kisiwa cha Nyasaungu Wilaya ya Musoma Vijijini, mkoani Mara wakidaiwa kujiandaa kwenda
‘Afrika inashindwa kutumia raslimali zake, fursa zilizopo'.
Na Tumaini Makene.
NCHI za Afrika, Tanzania ikiwemo, hazijaweza kutumia raslimali nyingi zilizobarikiwa kuwa nazo pamoja na fursa nyingine zilizopo, kufanya mageuzi makubwa ya viwanda ili kubadilisha
NCHI za Afrika, Tanzania ikiwemo, hazijaweza kutumia raslimali nyingi zilizobarikiwa kuwa nazo pamoja na fursa nyingine zilizopo, kufanya mageuzi makubwa ya viwanda ili kubadilisha
Wadaiwa kuchanga fedha kumwangusha ngombea.
Na Benjamin Masese, Rorya
WAKATI mchakato wa kuwatafuta mameya na wenyeviti wa halmashauri mbalimbali ukianza nchini kote, baadhi ya watumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Rorya wanadaiwa kuchanga fedha kwa
WAKATI mchakato wa kuwatafuta mameya na wenyeviti wa halmashauri mbalimbali ukianza nchini kote, baadhi ya watumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Rorya wanadaiwa kuchanga fedha kwa
Mgambo 714 wahitimu kumarisha ulinzi.
Na Mhaiki Andrew, Songea
WANAMGAMBO 714 mkoani Ruvuma wamehitimu mafunzo ya awali ya miezi mitatu ya kijeshi katika masuala ya ulinzi wa nchi pamoja na usalama wa raia na mali zao kwa wilaya zote
WANAMGAMBO 714 mkoani Ruvuma wamehitimu mafunzo ya awali ya miezi mitatu ya kijeshi katika masuala ya ulinzi wa nchi pamoja na usalama wa raia na mali zao kwa wilaya zote
Kwa hili CHADEMA wana hoja, mfumo wa uchaguzi unachefua .
Na Elisante Kitulo.
HATUA ya wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kondoka Bungeni wakati Rais Jakya Kikwete alipotoa hotuba ya kuzindua Bunge la 10 mjini Dodoma, imeibua
HATUA ya wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kondoka Bungeni wakati Rais Jakya Kikwete alipotoa hotuba ya kuzindua Bunge la 10 mjini Dodoma, imeibua
'Wabunge Chadema wamekosa uungwana'.
Na Andrew Ignas
MBUNGE wa Jimbo la Temeke kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Bw. Abbas Zuberi Mtemvu amelaani kitendo kilichofanywa na wabunge wa Chama cha Maendeleo (CHADEMA) wakiongoza
MBUNGE wa Jimbo la Temeke kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Bw. Abbas Zuberi Mtemvu amelaani kitendo kilichofanywa na wabunge wa Chama cha Maendeleo (CHADEMA) wakiongoza
Jinsi ya kumdhibiti mpenzi anayepiga 'mizinga' .
Na Shangazi Glady
NI Jumapili nyingine nipo nanyi wasomaji wa safu hii kwa ajili ya kuendelea kuelimisha mambo mbalimbali yanayohusu mahaba.Leo nitazungumzia kuhusu tabia za baadhi ya watu walio katika uhusiano ya
NI Jumapili nyingine nipo nanyi wasomaji wa safu hii kwa ajili ya kuendelea kuelimisha mambo mbalimbali yanayohusu mahaba.Leo nitazungumzia kuhusu tabia za baadhi ya watu walio katika uhusiano ya
Jimbo Kuu Katoliki Mbinga na mkakati wa kutokomeza malaria.
*Wajerumani wajenga kituo cha kutoa elimu
*Kasi ya maambukizi ya ugonjwa yapungua
*Hospitali ya Lituhi yaomba wataalamu
Na Kassian Nyandindi
UGONJWA wa malaria ni ugonjwa tishio kwa maisha ya wananchi wengi duniani. Tatizo hili ni kubwa kwa familia maskini kuliko kundi lingine la watu.
*Kasi ya maambukizi ya ugonjwa yapungua
*Hospitali ya Lituhi yaomba wataalamu
Na Kassian Nyandindi
UGONJWA wa malaria ni ugonjwa tishio kwa maisha ya wananchi wengi duniani. Tatizo hili ni kubwa kwa familia maskini kuliko kundi lingine la watu.
19 November 2010
Pinda aapa, CHADEMA wasusa.
Na John Daniel, Dodoma
RAIS Jakaya Kikwete, amemwapisha Waziri Mkuu Mizengo pinda kwa kumkabidhi rasmi Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ikulu ya Chamwino mjini hapa tayari kuanza
RAIS Jakaya Kikwete, amemwapisha Waziri Mkuu Mizengo pinda kwa kumkabidhi rasmi Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ikulu ya Chamwino mjini hapa tayari kuanza
Tatizo la maji Mwananyamala lapata dawa.
Na Athman Hamza
TATIZO la upungufu wa maji katika Hospitali ya Mwananyamala litabaki kuwa historia baada ya Manispaa ya Kinondoni inayoimiliki kuchukua hatua kuepukana nalo.
TATIZO la upungufu wa maji katika Hospitali ya Mwananyamala litabaki kuwa historia baada ya Manispaa ya Kinondoni inayoimiliki kuchukua hatua kuepukana nalo.
Serikali yakwama kufunga ushahidi kesi ya EPA.
Na Grace Michael
UPANDE wa Mashtaka katika kesi ya wizi wa mamilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje (EPA), umeshindwa kufunga ushahidi wake kutokana na jopo la mahakimu
UPANDE wa Mashtaka katika kesi ya wizi wa mamilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje (EPA), umeshindwa kufunga ushahidi wake kutokana na jopo la mahakimu
Ujenzi wa nyumba kwa siku moja wazinduliwa.
Na Peter Mwenda
TATIZO sugu la ukosefu wa makazi nchini limepata ufumbuzi baada ya kampuni ya Moladi Framework ya Afrika Kusini kuzindua teklonojia mpya ya ujenzi wa nyumba za
TATIZO sugu la ukosefu wa makazi nchini limepata ufumbuzi baada ya kampuni ya Moladi Framework ya Afrika Kusini kuzindua teklonojia mpya ya ujenzi wa nyumba za
Wanafunzi wataka vita ya ufisadi CCM.
Na Peter Saramba, Dodoma
UMOJA wa wanafunzi wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma umewataka wabunge vijana wa chama hicho kuongeza kasi na nguvu ya
UMOJA wa wanafunzi wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma umewataka wabunge vijana wa chama hicho kuongeza kasi na nguvu ya
Wasomi watofautiana CHADEMA kumkataa Kikwete.
Na Gladness Mboma
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutomtambua Rais Jakaya Kikwete kama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limechukua sura mpya baada ya
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutomtambua Rais Jakaya Kikwete kama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limechukua sura mpya baada ya
AMI yazindua kampeni upimaji kisukari.
Na Elisante Kitulo
KATIKA kuadhimisha mwezi wa kuhamasisha ulimwengu kuhusu ugonjwa wa kisukari, Hospitali ya AMI imeanzisha kampeni ya kushawishi wananchi kujenga utaratibu wa
KATIKA kuadhimisha mwezi wa kuhamasisha ulimwengu kuhusu ugonjwa wa kisukari, Hospitali ya AMI imeanzisha kampeni ya kushawishi wananchi kujenga utaratibu wa
Zantel yafungua duka la Highlife.
Na Agnes Mwaijega, Dar es Salaam
KAMPUNI ya mawasiliano Zantel imefungua duka kwa wateja wanaotumia huduma ya Highlife jijini Dar es Saalam.Akizungumza katika sherehe za ufunguzi huo Dar es Saalam jana
KAMPUNI ya mawasiliano Zantel imefungua duka kwa wateja wanaotumia huduma ya Highlife jijini Dar es Saalam.Akizungumza katika sherehe za ufunguzi huo Dar es Saalam jana
Nchunga amwalika Manji kikaoni.
Wachezaji Kili Stars kupewa vyandarua.
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania limepanga kugawa chandarua kwa kila mchezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania Bara ili wavitumie wakiwa kambini wakati
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania limepanga kugawa chandarua kwa kila mchezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania Bara ili wavitumie wakiwa kambini wakati
Argentina yailaza Brazil 1-0.
DOHA, Falme za Kiarabu
WAKATI Argentina iliilaza Brazil bao 1-0, Uingereza jana ilipata kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Ufaransa ikiwa ni miongoni mwa mechi za kimataifa za kirafiki za
WAKATI Argentina iliilaza Brazil bao 1-0, Uingereza jana ilipata kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Ufaransa ikiwa ni miongoni mwa mechi za kimataifa za kirafiki za
Azam yatamba kuikomalia Simba kesho.
Na Shaban Mbegu
KOCHA Msaidizi wa timu ya Azam FC, Habibu Kondo amesema kikosi chake kinatarajia kutoa upinzani mkali katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa kesho
KOCHA Msaidizi wa timu ya Azam FC, Habibu Kondo amesema kikosi chake kinatarajia kutoa upinzani mkali katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa kesho
Defoe aanza mazoezi na Tottenham.
LONDON, England
MSHAMBULIAJI wa Tottenham Hotspur, Jermain Defoe ameanza mazoezi ikiwa ni karibu mwezi mmoja, kabla ya wakati aliotarajiwa kurejea uwanjani.
MSHAMBULIAJI wa Tottenham Hotspur, Jermain Defoe ameanza mazoezi ikiwa ni karibu mwezi mmoja, kabla ya wakati aliotarajiwa kurejea uwanjani.
