Na Addolph Bruno
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza, Andy Cole amewataka vijana wanaochipukia katika soka nchini kuwa wasikivu kwa makocha
30 June 2011
Usiku wa za Kale ni Dhahabu waja Julai 7
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Mac D Promotion, imeandaa onesho la Usiku wa za Kale ni Dhahabu litakalofanyika katika Julai 7 mwaka huu kwenye Ukumbi wa
KAMPUNI ya Mac D Promotion, imeandaa onesho la Usiku wa za Kale ni Dhahabu litakalofanyika katika Julai 7 mwaka huu kwenye Ukumbi wa
Abramovich kumwekea ngumu Essien kwenda Madrid
LONDON, Uingereza
ROMAN Abramovich atavunja mkakati wa Jose Mourinho wa kutaka kumsaini Michael Essien kwa pauni milioni 18.Lakini, kunaweza kutokea badiliko moja kwa
ROMAN Abramovich atavunja mkakati wa Jose Mourinho wa kutaka kumsaini Michael Essien kwa pauni milioni 18.Lakini, kunaweza kutokea badiliko moja kwa
29 June 2011
Zitto amkabili Makinda
*Kuthibitisha leo tuhuma za Baraza la Mawaziri
Na Grace Michael, Dodoma
MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kaskazini Bw. Zitto Kabwe, leo anawasilisha maelezo yake kuthibitisha kauli aliyoitoa bungeni akituhumu Baraza la Mawaziri kutoa maamuzi yanayotokana na
Na Grace Michael, Dodoma
MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kaskazini Bw. Zitto Kabwe, leo anawasilisha maelezo yake kuthibitisha kauli aliyoitoa bungeni akituhumu Baraza la Mawaziri kutoa maamuzi yanayotokana na
Mchungaji mbaroni kwa kuua mkewe
Na Livinus Feruzi, Bukoba
MCHUNGAJI wa Kanisa la World Missionery Fellowship of Tanzania (WMF) katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, Bw. Gaspar Joseph (52) anashikilizwa na polisi kwa
MCHUNGAJI wa Kanisa la World Missionery Fellowship of Tanzania (WMF) katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, Bw. Gaspar Joseph (52) anashikilizwa na polisi kwa
Mbunge: Watendaji wanamdharau rais
Na Grace Michael, Dodoma
WABUNGE wameendelea kuirarua serikali katika mjadala wa bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kuhusu mambo mbalimbali hasa utendaji wake na baadhi wakienda mbali
WABUNGE wameendelea kuirarua serikali katika mjadala wa bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kuhusu mambo mbalimbali hasa utendaji wake na baadhi wakienda mbali
Uagizaji mafuta pamoja kupunguza bei-UWURA
Na Agnes Mwaijega
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imesema inajipanga kuanzisha mfumo mpya utaoziwezesha kampuni zote kuagiza na kusafirisha mafuta kwa
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imesema inajipanga kuanzisha mfumo mpya utaoziwezesha kampuni zote kuagiza na kusafirisha mafuta kwa
Simba, Ocean View uso kwa uso
Na Mwandishi Wetu
WAKATI timu ya Simba, ikisaka ushindi katika mechi ya Kombe la Kagame Castle, Ocean View watakuwa wakitafuta pointi moja waweze kutinga hatua ya
WAKATI timu ya Simba, ikisaka ushindi katika mechi ya Kombe la Kagame Castle, Ocean View watakuwa wakitafuta pointi moja waweze kutinga hatua ya
Redd's Miss Kinondoni 2011 kambini leo
Na Mwandishi Wetu
MASHINDANO ya Miss Kinondoni 2011, yamezinduliwa juzi rasmi na leo washiriki 15 wanatarajia kuingia kambini Mzalendo Pub kwa ajili ya kujiandaa na fainali
MASHINDANO ya Miss Kinondoni 2011, yamezinduliwa juzi rasmi na leo washiriki 15 wanatarajia kuingia kambini Mzalendo Pub kwa ajili ya kujiandaa na fainali
Utamaduni wa Tanzania kivutio China
Na Amina Athumani
WATU wa China wamevutiwa na utamaduni wa Watanzania katika tamasha la tatu la utamaduni lililoanza jana nchini China.Katika tamasha hilo, Tanzania inawakilishwa na
WATU wa China wamevutiwa na utamaduni wa Watanzania katika tamasha la tatu la utamaduni lililoanza jana nchini China.Katika tamasha hilo, Tanzania inawakilishwa na
Klabu tano zakabana koo kumsaini Neymar
RIO DE JENEIRO, Brazil
RAIS wa Klabu ya Santos, Luis Alvaro de Oliveira Ribeiro amethibitisha kuwa klabu tano Ulaya zimekubali kulipa dau la euro milioni 45 kwa ajili ya
RAIS wa Klabu ya Santos, Luis Alvaro de Oliveira Ribeiro amethibitisha kuwa klabu tano Ulaya zimekubali kulipa dau la euro milioni 45 kwa ajili ya
28 June 2011
Baraza la Kikwete lahojiwa bungeni
*Mbunge asema ni kubwa mno, linalodidimiza uchumi
*Alinganaisha Marekani yenye mawaziri 15, Japan 17
*Wazanzibari walia na muungano, wasisitiza uvunjwe
Na Grace Michael,Dodoma
MBUNGE wa Viti Maalum, Bi. Suzan Lyimo (CHADEMA) amekataa kuunga mkono hoja ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kuwa haijazingatia
*Alinganaisha Marekani yenye mawaziri 15, Japan 17
*Wazanzibari walia na muungano, wasisitiza uvunjwe
Na Grace Michael,Dodoma
MBUNGE wa Viti Maalum, Bi. Suzan Lyimo (CHADEMA) amekataa kuunga mkono hoja ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kuwa haijazingatia
Viongozi TLP wazidi kumkaba koo Mrema
Na Agnes Mwaijega
VIONGOZI wa Chama cha Tanzania Labour (TLP) wamemtaka Mwenyekiti wa chama hicho ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Bw. Augustino Mrema kujiuzulu kwa
VIONGOZI wa Chama cha Tanzania Labour (TLP) wamemtaka Mwenyekiti wa chama hicho ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Bw. Augustino Mrema kujiuzulu kwa
Mbunge akerwa Kenya 'kumteka' Babu Samunge
Na Grace Michael, Dodoma
SERIKALI imetakiwa kuwa makini na kukanusha taarifa za upotoshaji wa taarifa zinazotolewa na nchi jirani ya Kenya kuhusiana na Mchungaji Ambilikile Masapila maarufu
SERIKALI imetakiwa kuwa makini na kukanusha taarifa za upotoshaji wa taarifa zinazotolewa na nchi jirani ya Kenya kuhusiana na Mchungaji Ambilikile Masapila maarufu
Katibu CCM atema cheche dawa za kulevya
Na Andrew Ignas
KIONGOZI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Temeke Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Saad Kusulawe, amewataka viongozi wa serikali kutekeleza kaulimbiu ya
KIONGOZI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Temeke Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Saad Kusulawe, amewataka viongozi wa serikali kutekeleza kaulimbiu ya
Sitambui muafaka Arusha-Lema
Na Queen Lema na Richard Konga, Arusha
MBUNGE wa Arusha Mjini, Bw. Goodbless Lema (CHADEMA), ameibuka na kudai kutotambua muafaka wa kumaliza mgogoro wa Meya wa Jiji hilo uliofikiwa kati ya
MBUNGE wa Arusha Mjini, Bw. Goodbless Lema (CHADEMA), ameibuka na kudai kutotambua muafaka wa kumaliza mgogoro wa Meya wa Jiji hilo uliofikiwa kati ya
LHRC waomba hati kukamata viongozi Dowans
Na Mwandishi Wetu
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimewasilisha ombi chini ya hati ya dharura Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuomba itoe hati
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimewasilisha ombi chini ya hati ya dharura Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuomba itoe hati
Ocean View yajiweka pazuri Kagame
Na Elizabeth Mayemba
TIMU ya soka ya Zanzibar Ocean View, imejiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele kwenye michuano ya Kagame Castle Cup, baada ya kuilaza Red Sea ya
TIMU ya soka ya Zanzibar Ocean View, imejiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele kwenye michuano ya Kagame Castle Cup, baada ya kuilaza Red Sea ya
Ali Kiba apata ajali Mikumi
Na Stella Aron
WANENGUAJI wawili wa msanii wa kizazi kipya, Ali Kiba wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, baada ya gari walilokuwa wakisafiria
WANENGUAJI wawili wa msanii wa kizazi kipya, Ali Kiba wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, baada ya gari walilokuwa wakisafiria
Tevez, Man City waingizwa katika skendo
LONDON, Uingereza
CARLOS Tevez na Manchester City wameingizwa katika skendo ya upangaji matokeo. Wakati hakuna mawazo kama mchezaji au klabu imefanya makosa, mahakama ya
CARLOS Tevez na Manchester City wameingizwa katika skendo ya upangaji matokeo. Wakati hakuna mawazo kama mchezaji au klabu imefanya makosa, mahakama ya
27 June 2011
Shibuda awashukia vikali mawaziri wa Rais Kikwete
Na Rashid Mkwinda,Dodoma
MBUNGE wa Jimbo la Maswa Magharibi (CHADEMA) Bw.John Shibuda, amesema utendaji mzuri wa Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda, unavurugwa na baadhi ya
MBUNGE wa Jimbo la Maswa Magharibi (CHADEMA) Bw.John Shibuda, amesema utendaji mzuri wa Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda, unavurugwa na baadhi ya
Kawambwa atangaza dawa ya migomo vyuo vikuu
*Afichua yaliyomo katika bajeti yake
*Bodi ya mikopo kuongezewa fedha zaidi
Na Charles Mwakipesile, Mbeya
WAZIRI wa Elimu na Mafunzoya Ufundi, Dkt.Shukuru Kawambwa, ametangaza mkakati wa kumaliza migomo na vurugu katika vyuo vikuu
*Bodi ya mikopo kuongezewa fedha zaidi
Na Charles Mwakipesile, Mbeya
WAZIRI wa Elimu na Mafunzoya Ufundi, Dkt.Shukuru Kawambwa, ametangaza mkakati wa kumaliza migomo na vurugu katika vyuo vikuu
Yanga 'gonjwa' kama la Simba
*APR yanawiri Morogoro
Na Zahoro Mlanzi
MAMBO bado magumu kwa wenyeji wa mashindano ya Kagame Castle Cup baada ya Yanga kulazimishwa sare ya mabao 2-2 na El-Mereikh ya
Na Zahoro Mlanzi
MAMBO bado magumu kwa wenyeji wa mashindano ya Kagame Castle Cup baada ya Yanga kulazimishwa sare ya mabao 2-2 na El-Mereikh ya
Twiga Stars yapangwa na wenyeji COSAFA
Na Zahoro Mlanzi
BARAZA la Vyama vya Mpira wa Miguu Kusini mwa Afrika (COSAFA), limeipanga timu ya taifa ya wanawake 'Twiga Stars' Kundi A lenye timu za Lesotho, Botswana
BARAZA la Vyama vya Mpira wa Miguu Kusini mwa Afrika (COSAFA), limeipanga timu ya taifa ya wanawake 'Twiga Stars' Kundi A lenye timu za Lesotho, Botswana
Elephant Man apagawisha Str8Muzik Beach party
Na Mwandishi Wetu
MAMIA ya mashabiki walijimwaga na kuserebuka kwenye Klabu ya Mbalamwezi Beach, Dar es Salaam kushiriki kwenye tamasha la Str8Muzik Beach Party 2011 lililofanyika
MAMIA ya mashabiki walijimwaga na kuserebuka kwenye Klabu ya Mbalamwezi Beach, Dar es Salaam kushiriki kwenye tamasha la Str8Muzik Beach Party 2011 lililofanyika
Chelsea, Man Utd zamwania Ramos
LONDON, Uingereza
WAKALA wa mlinzi wa Real Madrid, Sergio Ramos amekiri kuwa timu za Ligi Kuu zinamhitaji mchzaji huyo.Manchester United na Chelsea, zimekuwa zikitajwa
