* Ataka CCM, wanachama watafakari kabla ya kulipa
Na Daud Magesa, Butiama
MJANE wa Hayati Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere ameibuka na kusema kulipa mabilioni ya fedha kwa kampuni ya
31 January 2011
FFU watumika kusafisha mji Shinyanga
Na Suleiman Abeid, Shinyanga
HALMASHAURI ya Manispaa ya Shinyanga imeendesha operesheni ‘Safisha Mji’ kwa kumwaga vyakula vya mama lishe, kuzoa viatu madukani na
HALMASHAURI ya Manispaa ya Shinyanga imeendesha operesheni ‘Safisha Mji’ kwa kumwaga vyakula vya mama lishe, kuzoa viatu madukani na
CUF kuandamana kupinga malipo Dowans
Na Rabia Bakari
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba anatarajia kuongoza maandamano amani yaliyoandaliwa na
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba anatarajia kuongoza maandamano amani yaliyoandaliwa na
Serikali yafunga rasmi malipo ya mabomu Mbagala
Na Benjamin Masese
SERIKLI imefunga rasmi operesheni ya malipo kwa waathirika wa milipuko ya mabomu iliyotokea Aprili 29, 2009 eneo la Mbagala Kuu katika kambi ya
SERIKLI imefunga rasmi operesheni ya malipo kwa waathirika wa milipuko ya mabomu iliyotokea Aprili 29, 2009 eneo la Mbagala Kuu katika kambi ya
Babati bado hakujatulia, wawekezaji wajawa hofu
Na Peter Ringi, Babati
WAWEKEZAJI katika katika Bonde la Kiru wilayani Babati, mkoani Manyara wameeleza wasiwasi wa usalama wao na mali zao mbele ya Kamati ya
WAWEKEZAJI katika katika Bonde la Kiru wilayani Babati, mkoani Manyara wameeleza wasiwasi wa usalama wao na mali zao mbele ya Kamati ya
Wanaoshindwa kulipa wasifukuzwe shule-DED
Na Raphael Okello, Bunda
MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, Bw. Cyprian Oyier amewaagiza wakuu wote wa shule za sekondari wilayani humo
MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, Bw. Cyprian Oyier amewaagiza wakuu wote wa shule za sekondari wilayani humo
Papic azidi kuikoroga Yanga
*Asisitiza kuondoka nchini
Na Mwandishi Wetu
SIKU chache baada ya kudaiwa Kocha Mkuu wa Yanga, Kostadin Papic kukubali kuendelea kuinoa timu hiyo, kocha huyo
Na Mwandishi Wetu
SIKU chache baada ya kudaiwa Kocha Mkuu wa Yanga, Kostadin Papic kukubali kuendelea kuinoa timu hiyo, kocha huyo
Simba SC kurejea nchini leo
Na Zahoro Mlanzi
WAWAKILISHI wa Tanzania Bara katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, Simba inatarajia kutua nchini leo ikitokea Komoro huku wakijuta kuwadharau
WAWAKILISHI wa Tanzania Bara katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, Simba inatarajia kutua nchini leo ikitokea Komoro huku wakijuta kuwadharau
Wanariadha kibao kushiriki Kili Martahon
Na Mwandishi Wetu
WANARIADHA nguli wa mbio za marathon kutoka nchi mbalimbali duniani, wako katika hatua za mwisho za maandalizi kabla ya kwenda Moshi kushiriki
WANARIADHA nguli wa mbio za marathon kutoka nchi mbalimbali duniani, wako katika hatua za mwisho za maandalizi kabla ya kwenda Moshi kushiriki
Barcelona yazidi kuchanja mbuga
ALICANTE, Hispania
TIMU ya Barcelona, imeshinda mechi yake ya 15 ya ligi hivyo kufikisha historia ya miaka 50 katika ligi ya Hispania iliyowahi kuwekwa na Real Madrid.Barcelona
TIMU ya Barcelona, imeshinda mechi yake ya 15 ya ligi hivyo kufikisha historia ya miaka 50 katika ligi ya Hispania iliyowahi kuwekwa na Real Madrid.Barcelona
Japan yatwaa ubingwa Kombe la Asia
DOHA, Qatar
TIMU ya taifa ya Japan, imeweka rekodi ya kutwaa mara nne kombe la michuano ya Asia, baada ya mshambuliaji wake aliyetokea benchi, Tadanari Lee