Ferdinandi awato hofu mashabiki Man Utd.
LONDON,England
MCHEZAJI Rio Ferdinand amesema kwamba kupumzishwa katika mechi ya England dhidi ya Ufaransa alikuwa siyo majeruhi bali ilikuwa ni kwa ajili ya tahadhari.
MCHEZAJI Rio Ferdinand amesema kwamba kupumzishwa katika mechi ya England dhidi ya Ufaransa alikuwa siyo majeruhi bali ilikuwa ni kwa ajili ya tahadhari.
18 November 2010
Msimamo CHADEMA wamtikisa Makinda.
*Ni wakutomtambua Rais Kikwete.
*Awaita Mbowe, Zitto wateta.
Na John Daniel, Dodoma.
SPIKA wa Bunge Bi. Anne Makinda, amewashauri wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufuta msimamo wao wa kutoitambua Serikali na
*Awaita Mbowe, Zitto wateta.
Na John Daniel, Dodoma.
SPIKA wa Bunge Bi. Anne Makinda, amewashauri wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufuta msimamo wao wa kutoitambua Serikali na
Bilal kushughulikia mahakama ya kadhi.
Na Elisante Kitulo
WAUMINI wa dini ya kiislamu nchini jana waliungana na wenzao duniani kusherehekea sikukuu ya Idd el Hajj, ibada ambayo kitaifa iliswaliwa katika Msikiti wa
WAUMINI wa dini ya kiislamu nchini jana waliungana na wenzao duniani kusherehekea sikukuu ya Idd el Hajj, ibada ambayo kitaifa iliswaliwa katika Msikiti wa
Kikwete awateua Nahodha, Meghji wabunge.
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete ameteua wanasiasa watatu kutoka Zanzibar kuwa wabunge, ikiwa ni hatua ya kujaza nafasi 10 alizopewa kwa mujibu wa Ibara ya 66 (1) (e) ya Katiba ya Jamhuri ya
RAIS Jakaya Kikwete ameteua wanasiasa watatu kutoka Zanzibar kuwa wabunge, ikiwa ni hatua ya kujaza nafasi 10 alizopewa kwa mujibu wa Ibara ya 66 (1) (e) ya Katiba ya Jamhuri ya
Auawa kwa kumbaka mpwa wake.
Na Theonestina Juma, Bukoba
WANANCHI wenye hasira wamemuua Bw. Charle Mushozi, maarufu kwa jina la Kalwani (25-30) baada ya kumfumania nyumbani kwao akimbaka mpwaye mwenye umri wa
WANANCHI wenye hasira wamemuua Bw. Charle Mushozi, maarufu kwa jina la Kalwani (25-30) baada ya kumfumania nyumbani kwao akimbaka mpwaye mwenye umri wa
Watanzania waombwa kujitolea huduma za afya.
Na Mwandishi Wetu
KITENGO cha Huduma za Afya cha Agha Khan kimewaomba Watanzania wenye utaalamu wa afya wajenge moyo wa kujitolea ili kuweza kuwafikia watu wengi zaidi kwa
KITENGO cha Huduma za Afya cha Agha Khan kimewaomba Watanzania wenye utaalamu wa afya wajenge moyo wa kujitolea ili kuweza kuwafikia watu wengi zaidi kwa
Wananchi wafurahia pinda kurejeshwa.
Na Grace Michael
BAADHI ya wananchi wamempongeza Waziri Mkuu Bw. Mizengo Pinda kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo, huku wakibainisha kuwa na imani naye kutokana na namna
BAADHI ya wananchi wamempongeza Waziri Mkuu Bw. Mizengo Pinda kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo, huku wakibainisha kuwa na imani naye kutokana na namna
Wazalishaji wa nguo kuwpewa mafunzo.
Na Adam Hussein
WIZARA ya Viwanda, Biashara na Masoko kwa kushirikiana na Serikali ya Japani wameanzisha mafunzo ya vitendo kuhusu mbinu za uendeshaji na usimamizi wa biashara za viwanda
WIZARA ya Viwanda, Biashara na Masoko kwa kushirikiana na Serikali ya Japani wameanzisha mafunzo ya vitendo kuhusu mbinu za uendeshaji na usimamizi wa biashara za viwanda
Sasatel yapunguza gharama za Internet.
Na Agnes Mwaijega, Dar es Salaam
KAMPUNI ya mawasiliano SASATEL imeshusha viwango vya gharama huduma ya mtandao wa internet kwa wateja wake.Akizungumza Dar es Saalam juzi Mkurungenzi wa
KAMPUNI ya mawasiliano SASATEL imeshusha viwango vya gharama huduma ya mtandao wa internet kwa wateja wake.Akizungumza Dar es Saalam juzi Mkurungenzi wa
Yanga yatakiwa kutafuta mkaguzi.
Na Elizabeth Mayemba
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umetakiwa kumtafuta mkaguzi wa mahesabu kwa ajili ya kukagua mahesabu kwa kipindi cha miezi mitatu, tangu uongozi mpya uingie
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umetakiwa kumtafuta mkaguzi wa mahesabu kwa ajili ya kukagua mahesabu kwa kipindi cha miezi mitatu, tangu uongozi mpya uingie
Simba yaanza kuivutia kasi Azam.
Na Zahoro Mlanzi
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wameanza maandalizi ya mchezo wao wa keshokutwa dhidi ya Azam FC, ambapo leo asubuhi wamefanya mazoezi
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wameanza maandalizi ya mchezo wao wa keshokutwa dhidi ya Azam FC, ambapo leo asubuhi wamefanya mazoezi
Waandishi watakiwa kuwa na huruma.
Na Mwandishi Wetu
WAANDISHI wa Habari wameobwa kuwa na huruma na kuacha kuwanyanyapaa wanamichezo wanaoshindwa kufanya vizuri katika mashindano ya kimataifa kwa
WAANDISHI wa Habari wameobwa kuwa na huruma na kuacha kuwanyanyapaa wanamichezo wanaoshindwa kufanya vizuri katika mashindano ya kimataifa kwa
Mwaikimba atamba kufanya kweli Kili Stars.
Na Shaban Mbegu
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', Gaudence Mwaikimba amesema atautumia mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', Gaudence Mwaikimba amesema atautumia mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya
Twanga Pepeta mbioni kutoa albamu mpya.
Na Mwali Ibrahim
BENDI ya muziki wa dansi ya African Stars 'Twanga Pepeta', imekamilisha nyimbo tatu zitakazokuwepo katika albamu ya 11, inayotarajiwa kuzinduliwa hivi
BENDI ya muziki wa dansi ya African Stars 'Twanga Pepeta', imekamilisha nyimbo tatu zitakazokuwepo katika albamu ya 11, inayotarajiwa kuzinduliwa hivi
Jay-Z akana Beyonce kuwa mjamzito
NEW YORK, Marekani
MWANAMUZIKI nguli nchini hapa, Jay-Z amekana tetesi za kwamba mkewe Beyonce ni mjamzito.Hatua hiyo imekuja baada ya tetesi kusambaa tangu mwezi uliopita, zikidai
MWANAMUZIKI nguli nchini hapa, Jay-Z amekana tetesi za kwamba mkewe Beyonce ni mjamzito.Hatua hiyo imekuja baada ya tetesi kusambaa tangu mwezi uliopita, zikidai
DRC yakaa pembeni kuandaa Mataifa ya Afrika
CAIRO, Misri
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limesema nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), imejitoa katika kinyang'anyiro cha kwania kuandaa fainali za Matifa ya
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limesema nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), imejitoa katika kinyang'anyiro cha kwania kuandaa fainali za Matifa ya
16 November 2010
Slaa amkataa Kikwete.
*Asema urais wake ulitokana na matokeo yasio halali
*Mbowe asisitiza watadai haki kwa misingi ya amani
*Adai wanajipanga kutoa vielelezo vya wizi wa kura
*CHADEMA kutokubali uteuzi wowote wa Rais Kikwete
Na John Daniel, Dodoma.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeseama hakitambui matokeo ya urais wa uchaguzi mkuu uliopita pamoja na
*Mbowe asisitiza watadai haki kwa misingi ya amani
*Adai wanajipanga kutoa vielelezo vya wizi wa kura
*CHADEMA kutokubali uteuzi wowote wa Rais Kikwete
Na John Daniel, Dodoma.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeseama hakitambui matokeo ya urais wa uchaguzi mkuu uliopita pamoja na
Sikutumia pesa kutafuta uspika- Makinda.
Na John Daniel, Dodoma
SPIKA wa Bunge, Bi. Anne Makinda amesema hakutumia hata senti moja kutafuta nafasi hiyo wala kumpa mtu maji ya kunywa ili kumsaidia na hivyo kuahidi kuwa
SPIKA wa Bunge, Bi. Anne Makinda amesema hakutumia hata senti moja kutafuta nafasi hiyo wala kumpa mtu maji ya kunywa ili kumsaidia na hivyo kuahidi kuwa
CCM, CUF wapata majimbo matatu, CHADEMA moja.
Na Waandishi Wetu
MATOKEO ya uchaguzi katika majimbo saba ambayo uchaguzi uliahirishwa yametangazwa na vyama vya CCM na CUF kuibuka ma matatu kila moja na moja kubaki mikononi mwa
MATOKEO ya uchaguzi katika majimbo saba ambayo uchaguzi uliahirishwa yametangazwa na vyama vya CCM na CUF kuibuka ma matatu kila moja na moja kubaki mikononi mwa
Hatutakubali kuteuliwa na Kikwete-CHADEMA.