WAKALA wa mlinzi wa Real Madrid, Sergio Ramos amekiri kuwa timu za Ligi Kuu zinamhitaji mchzaji huyo.Manchester United na Chelsea, zimekuwa zikitajwa
24 June 2011
Zito matatani tena bungeni
*Atoa tuhuma nzito kwa Baraza la Mawaziri
*Spika Makinda ampa siku saba kuthibitisha
Na Grace Michael, Dodoma
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini Bw. Zitto Kabwe, (CHADEMA), ameingia katika mgogoro mwingine bungeni, baada ya kutoa tuhuma nzito dhidi ya
*Spika Makinda ampa siku saba kuthibitisha
Na Grace Michael, Dodoma
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini Bw. Zitto Kabwe, (CHADEMA), ameingia katika mgogoro mwingine bungeni, baada ya kutoa tuhuma nzito dhidi ya
Jaji amwaga chozi mbele ya Tume
Na Salim Nyomolelo
SAKATA la baadhi ya viongozi wa umma kueleza sababu za kushindwa kujaza na kuwasilisha fomu za mali na madeni kwa mwaka 2010 imezidi kuibua mapya baada ya
SAKATA la baadhi ya viongozi wa umma kueleza sababu za kushindwa kujaza na kuwasilisha fomu za mali na madeni kwa mwaka 2010 imezidi kuibua mapya baada ya
Tuko tayari kupoteza mabilioni ya rada -Membe
Na Grace Michael, Dodoma
SERIKALI imesema iko tayari kupoteza mabilioni ya fedha yanayotakiwa kulipwa na Kampuni ya BAE Systems ya Uingereza endapo haitakuwa tayari kupitisha
SERIKALI imesema iko tayari kupoteza mabilioni ya fedha yanayotakiwa kulipwa na Kampuni ya BAE Systems ya Uingereza endapo haitakuwa tayari kupitisha
Vigogo watakaokwepa kodi Kenya kufilisiwa
NAIROBI,Kenya
MAMLAKA ya mapato nchini Kenya (KRA)imesema kuwa itapiga mnada mali zote za wabunge na vigogo wa serikali watakaokaidi kulipa kodi ya mapato.Mbali na
MAMLAKA ya mapato nchini Kenya (KRA)imesema kuwa itapiga mnada mali zote za wabunge na vigogo wa serikali watakaokaidi kulipa kodi ya mapato.Mbali na
Madaktari Mulago kutenganisha mapacha waliungana vifua
KAMPALA,Uganda
MADAKTARI nchini Uganda, wanajiandaa kuwafanyia upasuaji mapacha waliozaliwa hivi karibuni katika eneo la Kabale wakiwa wameungana sehemu ya
MADAKTARI nchini Uganda, wanajiandaa kuwafanyia upasuaji mapacha waliozaliwa hivi karibuni katika eneo la Kabale wakiwa wameungana sehemu ya
Waghana kuzinoa Simba, Yanga
*Ni Asante Kotoko na Hearts of Oak
Na Mwandishi Wetu
TIMU za Asante Kotoko na Hearts of Oak za Ghana, zinatarajiwa kuzinoa makali Simba na Yanga Julai 16 na 17, mwaka huu katika mashindano ya
Na Mwandishi Wetu
TIMU za Asante Kotoko na Hearts of Oak za Ghana, zinatarajiwa kuzinoa makali Simba na Yanga Julai 16 na 17, mwaka huu katika mashindano ya
Michuano ya gofu kutimua vumbi leo
Na Amina Athumani
WACHEZA Gofu 100 kutoka mikoa mbalimbali nchini, wanatarajia kuchuana kesho katika mashindano ya gofu ya '1 & M Bank Golf Tournement', yatakayofanyika katika viwanja
WACHEZA Gofu 100 kutoka mikoa mbalimbali nchini, wanatarajia kuchuana kesho katika mashindano ya gofu ya '1 & M Bank Golf Tournement', yatakayofanyika katika viwanja
Villas-Boas aahidi kumpa raha Abramovich
LONDON, England
KOCHA mpya wa Chelsea, Andre Villas-Boas amesema amejipanga kufanya makubwa yatakayomfanya mmiliki wa timu hiyo, Roman Abramovich kuwa mwenye
KOCHA mpya wa Chelsea, Andre Villas-Boas amesema amejipanga kufanya makubwa yatakayomfanya mmiliki wa timu hiyo, Roman Abramovich kuwa mwenye
Inter Milan yachemsha kwa Tevez
MILAN, Italia
INTER Milan imefikia ukingoni katika mbio zake za kumwinda, Carlos Tevez baada ya kushindwa mshahara wa pauni 150,000 anazotakiwa kulipwa mchezaji
INTER Milan imefikia ukingoni katika mbio zake za kumwinda, Carlos Tevez baada ya kushindwa mshahara wa pauni 150,000 anazotakiwa kulipwa mchezaji
23 June 2011
Misamaha ya kodi za posho moto bungeni
*Yazua malumbano makali, yapitishwa na bunge
*Wabunge wakerwa kampuni za madini kusamehewa
Na Grace Michael, Dodoma
WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana walilumbana vikali bungeni wakati wakipitisha Muswada wa Sheria ya Matumizi, kutokana na hoja ya
*Wabunge wakerwa kampuni za madini kusamehewa
Na Grace Michael, Dodoma
WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana walilumbana vikali bungeni wakati wakipitisha Muswada wa Sheria ya Matumizi, kutokana na hoja ya
Wananchi wapambana na polisi kuwaokoa wenzao
Na Raphael Okello, Bunda
MABOMU ya machozi, risasi zilirindima jana kwa saa mbili huku wakazi wa Mji wa Bunda wakifunga maduka na kukimbia ovyo kwa hofu wakati polisi wa
MABOMU ya machozi, risasi zilirindima jana kwa saa mbili huku wakazi wa Mji wa Bunda wakifunga maduka na kukimbia ovyo kwa hofu wakati polisi wa
Bunge halijapokea shangingi la Mbowe
Na Grace Michael, Dodoma
WAKATI Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Bw. Freeman Mbowe akisema amerejesha gari kwa lengo la kupigwa mnada na fedha kuelekezwa katika miradi ya
WAKATI Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Bw. Freeman Mbowe akisema amerejesha gari kwa lengo la kupigwa mnada na fedha kuelekezwa katika miradi ya
Tumefuata taratibu kugawa vitalu-Wizara
Na Rabia Bakari
WIZARA ya Maliasili na Utalii imetoa ufafanuzi kuhusu tuhuma za kuwabeba raia wa kigeni katika ugawaji wa vitalu vya uwindaji, na kudai kuwa imegawa kwa
WIZARA ya Maliasili na Utalii imetoa ufafanuzi kuhusu tuhuma za kuwabeba raia wa kigeni katika ugawaji wa vitalu vya uwindaji, na kudai kuwa imegawa kwa
Prof. Mukandala aipa changamoto AJMC
Na Peter Mwenda
CHUO Kikuu cha Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma(SJMC) kimetakiwa kutoa mafunzo ya uandishi wa habari yatakayowawezesha wahitimu kukabiliana na
CHUO Kikuu cha Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma(SJMC) kimetakiwa kutoa mafunzo ya uandishi wa habari yatakayowawezesha wahitimu kukabiliana na
Mtambo wa maji Ruvu waharibika
Na Anneth Kagenda
WAKAZI wa maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam na Bagamoyo mkoani Pwani, watakosa huduma ya maji kutokana na mtambo wa Ruvu Chini kuzimwa kwa ajili
WAKAZI wa maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam na Bagamoyo mkoani Pwani, watakosa huduma ya maji kutokana na mtambo wa Ruvu Chini kuzimwa kwa ajili
Watakaolangua dawa ya mseto kuadhibiwa
Na Agnes Mwaijega
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii itawachukulia hatua za kisheria watakaouza dawa ya maralia aina ya mseto zenye nembo ya hati punguzo kwa bei ambayo
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii itawachukulia hatua za kisheria watakaouza dawa ya maralia aina ya mseto zenye nembo ya hati punguzo kwa bei ambayo
Tume ya Maadili yakwama kumhoji Cisco Mtiro
Na Salim Nyomolelo
BALOZI wa Tanzania nchini Maleysia, Bw. Abdul Cisco Mtiro, ambaye alitakiwa kuhojiwa na Tume ya Maadili kwa kushindwa kujaza fomu za tamko juu rasilimali
BALOZI wa Tanzania nchini Maleysia, Bw. Abdul Cisco Mtiro, ambaye alitakiwa kuhojiwa na Tume ya Maadili kwa kushindwa kujaza fomu za tamko juu rasilimali
22 June 2011
Mbowe arejesha Shangingi la serikali
*Ataka liwe la kwanza kunadiwa, kutolea mfano
*Amtaka Spika atenganishe fomu za posho, mahudhurio
*Bajeti yapita, Mkulo akubali kupunguza bei ya mafuta
Na Waandishi Wetu, Dodoma, Dar
KATIKA hatua inayoonesha Kambi Rasmi ya Upinzani inayoongozwa na
*Amtaka Spika atenganishe fomu za posho, mahudhurio
*Bajeti yapita, Mkulo akubali kupunguza bei ya mafuta
Na Waandishi Wetu, Dodoma, Dar
KATIKA hatua inayoonesha Kambi Rasmi ya Upinzani inayoongozwa na
Malecela afanyiwa upasuaji wa moyo
Na Grace Michael, Dodoma
WAZIRI Mkuu mstaafu, Bw. John Malecela, amefanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo nchini India hatua iliyomfanya Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Bi. Anne Malecela, kutohudhuria
WAZIRI Mkuu mstaafu, Bw. John Malecela, amefanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo nchini India hatua iliyomfanya Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Bi. Anne Malecela, kutohudhuria
Wachina wavamia kituo cha polisi
*Wafikishwa mahakamani kwa kumjeruhi askari
Na Peter Ringi, Babati
WAFANYAKAZI 13 wa Kampuni ya Ujenzi wa Barabara kutoka China ya (CHICO), jana wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Babati, mkoani
Na Peter Ringi, Babati
WAFANYAKAZI 13 wa Kampuni ya Ujenzi wa Barabara kutoka China ya (CHICO), jana wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Babati, mkoani
Okwi awekwa chini ya uangalizi Simba
Na Elizabeth Mayemba
KOCHA Mkuu wa Simba Moses Basena, amemuweka Emmanuel Okwi katika uangalizi wa mechi tatu za michuano ya Kombe la Kagame, baada ya kuboronga kwenye
KOCHA Mkuu wa Simba Moses Basena, amemuweka Emmanuel Okwi katika uangalizi wa mechi tatu za michuano ya Kombe la Kagame, baada ya kuboronga kwenye
Yanga 'full nondo' leo Arusha
Na Elizabeth Mayemba
KIKOSI cha timu ya Yanga kikiongozwa na wachezaji wake wa kimataifa Kenneth Asamoah, Yaw Berko na Davies Mwape kinashuka uwanjani leo kucheza na
KIKOSI cha timu ya Yanga kikiongozwa na wachezaji wake wa kimataifa Kenneth Asamoah, Yaw Berko na Davies Mwape kinashuka uwanjani leo kucheza na
TBF yaiomba serikali kuisaidia kujenga kituo
Na Amina Athumani
SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) lipo kwenye mazungumzo na serikali kuhusu kuwasaidia kuanzisha kituo cha kuibua vipaji vya mchezo huo cha
SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) lipo kwenye mazungumzo na serikali kuhusu kuwasaidia kuanzisha kituo cha kuibua vipaji vya mchezo huo cha
21 June 2011
Mgogoro wa umeya Arusha wamalizika
*CHADEMA, TLP wakubali kugawana unaibu meya
Na Queen Lema, Arusha
HATIMAYE mgogoro wa uchaguzi wa Meya wa Manispaa ya Jiji la Arusha baina ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutomtambua
Na Queen Lema, Arusha
HATIMAYE mgogoro wa uchaguzi wa Meya wa Manispaa ya Jiji la Arusha baina ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutomtambua
Makinda: Niko tayari kuhojiwa na Kamati
Na Grace Michael, Dodoma
SPIKA wa Bunge, Bi. Anne Makinda amesema yuko tayari kuhojiwa na Kamati ya Kanuni za Kudumu za Bunge pindi atakapoitwa kutokana na malalamiko ya