TIMU ya taifa ya Japan, imeweka rekodi ya kutwaa mara nne kombe la michuano ya Asia, baada ya mshambuliaji wake aliyetokea benchi, Tadanari Lee
28 January 2011
Sumaye akerwa uchumi kuacha kando maskini
*Asema ni hatari kwa utulivu wa nchi
Na Tumaini Makene
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Bw. Frederick Sumaye amesema kuwa takwimu za ukuaji wa uchumi ambazo hazijidhihirishi katika hali
Na Tumaini Makene
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Bw. Frederick Sumaye amesema kuwa takwimu za ukuaji wa uchumi ambazo hazijidhihirishi katika hali
Kushuka ufaulu "form IV" hatari kwa maendeleo ya elimu-CWT
Na Gladness Mboma
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimesema kiwango cha ufaulu kwa daraja la kwanza hadi la tatu ni kidogo na hakifanani na matokeo ya
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimesema kiwango cha ufaulu kwa daraja la kwanza hadi la tatu ni kidogo na hakifanani na matokeo ya
Msuya: Kuna uwezekano CCM kung'olewa
Na Tumaini Makene
WAZIRI Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, Bw. Cleopa Msuya amesema kwa jinsi vuguvugu la kisiasa lilivyo kwa sasa nchini, si ajabu chama kingine
WAZIRI Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, Bw. Cleopa Msuya amesema kwa jinsi vuguvugu la kisiasa lilivyo kwa sasa nchini, si ajabu chama kingine
Majira yazindua kamati kuchochea maendeleo Kagera
Na Theonestina Juma, Bukoba
KAMPUNI ya Business Times kupitia gazeti lake la Majira imezindua kamati ya kuchochea na kufuatilia maendeleo ya Mkoa wa Kagera, ambapo
KAMPUNI ya Business Times kupitia gazeti lake la Majira imezindua kamati ya kuchochea na kufuatilia maendeleo ya Mkoa wa Kagera, ambapo
Watalaamu wa ndani wapewe upendeleo-Mwakyembe
Na Agnes Mwaijega
NAIBU Waziri wa Ujenzi, Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa mwito kwa taasisi za serikali na sekta binafsi nchini kutoa fursa za upendeleo kwa
NAIBU Waziri wa Ujenzi, Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa mwito kwa taasisi za serikali na sekta binafsi nchini kutoa fursa za upendeleo kwa
Mshtakiwa augua, aanguka kizimbani
Na Rabia Bakari
MSHTAKIWA katika kesi ya kutapeli fedha kwa njia ya udanganyifu, Bi. Mwadawa Abdallah ameanguka na kuzimia kizimbani baada ya presha
MSHTAKIWA katika kesi ya kutapeli fedha kwa njia ya udanganyifu, Bi. Mwadawa Abdallah ameanguka na kuzimia kizimbani baada ya presha
Mshtakiwa augua, aanguka kizimbani
Na Rabia Bakari
MSHTAKIWA katika kesi ya kutapeli fedha kwa njia ya udanganyifu, Bi. Mwadawa Abdallah ameanguka na kuzimia kizimbani baada ya presha
MSHTAKIWA katika kesi ya kutapeli fedha kwa njia ya udanganyifu, Bi. Mwadawa Abdallah ameanguka na kuzimia kizimbani baada ya presha
Mwendesha bodaboda achinjwa Kahama
Na Patrick Mabula, Kahama
MWENDESHA pikipiki mmoja wilayani Kahama ameuawa kinyama kwa kukatwa shingo na kitu chenye cha kali na watu wasiofahamika na kisha
MWENDESHA pikipiki mmoja wilayani Kahama ameuawa kinyama kwa kukatwa shingo na kitu chenye cha kali na watu wasiofahamika na kisha
Yanga bado yamganda Papic
*Minziro kuongoza majeshi kesho
Na Elizabeth Mayemba
UONGOZI wa Yanga umesema licha ya Kocha wake Mkuu, Kostadin Papic kutangaza kubwaga manyanga kuifunza timu hiyo, wao
Na Elizabeth Mayemba
UONGOZI wa Yanga umesema licha ya Kocha wake Mkuu, Kostadin Papic kutangaza kubwaga manyanga kuifunza timu hiyo, wao
Wapinzani Yanga waja na 'maproo' watano
Na Zahoro Mlanzi
WAPINZANI wa timu ya Yanga, Dedebit FC kutoka Ethiopia, iliwasili jana alfajiri ikiwa na wachezaji watano wa kulipwa tayari kwa mechi ya