Na Peter Saramba, Dodoma
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa msimamo kuwa hakitakubali kushirikishwa kwenye baraza la mawaziri litakaloundwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa msimamo kuwa hakitakubali kushirikishwa kwenye baraza la mawaziri litakaloundwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata
Mbatia wahi mahakamani-Mdee.
Na John Daniel, Dodoma
MBUNGE wa Kawe kupitia Chama cha Dermokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bi. Halima Mdee amevunja ukimya na kumtaka aliyekuwa mgombea ubunge wa
MBUNGE wa Kawe kupitia Chama cha Dermokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bi. Halima Mdee amevunja ukimya na kumtaka aliyekuwa mgombea ubunge wa
CCM yakanusha mbunge kukimbia jimbo
Na Suleiman Abeid, Shinyanga
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Shinyanga mjini kimekanusha uvumi kuwa mbunge aliyechaguliwa hivi karibuni katika Jimbo la Shinyanga
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Shinyanga mjini kimekanusha uvumi kuwa mbunge aliyechaguliwa hivi karibuni katika Jimbo la Shinyanga
Katibu CCM Babati afariki dunia.
Na Jamillah Daffo, Babati
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara kimepata pigo kwa kufiwa na Katibu wake wa Wilaya ya Babati, Bi. Tuli Mwang’amba anayeaminika alifanikisha
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara kimepata pigo kwa kufiwa na Katibu wake wa Wilaya ya Babati, Bi. Tuli Mwang’amba anayeaminika alifanikisha
Wanne watimuliwa CCM Bukoba kwa usaliti.
Na Livinus Feruzi, Bukoba
SIKU chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, wanachama wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Bilele, Manispaa ya Bukoba
SIKU chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, wanachama wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Bilele, Manispaa ya Bukoba
Yanga yamrudisha Mbegu kundini.
Na Elizabeth Mayemba
KAMATI ya Nidhamu ya Yanga, imemsamehe mchezaji wake Bakari Mbegu, aliyesimamishwa kwa muda na uongozi huo kwa utovu wa nidhamu.
KAMATI ya Nidhamu ya Yanga, imemsamehe mchezaji wake Bakari Mbegu, aliyesimamishwa kwa muda na uongozi huo kwa utovu wa nidhamu.
Talis bingwa mpya wa Muungano.
Na Amina Athumani
KLABU za kuogelea za Tanzania Bara, zimeendelea kushikilia rekodi za ubingwa wa Muungano za mchezo huo, ambapo klabu ya Talis ya Dar es Salaam juzi imetawazwa kuwa
KLABU za kuogelea za Tanzania Bara, zimeendelea kushikilia rekodi za ubingwa wa Muungano za mchezo huo, ambapo klabu ya Talis ya Dar es Salaam juzi imetawazwa kuwa
Kipingu ampa changamoto Jaji Mkuu.
Wajapan kutoa mafunzo ya judo leo.
Na Mwali Ibrahim
WACHEZAJI na viongozi wa judo, leo watahudhuria semina ya mafunzo ya mchezo huo, iliyoandaliwa na ubalozi wa Japan Tanzania ambayo itatolewa na wakufunzi kutoka
WACHEZAJI na viongozi wa judo, leo watahudhuria semina ya mafunzo ya mchezo huo, iliyoandaliwa na ubalozi wa Japan Tanzania ambayo itatolewa na wakufunzi kutoka
Wajapan kutoa mafunzo ya judo leo.
Na Mwali Ibrahim
WACHEZAJI na viongozi wa judo, leo watahudhuria semina ya mafunzo ya mchezo huo, iliyoandaliwa na ubalozi wa Japan Tanzania ambayo itatolewa na wakufunzi
WACHEZAJI na viongozi wa judo, leo watahudhuria semina ya mafunzo ya mchezo huo, iliyoandaliwa na ubalozi wa Japan Tanzania ambayo itatolewa na wakufunzi
Vyuo vikuu zaidi ya 20 kushiriki tamasha.
Na Addolph Bruno
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia kinywaji chake cha Grand Malt imeandaa tamasha maalumu kwa vyuo vikuu, litakalofanyika Jumamosi katika viwanja vya
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia kinywaji chake cha Grand Malt imeandaa tamasha maalumu kwa vyuo vikuu, litakalofanyika Jumamosi katika viwanja vya
15 November 2010
TETESI BARAZA LA MAWAZIRI:Lowassa atajwa kulilia Tamisemi.
*Yeye asema tuyaache hayo, ni uvumi usio na msingi.
Na Tumaini Makene.
WAKATI Watanzania wakisubiri kwa hamu Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete litakalomsaidia kuongoza serikali katika ngwe yake ya mwisho, habari zimevuja zikimhusisha Mbunge wa
Na Tumaini Makene.
WAKATI Watanzania wakisubiri kwa hamu Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete litakalomsaidia kuongoza serikali katika ngwe yake ya mwisho, habari zimevuja zikimhusisha Mbunge wa
Uchaguzi wa amani, watu wachache Mpanda.
Na Juddy Ngonyani, Mpanda
UPIGAJI wa kura katika vituo 202 vya majimbo ya Mpanda Mjini na Mpanda Vijijini mkoani Rukwa limefanyika katika hali ya utulivu huku baadhi ya vituo kukiwa na
UPIGAJI wa kura katika vituo 202 vya majimbo ya Mpanda Mjini na Mpanda Vijijini mkoani Rukwa limefanyika katika hali ya utulivu huku baadhi ya vituo kukiwa na
Ndugai, Akoonay, Mnyaa kuvaana unaibu spika.
Na John Daniel, Dodoma
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemchagua Mbunge wa Kongwa, Bw. Job Ndugai, kugombea nafasi ya unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemchagua Mbunge wa Kongwa, Bw. Job Ndugai, kugombea nafasi ya unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa
Mghana abambwa na kilo 13 za cocain.
Na Said Njuki, Arusha
SIKU moja baada ya Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Saidi Mwema kupangua baadhi ya Makamanda wa Jeshi, Kitengo cha Kudhibiti Dawa za Kulevya Tanzania, kwa
SIKU moja baada ya Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Saidi Mwema kupangua baadhi ya Makamanda wa Jeshi, Kitengo cha Kudhibiti Dawa za Kulevya Tanzania, kwa
Wenye ulemavu wafurahia kupata wabunge.
Na Rabia Bakari
SHIRIKISHO la Vyama vya Watu wenye Ulemavu nchini (SHIVYAWATA), limevipongeza vyama vya siasa kwa kupata wabunge wenye ulemavu katika Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania la
SHIRIKISHO la Vyama vya Watu wenye Ulemavu nchini (SHIVYAWATA), limevipongeza vyama vya siasa kwa kupata wabunge wenye ulemavu katika Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania la
Kikwete atakiwa kuondoa makundi CCM.
Na Faida Muyomba, Geita
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Rais Jakaya Kikwete ameshauriwa kuondoa makundi ndani ya chama hicho kwa kuwatimua wanaokisaliti vinginevyo kitamfia
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Rais Jakaya Kikwete ameshauriwa kuondoa makundi ndani ya chama hicho kwa kuwatimua wanaokisaliti vinginevyo kitamfia
'Makinda amechaguliwa kulisafisha bunge'
Na Charles Mwakipesile, Mbeya
KATIBU mkuu wa Kanisa la Moravian Tanzania, Jimbo la Kusini Magharibi, Mchungaji Daud Nsweve amesema kuwa spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
KATIBU mkuu wa Kanisa la Moravian Tanzania, Jimbo la Kusini Magharibi, Mchungaji Daud Nsweve amesema kuwa spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Mbatia kumpinga Mdee mahakamani.
Na Rabia Bakari
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kinakusudia kumburuta Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake nchini (TAMWA), Bi. Ananilea Nkya
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kinakusudia kumburuta Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake nchini (TAMWA), Bi. Ananilea Nkya
'Wazazi msiwe mawakala wa kuuza watoto'
Na Jumbe Ismailly, Singida
WAZAZI na walezi wa wanafunzi katika Kata ya Unyamikumbi, Manispaa ya Singida wametahadharishwa kuachana na tabia ya kugeuzwa kuwa mawakala wa kupeleka kwenye
WAZAZI na walezi wa wanafunzi katika Kata ya Unyamikumbi, Manispaa ya Singida wametahadharishwa kuachana na tabia ya kugeuzwa kuwa mawakala wa kupeleka kwenye
Yanga kuanza kambi Novemba 26.
*Mbivu na mbichi ya Asamoah leo.
Na Zahoro Mlanzi
KLABU ya Yanga, inatarajia kuanza maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu bara na mashindano ya Kimataifa Novemba 26, mwaka huu jijini Dar es Salaam.Mbali na
Na Zahoro Mlanzi
KLABU ya Yanga, inatarajia kuanza maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu bara na mashindano ya Kimataifa Novemba 26, mwaka huu jijini Dar es Salaam.Mbali na
TP Mazembe Mabingwa Afrika tena.
TUNIS, Tunisia
KLABU ya TP Mazembe, imeteteza taji lake la ubingwa wa Afrika na kuifanya ilitwae kwa mara ya nne.Timu hiyo ya Congo, iliweza kuibana Esperance ikiwa nyumbani
KLABU ya TP Mazembe, imeteteza taji lake la ubingwa wa Afrika na kuifanya ilitwae kwa mara ya nne.Timu hiyo ya Congo, iliweza kuibana Esperance ikiwa nyumbani
Simba kumjadili Patrick Phiri leo.