SPIKA wa Bunge, Bi. Anne Makinda amesema yuko tayari kuhojiwa na Kamati ya Kanuni za Kudumu za Bunge pindi atakapoitwa kutokana na malalamiko ya
Diwani CCM jela kwa kutoa rushwa
Na Steven Augustino, Tunduru
DIWANI wa Viti Maalumu wa Tarafa ya mlingoti Wilayani Tunduru kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Atingala Mohamed amehukumiwa kutumikia
DIWANI wa Viti Maalumu wa Tarafa ya mlingoti Wilayani Tunduru kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Atingala Mohamed amehukumiwa kutumikia
Kuropoka kumetuathiri CCM-Guninita
Na Anneth Kagenda
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, kimesema wamepata madhara makubwa kutokana na baadhi yao kuropoka na kutoa siri za chama hicho
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, kimesema wamepata madhara makubwa kutokana na baadhi yao kuropoka na kutoa siri za chama hicho
Mbunge alaumu masijala Tume ya Maadili
Na Agnes Mwaijega
MBUNGE wa Korogwe Mjini, Bw. Yusuf Nasri amejitetea mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kuwa fomu za matamko ya mali alizijaza, isipokuwa
MBUNGE wa Korogwe Mjini, Bw. Yusuf Nasri amejitetea mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kuwa fomu za matamko ya mali alizijaza, isipokuwa
Wabunge walia faini makosa ya barabarani
Na Grace Michael, Dodoma
MJADALA wa Bajeti ya Serikali jana uliendelea bungeni huku wabunge wakijikita kujadili vipaumbele vilivyoainishwa kwenye bajeti hiyo huku wakipinga baadhi ya
MJADALA wa Bajeti ya Serikali jana uliendelea bungeni huku wabunge wakijikita kujadili vipaumbele vilivyoainishwa kwenye bajeti hiyo huku wakipinga baadhi ya
Yanga yatema wachezaji wanane
*Asamoah atua na kuanza mazoezi
Na Elizabeth Mayemba
UONGOZI wa Yanga, umetema wachezaji wanane katika usajili wa msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara na michuano ya kimataifa.Akizungumza
Na Elizabeth Mayemba
UONGOZI wa Yanga, umetema wachezaji wanane katika usajili wa msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara na michuano ya kimataifa.Akizungumza
Ilala yang'ara Copa Coca-Cola
Na Addolph Bruno
MASHINDANO ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 Copa Coca-Cola, yameendelea kupamba moto ambapo katika michezo ya jana timu ya Ilala imeibuka na ushindi wa
MASHINDANO ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 Copa Coca-Cola, yameendelea kupamba moto ambapo katika michezo ya jana timu ya Ilala imeibuka na ushindi wa
Bonga Star Search kuanza Julai 9
Na Anneth Kagenda
MASHINDANO ya Bongo Star Search (BSS), yamepangwa kuanza Julai 9 mwaka huu na yanatarajia kushirikisha mastaa zaidi ya 34.Akizungumza Dar es Salaam jana, Mkurugenzi
MASHINDANO ya Bongo Star Search (BSS), yamepangwa kuanza Julai 9 mwaka huu na yanatarajia kushirikisha mastaa zaidi ya 34.Akizungumza Dar es Salaam jana, Mkurugenzi
Barcelona yamuuza Villa ili kumnunua Fabregas
BARCELONA, Hispania
KLABU ya Barcelona inajiandaa kusaka pauni milioni 50 ili kumnunua kiungo na nahodha wa Arsenal, Cesc Fabregas kwa kutaka kumuuza mshambuliaji wake
KLABU ya Barcelona inajiandaa kusaka pauni milioni 50 ili kumnunua kiungo na nahodha wa Arsenal, Cesc Fabregas kwa kutaka kumuuza mshambuliaji wake
20 June 2011
Askofu KKKT ajitosa mjadala wa posho
*Ataka wabunge wanaozikataa waungwe mkono
*Mbowe azifananisha na wizi wa kutisha
Na Martha Fataely, Hai
ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi Kaskazini, Dkt. Martin Shao, ameunga mkono hoja ya
*Mbowe azifananisha na wizi wa kutisha
Na Martha Fataely, Hai
ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi Kaskazini, Dkt. Martin Shao, ameunga mkono hoja ya
Wamiliki mbwa waliokula mahindi kudaiwa fidia
Na Mashaka Mhando, Korogwe
SIKU mbili baada ya kuripotiwa habari za mbwa wanane kuvamia mashamba ya wakulima na kula mahindi machanga, wakulima walioathirika na tukio hilo
SIKU mbili baada ya kuripotiwa habari za mbwa wanane kuvamia mashamba ya wakulima na kula mahindi machanga, wakulima walioathirika na tukio hilo
...CHADEMA yambana Pinda
Na Tumaini Makene, Dodoma
KAULI ya Waziri Mkuu aliyoitoa bungeni akionekana kutetea mfumo unaoruhusu posho za vikao, imeanza kumrudi, ambapo sasa imetakiwa kuifuta kwa
KAULI ya Waziri Mkuu aliyoitoa bungeni akionekana kutetea mfumo unaoruhusu posho za vikao, imeanza kumrudi, ambapo sasa imetakiwa kuifuta kwa
Jalada la ajali ya Jaji Lugazia kutua mahakamani
Na Rehema Mohamed
MKURUGENZI wa Mashtaka (DPP) Bw. Eliezer Fereshi, amesema upelelezi wa tukio la ajali ya gari iliyokuwa ikiendeshwa Jaji Projestus Rugazia, umekamilika na
MKURUGENZI wa Mashtaka (DPP) Bw. Eliezer Fereshi, amesema upelelezi wa tukio la ajali ya gari iliyokuwa ikiendeshwa Jaji Projestus Rugazia, umekamilika na
Mamia wamuaga RPC Ng'hoboko
Na Heckton Chuwa, Moshi
MAMIA ya wakazi wa Manispaa ya Moshi na maeneo ya jirani, mkoani Kilimanjaro, juzi walijitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa
MAMIA ya wakazi wa Manispaa ya Moshi na maeneo ya jirani, mkoani Kilimanjaro, juzi walijitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa
Tisa marufuku kulima tumbaku
Na Sammy Kisika, Mpanda
CHAMA cha Wakulima wa Tumbaku cha Ukonongo katika Tarafa ya Inyonga, wilayani Mpanda Mkoa wa Rukwa, kimewapiga marufuku wakulima tisa wa
CHAMA cha Wakulima wa Tumbaku cha Ukonongo katika Tarafa ya Inyonga, wilayani Mpanda Mkoa wa Rukwa, kimewapiga marufuku wakulima tisa wa
Raia wa Kenya, Italia mbaroni kuwa 'utapeli'
Na Said Njuki, Arusha
JESHI la Polisi mkoani hapa linamsaka raia wa Kenya, Bw. Jamal Abdulwadood kwa kosa la kujipatia mali zenye thamani ya mabilioni ya fedha kwa njia ya
JESHI la Polisi mkoani hapa linamsaka raia wa Kenya, Bw. Jamal Abdulwadood kwa kosa la kujipatia mali zenye thamani ya mabilioni ya fedha kwa njia ya
Simba yapigwa mwereka Congo
*Yafurushwa michuano CAF
Na Mwandishi Wetu, Kinshasa
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Shirikisho, Simba jana iliduwazwa Jijini Kinshasa baada ya kufungwa mabao 2-0 na DC Motema Pembe ya
Na Mwandishi Wetu, Kinshasa
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Shirikisho, Simba jana iliduwazwa Jijini Kinshasa baada ya kufungwa mabao 2-0 na DC Motema Pembe ya
Viingilio Yanga, Gor Mahiya vyatajwa
Na Mwandishi Wetu
WAANDAAJI wa mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Yanga na Gor Mahiya ya Kenya Kampuni ya Smart Sports, imetangaza viingilio ambapo jukwaa kuu
WAANDAAJI wa mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Yanga na Gor Mahiya ya Kenya Kampuni ya Smart Sports, imetangaza viingilio ambapo jukwaa kuu
Viagra inasababisha uziwi
LOS Angeles, Marekani
MPENDA ngono mkongwe Hugh Hefner, amekuwa na matatizo ya kusikia kutokana na kutumia kiasi kikubwa cha dawa za kuongeza nguvu ya kufanya
MPENDA ngono mkongwe Hugh Hefner, amekuwa na matatizo ya kusikia kutokana na kutumia kiasi kikubwa cha dawa za kuongeza nguvu ya kufanya
17 June 2011
Pinda: Posho haziepukiki
*Asema baadhi zipo kwa mujibu wa katiba
*Mtikila aungana na CHADEMA kuzipinga
Tumaini Makene na Pendo Mtibuche
MJADALA wa kufumua mfumo wa watumishi wa umma na wanasiasa kulipana posho ya vikao umeendelea bungeni katika namna tofauti, ambapo
*Mtikila aungana na CHADEMA kuzipinga
Tumaini Makene na Pendo Mtibuche
MJADALA wa kufumua mfumo wa watumishi wa umma na wanasiasa kulipana posho ya vikao umeendelea bungeni katika namna tofauti, ambapo
Mzimu wa Balali waibuka bungeni
Tumaini Makene na Pendo Mtibuche
ZAIDI ya miaka mitatu tangu kufariki kwa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dkt. Daud Balali katika wakati ambao alikuwa akiaminika
ZAIDI ya miaka mitatu tangu kufariki kwa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dkt. Daud Balali katika wakati ambao alikuwa akiaminika
TBS yazuia dizeli hatari bandarini
Na Rachel Balama
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limezuia shehena ya mafuta ya dizeli yenye ujazo wa tani 5,000 kuingia nchini kutokana na kutokidhi viwango vya ubora unaotakiwa
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limezuia shehena ya mafuta ya dizeli yenye ujazo wa tani 5,000 kuingia nchini kutokana na kutokidhi viwango vya ubora unaotakiwa
Mtikila kuishtaki serikali Mahakama ya Afrika
Na Benjamin Masese
MWENYEKITI wa Chama Cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, ametangaza kesi mpya nne za kimataifa dhidi ya serikali ikiwemo madai ya fidia ya dola za
MWENYEKITI wa Chama Cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, ametangaza kesi mpya nne za kimataifa dhidi ya serikali ikiwemo madai ya fidia ya dola za
Tutaandamana hata usiku na mchana-CHADEMA
Na Tumaini Makene
MAANDAMABO ya mara kwa mata yanayofanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwasilisha hisia juu ya masuala mbalimbali
MAANDAMABO ya mara kwa mata yanayofanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwasilisha hisia juu ya masuala mbalimbali
Msongo ulinizuia kutangaza mali-Mbowe
Na Grace Ndossa
KIONGOZI wa Upinzani Bungeni, Bw. Freeman Mbowe, (CHADEMA) amekiri kutokujaza fomu za kutaja mali zake kama inavyotakiwa na Tume ya Maadili ya Viongozi wa
KIONGOZI wa Upinzani Bungeni, Bw. Freeman Mbowe, (CHADEMA) amekiri kutokujaza fomu za kutaja mali zake kama inavyotakiwa na Tume ya Maadili ya Viongozi wa
Simba yatua Congo, yaanza kujifua
Na Zahoro Mlanzi
WAWAKILISHI waliobaki katika mashindano ya kimataifa, timu ya Simba imeondoka alfajiri ya jana kwenda Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) na kutua
WAWAKILISHI waliobaki katika mashindano ya kimataifa, timu ya Simba imeondoka alfajiri ya jana kwenda Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) na kutua
Dar es Salaam yaichachafia Ziwa
Na John Gagarini, Kibaha
TIMU ya soka Kanda ya Dar es Salaam imeipeleka mchaka mchaka timu ya Kanda ya Ziwa na kuicharaza mabao 3-0 kwenye mchezo wa michuano ya
TIMU ya soka Kanda ya Dar es Salaam imeipeleka mchaka mchaka timu ya Kanda ya Ziwa na kuicharaza mabao 3-0 kwenye mchezo wa michuano ya
Scholes ampa somo Ferguson
LONDON, England
KIUNGO mstaafu wa Manchester United, Paul Scholes amemtaka kocha wa timu hiyo Sir Alex Ferguson, kufanya usajili sahihi wakati huu wa majira haya