WAPINZANI wa timu ya Yanga, Dedebit FC kutoka Ethiopia, iliwasili jana alfajiri ikiwa na wachezaji watano wa kulipwa tayari kwa mechi ya
Real Madrid, Barcelona zashinda
MADRID, Hispania
MAHASIMU wakuu nchini Hispania, timu za Real Madrid na Barcelona zinaelekea kukutana kwenye michuano ya Kombe la Mfalme, baada ya wapinzani hao
MAHASIMU wakuu nchini Hispania, timu za Real Madrid na Barcelona zinaelekea kukutana kwenye michuano ya Kombe la Mfalme, baada ya wapinzani hao
Mbio za Chelsea kwa Luiz zaishia ukingoni
LISBON, Ureno
MBIO za Chelsea kutaka kumsaini mlinzi wa Benfica, David Luiz zimeelekea kuvunjika juzi usiku.Blues ilipandisha dau kwa ajili ya mchezaji huyo kwa
MBIO za Chelsea kutaka kumsaini mlinzi wa Benfica, David Luiz zimeelekea kuvunjika juzi usiku.Blues ilipandisha dau kwa ajili ya mchezaji huyo kwa
27 January 2011
Wasichana watesa form IV
Wa Kwanza: "Siamini kabisaa, ila Mungu alikuwa akiniona nikisoma kwa bidii. Nimepata nguvu kubwa ya kuendelea kusoma kidato cha tano na sita na chuo kikuu. Matarajio yangu ni kuwa daktari," alisema kwa furaha Lucylight.
Wa Pili: "Siri ni ufuatiliaji wa karibu wa walimu na Meneja wa shule. Pia kujituma mimi mwenyewe, mazingira mazuri ya shule na uhamasishaji wa wazazi wangu, lakini pia siwezi nikasahau msaada wa sala," alisema Maria-Dorin.
Na Waandishi Wetu, Dar, Arusha
WASICHANA wameendelea kuonesha makali yao katika masomo dhidi ya
Wa Pili: "Siri ni ufuatiliaji wa karibu wa walimu na Meneja wa shule. Pia kujituma mimi mwenyewe, mazingira mazuri ya shule na uhamasishaji wa wazazi wangu, lakini pia siwezi nikasahau msaada wa sala," alisema Maria-Dorin.
Na Waandishi Wetu, Dar, Arusha
WASICHANA wameendelea kuonesha makali yao katika masomo dhidi ya
Muro alimfunga pingu Wage- Shahidi
Na Rabia Bakari
SHAHIDI katika kesi ya kuomba rushwa ya sh. milioni 10, inayomkabili Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni ya Taifa (TBC1), Bw. Jerry Muro na
SHAHIDI katika kesi ya kuomba rushwa ya sh. milioni 10, inayomkabili Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni ya Taifa (TBC1), Bw. Jerry Muro na
Serikali kutoa matibabu kisukari bure
Na Agnes Mwaijega
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Hadji Mponda amesema huduma za upimaji na matibabu kwa wagonjwa wa kisukari zitatolewa bure katika
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Hadji Mponda amesema huduma za upimaji na matibabu kwa wagonjwa wa kisukari zitatolewa bure katika
TAMADA kupinga malipo ya Dowans kwa maandamno
Na Rabia Bakari
CHAMA cha Uzalishaji na Mandeleo Tanzania (TAMADA) kwa kushirikiana na wafanyabiashara ndogondogo wameandaa maandamano makubwa ya
CHAMA cha Uzalishaji na Mandeleo Tanzania (TAMADA) kwa kushirikiana na wafanyabiashara ndogondogo wameandaa maandamano makubwa ya
Papic atoa siri kuondoka Yanga
Na Elizabeth Mayemba
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mserbia Kostadin Papic jana waliwaaga wachezaji wake, na kutoa sababu zilizomfanya aachie ngazi kuinoa timu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mserbia Kostadin Papic jana waliwaaga wachezaji wake, na kutoa sababu zilizomfanya aachie ngazi kuinoa timu
ZFA yabadilisha mfumo wa ligi
Na Mussa Soraga, Zanzibar
HATIMAE Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA), kimepitisha rasmi azimio la kubadilisha mfumo wake wa Ligi Kuu ambayo sasa itaanza Agosti na
HATIMAE Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA), kimepitisha rasmi azimio la kubadilisha mfumo wake wa Ligi Kuu ambayo sasa itaanza Agosti na