Na Zahoro Mlanzi
KAMATI ya Ufundi ya Klabu ya Simba, inatarajia kukutana leo jioni kujadili ripoti ya benchi la ufundi iliyoachwa na Kocha Mkuu, Patrick Phiri.Akizungumza
KAMATI ya Ufundi ya Klabu ya Simba, inatarajia kukutana leo jioni kujadili ripoti ya benchi la ufundi iliyoachwa na Kocha Mkuu, Patrick Phiri.Akizungumza
Mvua yaahirisha michuano ya Muungano.
Na Amina Athumani
MVUA kubwa iliyoambatana na radi iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imesababisha kusimama kwa mashindano ya muungano kuogelea, yaliyoanza
MVUA kubwa iliyoambatana na radi iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imesababisha kusimama kwa mashindano ya muungano kuogelea, yaliyoanza
Wizara ya Habari yatupiwa lawama.
Na Heri Shaaban
WIZARA ya Habari, Utamaduni na Michezo imeelezwa kuwa ndiyo chanzo cha kushuka kwa kiwango cha michezo katika shule za msingi nchini.Hayo yalisemwa
WIZARA ya Habari, Utamaduni na Michezo imeelezwa kuwa ndiyo chanzo cha kushuka kwa kiwango cha michezo katika shule za msingi nchini.Hayo yalisemwa
12 November 2010
Bundi anyemelea upinzani bungeni.
*Waunda kambi mbili tofauti, moja kuongozwa na Mbowe, nyingine Hamad Rashid
Peter Saramba na Charles Mwasyeba.
VYAMA vya upinzani vimeunda kambi mbili za upinzani katika Bunge la Jamhuri la Muungano baada Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuunda kambi yake ikijitegemea kutokana na
Peter Saramba na Charles Mwasyeba.
VYAMA vya upinzani vimeunda kambi mbili za upinzani katika Bunge la Jamhuri la Muungano baada Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuunda kambi yake ikijitegemea kutokana na
Makinda, Marando nani zaidi.
Na Tumaini Makene
NCHI bado iko kwenye msimu wa uchaguzi na uteuzi. Baada ya takribani juma moja na nusu kupita tangu uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, umeingia mpambano wa
NCHI bado iko kwenye msimu wa uchaguzi na uteuzi. Baada ya takribani juma moja na nusu kupita tangu uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, umeingia mpambano wa
Sitta kutupwa kwakera wengi.
Tumaini Makene na Gladness Mboma
WAKATI kamati maalumu ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tayari imempitisha kada wake Bi. Anne Makinda kuwa mgombea uspika katika uchaguzi utakaofanyika
WAKATI kamati maalumu ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tayari imempitisha kada wake Bi. Anne Makinda kuwa mgombea uspika katika uchaguzi utakaofanyika
Picha za CCTV zazua ubishi kesi ya Muro.
Na Rabia Bakari
PANDE mbili katika kesi ya kuomba rushwa ya sh. mil.10 inayomkabili Mtangazaji wa kituo cha televisheni cha TBC1, Bw. Jerry Muro na wenzake wawili zimevutana kuhusu
PANDE mbili katika kesi ya kuomba rushwa ya sh. mil.10 inayomkabili Mtangazaji wa kituo cha televisheni cha TBC1, Bw. Jerry Muro na wenzake wawili zimevutana kuhusu
Ushindi wa Serukamba kupingwa kortini.
Na Elisante Kitulo
ALIYEKUWA mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Ali Mleh ametangaza dhamira ya
ALIYEKUWA mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Ali Mleh ametangaza dhamira ya
Wanne wafariki dunia Rukwa.
Na Sammy Kisika, Sumbawanga
WATU wanne wamefariki dunia kwa kuawa katika mazingira matatu tofauti mkoani Rukwa likiwamo la mtu mmoja kumchoma kisu cha tumboni rafiki yake baada ya
WATU wanne wamefariki dunia kwa kuawa katika mazingira matatu tofauti mkoani Rukwa likiwamo la mtu mmoja kumchoma kisu cha tumboni rafiki yake baada ya
Mgaya ataka wafanyakazi kuishtaki serikali.
Cresensia Kapinga na Joseph Mwambije, Songea
NAIBU Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya wa Wafanyakazi (TUCTA) nchini, Bw. Nicholas Mgaya amesema wanapanga kuifikisha serikali mahakamani kwa
NAIBU Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya wa Wafanyakazi (TUCTA) nchini, Bw. Nicholas Mgaya amesema wanapanga kuifikisha serikali mahakamani kwa
Mancini akana kutafuta sare.
LONDON, England
KOCHA Roberto Mancini, amesema timu yake ya Manchester City ilikuwa haichezi kwa ajili ya kutafuta sare katika mchezo wao na wapinzani wao wakuu
KOCHA Roberto Mancini, amesema timu yake ya Manchester City ilikuwa haichezi kwa ajili ya kutafuta sare katika mchezo wao na wapinzani wao wakuu
Drogba aitwa kikosi cha Ivory Coast .
Kashfa zamponza kipa Dalei wa China.
GUANGZHOU, China
KIPA wa China, Wang Dalei ambaye aliwatukana mashabiki kwa kuwaita wanaharamu na kundi la mbwa, ameomba radhi na amesimamishwa katika timu ya
KIPA wa China, Wang Dalei ambaye aliwatukana mashabiki kwa kuwaita wanaharamu na kundi la mbwa, ameomba radhi na amesimamishwa katika timu ya
AC Milan yakamata usukani Italia.
ROME, Italia
KLABU ya AC Milan, imepanda kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu Italia, Serie A baada ya juzi kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Palermo, katika
KLABU ya AC Milan, imepanda kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu Italia, Serie A baada ya juzi kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Palermo, katika
Wachezaji Yanga wampa 'dole' Manji.
Na Elizabeth Mayemba
WACHEZAJI wa Yanga, wamempongeza Mdhamini Mkuu wa klabu hiyo, Yusuf Manji kwa hatua yake ya kuwaita na kuwauliza matatizo yanayowakabili ikiwa
WACHEZAJI wa Yanga, wamempongeza Mdhamini Mkuu wa klabu hiyo, Yusuf Manji kwa hatua yake ya kuwaita na kuwauliza matatizo yanayowakabili ikiwa
11 November 2010
Samuel Sitta atemwa rasmi.
Anna Makinda, Anna Abdallah, Kate Kamba wapeta
Makamba asema lengo ni mwanamke aongoze bunge
Emmanuel Kwitema na Tumaini Makene
ULE mkakati uliokuwa ukisemwa muda mrefu wa kutaka kumng'oa Spika wa Bunge, Bw. Samuel Sitta umepata baraka za
Makamba asema lengo ni mwanamke aongoze bunge
Emmanuel Kwitema na Tumaini Makene
ULE mkakati uliokuwa ukisemwa muda mrefu wa kutaka kumng'oa Spika wa Bunge, Bw. Samuel Sitta umepata baraka za
Uingereza sasa yairuka Takukuru kuhusu Chenge.
Yasema kashfa ya rada haijafika mwisho
*Kesi yake kuanza kunguruma Novemba 23
Na Tumaini Makene
SAKATA la tuhuma za mlungula linazomkabili aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Bw. Andrew Chenge juu ya ununuzi wa rada linaonekana
*Kesi yake kuanza kunguruma Novemba 23
Na Tumaini Makene
SAKATA la tuhuma za mlungula linazomkabili aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Bw. Andrew Chenge juu ya ununuzi wa rada linaonekana
Ruwa'ichi ateuliwa kuwa Askofu Mkuu Mwanza.
Na Elisante Kitulo
BABA Mtakatifu Benedict XVI amemteua Mhashamu Askofu Jude Ruwa'ichi kuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Mwanza.Askofu Ruwa'ichi, alikuwa Askofu wa
BABA Mtakatifu Benedict XVI amemteua Mhashamu Askofu Jude Ruwa'ichi kuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Mwanza.Askofu Ruwa'ichi, alikuwa Askofu wa
Katibu asaini matokeo badala ya wagombea.
Na Eliasa Ally Njombe
ALIYEKUWA mgombea ubunge Jimbo la Njombe Kaskazini Kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Alatanga Nyagawa
ALIYEKUWA mgombea ubunge Jimbo la Njombe Kaskazini Kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Alatanga Nyagawa
NHC kujenga nyumba milioni 3.
Na Jovin Mihambi, Mwanza
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limepanga kuwekeza zaidi katika ujenzi wa nyumba milioni tatu ili kukidhi mahitaji ya wapangaji wake wa sasa na
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limepanga kuwekeza zaidi katika ujenzi wa nyumba milioni tatu ili kukidhi mahitaji ya wapangaji wake wa sasa na
Biashara ya chuma chakavu yaitesa TANESCO.
Na Patrick Mabula, Kahama
UONGOZI wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Tawi la Kahama limeiomba serikali wilayani hapa kuingilia kati uharibifu wa miundombinu ya nguzo za
UONGOZI wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Tawi la Kahama limeiomba serikali wilayani hapa kuingilia kati uharibifu wa miundombinu ya nguzo za
Salamu zamiminika kumpongeza Shein.
Na Mwandishi Wetu
SALAMU za pongezi kutoka ndani na nje ya Tanzania zinaendelea kumiminika kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein kwa
SALAMU za pongezi kutoka ndani na nje ya Tanzania zinaendelea kumiminika kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein kwa
Asamoah Gyan azidi kutakata Sunderland.
LONDON, England
MSHAMBULIAJI Asamoah Gyan, juzi aliibuka shujaa baada ya kuisawazishia bao timu yake ya Sunderland na kuifanya kwenda sare ya bao 1-1 dhidi ya Tottenham
MSHAMBULIAJI Asamoah Gyan, juzi aliibuka shujaa baada ya kuisawazishia bao timu yake ya Sunderland na kuifanya kwenda sare ya bao 1-1 dhidi ya Tottenham
Kocha mpya Azam hadharani Jumamosi.