KIUNGO mstaafu wa Manchester United, Paul Scholes amemtaka kocha wa timu hiyo Sir Alex Ferguson, kufanya usajili sahihi wakati huu wa majira haya
16 June 2011
CHADEMA waishika pabaya serikali
*Wapanga kima cha chini shilingi 315,000
*Wazee wote nchini sasa kulipwa pensheni
*Waweka fumula kupunguza kodi ya mshahara
Na Tumaini Makene
IKIWA ni siku ya kwanza kwa wabunge kuanza kuchangia mjadala wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2011/2012, Hotuba za Bajeti ya Kambi ya
*Wazee wote nchini sasa kulipwa pensheni
*Waweka fumula kupunguza kodi ya mshahara
Na Tumaini Makene
IKIWA ni siku ya kwanza kwa wabunge kuanza kuchangia mjadala wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2011/2012, Hotuba za Bajeti ya Kambi ya
SMZ yatanganza neema kwa wananchi
Na Mwajuma Juma, Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza neema kwa wananchi wake kwa kutopandisha kodi yoyote katika kipindi cha mwaka wa fedha 2011/12.Hayo
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza neema kwa wananchi wake kwa kutopandisha kodi yoyote katika kipindi cha mwaka wa fedha 2011/12.Hayo
Dkt. Rwakatare amtaja shetani kujitetea
Na Dunstan Bahai
SEKRETARIETI ya Maadili ya Viongozi imekataa kupokea nakala ya fomu za Mchungaji Dk. Getrude Rwakatare za kujaza mali zake kwa maelezo kuwa mchungaji huyo
SEKRETARIETI ya Maadili ya Viongozi imekataa kupokea nakala ya fomu za Mchungaji Dk. Getrude Rwakatare za kujaza mali zake kwa maelezo kuwa mchungaji huyo
Sakata la kumatwa Askofu Mokiwa yachukua sura mpya
Na Mwandishi Wetu,
SAKATA la kukamatwa kwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania (ACT), Dkt. Valentino Mokiwa,umechukua sura mpya baada ya kuwepo kwa taarifa kwamba
SAKATA la kukamatwa kwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania (ACT), Dkt. Valentino Mokiwa,umechukua sura mpya baada ya kuwepo kwa taarifa kwamba
Mauaji ya mtoto kikatili
*Polisi wanasa watatu
Na Mercy James, Njombe
WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoania hapa kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la utekaji mtoto na kumchinja kwa kumtenganisha kichwa na
Na Mercy James, Njombe
WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoania hapa kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la utekaji mtoto na kumchinja kwa kumtenganisha kichwa na
CHADEMA wamethibitisha uongo wao-Nape
Na Charles Masyeba
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bw.Nape Nnauye, ameponda bajeti ya kambi ya upinzani iliyowasilishwa bungeni jana kudai kuwa ni
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bw.Nape Nnauye, ameponda bajeti ya kambi ya upinzani iliyowasilishwa bungeni jana kudai kuwa ni
Simba matumaini kibao Congo
*Yatamba kuvunja rekodi
Na Zahoro Mlanzi
WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika mashindano ya kimataifa, timu ya Simba inatarajia kuondoka leo nchini kwenda Jamhuri ya Kidemokrasi ya
Na Zahoro Mlanzi
WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika mashindano ya kimataifa, timu ya Simba inatarajia kuondoka leo nchini kwenda Jamhuri ya Kidemokrasi ya
CHANETA yazipiga mkwara timu za netiboli
Na Amina Athumani
CHAMA cha Netiboli Tanzania (CHANETA), kimesema timu zinazotakiwa kushiriki michuano ya Klabu Bingwa Tanzania zitakazoshindwa kuthibitisha hadi Juni 20, mwaka
CHAMA cha Netiboli Tanzania (CHANETA), kimesema timu zinazotakiwa kushiriki michuano ya Klabu Bingwa Tanzania zitakazoshindwa kuthibitisha hadi Juni 20, mwaka
Safari ya Hiddink kutua Chelsea yaiva
LONDON, England
SUALA la kocha, Guus Hiddink kutua Chelsea limepiga hatua nyingine tena baada ya Rais wa Shitrikisho la Soka la Uturuki, Mahmut Ozgener kuthibitisha kuwa atabwaga
SUALA la kocha, Guus Hiddink kutua Chelsea limepiga hatua nyingine tena baada ya Rais wa Shitrikisho la Soka la Uturuki, Mahmut Ozgener kuthibitisha kuwa atabwaga
15 June 2011
Nidhamu bungeni yamkera Makinda
*Awafananisha wabunge na 'watu walioko Kariakoo'
*Kutoa ufafanuzi wa wabunge wala rushwa bungeni
Tumaini Makene na Pendo Mtibuche, Dodoma
TABIA ya baadhi ya wabunge kuzungumza bungeni bila kufuata taratibu wanapokuwa ndani ya ukumbi, imemkera Spika wa Bunge
*Kutoa ufafanuzi wa wabunge wala rushwa bungeni
Tumaini Makene na Pendo Mtibuche, Dodoma
TABIA ya baadhi ya wabunge kuzungumza bungeni bila kufuata taratibu wanapokuwa ndani ya ukumbi, imemkera Spika wa Bunge
Wanafunzi 400 watimuliwa UDOM
Na Waandishi Wetu
SIKU moja baada ya serikali kutangaza kukubali kuwalipa posho ya mafunzo kwa vitendo wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), uongozi wa chuo hicho
SIKU moja baada ya serikali kutangaza kukubali kuwalipa posho ya mafunzo kwa vitendo wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), uongozi wa chuo hicho
Mchungaji Rwakatare kuhojiwa kwa kushindwa kutangaza mali
Na Agnes Mwaijega
MBUNGE wa Viti Maaluma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatare, anatarajiwa kuhojiwa leo na Baraza la Maadili kutokana na
MBUNGE wa Viti Maaluma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatare, anatarajiwa kuhojiwa leo na Baraza la Maadili kutokana na
Dovutwa arukia mikopo, matibabu ya wabunge
Na Rabia Bakari
CHAMA cha UPDP kimewabeza baadhi ya wabunge wanaokataa posho za vikao bungeni kwa madai ya kutetea maslahi ya umma na kuwataka warudishe
CHAMA cha UPDP kimewabeza baadhi ya wabunge wanaokataa posho za vikao bungeni kwa madai ya kutetea maslahi ya umma na kuwataka warudishe
Rais Kikwete ziarani Uswisi
Na Mwandishi Maalumu
Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa viongozi saba duniani ambao watakuwa wageni maalumu kwenye Mkutano wa 100 wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) ulioanza
Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa viongozi saba duniani ambao watakuwa wageni maalumu kwenye Mkutano wa 100 wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) ulioanza
Mnyika: DAWASCO itoe maelezo kero ya maji
Na Stella Aron
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, Bw. John Mnyika, amelitaka Kampuni ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) kutoa maelezo kuhusu hatua walizozichukua
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, Bw. John Mnyika, amelitaka Kampuni ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) kutoa maelezo kuhusu hatua walizozichukua
Ujambazi muhimbili ni uzembe-Kamanda Kova
Na Stella Aron
KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Bw. Suleman Kova, amesema tukio la ujambazi wa kutumia silaha uliotokea juzi asubuhi katika
KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Bw. Suleman Kova, amesema tukio la ujambazi wa kutumia silaha uliotokea juzi asubuhi katika
Simba, Yanga 'zajazwa manoti'
Na Grace Michael
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) jana ilitekeleza moja ya masharti yake katika mkataba wa udhamini katika Klabu za Simba na Yanga kwa kuzipa jumla ya
SHIWATA kujengewa nyumba kwa unafuu
Na Peter Mwenda
SHIRIKISHO la Wasanii Tanzania (SHIWATA) limefikia makubaliano na Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba na vifaa vya Ujenzi wa Gharama Nafuu (NHBRA) kujenga
SHIRIKISHO la Wasanii Tanzania (SHIWATA) limefikia makubaliano na Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba na vifaa vya Ujenzi wa Gharama Nafuu (NHBRA) kujenga
Chelsea ampandia dau Luka Modric
LONDON, Uingereza
KLABU ya Chelsea iko tayari kutoa ofa ya mshahara wa pauni 130,000 kwa mshambuliaji, Luka Modric kama atasaini kuchezea Stamford Bridge.Mchezaji huyo
KLABU ya Chelsea iko tayari kutoa ofa ya mshahara wa pauni 130,000 kwa mshambuliaji, Luka Modric kama atasaini kuchezea Stamford Bridge.Mchezaji huyo
14 June 2011
Wasiosaini posho kutimuliwa-Spika
*Asema mbunge akikataa mikutano mitatu atafukuzwa
Na Tumaini Makene
HOJA ya kupinga ama kukubali pendekezo la Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni la kuondoa posho za vikao wanazolipwa wabunge na watumishi wa umma, imeendelea
Na Tumaini Makene
HOJA ya kupinga ama kukubali pendekezo la Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni la kuondoa posho za vikao wanazolipwa wabunge na watumishi wa umma, imeendelea
Majambazi waua, wapora mil. 12/- Muhimbili
Na Aisha Kitupula
WATU watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi wamevamia Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jana saa 2 asubuhi na na kuua askari mmoja kisha kupora
Mahakama: Askofu Mokiwa akamatwe
*Ni kwa madai ya kukiuka amri halali
Na Said Njuki Arusha
JAJI wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha, Kakusulo Sambo, ameamuru kukamatwa kwa Askofu Mkuu wa Kanisa Anglikana Tanzania, (ACT)
Na Said Njuki Arusha
JAJI wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha, Kakusulo Sambo, ameamuru kukamatwa kwa Askofu Mkuu wa Kanisa Anglikana Tanzania, (ACT)
Polisi wajeruhi wanafunzi 12
*Mwingine atekwa, akutwa amechinjwa
Na Mwandishi Wetu
JESHI la Polisi mkoani Dar es Salaam limeingia kwenye kashfa nyingine ya kujeruhi zaidi ya wanafunzi 12 wa Shule ya Sekondari Mbezi, Dar es Salaam.Majeruhi
Na Mwandishi Wetu
JESHI la Polisi mkoani Dar es Salaam limeingia kwenye kashfa nyingine ya kujeruhi zaidi ya wanafunzi 12 wa Shule ya Sekondari Mbezi, Dar es Salaam.Majeruhi
Wamiliki 'vipanya' waijia juu SUMATRA
Na Peter Mwenda
WAMILIKI wa daladala zinazobeba abiria chini ya 25 wameipinga Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini(SUMATRA) kusitisha utoaji leseni ya kusafirisha
WAMILIKI wa daladala zinazobeba abiria chini ya 25 wameipinga Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini(SUMATRA) kusitisha utoaji leseni ya kusafirisha
Kikwete asaini Mpango kabla ya kupitishwa
Na Tumaini Makene
MPANGO wa Kwanza wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2011/12-2015/16), umewasilishwa rasmi bungeni, huku wabunge wakianza kuuchambua, ambapo
MPANGO wa Kwanza wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2011/12-2015/16), umewasilishwa rasmi bungeni, huku wabunge wakianza kuuchambua, ambapo
.