Mabondia kumi kuunda timu ya taifa
Na Amina Athumani
KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya ngumi za riadha, Hurtado Primentel anatarajia kuchagua mabondia 10 wa taifa kwa ajili ya mashindano ya
KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya ngumi za riadha, Hurtado Primentel anatarajia kuchagua mabondia 10 wa taifa kwa ajili ya mashindano ya
Adebayor kukipiga kwa mkopo Real Madrid
MADRID, Hispania
MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Emmanuel Adebayor anajiandaa kujiunga Real Madrid kwa mkopo, baada ya klabu hiyo ya Hispania kutangaza
MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Emmanuel Adebayor anajiandaa kujiunga Real Madrid kwa mkopo, baada ya klabu hiyo ya Hispania kutangaza
Arsenal yapenya fainali Kombe la Ligi
LONDON, Uingereza
ARSENAL imefuzu fainali ya Kombe la Ligi, baada ya kuichapa Ipswich mabao 3-0 katika mechi ya nusu fainali iliyochezwa Uwanja wa Emirates usiku wa
ARSENAL imefuzu fainali ya Kombe la Ligi, baada ya kuichapa Ipswich mabao 3-0 katika mechi ya nusu fainali iliyochezwa Uwanja wa Emirates usiku wa
26 January 2011
Muungano kambi ya upinzani mashakani
*Mbowe awataka kina Hamadi Rashidi 'wazidi kusubiri'
Na Tumaini Makene
ZIKIWA zimebaki takribani wiki mbili kabla bunge la 10 halijaanza vikao vyake vya mkutano wa pili, hatma ya
Na Tumaini Makene
ZIKIWA zimebaki takribani wiki mbili kabla bunge la 10 halijaanza vikao vyake vya mkutano wa pili, hatma ya
Chuo Kikuu Makumira watawanywa kwa mabomu
Na Glory Mhiliwa, Arusha
ASKARI wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) jana walitumia mabomu ya machozi kusitisha maandamano ya wanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha
ASKARI wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) jana walitumia mabomu ya machozi kusitisha maandamano ya wanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha
RPC akiri askari kushiriki ujambazi
Na Gory Mhiliwa, Arusha
JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limethibitisha kuwa askari wake wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mwenye namba G.6825 PC Elias Matiku ndiye
JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limethibitisha kuwa askari wake wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mwenye namba G.6825 PC Elias Matiku ndiye
Mtego wa jerry Muro wawekwa bayana
Na Rabia Bakari
SHAHIDI wa nne katika kesi ya kuomba rushwa ya sh. milioni 10 inayomkabili aliyekuwa mtangazaji wa kituo cha televisheni cha TBC1, Bw. Jerry Muro na
SHAHIDI wa nne katika kesi ya kuomba rushwa ya sh. milioni 10 inayomkabili aliyekuwa mtangazaji wa kituo cha televisheni cha TBC1, Bw. Jerry Muro na
Tanzania, Cuba kusaidiana tiba ya malaria
Na Dunstan Bahai
SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na ile ya Cuba, zinakusudia kujenga kiwanda cha kuzalisha viatilifu vya kupambana na vimelea vya malaria.Uamuzi huo
SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na ile ya Cuba, zinakusudia kujenga kiwanda cha kuzalisha viatilifu vya kupambana na vimelea vya malaria.Uamuzi huo
Barabara Gaita-Usagara kukamilika Julai
Na Wilhelm Mulinda, Mwanza
UJENZI wa Barabara ya Geita-Usagara mkoani Mwanza kwa kiwango cha lami unatarajiwa kukamilika kwa kipindi cha miezi sita kuanzia sasa, imefahamika.Akizungumza na
UJENZI wa Barabara ya Geita-Usagara mkoani Mwanza kwa kiwango cha lami unatarajiwa kukamilika kwa kipindi cha miezi sita kuanzia sasa, imefahamika.Akizungumza na