Na Addolph Bruno
UONGOZI wa Klabu ya Azam, unatarajia kutangaza kocha mpya wa timu yao keshokutwa baada ya Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo kuyafanyia kazi majina ya
UONGOZI wa Klabu ya Azam, unatarajia kutangaza kocha mpya wa timu yao keshokutwa baada ya Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo kuyafanyia kazi majina ya
Njia za Vodacom Cycle zatangazwa.
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom ambao ni waandaaji wa 'Vodacom Mwanza Cycle Challenge' jana wametangaza njia zitakazotumika kwenye
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom ambao ni waandaaji wa 'Vodacom Mwanza Cycle Challenge' jana wametangaza njia zitakazotumika kwenye
Usajili wa Asamoah watanda giza.
Na Elizabeth Mayemba
MCHEZAJI raia wa Ghana ambaye alikuja nchini kuichezea Yanga, Keneth Asamoah usajili wake bado umetanda giza kutokana na uongozi wa Yanga, hadi jana ulikuwa
MCHEZAJI raia wa Ghana ambaye alikuja nchini kuichezea Yanga, Keneth Asamoah usajili wake bado umetanda giza kutokana na uongozi wa Yanga, hadi jana ulikuwa
10 November 2010
Nafasi ya Pinda yazua hofu mpya.
Vigogo CCM waanza kuimezea mate, wajipanga.
Kikwete kuunda baraza 'dogo' la mawaziri.
Na Tumaini Makene
WAKATI duru za siasa za Tanzania zikielekezwa mjini Dodoma ambako wiki hii itajulikana mbivu na mbichi juu ya nani atakuwa spika, naibu wake na waziri mkuu, wachambuzi wa
Kikwete kuunda baraza 'dogo' la mawaziri.
Na Tumaini Makene
WAKATI duru za siasa za Tanzania zikielekezwa mjini Dodoma ambako wiki hii itajulikana mbivu na mbichi juu ya nani atakuwa spika, naibu wake na waziri mkuu, wachambuzi wa
Sitta kuigharimu CCM 2015.
Na John Daniel
MCHUANO wa nafasi ya uspika ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), umezidi kufichua mengi baada ya baadhi ya wabunge na wanazuoni wa chama hicho kutoboa siri kuwa kauli za
MCHUANO wa nafasi ya uspika ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), umezidi kufichua mengi baada ya baadhi ya wabunge na wanazuoni wa chama hicho kutoboa siri kuwa kauli za
Maalim seif, Balozi Idd makamu wa Rais Zanzibar.
Na Ali Suleiman na Tumaini Makene.
RAIS wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa makamu wake wawili, ambapo amemteua Bw. Seif Sharif Hamad kuwa makamu wa kwanza wa Rais na
RAIS wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa makamu wake wawili, ambapo amemteua Bw. Seif Sharif Hamad kuwa makamu wa kwanza wa Rais na
Shibuba ataka polisi kuharakisha upelelezi.
Na Suleiman Abeid, Shinyanga
MBUNGE mteule katika Jimbo la Maswa Magharibi mkoani Shinyanga kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. John Shibuda amelitaka
MBUNGE mteule katika Jimbo la Maswa Magharibi mkoani Shinyanga kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. John Shibuda amelitaka
Kificho arejeshwa uspika Zanzibar.
Na Mwajuma Juma, Zanzibar
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, jana walimrejesha tena Bw. Pandu Ameir Kificho (CCM), kuwa Spika kwa kipindi cha miaka mitano ijayo, katika uchaguzi
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, jana walimrejesha tena Bw. Pandu Ameir Kificho (CCM), kuwa Spika kwa kipindi cha miaka mitano ijayo, katika uchaguzi
Akina Seif waapishwa Zanzibar.
Na Ali Suleiman, Zanzibar
MAKAMU wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad na Makamu wa Pili, Balozi Seif Ali Iddi wamekula kiapo cha utii na uaminifu cha kuitumikia Zanzibar
MAKAMU wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad na Makamu wa Pili, Balozi Seif Ali Iddi wamekula kiapo cha utii na uaminifu cha kuitumikia Zanzibar
Kayuni ajichanganya kwa Kaseja.
Na Mwandishi Wetu
SAKATA la kipa wa timu ya Simba, Juma Kaseja limezidi kuchukua sura mpya baada ya kubainika kwamba Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),
SAKATA la kipa wa timu ya Simba, Juma Kaseja limezidi kuchukua sura mpya baada ya kubainika kwamba Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),
Poulsen amkumbuka Mwaikimba Stars.
* Awatema Mgosi na Tegete
Na Elizabeth Mayemba.
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' Jan Paulsen ameteua kikosi cha wachezaji 22 kwa ajili ya michuano ya Kombe la
Na Elizabeth Mayemba.
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' Jan Paulsen ameteua kikosi cha wachezaji 22 kwa ajili ya michuano ya Kombe la
Tamsha la Str8 Muzik kufanyika mikoa mitatu.
Na Mwandishi Wetu
STR8 Muzik imerudi tena mwaka huu huku wasanii maarufu Afrika Mashariki na wa kimataifa wakitarajiwa kutumbuiza mashabiki wa muziki nchini hususan wanafunzi wa
STR8 Muzik imerudi tena mwaka huu huku wasanii maarufu Afrika Mashariki na wa kimataifa wakitarajiwa kutumbuiza mashabiki wa muziki nchini hususan wanafunzi wa
Majimaji kusajili washambuliaji watano .
Na Addolph Bruno
KOCHA Mkuu wa timu ya Majimaji, Peter Mhina amesema baada ya kumaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu kwa matokeo mabaya, anatarajia kusajili wachezaji watano
KOCHA Mkuu wa timu ya Majimaji, Peter Mhina amesema baada ya kumaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu kwa matokeo mabaya, anatarajia kusajili wachezaji watano
09 November 2010
Shein ateua wanane baraza la wawakilishi.
Na Ali Suleiman, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein amewateua watu wanane kuwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, wakiwamo manaibu mawaziri watatu wa serikali iliyopita ya
RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein amewateua watu wanane kuwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, wakiwamo manaibu mawaziri watatu wa serikali iliyopita ya
Ngulume atakiwa kuwasilisha nyaraka za rufaa.
Na Rabia Bakari
SERIKALI imemtaka aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Bi. Hawa Ngulume kuwasilisha nyaraka za rufaa kutoka kwa madaktari, ili Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii iweze
SERIKALI imemtaka aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Bi. Hawa Ngulume kuwasilisha nyaraka za rufaa kutoka kwa madaktari, ili Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii iweze
CCM Musoma wapiga waandishi wa habari.
Benjamin Masese na Veronica Modest
SIKU chache baada ya kuapishwa Rais Jakaya Kikwete na kusema kuwa muda wa malumbanon umekwisha na kuwataka waandishi wa habari nchini kutibu majeraha yatokanayo
SIKU chache baada ya kuapishwa Rais Jakaya Kikwete na kusema kuwa muda wa malumbanon umekwisha na kuwataka waandishi wa habari nchini kutibu majeraha yatokanayo
Hukumu ya wastaafu EAC leo.
Na Gladness Mboma
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania leo itatoa hukumu kuhusiana na hatima ya mafao ya Wazee wa Afrika Mashariki ambayo wameyasotea kwa muda mrefu.
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania leo itatoa hukumu kuhusiana na hatima ya mafao ya Wazee wa Afrika Mashariki ambayo wameyasotea kwa muda mrefu.
CHADEMA yaalika wanaotaka uspika.
Na Shukrani Kawogo
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wanachama wake wenye nia ya kuomba nafasi ya spika katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wanachama wake wenye nia ya kuomba nafasi ya spika katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mfungwa adaiwa kumlawiti wanafunzi.
Na Daud Magesa, Mwanza
MFUNGWA wa Gereza la Butimba mkoani Mwanza ambaye hajatambuliwa jina lake anatuhumiwa kumlawiti mwanafunzi wa darasa la kwanza wa Shule ya
MFUNGWA wa Gereza la Butimba mkoani Mwanza ambaye hajatambuliwa jina lake anatuhumiwa kumlawiti mwanafunzi wa darasa la kwanza wa Shule ya
Njoolay atuma rambirambi kwa waliokufa maji.
Na Juddy Ngonyani, Sumbawanga
MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Bw. Daniel ole Njoolay ametuma salamu za rambirambi kwa familia za watu waliokufa na wale zaidi ya kumi wanaohofiwa kufa
MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Bw. Daniel ole Njoolay ametuma salamu za rambirambi kwa familia za watu waliokufa na wale zaidi ya kumi wanaohofiwa kufa
Manji ateta na wachezaji Yanga.
Na Elizabeth Mayemba
MDHAMINI Mkuu wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji jana alikuwa na wachezaji wa timu hiyo, kupanga mikakati ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara
MDHAMINI Mkuu wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji jana alikuwa na wachezaji wa timu hiyo, kupanga mikakati ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara
Aliyeokolewa mgodini ashiriki Marathon.
Ghana yatoa watatu tuzo ya mchezaji bora Afrika.
CAIRO, Misri
WACHEZAJI watatu raia wa Ghana, akiwemo mshambuliaji wa timu ya Sunderland, Asamoah Gyan wametajwa kwenye orodha ya wachezaji
WACHEZAJI watatu raia wa Ghana, akiwemo mshambuliaji wa timu ya Sunderland, Asamoah Gyan wametajwa kwenye orodha ya wachezaji
Azam FC kumjadili Kocha ajaye.