Simba kuifuata Motema Pembe Alhamisi
Na Zahoro Mlanzi
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Simba, inatarajia kuondoka nchini Alhamisi kwenda Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), kurudiana
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Simba, inatarajia kuondoka nchini Alhamisi kwenda Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), kurudiana
Canada kuinua kikapu nchini
Na Addolph Bruno
CHUO Kikuu cha Memorial Newfound cha Canada kwa kushirikiana na Asasi zisizo za Kiserikali za Tanzania Students Achievement Organisation na Klabu ya
CHUO Kikuu cha Memorial Newfound cha Canada kwa kushirikiana na Asasi zisizo za Kiserikali za Tanzania Students Achievement Organisation na Klabu ya
Gerrard apania ubingwa wa UEFA mwakani
LONDON, England
NAHODHA wa Liverpool, Steven Gerrard ameelezea malengo ya timu hiyo msimu ujao akisema ni lazima wafuzu michuano ya Klabu Bingwa Ulaya.Mchezaji huyo
NAHODHA wa Liverpool, Steven Gerrard ameelezea malengo ya timu hiyo msimu ujao akisema ni lazima wafuzu michuano ya Klabu Bingwa Ulaya.Mchezaji huyo
13 June 2011
POSHO ZA VIKAO: NCCR yaunga mkono CHADEMA
*Wabunge wake waandika barua nao wakatwe
Na Pendo Mtibuche, Dodoma
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimesema kuwa tayari kimeandaa barua ambazo kitaziwasilisha kwa Waziri wa Fedha, Bw. Mustafa Mkulo kuelekeza posho za
Na Pendo Mtibuche, Dodoma
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimesema kuwa tayari kimeandaa barua ambazo kitaziwasilisha kwa Waziri wa Fedha, Bw. Mustafa Mkulo kuelekeza posho za
Mjadala wa bajeti moto wiki hii
Na Tumaini Makene
BUNGE leo linatarajiwa kuanza kujadili Mpango wa Maendeleo na Bajeti ya Serikali katika wiki ambayo inatarajiwa kuwa ya mikiki na makeke mengi, kutokana na
BUNGE leo linatarajiwa kuanza kujadili Mpango wa Maendeleo na Bajeti ya Serikali katika wiki ambayo inatarajiwa kuwa ya mikiki na makeke mengi, kutokana na
Mwenyekiti CCM avuliwa uanachama
Na Moses Mabula,Tabora
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Tabora kimemvua uanachama wa chama hicho Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Gongani, Bi. Rajia Mrisho huku kikimwondoa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Tabora kimemvua uanachama wa chama hicho Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Gongani, Bi. Rajia Mrisho huku kikimwondoa
Anglikana yaipiga chenga mahakama
*Yamsimika askofu aliyezuiwa Arusha
Na Mwandishi Wetu Arusha
PAMOJA na Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kusitisha kusimikwa kwa Askofu Mteule wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mount Kilimanjaro, Mchungaji
Na Mwandishi Wetu Arusha
PAMOJA na Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kusitisha kusimikwa kwa Askofu Mteule wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mount Kilimanjaro, Mchungaji
Ole Millya chini ya uangalizi Arusha
Na Said Njuki Arusha
HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha imeyatupilia mbali mapendekezo yaliyotolewa na Kamati ya Siasa ya chama hicho
HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha imeyatupilia mbali mapendekezo yaliyotolewa na Kamati ya Siasa ya chama hicho
Mareklani kusaidia lishe ya watoto
Na Grace Michael
SERIKALI ya Marekani imeahidi kuongeza bajeti yake katika lishe kwa mtoto ndani ya siku 1,000 bajeti itakayofikia kiasi cha dola za Marekani milioni 6.7.Hayo
SERIKALI ya Marekani imeahidi kuongeza bajeti yake katika lishe kwa mtoto ndani ya siku 1,000 bajeti itakayofikia kiasi cha dola za Marekani milioni 6.7.Hayo
DC arushiwa zigo mauaji Serengeti
Na Benjamin Masese
WANANCHI wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara wamemlalamikia Mkuu wa wilaya hiyo, Luteni Kanali Edward Ole Lenga kwamba amechangia kuchochea mauaji ya
WANANCHI wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara wamemlalamikia Mkuu wa wilaya hiyo, Luteni Kanali Edward Ole Lenga kwamba amechangia kuchochea mauaji ya
Wawili wavuliwa uongozi CHADEMA
Na Suleiman Abeid, Meatu
KATIKA kile kinachoashiria ni kupiga vita vitendo vya ufisadi, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilayani Meatu mkoani Shinyanga kimewatimua viongozi wake
KATIKA kile kinachoashiria ni kupiga vita vitendo vya ufisadi, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilayani Meatu mkoani Shinyanga kimewatimua viongozi wake
Simba yapata ushindi mwembamba
*Sasa kutafuta sare Kinshasa
Na Zahoro Mlanzi
BAO pekee lililofungwa dakika ya saba na mshambuliaji Mussa Hassan 'Mgosi', liliifanya timu ya Simba kuanza vizuri kampeni yake ya kutinga hatua ya
Na Zahoro Mlanzi
BAO pekee lililofungwa dakika ya saba na mshambuliaji Mussa Hassan 'Mgosi', liliifanya timu ya Simba kuanza vizuri kampeni yake ya kutinga hatua ya
Bob Rudala awa kivutio Kalunde Band
Na Mwandishi Wetu
MWIMBAJI mpya wa bendi ya Kalunde, Bob Rudala mwishoni mwa wiki alikuwa kivutio katika maonesho ya bendi hiyo, yaliyofanyika katika kumbi za
MWIMBAJI mpya wa bendi ya Kalunde, Bob Rudala mwishoni mwa wiki alikuwa kivutio katika maonesho ya bendi hiyo, yaliyofanyika katika kumbi za
Nyumba ndogo ya Rooney hoi
LONDON, England
MWANAMKE ambaye anadaiwa kuwa mke wa nje wa mchezaji Wayne Rooney, Jenny Thompson amekimbizwa hospitali akiwa mahututi kwa kile kinachodaiwa
MWANAMKE ambaye anadaiwa kuwa mke wa nje wa mchezaji Wayne Rooney, Jenny Thompson amekimbizwa hospitali akiwa mahututi kwa kile kinachodaiwa
10 June 2011
Bajeti yagonga vichwa wabunge
*Kambi ya Upinzani yasema imejaa upotoshaji
Waandishi Wetu
SIKU moja baada ya Waziri Wa Fedha na Uchumi, Bw. Mustafa Mkulo kusoma makadirio ya mapato na matumizi ya serikali mbele ya bunge, Kambi ya
Waandishi Wetu
SIKU moja baada ya Waziri Wa Fedha na Uchumi, Bw. Mustafa Mkulo kusoma makadirio ya mapato na matumizi ya serikali mbele ya bunge, Kambi ya
15 wahofiwa kufa machimboni Chato
Na Jovin Mihambi, Chato
WACHIMBAJI wa dhahabu zaidi ya 15 wanahofiwa kufa baada ya kufukiwa na kifusi wakiwa ya ndani ya shimo wakati wakichimba dhahabu katika machimbo ya
WACHIMBAJI wa dhahabu zaidi ya 15 wanahofiwa kufa baada ya kufukiwa na kifusi wakiwa ya ndani ya shimo wakati wakichimba dhahabu katika machimbo ya
Marekani yapongeza Polisi kumkamata Mama Leila
Na Godfrey Ismaely
UBALOZI wa Marekani Nchini umeipongeza serikali pamoja na Jeshi Polisi kwa jitihada zake za kufanikiwa kumtia mbaroni mwanamke Raia wa Kenya
UBALOZI wa Marekani Nchini umeipongeza serikali pamoja na Jeshi Polisi kwa jitihada zake za kufanikiwa kumtia mbaroni mwanamke Raia wa Kenya
Wawili wafa, 10 wajeruhiwa ajalini
Na Daud Magesa,Mwanza
WATU wawili wamekufa na wengine 11 kujeruhiwa katika ajali ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka wilayani Kwimba kwenda Mwanza kuacha njia na kugonga miti.Miongoni
WATU wawili wamekufa na wengine 11 kujeruhiwa katika ajali ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka wilayani Kwimba kwenda Mwanza kuacha njia na kugonga miti.Miongoni
Polisi kuanzisha kampeni kuwanoa madereva
Na Peter Mwenda
JESHI la Polisi nchini halitawavumilia askari wachache watakaotumia uchache wa vizuizi katika barabara ya Dar es Salaam-Rusumo kukiuka maadili ya kazi kwa
JESHI la Polisi nchini halitawavumilia askari wachache watakaotumia uchache wa vizuizi katika barabara ya Dar es Salaam-Rusumo kukiuka maadili ya kazi kwa
Wanafunzi DUCE waivaa Bodi ya Mikopo
Na Salim Nyomolelo
WANAFUNZI wa Chuo Kishirikishi cha Ualimu Dar es Salaam (DUCE) wameandamana kwenda Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu kulalamikia kudaiwa fedha za ada
DC Motema Pemba kutua kimya kimya
Na Elizabeth Mayemba
KLABU ya DC Motema Pembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), imepanga kutua nchini kimya kimya ambapo hadi jana wenyeji wao Simba walikuwa hawana
KLABU ya DC Motema Pembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), imepanga kutua nchini kimya kimya ambapo hadi jana wenyeji wao Simba walikuwa hawana
'Malkia' wa Tabata kupatikana leo
Na Mwandishi Wetu
'MALKIA' wa Tabata, Miss Tabata 2011 anatarajia kupatikana leo katika Ukumbi wa Dar West Park, Tabata ambapo mshindi atazawadiwa sh. milioni moja.Mratibu wa
'MALKIA' wa Tabata, Miss Tabata 2011 anatarajia kupatikana leo katika Ukumbi wa Dar West Park, Tabata ambapo mshindi atazawadiwa sh. milioni moja.Mratibu wa
Bhoke wa BBA arejea na kulonga
Na Victor Mkumbo
MWAKILISHI wa Tanzania katika jumba la Big Brother Afrika, Bhoke Egina amerejea nchini baada ya kutolewa katika jumba hilo mwishoni mwa wiki.Akizungumza na
MWAKILISHI wa Tanzania katika jumba la Big Brother Afrika, Bhoke Egina amerejea nchini baada ya kutolewa katika jumba hilo mwishoni mwa wiki.Akizungumza na
Lebanon yabariki albamu ya Lady GaGa
BEIRUT, Lebanon
ALBAMU mpya ya mwanamuziki, Lady GaGa iitwayo 'Born This Way' imeruhusiwa kuingia nchini Lebanon baada ya nchi nyingi za Mashariki ya Kati kuipiga
ALBAMU mpya ya mwanamuziki, Lady GaGa iitwayo 'Born This Way' imeruhusiwa kuingia nchini Lebanon baada ya nchi nyingi za Mashariki ya Kati kuipiga