Shein ateua wakuu idara za SMZ
Na Mwandishi Wetu
RAIS wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein amewateua wakuu wa taasisi mbalimbali serikalini.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na
RAIS wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein amewateua wakuu wa taasisi mbalimbali serikalini.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na
Madai ya walimu waliokosa ajira yatua OWM
Na Benjamin Masese
HATIMAYE sakata la baadhi ya walimu waliohitimu mafunzo yao ya ualimu mwaka 2009/2010 na kushindwa kuajiriwa limetinga katika Ofisi za Waziri Mkuu (OWM) na
HATIMAYE sakata la baadhi ya walimu waliohitimu mafunzo yao ya ualimu mwaka 2009/2010 na kushindwa kuajiriwa limetinga katika Ofisi za Waziri Mkuu (OWM) na
Yanga, TFF zapishana kauli
*Ni kuhusu mechi na Dedebit
*Papic atangaza kujiuzulu
Na Elizabeth Mayemba
WAKATI uongozi wa Yanga, ukitangaza mechi yao dhidi ya
*Papic atangaza kujiuzulu
Na Elizabeth Mayemba
WAKATI uongozi wa Yanga, ukitangaza mechi yao dhidi ya
TFF 'yaichakachua' Kamati ya Waamuzi
Na Zahoro Mlanzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeifanyia mabadiliko Kamati ya Waamuzi kwa kumuondoa aliyekuwa Mwenyekiti, Shaibu Nampunde na
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeifanyia mabadiliko Kamati ya Waamuzi kwa kumuondoa aliyekuwa Mwenyekiti, Shaibu Nampunde na
Yanga yaichanganya Polisi Tanzania
Na Mwandishi Wetu
BAADA ya kufungwa mabao 2-0 juzi na Yanga, uongozi wa timu ya Polisi Tanzania umesema utakaa na Kocha Mkuu wake, John Semkoko aeleze
BAADA ya kufungwa mabao 2-0 juzi na Yanga, uongozi wa timu ya Polisi Tanzania umesema utakaa na Kocha Mkuu wake, John Semkoko aeleze
Chelsea yazinduka yaichapa Bolton 4-0
BOLTON, England
BAO safi lililofungwa na mshambuliaji, Didier Drogba usiku wa kuamkia jana liliifanya timu ya Chelsea kuibuka na ushindi wa mabao 4-0, dhidi ya Bolton
BAO safi lililofungwa na mshambuliaji, Didier Drogba usiku wa kuamkia jana liliifanya timu ya Chelsea kuibuka na ushindi wa mabao 4-0, dhidi ya Bolton
Kompany amtabiria makubwa Dzeko
LONDON, Uingereza
MCHEZAJI Vincent Kompany, amesema anaamini kuwa mshambuliaji mpya wa Manchester City, aliyesainiwa kwa ada ya pauni milioni 27
MCHEZAJI Vincent Kompany, amesema anaamini kuwa mshambuliaji mpya wa Manchester City, aliyesainiwa kwa ada ya pauni milioni 27
25 January 2011
Chadema yamuunga mkono Kafulila
*Ni kuhusu hoja ya Dowans kurejeshwa bungeni
*Lissu asema lengo kupinga kuzawadia ufisadi
Na Jumbe Ismailly, Singida
HOJA Binafsi ya Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), Bw. David Kafulila
*Lissu asema lengo kupinga kuzawadia ufisadi
Na Jumbe Ismailly, Singida
HOJA Binafsi ya Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), Bw. David Kafulila
Madiwani wapanga kumwengua meya
Na Suleiman Abeid, Shinyanga
BAADHI ya madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Shinyanga wanadaiwa kula njama za kutaka kumuengua Meya wao
BAADHI ya madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Shinyanga wanadaiwa kula njama za kutaka kumuengua Meya wao
Wahitimu ualimu wazua tafrani wizarani
Na Benjamin Masese
SAKATA la baadhi ya walimu waliohitimu mwaka 2009/2010 la kuvamia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya ufundi kudai ajira limeingia sura mpya baada ya
SAKATA la baadhi ya walimu waliohitimu mwaka 2009/2010 la kuvamia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya ufundi kudai ajira limeingia sura mpya baada ya