Na Addolph Bruno
BODI ya Wakurugenzi ya Azam FC, inatarajia kukutana leo Dar es Salaam kujadili masuala mbalimbali, ambayo yatawawezesha kumpata kocha mpya wa timu hiyo.
BODI ya Wakurugenzi ya Azam FC, inatarajia kukutana leo Dar es Salaam kujadili masuala mbalimbali, ambayo yatawawezesha kumpata kocha mpya wa timu hiyo.
08 November 2010
Chenge amvaa Spika Sitta.
*Adai amejenga bunge la chuki, husuda, uzushi, kutoaminiana
*Adai aliliongoza bunge kwa nia ya kujitafutia umaarufu
*Asema bunge lililopita lilijaa majeruhi, yeye anakwenda kutibu
*Sitta asema hana cha kusema, wananchi wanajua ukweli wataamua
Na Tumaini Makene
MBUNGE mteule wa Jimbo la Bariadi Magharibi kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Andrew Chenge amemshambulia
*Adai aliliongoza bunge kwa nia ya kujitafutia umaarufu
*Asema bunge lililopita lilijaa majeruhi, yeye anakwenda kutibu
*Sitta asema hana cha kusema, wananchi wanajua ukweli wataamua
Na Tumaini Makene
MBUNGE mteule wa Jimbo la Bariadi Magharibi kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Andrew Chenge amemshambulia
Watano wafa ajali ya boti.
Na Sammy Kisika, Sumbawanga
WATU watano wakiwemo watoto wanne wamekufa na wengine zaidi ya kumi wakihofiwa kufa maji ya baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupasuka na kuzama katika
WATU watano wakiwemo watoto wanne wamekufa na wengine zaidi ya kumi wakihofiwa kufa maji ya baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupasuka na kuzama katika
Wanandoa wauawa kinyama Kahama.
Na Patrick Mabula, Kahama
WANANDOA wawili wameuawa kinyama kwa kucharangwa mapanga na watu wasiojulikana katika kijiji cha Segese, Kata ya Segese wilayani Kahama.
WANANDOA wawili wameuawa kinyama kwa kucharangwa mapanga na watu wasiojulikana katika kijiji cha Segese, Kata ya Segese wilayani Kahama.
ZEC yateua 20 viti maalumu Zanzibar.
Na Mwajuma Juma, Zanzibar
TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imefanya uteuzi wa wajumbe 20 wa Baraza la Wawakilishi kupitia viti maalumu, ambao wataingia katika baraza hilo linalotarajiwa kuanza
TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imefanya uteuzi wa wajumbe 20 wa Baraza la Wawakilishi kupitia viti maalumu, ambao wataingia katika baraza hilo linalotarajiwa kuanza
Kikwete atakiwa kuwatosa waliomwangusha.
Na Gladness Mboma
RAIS Jakaya Kikwete ametakiwa kuangalia uwezekano wa kupunguza ukubwa wa Serikali yake kwa kuweka watu makini, wazalendo na wachapa kazi na
RAIS Jakaya Kikwete ametakiwa kuangalia uwezekano wa kupunguza ukubwa wa Serikali yake kwa kuweka watu makini, wazalendo na wachapa kazi na
Tunataka ahadi zitekelezwe-Wananchi.
Na Eliasa Ally,
WANANCHI wa Mkoa wa Iringa wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi zake kama alivyoahidi wakati akisaka kura zao.
WANANCHI wa Mkoa wa Iringa wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi zake kama alivyoahidi wakati akisaka kura zao.
Meya, naibu wake waangushwa Shinyanga.
Na Suleiman Abeid, Shinyanga
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini kimepata pigo baada ya wagombea wake sita katika viti vya udiwani akiwemo aliyekuwa Meya na
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini kimepata pigo baada ya wagombea wake sita katika viti vya udiwani akiwemo aliyekuwa Meya na
Simba yang'ang'ani kileleni.
*Yanga yaiua Toto African
*Ngassa awa shujaa wa Azam FC
Na Mhaiki Endrew, Songea
MABINGWA soka nchini, Simba jana waliendelea kung'ang'ania kileleni baada ya kuifunga Majimaji mabao 2-0 katika mechi ya
*Ngassa awa shujaa wa Azam FC
Na Mhaiki Endrew, Songea
MABINGWA soka nchini, Simba jana waliendelea kung'ang'ania kileleni baada ya kuifunga Majimaji mabao 2-0 katika mechi ya
Newcastle yaifumua Arsenal.
LONDON, Uingereza
BAO pekee lililofungwa kwa kichwa na Andy Carroll, kupindi cha kwanza lilitosha kuwafanya Arsenal, kulala nyumbani katika Uwanja wa Emirates dhidi ya
BAO pekee lililofungwa kwa kichwa na Andy Carroll, kupindi cha kwanza lilitosha kuwafanya Arsenal, kulala nyumbani katika Uwanja wa Emirates dhidi ya
07 November 2010
JK aapishwa rasmi.
*Asema sasa kazi ni moja tu, kutekeleza ahadi
*Akiri wapinzani wameipa changamoto CCM
*Kutoa mwelekeo, dira ya Serikali yake Bungeni
*Aagiza vyombo vya usalama kutoruhusu machafuko
Na John Daniel
JAJI Mkuu wa Tanzania Augustino Ramadhani, amehitimisha mchakato wa uchaguzi kwa kumwapisha rasmi Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake
*Akiri wapinzani wameipa changamoto CCM
*Kutoa mwelekeo, dira ya Serikali yake Bungeni
*Aagiza vyombo vya usalama kutoruhusu machafuko
Na John Daniel
JAJI Mkuu wa Tanzania Augustino Ramadhani, amehitimisha mchakato wa uchaguzi kwa kumwapisha rasmi Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake
Odinga atetea mawaziri wanaotajwa kesi za 'ufisadi'.
Rais Museveni aonya wanaoeneza uongo.
KAMPALA,Uganda
RAIS wa Uganda,Bw. Yoweri Museveni amewaonya wapinzani kwa kueneza uogo kwa wapiga kura akisema kuwa wanaweza kuzuiwa kugombea ama
RAIS wa Uganda,Bw. Yoweri Museveni amewaonya wapinzani kwa kueneza uogo kwa wapiga kura akisema kuwa wanaweza kuzuiwa kugombea ama
Mkakati waundwa kummaliza Sitta.
Na John Daniel
KUNDI la watu wanaodaiwa kuwa ni mahasimu wa kisiasa linadaiwa kuanza mikakati mizito kuhakikisha linamwangusha Spika wa Bunge anayetea nafasi yake
KUNDI la watu wanaodaiwa kuwa ni mahasimu wa kisiasa linadaiwa kuanza mikakati mizito kuhakikisha linamwangusha Spika wa Bunge anayetea nafasi yake
Waislam walalamikia mabucha ya 'kitimoto'.
Na Joseph Mwambije, Songea
WAISLAM wanaofanya biashara zao kwenye soko la Mazao Songea (SODECO) Mkoani Ruvuma wamelalamikia kuwepo kwa mabucha ya kuuza
WAISLAM wanaofanya biashara zao kwenye soko la Mazao Songea (SODECO) Mkoani Ruvuma wamelalamikia kuwepo kwa mabucha ya kuuza
CCM Arusha yazuia vijana wake kuandamana.
Na Queen Lema, Arusha
UONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha umepinga na kulaani maandamano
yanayodaiwa kupangwa na baadhi ya vijana wa
UONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha umepinga na kulaani maandamano
yanayodaiwa kupangwa na baadhi ya vijana wa
Meya, madiwani watano waangushwa Shinyanga.
Na Suleiman Abeid, Shinyanga
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga mjini kimepata pigo baada ya wagombea wake sita katika viti vya udiwani akiwemo aliyekuwa
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga mjini kimepata pigo baada ya wagombea wake sita katika viti vya udiwani akiwemo aliyekuwa
Mtoto auawa kikatili.
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga
MWANAFUNZI wa Darasa la Kwanza katika Shule ya Msingi Bukondamoyo wilayani Kahama mkoani Shinyanga ameuawa kikatili baada ya kupigwa na kitu
MWANAFUNZI wa Darasa la Kwanza katika Shule ya Msingi Bukondamoyo wilayani Kahama mkoani Shinyanga ameuawa kikatili baada ya kupigwa na kitu
Yanga waishangaa Kamati ya Nidhamu TFF.
Na Mwandishi Wetu
UONGOZI wa klabu ya Yanga umeshangazwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kushindwa kumchukulia hatua za kinidhamu kiongozi wa
UONGOZI wa klabu ya Yanga umeshangazwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kushindwa kumchukulia hatua za kinidhamu kiongozi wa
Pool Taifa yaenda Ufaransa.
Na Addolph Bruno
TIMU ya taifa ya pool imeondoka jana kwenda nchini Ufaransa kushiriki mashindano ya dunia ya mchezo huo yatakayoanza kuchezwa kesho mpaka Novemba 13
TIMU ya taifa ya pool imeondoka jana kwenda nchini Ufaransa kushiriki mashindano ya dunia ya mchezo huo yatakayoanza kuchezwa kesho mpaka Novemba 13
Liverpool, Chelsea hatari tupu leo.
LIVERPOOL, England
MACHO ya mashabiki wa soka nchini Uingereza, yameelekezwa katika mechi ya Ligi Kuu nchini humo kati Liverpool na Chelsea, itakayochezwa katika Uwanja wa Anfield
MACHO ya mashabiki wa soka nchini Uingereza, yameelekezwa katika mechi ya Ligi Kuu nchini humo kati Liverpool na Chelsea, itakayochezwa katika Uwanja wa Anfield
Mjomba Band kwenda Uholanzi.