09 June 2011
Bajeti sikivu
Tumaini Makene na Pendo Mtibuche, Dodoma
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Bw. Mustapha Mkullo amewasilisha makadirio ya mapato na matumizi yake kwa mwaka 2011/2012, bungeni ambayo kwa kwa ujumla
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Bw. Mustapha Mkullo amewasilisha makadirio ya mapato na matumizi yake kwa mwaka 2011/2012, bungeni ambayo kwa kwa ujumla
Mfumuko wa bei wakwamisha ukuaji wa uchumi
Na Pendo Mtibuche, Dodoma
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Bw. Mustafa Mkulo jana aliwasilisha taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa na kubainisha vipaumbele ambavyo serikali imevipa umuhimu
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Bw. Mustafa Mkulo jana aliwasilisha taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa na kubainisha vipaumbele ambavyo serikali imevipa umuhimu
Misafara ya viongozi kupunguzwa ukubwa
Na Reuben Kagaruki
SERIKALI imetangaza hatua madhubuti itakazozitumia kudhibiti matumizi ya fedha zake katika kipindi cha mwaka fedha 2011/2012, uamuzi ambao ulipokewa kwa
SERIKALI imetangaza hatua madhubuti itakazozitumia kudhibiti matumizi ya fedha zake katika kipindi cha mwaka fedha 2011/2012, uamuzi ambao ulipokewa kwa
Serikali yaongeza kipaumbele cha ajira kwa vijana
Na Grace Michael
KATIKA kuhakikisha serikali inagusa kila kero iliyopo nchini, bajeti ya mwaka wa fedha wa 2011/2012 imeibuka na kipaumbele kipya cha kukuza ajira ambacho
KATIKA kuhakikisha serikali inagusa kila kero iliyopo nchini, bajeti ya mwaka wa fedha wa 2011/2012 imeibuka na kipaumbele kipya cha kukuza ajira ambacho
Serikali kupitia upya VAT
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imesema katika kipindi cha mwaka wa fedha 2011/2012 inakusudia kufanya mapitio mapya ya utaratibu wa misamaha kwenye Kodi ya Ongezeko la
SERIKALI imesema katika kipindi cha mwaka wa fedha 2011/2012 inakusudia kufanya mapitio mapya ya utaratibu wa misamaha kwenye Kodi ya Ongezeko la
Mwarobaini wa watumishi hewa watajwa
Na Mwandishi Wetu
ILI kubaini watumishi hewa serikali imepanga kufanya sensa kwa kuandaa siku maalumu ya kulipa mishahara ya watumishi wa umma kupitia
ILI kubaini watumishi hewa serikali imepanga kufanya sensa kwa kuandaa siku maalumu ya kulipa mishahara ya watumishi wa umma kupitia
Motema Pembe yamtimua kocha wao
*Yataja 18 watakaoivaa Simba
Na Zahoro Mlanzi
WAKATI timu ya DC Motema Pembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)ikitarajiwa kutua nchini kesho kwa ajili ya mchezo wao wa
Na Zahoro Mlanzi
WAKATI timu ya DC Motema Pembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)ikitarajiwa kutua nchini kesho kwa ajili ya mchezo wao wa
Yanga yaishangaa TFF kuchangia 'kiduchu'
Na Elizabeth Mayemba
UONGOZI wa Yanga umesema umesikitishwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kwamba utachangia sh. 600,000 tu kwa ajili ya matibabu ya
UONGOZI wa Yanga umesema umesikitishwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kwamba utachangia sh. 600,000 tu kwa ajili ya matibabu ya
Jeshi la Polisi latumia michezo kutoa elimu
Na Peter Mwenda
JESHI la Polisi Tanzania limeanza kutumia michezo ili kutoa elimu kwa jamii kufuata sheria za nchi ili kujiepusha na matendo maovu.Akizungumza na viongozi wa
JESHI la Polisi Tanzania limeanza kutumia michezo ili kutoa elimu kwa jamii kufuata sheria za nchi ili kujiepusha na matendo maovu.Akizungumza na viongozi wa
Chicharito aitolea nje Real Madrid
LONDON, Uingereza
JAVIER Harnandez 'Chicharito' amekataa ofa kutoka Klabu ya Real Madrid kutokana na utii kwa kocha wake wa Klabu ya Manchester, Alex Ferguson.SunSport juzi
JAVIER Harnandez 'Chicharito' amekataa ofa kutoka Klabu ya Real Madrid kutokana na utii kwa kocha wake wa Klabu ya Manchester, Alex Ferguson.SunSport juzi
08 June 2011
Leo siku ya Bajeti
* Watanzania watarajia kupunguza ukali wa maisha
Na Tumaini Makene
WAKATI Waziri Mustafa Mkullo akitarajiwa kusoma makisio ya matumizi na mapato ya serikali kwa mwaka mpya wa fedha 2011/2012, bungeni leo, Watanzania
Na Tumaini Makene
WAKATI Waziri Mustafa Mkullo akitarajiwa kusoma makisio ya matumizi na mapato ya serikali kwa mwaka mpya wa fedha 2011/2012, bungeni leo, Watanzania
Ukulu: Viongozi wa dini si malaika
Na Grace Michael
SIKU moja baada ya viongozi wa dini kumpa saa 48 Rais Jakaya Kikwete kuwataja kwa majina ya baadhi yao wanaojihusisha na biashara ya dawa za
SIKU moja baada ya viongozi wa dini kumpa saa 48 Rais Jakaya Kikwete kuwataja kwa majina ya baadhi yao wanaojihusisha na biashara ya dawa za
Hatimaye Mbunge Sakaya aachiwa huru
Humphrey Shao na Salim Nyomolelo
MBUNGE wa Viti Maalumu, Bi. Magdalena Sakaya na wenzake wameachiwa huru baada ya mahakama kubadili masharti ya dhamana yaliyokuwa yamewashinda na
MBUNGE wa Viti Maalumu, Bi. Magdalena Sakaya na wenzake wameachiwa huru baada ya mahakama kubadili masharti ya dhamana yaliyokuwa yamewashinda na
Walimu wa mikataba wadai mil 45/-
Na Jumbe Ismailly, Singida
WALIMU wastaafu waliofanya kazi kwa mikataba katika shule za sekondari kwenye Manispaa ya Singida wanaidai serikali sh. 45,759,336.80 zikiwa ni mishahara
WALIMU wastaafu waliofanya kazi kwa mikataba katika shule za sekondari kwenye Manispaa ya Singida wanaidai serikali sh. 45,759,336.80 zikiwa ni mishahara
Ole Millya kuvuliwa uanachama CCM
Na Said Njuki, Arusha
MGOGORO ndani ya CCM Mkoa wa Arusha umeshika kasi mpya baada ya Kamati ya Usalama na Maadili na Kamati ya Siasa za chama hicho mkoa kudaiwa kumvua
MGOGORO ndani ya CCM Mkoa wa Arusha umeshika kasi mpya baada ya Kamati ya Usalama na Maadili na Kamati ya Siasa za chama hicho mkoa kudaiwa kumvua
Taifa Stars kujipima Qatar
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya taifa 'Taifa Stars' inatarajia kujipima na timu za Qatar, Palestina, Shelisheli na Umoja wa nchi za Falme za Kiarabu (UAE) Agosti 10, mwaka huu kabla ya
TIMU ya taifa 'Taifa Stars' inatarajia kujipima na timu za Qatar, Palestina, Shelisheli na Umoja wa nchi za Falme za Kiarabu (UAE) Agosti 10, mwaka huu kabla ya
CEACAFA yasogeza mbele Kagame Cup
Na Elizabeth Mayemba
BARAZA la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limesogeza mbele mashindano ya Kombe la Kagame hadi Julai 25 mwaka huu
BARAZA la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limesogeza mbele mashindano ya Kombe la Kagame hadi Julai 25 mwaka huu
TBL yazindua mashindano ya Balimi
Na Elizabeth Mayemba
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia yake Balimi Extra Lager imezindua mashindano ya ngoma za asili kwa mwaka huu, ambayo yanatarajia kuanza kutimua
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia yake Balimi Extra Lager imezindua mashindano ya ngoma za asili kwa mwaka huu, ambayo yanatarajia kuanza kutimua
Barcelona, Arsenal zatetea kuhusu Fabregas
BARCELONA, Hispania
KLABU ya Barcelona ipo kwenye mazungumzo na Arsenal kwa wiki kadhaa, ili kutafuta njia ya kumrejesha kwenye kikosi chake mchezaji Cesc Fabregas.Gazeti la
KLABU ya Barcelona ipo kwenye mazungumzo na Arsenal kwa wiki kadhaa, ili kutafuta njia ya kumrejesha kwenye kikosi chake mchezaji Cesc Fabregas.Gazeti la
07 June 2011
Mbowe Huru
*Asafirishwa kwa ndege ya JWTZ, abadilisha mdhamini
Na Waandishi Wetu, Arusha
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imemwachia huru bila masharti Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Freeman Mbowe huku
Na Waandishi Wetu, Arusha
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imemwachia huru bila masharti Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Freeman Mbowe huku
Mchungaji KKKT jela kwa rushwa ya ngono
Na Eliasa Ally, Iringa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa, imemhukumu kifugo cha miaka mitano Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Michael Ngilangwa, baada ya
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa, imemhukumu kifugo cha miaka mitano Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Michael Ngilangwa, baada ya
Kauli ya JK yawashangaza viongozi wa dini, wanasiasa
Na Dunstan Bahai
BAADHI ya viongozi wa dini na wanasiasa nchini wameishangaa kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwamba viongozi hao wanajihusisha na biashara ya dawa za kulevya bala
BAADHI ya viongozi wa dini na wanasiasa nchini wameishangaa kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwamba viongozi hao wanajihusisha na biashara ya dawa za kulevya bala
Kesi ya uchaguzi Segerea: Fred Mpendazoe aendelea kumng'ang'ania Dkt. Mahanga
Na Rehema Mohamed
MAHAKAMA Kuu imetupilia mbali ombi lililowasilishwa na Mbunge wa Jimbo la Segerea Dkt.Makongoro Mahanga na wakili wa serikali, Bw.David Kawaya, la kutaka
MAHAKAMA Kuu imetupilia mbali ombi lililowasilishwa na Mbunge wa Jimbo la Segerea Dkt.Makongoro Mahanga na wakili wa serikali, Bw.David Kawaya, la kutaka
Tanesco yafafanua kuhusu vishoka
Na Carlos Mtoya