Shahidi aeleza Muro alivyomuomba rushwa
Na Zamzam Abdul
SHAHIDI wa tatu upande wa mashitaka Bw. Michael Wage ametoa ushahidi wake katika kesi ya kudai rushwa ya sh. milioni kumi kinayomkabili
SHAHIDI wa tatu upande wa mashitaka Bw. Michael Wage ametoa ushahidi wake katika kesi ya kudai rushwa ya sh. milioni kumi kinayomkabili
Machinga kuendelea kutesa Mwanza
Na Daud Magesa, Mwanza
HALMASHAURI ya Jiji la Mwanza imeridhia wamachinga waendelee kufanya shughuli zao katika baadhi ya maeneo katikati ya jiji.Mvutano baina ya
HALMASHAURI ya Jiji la Mwanza imeridhia wamachinga waendelee kufanya shughuli zao katika baadhi ya maeneo katikati ya jiji.Mvutano baina ya
Lissu kuomba matumzi TAMISEMI yachunguzwe
Na Jumbe Ismailly, Singida
MBUNGE wa Jimbo la Singida Mashariki (CHADEMA), Bw. Tundu Lissu anakusudia kuwasilisha hoja binafsi katika mkutano ujao wa bunge kuomba
MBUNGE wa Jimbo la Singida Mashariki (CHADEMA), Bw. Tundu Lissu anakusudia kuwasilisha hoja binafsi katika mkutano ujao wa bunge kuomba
'Mji Mkongwe bado urithi wa ulimwengu'
Na Mwandishi Wetu
MJI Mkongwe wa Zanzibar utaendelea kuwa urithi wa ulimwengu na Mamlaka ya Uendelezaji Mji huo, imesema hakuna tishio lolote la kufutwa kama
MJI Mkongwe wa Zanzibar utaendelea kuwa urithi wa ulimwengu na Mamlaka ya Uendelezaji Mji huo, imesema hakuna tishio lolote la kufutwa kama
Yanga yaendeleza shangwe Jangwani
*Mwape aibuka shujaa tena
Na Zahoro Mlanzi
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga jana iliendeleza shangwe za ushindi huku ikiongeza wigo wa pointi nne kwa wapinzani wao wa jadi Simba, Baada
Na Zahoro Mlanzi
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga jana iliendeleza shangwe za ushindi huku ikiongeza wigo wa pointi nne kwa wapinzani wao wa jadi Simba, Baada
Serikali yafagilia kozi ya FIFA
Na Zahoro Mlanzi
SERIKALI imeifagilia kozi inayoandaliwa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) ya uandaaji wa matukio iliyofungiliwa jana, Dar es Salaam.
SERIKALI imeifagilia kozi inayoandaliwa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) ya uandaaji wa matukio iliyofungiliwa jana, Dar es Salaam.
Wasanii watunga nyimbo kunadi Kili Music Awards
Na Elizabeth Mayemba
WASHINDI wa Tuzo za Kilimanjaro Music Awards wa mwaka jana, wametunga wimbo wa pamoja ambao utaanza kurushwa kwenye vituo vya televisheni na
WASHINDI wa Tuzo za Kilimanjaro Music Awards wa mwaka jana, wametunga wimbo wa pamoja ambao utaanza kurushwa kwenye vituo vya televisheni na
Carrol kukaa nje kwa wiki mbili
LONDON, Uingereza
MSHAMBULIAJI Andy Carroll, atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili baada ya kuumia paja.Kutokana na kuwa nje katika kipindi hicho, mchezaji huyo atakosa
MSHAMBULIAJI Andy Carroll, atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili baada ya kuumia paja.Kutokana na kuwa nje katika kipindi hicho, mchezaji huyo atakosa
Leonardo aonja kipigo cha kwanza Inter Milan
MILAN, Italia
KOCHA mpya wa Inter Milan, Leonardo amekutana na kipigo cha kwanza katika mechi zake sita alizoiongoza timu hiyo baada ya kuchapwa mabao
KOCHA mpya wa Inter Milan, Leonardo amekutana na kipigo cha kwanza katika mechi zake sita alizoiongoza timu hiyo baada ya kuchapwa mabao
24 January 2011
Dowans kuhatarisha uhalali wa serikali
"Kama watalipa faster faster (haraka) watakuwa wameongeza upana wa hoja yangu, badala ya kuliomba bunge kumpigia kura Ngeleja ya kujiuzulu, nitaliomba bunge kadri litakavyoona inafaa, lipige kura ya kutokuwa na imani na serikali," alisema David Kafulila.