Na Tumaini Maduhu
BENDI ya Mjomba inayomilikiwa na Mrisho Mpoto, inarajiwa kufanya ziara nchini Uholanzi kwa ajili ya kujitangaza katika soko la kimataifa hivi karibuni.
BENDI ya Mjomba inayomilikiwa na Mrisho Mpoto, inarajiwa kufanya ziara nchini Uholanzi kwa ajili ya kujitangaza katika soko la kimataifa hivi karibuni.
Waziri, Manoti kuzichapa leo.
Na Addolph Bruno
MABONDIA Njiri Waziri na William Manoti, leo watapigana kuwania ubingwa wa ngumi Mkoa wa Dar es Salaam, katika ukumbi wa Southern Park
MABONDIA Njiri Waziri na William Manoti, leo watapigana kuwania ubingwa wa ngumi Mkoa wa Dar es Salaam, katika ukumbi wa Southern Park
05 November 2010
Usalama wa Taifa wamjibu Dkt. Slaa.
* Wasema madai yake ya uongo, yanalenga kuvuruga amani
* Rostam ajitetea tuhuma za kupanga uchakachuaji kura
* Yeye ataka wasijibu kisiasa bali wafanyie kazi madai
Grace Michael na Tumaini Makene
IDARA ya Usalama wa Taifa imejitokeza kujibu tuhuma mbalimbali zinazotolewa na mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
* Rostam ajitetea tuhuma za kupanga uchakachuaji kura
* Yeye ataka wasijibu kisiasa bali wafanyie kazi madai
Grace Michael na Tumaini Makene
IDARA ya Usalama wa Taifa imejitokeza kujibu tuhuma mbalimbali zinazotolewa na mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Watano wachukua fomu kuwania uspika.
Na John Daniel
KINYANG'ANYIRO cha kuwania nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania kimeshika kasi baada ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na
KINYANG'ANYIRO cha kuwania nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania kimeshika kasi baada ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na
TACCEO yataja kasoro uchaguzi mkuu.
Na Tumaini Makene
KASORO mbalimbali zilizojitokeza katika uchaguzi mkuu, ikiwemo muundo mbaya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na matumizi ya
KASORO mbalimbali zilizojitokeza katika uchaguzi mkuu, ikiwemo muundo mbaya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na matumizi ya
Kortini kwa tuhuma za kujeruhi .
Na Yvonne Mussa
MKAZI wa Tandale, Bw. Michael Edward (28) amefikishwa katika Mahakama ya Ilala kwa tuhuma za kumjeruhi, Bw. Ally Abdallah kwa kumpiga na jiwe kwenye
MKAZI wa Tandale, Bw. Michael Edward (28) amefikishwa katika Mahakama ya Ilala kwa tuhuma za kumjeruhi, Bw. Ally Abdallah kwa kumpiga na jiwe kwenye
Simba kujenga uwanja wa Kisasa.
Na Zahoro Mlanzi
KLABU ya Simba inakaribia kujenga Uwanja wa kisasa, utakaochukua miezi 24 katika eneo la Bunju jijini Dar es Salaam utakaochukua watu 30,000.
KLABU ya Simba inakaribia kujenga Uwanja wa kisasa, utakaochukua miezi 24 katika eneo la Bunju jijini Dar es Salaam utakaochukua watu 30,000.
Twiga Stars yale yale.
Na Mwandishi Wetu
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wanawake, Twiga Stars jana ilifungwa mabao mawili 3-2 na Mali katika mchezo
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wanawake, Twiga Stars jana ilifungwa mabao mawili 3-2 na Mali katika mchezo
Vodacom yatangaza zawadi mbio za baiskeli.
Watatu gofu kuongeza nguvu Rwanda Open.
Na Andrew Ignas
WACHEZAJI wa tatu wa mchezo wa gofu nchini wanatarajia kwenda nchini Rwanda kuungana na wenzao sita walioopo nchini humo kwa ajili ya mashindano ya Rwanda Open
WACHEZAJI wa tatu wa mchezo wa gofu nchini wanatarajia kwenda nchini Rwanda kuungana na wenzao sita walioopo nchini humo kwa ajili ya mashindano ya Rwanda Open
04 November 2010
Slaa aitaka NEC isitishe matokeo.
*Adai yanayotangazwa ni tofauti na kura za vituoni.
*Asema yameandaliwa makusudi kumbeba mgombea wa CCM.
*NEC yasema kama ana ushahidi awasilishe vielelezo.
Na Tumaini Makene
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amesema zimefanyika njama kuhujumu matokeo ya uchaguzi mkuu
*Asema yameandaliwa makusudi kumbeba mgombea wa CCM.
*NEC yasema kama ana ushahidi awasilishe vielelezo.
Na Tumaini Makene
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amesema zimefanyika njama kuhujumu matokeo ya uchaguzi mkuu
Dkt. Shein aapishwa.
Na Mwajuma Juma, Zanzibar
MAELFU ya wananchi wa Zanzibar, jana walihudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Awamu ya Saba, Dkt. Ali Mohammed Shein, zilizofanyika
MAELFU ya wananchi wa Zanzibar, jana walihudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Awamu ya Saba, Dkt. Ali Mohammed Shein, zilizofanyika
Matokeo Segerea yatangazwa saa 8 usiku.
Na Kulwa Mzee
PAMOJA na mvutano mkali na shinikizo kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA hatimaye Msimamizi wa Uchaguzi wa majimbo ya Segerea na Ukonda
PAMOJA na mvutano mkali na shinikizo kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA hatimaye Msimamizi wa Uchaguzi wa majimbo ya Segerea na Ukonda
CCM yaubeba mkoa wa Kagera.
Na Livinus Feruzi, Bukoba
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi katika majimbo manne mkoani Kagera, yakiwemo mawili ya Wilaya ya Karagwe na moja la Bukoba vijijini, na
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi katika majimbo manne mkoani Kagera, yakiwemo mawili ya Wilaya ya Karagwe na moja la Bukoba vijijini, na
CHADEMA, CCM kupinga matokeo Shinyanga.
Na Suleiman Abeid, Shinyanga
WAGOMBEA ubunge katika majimbo ya Shinyanga mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na jimbo la Maswa
WAGOMBEA ubunge katika majimbo ya Shinyanga mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na jimbo la Maswa
Michuano ya Chalenji Stars kufungua na Zambia.
*Bingwa kuzoa mil. 45/-
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', imepangwa kuanza na Zambia katika michuano inayoandaliwa na Baraza la Vyama
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars', imepangwa kuanza na Zambia katika michuano inayoandaliwa na Baraza la Vyama
Mpangala aishauri Serikali.
Na Amina Athumani
SERIKALI imetakiwa kuisaidia Kamati ya Miss Tanzania katika maandalizi ya mshiriki wa Tanzania katika mashindano ya Miss World, ili aweze kufanya
SERIKALI imetakiwa kuisaidia Kamati ya Miss Tanzania katika maandalizi ya mshiriki wa Tanzania katika mashindano ya Miss World, ili aweze kufanya
Maugo amwendea Cheka Kenya.
Na Addolph Bruno
BONDIA Mada Maugo, anatarajia kwenda Nairobi, Kenya keshokutwa kujiandaa na pambano lake lisilo la ubingwa, dhidi ya Bingwa wa Mabara
BONDIA Mada Maugo, anatarajia kwenda Nairobi, Kenya keshokutwa kujiandaa na pambano lake lisilo la ubingwa, dhidi ya Bingwa wa Mabara
Spurs yaitolea uvivu Inter Milan.
LONDON, England
TIMU ya Tottenham Hotspur ya England, usiku wa kuamkia jana iliwachapa mabingwa watetezi wa michuano ya Kalbu Bingwa Ulaya, Inter Milan
TIMU ya Tottenham Hotspur ya England, usiku wa kuamkia jana iliwachapa mabingwa watetezi wa michuano ya Kalbu Bingwa Ulaya, Inter Milan
Ruvu JKT yajiandaa na ligi netiboli.
Na Omary Mngindo, Kibaha
TIMU ya netiboli ya Ruvu JKT ya Kibaha Mkoa wa Pwani, imeanza kambi kwa ajili ligi ya netiboli daraja la pili taifa.Akizungumza mjini hapa jana, kocha
TIMU ya netiboli ya Ruvu JKT ya Kibaha Mkoa wa Pwani, imeanza kambi kwa ajili ligi ya netiboli daraja la pili taifa.Akizungumza mjini hapa jana, kocha
03 November 2010
Rais Zuma apangua baraza la mawaziri.
JOHANESBURG,A.Kusini.
RAIS wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameonesha uwezo wake wa madaraka kwa kupangua mawaziri saba katika baraza lake,mabadiliko ambayo wakosoaji wa
RAIS wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameonesha uwezo wake wa madaraka kwa kupangua mawaziri saba katika baraza lake,mabadiliko ambayo wakosoaji wa
Aliyeteketeza Watutsi Kanisani atupwa jela.
KIGALI,Rwanda
MFANYABIASHARA mashuhuri nchini Rwanda amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumtia hatiani kwa kushiriki kuteketeza Kanisa ambalo lilikuwa
MFANYABIASHARA mashuhuri nchini Rwanda amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumtia hatiani kwa kushiriki kuteketeza Kanisa ambalo lilikuwa
China yakataa pendekezo la Marekani.