MENEJA wa Shirika la Ugavi Tanzania (Tanesco) Mkoa maalumu wa Ilala Dar es Salaam, Bw. Innocent Luoga amekiri kuwepo kwa malalamiko ya wateja wa
MENEJA wa Shirika la Ugavi Tanzania (Tanesco) Mkoa maalumu wa Ilala Dar es Salaam, Bw. Innocent Luoga amekiri kuwepo kwa malalamiko ya wateja wa
Nzowa ataja mafanikio dawa za kulevya
Na Stella Aron
KIKOSI cha Kupambana na madawa ya kulevya nchini kimewatia mbaroni baadhi ya viongozi wa dini na mabalozi kwa na dawa ya kulevya.Mkuu wa Kitengo cha
KIKOSI cha Kupambana na madawa ya kulevya nchini kimewatia mbaroni baadhi ya viongozi wa dini na mabalozi kwa na dawa ya kulevya.Mkuu wa Kitengo cha
Poulsen alia na mwamuzi Bangui
Na Zahoro Mlanzi
BAADA ya kufungwa mabao 2-1 na timu ya taifa ya Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR), Kocha Mkuu wa timu ya taifa 'Taifa Stars', Jan Polsen amemlalamikia mwamuzi
BAADA ya kufungwa mabao 2-1 na timu ya taifa ya Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR), Kocha Mkuu wa timu ya taifa 'Taifa Stars', Jan Polsen amemlalamikia mwamuzi
'Mbabe' wa Cheka kutua Juni 21
Na Zahoro Mlanzi
BONDIA Daniel Wanyonyi, kutoka Kenya anatarajia kutua nchini Juni 21, mwaka kwa ajili ya kupambana na Francis Cheka katika pambano lisilo la ubingwa litakalofanyika
BONDIA Daniel Wanyonyi, kutoka Kenya anatarajia kutua nchini Juni 21, mwaka kwa ajili ya kupambana na Francis Cheka katika pambano lisilo la ubingwa litakalofanyika
Kinondoni watamba kutetea ubingwa wao
Na Mwandishi Wetu
MABINGWA watetezi wa michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 'Copa Coca-Cola' Mkoa wa Kinondoni, wametamba kutetea ubingwa wao katika michuano hiyo
MABINGWA watetezi wa michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 'Copa Coca-Cola' Mkoa wa Kinondoni, wametamba kutetea ubingwa wao katika michuano hiyo
England yamuumiza kichwa Capello
LONDON, England
KOCHA Fabio Capello amesema hadi sasa hafahamu jinsi gani aisuke timu ya taifa ya England, ili iweze kuwa fiti na iweze kuleta ushindani.Kocha huyo ambaye analipwa
KOCHA Fabio Capello amesema hadi sasa hafahamu jinsi gani aisuke timu ya taifa ya England, ili iweze kuwa fiti na iweze kuleta ushindani.Kocha huyo ambaye analipwa
06 June 2011
Kukamatwa M/Kiti CHADEMA.
Kukamatwa Mbowe balaa tupu Dar
*Wafuasi waandamana, watawanywa, watatu mbaroni
*Dkt. Slaa asema 'ukondoo' wao umefika kikomo
*CUF waungana na CHADEMA, watangaza maandamano
Na Benjamin Masese
Kauli ya Dkt. Slaa
CHADEMA kimesema kuwa 'ukondoo wao' na uvumilivu dhidi ya udhalilishaji na unyanyasaji unaofanywa na jeshi la polisi kwa viongozi na wabunge wake
*Dkt. Slaa asema 'ukondoo' wao umefika kikomo
*CUF waungana na CHADEMA, watangaza maandamano
Na Benjamin Masese
Kauli ya Dkt. Slaa
CHADEMA kimesema kuwa 'ukondoo wao' na uvumilivu dhidi ya udhalilishaji na unyanyasaji unaofanywa na jeshi la polisi kwa viongozi na wabunge wake
Binti mbaroni kwa 'kubaka kavulana'
Na Masau Bwire
MSICHANA mwenye umri wa miaka 16 (jina linahifadhiwa), mkazi wa Kigogo, Luhanga, Dar es Salaam anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za 'kumbaka' mtoto wa
MSICHANA mwenye umri wa miaka 16 (jina linahifadhiwa), mkazi wa Kigogo, Luhanga, Dar es Salaam anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za 'kumbaka' mtoto wa
Kikwete awashukia viongozi wa dini
Na Kassian Nyandindi, Mbinga
RAIS Jakaya Kikwete amewaonya viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini hapa nchini kuacha tabia ya kushiriki biashara ya kuuza dawa ya kulevya na badala yake
RAIS Jakaya Kikwete amewaonya viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini hapa nchini kuacha tabia ya kushiriki biashara ya kuuza dawa ya kulevya na badala yake
Madawati ya mbunge kuwaponza madiwani
Na Wilhelim Mulinda, Musoma
MADIWANI watano wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, mkoani Mara, wanatarajiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote kuanzia sasa kwa tuhuma za kuvunja
MADIWANI watano wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, mkoani Mara, wanatarajiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote kuanzia sasa kwa tuhuma za kuvunja
Wawili wasakwa kwa mauaji Rukwa
Na Juddy Ngonyani,Sumbawanga
JESHI la Polisi mkoani Rukwa linawasaka watuhumiwa wawili wanaodaiwa kuhusika na tukio la mauaji ya mkazi wa Kijiji cha Pito katika manispaa ya sumbawanga
JESHI la Polisi mkoani Rukwa linawasaka watuhumiwa wawili wanaodaiwa kuhusika na tukio la mauaji ya mkazi wa Kijiji cha Pito katika manispaa ya sumbawanga
Ukomeshaji utumwa kuadhimishwa Z'bar leo
Na Mwajuma Juma, Zanzibar
KANISA la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar leo linaadhimisha miaka 138 tangu kukomeshwa kwa biashara ya Utumwa Afrika Mashariki na kuwataka Watanzania
KANISA la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar leo linaadhimisha miaka 138 tangu kukomeshwa kwa biashara ya Utumwa Afrika Mashariki na kuwataka Watanzania
Polisi watakiwa kuondoa utata wa mauaji
Na Moses Mabula, Tabora
JESHI la Polisi mkoani Tabora limetakiwa kufanya uchunguzi wa kina kuhusiana na tukio la kuuawa kwa mwanamke na kisha kutundikwa juu ya dari kwa lengo la
JESHI la Polisi mkoani Tabora limetakiwa kufanya uchunguzi wa kina kuhusiana na tukio la kuuawa kwa mwanamke na kisha kutundikwa juu ya dari kwa lengo la
Vijana Stars
Taifa Satrs yaangukia pua Bangui
*yajiweka katika mazingira magumu
Na Mwandishi Wetu, Bangui
TIMU ya taifa 'Taifa Stars', jana imejiweka kwenye mazingira magumu, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1, mbele ya Afrika ya Kati, katika mechi ya
Na Mwandishi Wetu, Bangui
TIMU ya taifa 'Taifa Stars', jana imejiweka kwenye mazingira magumu, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1, mbele ya Afrika ya Kati, katika mechi ya
Kalunde Band yamnyakua Bob Rudala
Na Mwandishi Wetu
BENDI ya muziki wa dansi ya Kalunde, imemnyakua mwimbaji mahiri wa In Africa Band, Bob Rudala kwa ajili ya kuiongezea
Lundenga kuwafunda Miss Tabata kesho
Na Mwandishi Wetu
Kamati ya Miss Tanzania kesho itatembelea kambi ya Miss Tabata iliyopo Da’ West Park Tabata, Dar es Salaam.Kamati hiyo ikiongozwa na Mratibu wa
Kamati ya Miss Tanzania kesho itatembelea kambi ya Miss Tabata iliyopo Da’ West Park Tabata, Dar es Salaam.Kamati hiyo ikiongozwa na Mratibu wa
Eto'o azamisha jahazi la Cameroon kufuzu CHAN 2012
YAOUNDE, Cameroon
PENALTI ya dakika za mwisho iliyokoswa na mchezaji wa kimataifa, Samuel Eto’o imeifanya Cameroon kubaki na matumaini madogo ya kufuzu fainali za
PENALTI ya dakika za mwisho iliyokoswa na mchezaji wa kimataifa, Samuel Eto’o imeifanya Cameroon kubaki na matumaini madogo ya kufuzu fainali za
03 June 2011
Mahakama yang'ang'ania Freeman Mbowe akamatwe
*Hati ya kukamatwa Slaa, Ndesamburo yafutwa
Na Said Njuki, Arusha
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha imeagiza tena Jeshi la Polisi kumkamata Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Na Said Njuki, Arusha
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha imeagiza tena Jeshi la Polisi kumkamata Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Babu asitisha huduma Jumapili
Na Said Njuki, Arusha
MCHUNGAJI Ambilikile Masapila ‘Babu’ wa Kijiji cha Samunge, Loliondo mkoani hapa, amesitisha utoaji dawa Jumapili kuanzia sasa kwa lengo la kufanya
MCHUNGAJI Ambilikile Masapila ‘Babu’ wa Kijiji cha Samunge, Loliondo mkoani hapa, amesitisha utoaji dawa Jumapili kuanzia sasa kwa lengo la kufanya
Mabilioni ya dharura Nishati yazua mjadala
*Wabunge wahofu ni 'malipo ya Dowans'
Na Tumaini Makene
BAADA ya mjadala mkali wa siku tatu hatimaye wabunge wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini imeikubali bajeti ya wizara hiyo, lakini wakiiwekea
Na Tumaini Makene
BAADA ya mjadala mkali wa siku tatu hatimaye wabunge wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini imeikubali bajeti ya wizara hiyo, lakini wakiiwekea
Tutadhibiti wafanyabiashara CCM-Nape
Na Juddy Ngonyani,Sumbawanga
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa kimeangalia upya njia ya kuwadhibiti wafanyabiashara wanaojiunga na chama hicho na kugombea nafasi mbalimbali za
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa kimeangalia upya njia ya kuwadhibiti wafanyabiashara wanaojiunga na chama hicho na kugombea nafasi mbalimbali za
Kamati yawatimua Kariakoo, NARCO kwa ubabaishaji
Na Grace Michael
KAMATI ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) jana ililazimika kuyatimua mbele yake Shirika la Masoko Kariakoo na Ranchi ya Taifa (NARCO) baada ya
KAMATI ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) jana ililazimika kuyatimua mbele yake Shirika la Masoko Kariakoo na Ranchi ya Taifa (NARCO) baada ya
Mauaji Ngara viongozi wilaya lawamani
Na Theonestina Juma, Bukoba
MAUAJI ya kutisha ya Watanzania sita katika pori la Rubagabaga kijiji cha Murbaga kata na tarafa ya Mursagamba wilayani Ngara na wafugaji haramu wenye
MAUAJI ya kutisha ya Watanzania sita katika pori la Rubagabaga kijiji cha Murbaga kata na tarafa ya Mursagamba wilayani Ngara na wafugaji haramu wenye