Na Tumaini Makene
SAKATA la Kampuni tata ya Dowans bado tete na
Na Tumaini Makene
SAKATA la Kampuni tata ya Dowans bado tete na
Nchi inakoelekea si salama-Askofu
Na Benjamin Masese
KIONGOZI wa kundi la waumini waliojitenga na Kanisa la Anglikana la Tanzania, Askofu Ainea Kusehna amesema kuwa nchi inapoelekea sasa si salama kutokana na
KIONGOZI wa kundi la waumini waliojitenga na Kanisa la Anglikana la Tanzania, Askofu Ainea Kusehna amesema kuwa nchi inapoelekea sasa si salama kutokana na
Mtikila apongeza UV-CCM kuhusu Dowans
Na Grace Michael
MWENYEKITI wa Democratic Party, Mchungaji Christopher Mtikila amesema kuwa kitendo cha ujasiri kilichofanywa na Umoja wa Vijana wa
MWENYEKITI wa Democratic Party, Mchungaji Christopher Mtikila amesema kuwa kitendo cha ujasiri kilichofanywa na Umoja wa Vijana wa
CHADEMA wandamana kupinga mgawanyo wa mbolea
Na Joseph Mwambije,Songea
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kimefanya maandamano ya amani kushinikiza Mkuu wa Wilaya ya Songea, Bw. Thomas Sabaya ajiuzulu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kimefanya maandamano ya amani kushinikiza Mkuu wa Wilaya ya Songea, Bw. Thomas Sabaya ajiuzulu
Mtandao umemomonyoa maadili ya taifa-Wadau
Na Jumbe Ismailly, Singida
WADAU wa kongamano la kujadili Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025 wamesema moja ya sababu zinazochangia mmomonyoko wa maadili kwa
WADAU wa kongamano la kujadili Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025 wamesema moja ya sababu zinazochangia mmomonyoko wa maadili kwa
Maslahi ya taifa kwanza, siasa baadaye-Mengi
Na Omari Moyo, Arusha
SERIKALI, vyama vya kisiasa na viongozi wa kidini wametakiwa kushirikiana katika utatuzi wa migogoro inayojitokeza nchini hasa ya kisiasa kuhakikisha amani ya
SERIKALI, vyama vya kisiasa na viongozi wa kidini wametakiwa kushirikiana katika utatuzi wa migogoro inayojitokeza nchini hasa ya kisiasa kuhakikisha amani ya
Fuateni utaratibu kuteketeza dawa-Wizara
Na Grace Michael, aliyekuwa Singida
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema kuwa hakuna njia ya mkato wanayoweza kuitumia waganga wakuu, wakuu wa vituo vya kutolea huduma pamoja na
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema kuwa hakuna njia ya mkato wanayoweza kuitumia waganga wakuu, wakuu wa vituo vya kutolea huduma pamoja na
Kaseja amwaga chozi uwanjani
*Baada ya Azam kuifunga Simba 3-2
Na Zahoro Mlanzi
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, timu ya Simba, jana ilianza vibaya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu baada ya kuchapwa mabao 3-2 na
Na Zahoro Mlanzi
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, timu ya Simba, jana ilianza vibaya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu baada ya kuchapwa mabao 3-2 na
Tamasha la Pasaka kushirikisha nchi sita
Na Mwandishi Wetu
TAMASHA la Pasaka linalofanyika kila mwaka, mwaka huu litawashirikisha wasanii kutoka nchi sita kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam Apili 24, mwaka
TAMASHA la Pasaka linalofanyika kila mwaka, mwaka huu litawashirikisha wasanii kutoka nchi sita kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam Apili 24, mwaka
Barcelona yazidi kupaa ligi ya Hispania
BARCELONA, Hispania
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Hispania, Barcelona imeshinda mechi yake ya 14 mfululizo kwenye michuano hiyo, baada ya kuibuka na ushindi wa