HANOI,vietnam
CHINA imekataa pendekezo la Marekani kuandaa mazungumzo ya nchi tatu na Japan kuutanzua mzozo unaozunguka umiliki wa visiwa kadhaa katika bahari ya
CHINA imekataa pendekezo la Marekani kuandaa mazungumzo ya nchi tatu na Japan kuutanzua mzozo unaozunguka umiliki wa visiwa kadhaa katika bahari ya
Dkt.Besigye azindua kampeni na ahadi za matumaini.
KAMPALA,Uganda
KIONGOZI wa Chama cha Forum for Democratic Change (FDC),Dkt. Kizza Besigye amezindua kampeni zake za kuwania kiti cha urais katika Wilaya ya Masaka
KIONGOZI wa Chama cha Forum for Democratic Change (FDC),Dkt. Kizza Besigye amezindua kampeni zake za kuwania kiti cha urais katika Wilaya ya Masaka
TFF yazipa somo klabu.
*Yataka wachezaji bora Ligi Kuu
Na Zahoro Mlanzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limezitaka klabu mbalimbali zinazoshiriki mashindano yao, hususan Ligi Kuu Bara kusajili wachezaji
Na Zahoro Mlanzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limezitaka klabu mbalimbali zinazoshiriki mashindano yao, hususan Ligi Kuu Bara kusajili wachezaji
Twiga Stars yatakiwa kukaza msuli.
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeitaka timu ya taifa ya wanawake 'Taifa Stars' kukaza buti kwa kujipanga upya katika fainali za saba za
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeitaka timu ya taifa ya wanawake 'Taifa Stars' kukaza buti kwa kujipanga upya katika fainali za saba za
Makocha wamiminika Azam FC.
Na Addolph Bruno
SIKU moja baada ya kukatisha mkataba na kocha wao Itamar Amorin, uongozi wa Klabu ya Azam FC umesema umeanza kupokea maombi ya makocha
SIKU moja baada ya kukatisha mkataba na kocha wao Itamar Amorin, uongozi wa Klabu ya Azam FC umesema umeanza kupokea maombi ya makocha
Simba yajificha Njombe.
Na Mwandishi Wetu
MABINGWA wa Tanzania Bara, Simba wameweka kambi ya muda wilayani Njombe kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wao, dhidi ya Majimaji ambapo leo watajipima
MABINGWA wa Tanzania Bara, Simba wameweka kambi ya muda wilayani Njombe kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wao, dhidi ya Majimaji ambapo leo watajipima
Vodacom yaitengea fedha Mitikisiko.
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom, imetenga sh. milioni 22 kwa ajili ya Tamasha la Mtikisiko linalotarajia kufanyika katika mikoa ya Mbeya na Iringa.
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom, imetenga sh. milioni 22 kwa ajili ya Tamasha la Mtikisiko linalotarajia kufanyika katika mikoa ya Mbeya na Iringa.
02 November 2010
Kikwete, Slaa haitabiriki.
Na John Daniel
WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatarajiwa kutangaza matokeo ya jumla ya urais muda wowote kuanzaia leo, mchuano umeendelea kuwa mkali
WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatarajiwa kutangaza matokeo ya jumla ya urais muda wowote kuanzaia leo, mchuano umeendelea kuwa mkali
Kura zayeyuka Segerea, Ukonga.
Na Kulwa Mzee
MATOKEA ya kura za urais na ubunge katika Jimbo la Ukonga na Segerea bado ni tata kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo sanduku la kura za rais kukutwa
MATOKEA ya kura za urais na ubunge katika Jimbo la Ukonga na Segerea bado ni tata kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo sanduku la kura za rais kukutwa
CHADEMA wapiga wasimamizi, CCM wachoma nyumba.
Na Faida Muyomba, Geita
NYUMBA nane pamoja na maduka mawili katika kitongoji cha Makanda, Kata ya Nyamalimbe zimeteketezwa kwa moto na wasimamizi wawili
NYUMBA nane pamoja na maduka mawili katika kitongoji cha Makanda, Kata ya Nyamalimbe zimeteketezwa kwa moto na wasimamizi wawili
Ucheleweshaji matokeo wazua balaa.
Na Waandishi Wetu
UCHELEWESHAJI wa matokeo katika majimbo mbalimbali umezua balaa katika mikoa mitano nchini, hali iliyosababisha wafuasi wa vyama vya upinzani kuzingira ofisi za
UCHELEWESHAJI wa matokeo katika majimbo mbalimbali umezua balaa katika mikoa mitano nchini, hali iliyosababisha wafuasi wa vyama vya upinzani kuzingira ofisi za
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi.
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete, ametuma salamu za rambirambi kwa Chuo Kikuu Huria (OUT), kwa kifo cha mkufunzi Syllersaid Mziray kilichotokea
RAIS Jakaya Kikwete, ametuma salamu za rambirambi kwa Chuo Kikuu Huria (OUT), kwa kifo cha mkufunzi Syllersaid Mziray kilichotokea
Yasoda, Tenga waongoza mazishi ya Mziray.
*TASWA yanena kwa majonzi
*Yanga yatoa ubani 500,000/-
Na Zahoro Mlanzi
MKURUGENZI Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo Tanzania, Juliana Yasoda na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga
*Yanga yatoa ubani 500,000/-
Na Zahoro Mlanzi
MKURUGENZI Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo Tanzania, Juliana Yasoda na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga
Azam FC yasitisha kibarua cha kocha.
Na Elizabeth Mayemba
UONGOZI wa timu ya soka ya Azam FC, umesitisha mkataba wa Kocha, Itamar Amorin, sasa timu hiyo itakuwa chini ya Kocha Msaidizi, Habib Kondo.
UONGOZI wa timu ya soka ya Azam FC, umesitisha mkataba wa Kocha, Itamar Amorin, sasa timu hiyo itakuwa chini ya Kocha Msaidizi, Habib Kondo.
01 November 2010
Mchuano Mkali.
Na Waandishi Wetu.
MATOKEO ya awali ya Uchaguzi Mkuu yaliyoanza kutolewa jana jioni baada ya kura kuhesabiwa na kubandikwa vituoni yalionesha mpambano mkali baina ya
MATOKEO ya awali ya Uchaguzi Mkuu yaliyoanza kutolewa jana jioni baada ya kura kuhesabiwa na kubandikwa vituoni yalionesha mpambano mkali baina ya
Kasoro zatawala uchaguzi Mkuu.
*Majimbo saba yashindwa kupiga kura
*Polisi anaswa na shahada mkobani
*Wachana shahada kwa kukosa majina
*Mabomu ya machozi yatumika M'nyamala
Na Waandishi Wetu Dar na mikoani
UCHAGUZI Mkuu wa rais, wabunge, wawakilishi na madiwani
*Polisi anaswa na shahada mkobani
*Wachana shahada kwa kukosa majina
*Mabomu ya machozi yatumika M'nyamala
Na Waandishi Wetu Dar na mikoani
UCHAGUZI Mkuu wa rais, wabunge, wawakilishi na madiwani
CHADEMA yalalamikia polisi Bukoba.
Na Tumaini Makene
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimelaani Jeshi la Polisi mkoani Kagera kumshikilia mgombea ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Bw. Wilfred Lwakatare
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimelaani Jeshi la Polisi mkoani Kagera kumshikilia mgombea ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Bw. Wilfred Lwakatare
Makada CCM wajeruhiwa Geita.
Na Faida Muyomba, Geita
MAKADA wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Nkome, Jimbo la Geita, wamejeruhiwa vibaya kwa kukatwa mapanga na watu wanaosadikiwa kuwa
MAKADA wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Nkome, Jimbo la Geita, wamejeruhiwa vibaya kwa kukatwa mapanga na watu wanaosadikiwa kuwa
Utabiri wa Shekhe Yahya wakwama.
Na Mwandishi Wetu
LICHA ya utabiri wa Mnajimu maarufu nchini, Shekhe Yahya Hussein kubainisha kuwa mwaka huu kusingekuwa na Uchaguzi Mkuu, hali imekuwa tofauti na
LICHA ya utabiri wa Mnajimu maarufu nchini, Shekhe Yahya Hussein kubainisha kuwa mwaka huu kusingekuwa na Uchaguzi Mkuu, hali imekuwa tofauti na
Ahadi ya makazi yambeba Slaa.
Na Kulwa Mzee
AHADI ya mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dkt. Willibrod Slaa ya kupunguza gharama za saruji na mabati kwa ajili ya kurahisisha ujenzi imeibua hamasa kwa
AHADI ya mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dkt. Willibrod Slaa ya kupunguza gharama za saruji na mabati kwa ajili ya kurahisisha ujenzi imeibua hamasa kwa
Maelfu kumuaga Mziray leo viwanja Biafra.
Na Zahoro Mlanzi
MAELFU ya wadau wa soka nchini, wanatarajia kwenda kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Kocha wa viungo na mshauri wa saikolojia wa timu ya
MAELFU ya wadau wa soka nchini, wanatarajia kwenda kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Kocha wa viungo na mshauri wa saikolojia wa timu ya
Twiga Stars yaanza vibaya Afrika Kusini.
Na Zahoro Mlanzi, Mashirika ya habari
TIMU ya Wanawake ya Taifa 'Twiga Stars', jana ilianza vibaya kampeni zake za kutwaa ubingwa wa michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wanawake baada ya kufungwa mabao 2-1 na
TIMU ya Wanawake ya Taifa 'Twiga Stars', jana ilianza vibaya kampeni zake za kutwaa ubingwa wa michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wanawake baada ya kufungwa mabao 2-1 na
Subscribe to:
Posts (Atom)