Warudia darasa kukwepa shule za kata
Na Theonestina Juma,Bukoba
BAADHI ya wanafunzi waliofaulu kujiunga na elimu ya sekondari wilayani Chato mwaka huu wamelazimika kurudia darasa la saba kwa madai ya kutaka
BAADHI ya wanafunzi waliofaulu kujiunga na elimu ya sekondari wilayani Chato mwaka huu wamelazimika kurudia darasa la saba kwa madai ya kutaka
Henry Joseph, Chombo watemwa Stars
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya taifa 'Taifa Stars', imeondoka alfajiri ya leo kwenda Jamhuri ya Afrika ya Kati huku ikiwaacha wachezaji wake Henry Joseph, Kigi Makasi na Ramadhan Chombo
TIMU ya taifa 'Taifa Stars', imeondoka alfajiri ya leo kwenda Jamhuri ya Afrika ya Kati huku ikiwaacha wachezaji wake Henry Joseph, Kigi Makasi na Ramadhan Chombo
Twiga Stars kujipima kwa Botswana
Na Elizabeth Mayemba
TIMU ya soka ya taifa ya wanawake 'Twiga Stars', inatarajia kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya timu ya taifa ya Botswana Julai mwaka huu.Mchezo
TIMU ya soka ya taifa ya wanawake 'Twiga Stars', inatarajia kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya timu ya taifa ya Botswana Julai mwaka huu.Mchezo
Miss Dar Inter Collage kupatikana Juni 17
Na Addolph Bruno
MASHINDANO ya Kumsaka 'malikia wa Vyuo Vikuu' Miss Dar Inter Collage 2011, yanatarajia kufanyika Juni 17 mwaka huu katika Ukumbi utakaotangazwa
MASHINDANO ya Kumsaka 'malikia wa Vyuo Vikuu' Miss Dar Inter Collage 2011, yanatarajia kufanyika Juni 17 mwaka huu katika Ukumbi utakaotangazwa
02 June 2011
Wafugaji Rwanda waua Watanzania sita Ngara
*Kamati ya Ulinzi na Usalama yasaka watuhumiwa
Na Theonestina Juma, Bukoba
WATANZANIA sita ambao ni wakulima wa Kijiji cha Murbanga Kata ya Mursagamba wilayani Ngara mkoani Kagera wamevamiwa shambani na kuua kikatili na
Na Theonestina Juma, Bukoba
WATANZANIA sita ambao ni wakulima wa Kijiji cha Murbanga Kata ya Mursagamba wilayani Ngara mkoani Kagera wamevamiwa shambani na kuua kikatili na
Nyumba za NHC Upanga hazitauzwa-Lembeli
Na Tumaini Makene
SIKU moja baada ya kuibuka kwa taarifa za baadhi ya wapangaji wa Shirika la Nyumba Tanzania (NHC) kutaka kuuziwa nyumba katika eneo nyeti la
SIKU moja baada ya kuibuka kwa taarifa za baadhi ya wapangaji wa Shirika la Nyumba Tanzania (NHC) kutaka kuuziwa nyumba katika eneo nyeti la
Bajeti mbadala Chadema kufuta posho za vikao
*Yataja vipaumbele sita ikiwamo miundombinu, umeme
Na Grace Michael
KAMBI Rasmi ya Upinzani Bungeni imetangaza mwelekeo wa bajeti mbadala ya 2011/2012 huku ikisisitiza kufuta posho za vikao
Na Grace Michael
KAMBI Rasmi ya Upinzani Bungeni imetangaza mwelekeo wa bajeti mbadala ya 2011/2012 huku ikisisitiza kufuta posho za vikao
Watu 11 wakamatwa mauaji ya Mwankenja
Na Rashid Mkwinda, Mbeya
WATU 11 wakiwemo wanasiasa na wafanyabiashara wanashilikiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa
WATU 11 wakiwemo wanasiasa na wafanyabiashara wanashilikiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa
POAC yaamuru TICTS kufikishwa Kamati ya Maadili
Na Grace Michael
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) imeagiza Kitengo kinachohudumia Makontena Bandarini (TICTS), kufikishwa mbele ya Kamati
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) imeagiza Kitengo kinachohudumia Makontena Bandarini (TICTS), kufikishwa mbele ya Kamati
Waliofanya vurugu Mugumu kortini
Na Raphael Okello,Serengeti
WATU 9 wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara kwa tuhuma ya kufanya vurugu na kuvamia Kituo cha Polisi cha mjini Mugumu wilayani
WATU 9 wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara kwa tuhuma ya kufanya vurugu na kuvamia Kituo cha Polisi cha mjini Mugumu wilayani
Simba, Yanga kukumbana Agosti 13
Na Zahoro Mlanzi
WAPINZANI wa jadi nchini, timu za Yanga na Simba zitafungua msimu mpya wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara 2011/2012 Agosti 13, mwaka huu zitakapoumana
WAPINZANI wa jadi nchini, timu za Yanga na Simba zitafungua msimu mpya wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara 2011/2012 Agosti 13, mwaka huu zitakapoumana
Kuziona Vijana Stars, Nigeria 1,000/-
Na Addolph Bruno
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza viingilio vya mechi ya kwanza ya mchujo ya michuano ya Olimpiki kati ya timu ya taifa ya vijana
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza viingilio vya mechi ya kwanza ya mchujo ya michuano ya Olimpiki kati ya timu ya taifa ya vijana
TBL yatangaza 'bingo' mashindano ya pool
Na Amina Athumani
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia ya Safari Lager imetangaza kutoa sh. milioni 2.5 kwa mshindi atakayeibuka katika fainali za mashindano ya Pool ya
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia ya Safari Lager imetangaza kutoa sh. milioni 2.5 kwa mshindi atakayeibuka katika fainali za mashindano ya Pool ya
Robinho amhadharisha Neymar
RIO DE JANEIRO, Brazil
MSHAMBULIAJI Robinho De Souza, amemshauri Neymar kufikiria mara mbili kabla ya kufikia uamuzi wa kutaka kuhamia katika Ligi Kuu England kwani anaamini kuwa
MSHAMBULIAJI Robinho De Souza, amemshauri Neymar kufikiria mara mbili kabla ya kufikia uamuzi wa kutaka kuhamia katika Ligi Kuu England kwani anaamini kuwa
01 June 2011
Gavana abanwa fedha za EPA
*Adai serikali pekee ndiyo inajua matumizi yake
*Asema bei ya umeme imeongeza makali ya maisha
Na Tumaini Makene
MZIMU wa kashfa ya wizi wa fedha zilizoibiwa katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), umeendelea kuibuka, ambapo
*Asema bei ya umeme imeongeza makali ya maisha
Na Tumaini Makene
MZIMU wa kashfa ya wizi wa fedha zilizoibiwa katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), umeendelea kuibuka, ambapo
Marando 'akwamisha' utetezi wa Mahalu
Na Rabia Bakari
WAKILI Mabere Marando anayemtetea aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu na mwenzake Grace Martin amewasilisha maombi mawili
WAKILI Mabere Marando anayemtetea aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu na mwenzake Grace Martin amewasilisha maombi mawili
TANESCO yanunua mitambo ya megawati 160
Na Peter Mwenda
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeanza ujenzi wa mitambo ya kuzalisha umeme wa megawati 100 utakaotumia gesi katika Kituo cha Ubungo na
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeanza ujenzi wa mitambo ya kuzalisha umeme wa megawati 100 utakaotumia gesi katika Kituo cha Ubungo na
TAZARA imepata hasara bilioni 12/-TRA
Na Benjamin Masese
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Reli (TRAWU) Bw. Christopher Kazio ameidai kwamba Shirika ka Reli la Tanzania na Zanzibar (TAZARA) limepata
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Reli (TRAWU) Bw. Christopher Kazio ameidai kwamba Shirika ka Reli la Tanzania na Zanzibar (TAZARA) limepata
Madiwani wa UDP wasusia kikao
Na Zuhura Semkucha, Bariadi
MADIWANI wa Chama UDP Wilaya ya Bariadi mkoani Shinyanga wamesusia kikao cha Baraza la Madiwani kwa madai kuwa kucheleweshewa makablasha ambayo
MADIWANI wa Chama UDP Wilaya ya Bariadi mkoani Shinyanga wamesusia kikao cha Baraza la Madiwani kwa madai kuwa kucheleweshewa makablasha ambayo
Chanzo cha Maji Ruvu hatarini
Na John Gagarini, Kibaha
BAADHI ya wakulima wanaolima kilimo cha umwagilia kupitia mto Ruvu ambako kuna chanzo cha maji cha mtambo wa Mamlaka ya Maji Safi na Majitaka (DAWASCO) wanahatarisha
BAADHI ya wakulima wanaolima kilimo cha umwagilia kupitia mto Ruvu ambako kuna chanzo cha maji cha mtambo wa Mamlaka ya Maji Safi na Majitaka (DAWASCO) wanahatarisha
Kaseja aumia taya, atemwa Stars
*Samatta, Ngassa wapasua vichwa makocha
Na Zahoro Mlanzi
KIPA wa timu ya taifa 'Taifa Stars' na Simba, Juma Kaseja ameumia taya wakati wa mazoezi na kwamba hatakuwepo katika
Na Zahoro Mlanzi
KIPA wa timu ya taifa 'Taifa Stars' na Simba, Juma Kaseja ameumia taya wakati wa mazoezi na kwamba hatakuwepo katika
Copa Coca-Cola kutimua vumbi Juni 11
Na Addolph Bruno
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza ratiba ya mashindano Copa Coca-Cola ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ngazi ya taifa, ambayo
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza ratiba ya mashindano Copa Coca-Cola ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ngazi ya taifa, ambayo
David Silva ampata tano Tevez kubaki Man City
LONDON, England
MSHAMBULIAJI wa Manchester City, David Silva amempa tano mshambulaji mwenzake Carlos Tevez, kwa kuamua kubaki katika klabu hiyo majira ya joto
MSHAMBULIAJI wa Manchester City, David Silva amempa tano mshambulaji mwenzake Carlos Tevez, kwa kuamua kubaki katika klabu hiyo majira ya joto
Drogba kusaini mktaba mpya Chelsea
LONDON, Uingereza
DIDIER Drogba anajiandaa kusaini mkataba mpya katika Klabu ya Chelsea, ambao utafanya kumalizia uchezaji wake hapo.Mshmabuliji huyo awali alielezewa kuwa
DIDIER Drogba anajiandaa kusaini mkataba mpya katika Klabu ya Chelsea, ambao utafanya kumalizia uchezaji wake hapo.Mshmabuliji huyo awali alielezewa kuwa
Subscribe to:
Posts (Atom)