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Hispania, Barcelona imeshinda mechi yake ya 14 mfululizo kwenye michuano hiyo, baada ya kuibuka na ushindi wa
Federer aweka rekodi michuano ya tenisi
MELBOURNE, Australia
BINGWA mtetezi, Roger Federer ameongeza rekodi nyingine katika orodha yake kwenye michuano ya wazi ya Australia kwa kumfikia mchezaji, Jimmy Connors
BINGWA mtetezi, Roger Federer ameongeza rekodi nyingine katika orodha yake kwenye michuano ya wazi ya Australia kwa kumfikia mchezaji, Jimmy Connors
21 January 2011
UVCCM: Dowans irudi bungeni
*Prof Safari asema kuilipa ni kukiuka katiba
Na Waandishi Wetu
KAMATI ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana limeopendekeza kurudishwa
Na Waandishi Wetu
KAMATI ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana limeopendekeza kurudishwa
Katiba Z'bar, Muungano zagongana
Na Mwajuma Juma, Zanzibar
WAZIRI wa Katiba na Sheria Zanzibar, Bw. Abubakar Khamis Bakar amekiri kuwa Katiba ya Zanzibar na ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinagongana.Hivyo, alisema
WAZIRI wa Katiba na Sheria Zanzibar, Bw. Abubakar Khamis Bakar amekiri kuwa Katiba ya Zanzibar na ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinagongana.Hivyo, alisema
CUF imepoteza mvuto-Prof. Safari
Na Tumaini Makene
CHAMA Cha Wananchi (CUF) kimepata pigo baada ya kada wake maarufu Profesa Abdallah Safari, kutangaza rasmi kujiondoa katika chama hicho huku
CHAMA Cha Wananchi (CUF) kimepata pigo baada ya kada wake maarufu Profesa Abdallah Safari, kutangaza rasmi kujiondoa katika chama hicho huku
Kamati yaundwa kurekebisha STAMICO
Na David John
SERIKALI imeunda kamati ya watalaamu ya kurekebisha Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) ambalo ufanisi wake umekuwa hafifu.Hatua imeelezwa kuwa
SERIKALI imeunda kamati ya watalaamu ya kurekebisha Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) ambalo ufanisi wake umekuwa hafifu.Hatua imeelezwa kuwa
Wabambwa wakitengeneza noti 'gesti'
Na Cresensia Kapinga, Songea
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kukutwa wakiwa wanatengeneza noti bandia kwenye nyumba ya kulala wageni ya Kisale iliyopo
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kukutwa wakiwa wanatengeneza noti bandia kwenye nyumba ya kulala wageni ya Kisale iliyopo
Milioni 500/- zatengwa kuboresha dampo Pugu
Na Heri Shaaban
SERIKALI imetenga sh. milioni 500 kwa ajili ya kuboresha dampo la Pugu Kinyamwezi ili kunusuru afya ya wakazi wa eneo hilo kwa kuwaepusha na magonjwa ya
SERIKALI imetenga sh. milioni 500 kwa ajili ya kuboresha dampo la Pugu Kinyamwezi ili kunusuru afya ya wakazi wa eneo hilo kwa kuwaepusha na magonjwa ya
Yanga vurugu tupu
Na Elizabeth Mayemba
HALI ya hewa ndani ya Yanga, imezidi kuchafuka baada ya uongozi wa matawi wa klabu hiyo kuiagiza Kamati ya Utendaji, imsimamishe haraka Mwenyekiti
HALI ya hewa ndani ya Yanga, imezidi kuchafuka baada ya uongozi wa matawi wa klabu hiyo kuiagiza Kamati ya Utendaji, imsimamishe haraka Mwenyekiti
Kili Music awards yazinduliwa
Na Elizabeth Mayemba
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia kinywaji chake cha Kilimanjaro, juzi ilizindua rasmi Tuzo za Muziki za Kilimanjaro 'Kilimanjaro Music Awards' kwa mwaka
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia kinywaji chake cha Kilimanjaro, juzi ilizindua rasmi Tuzo za Muziki za Kilimanjaro 'Kilimanjaro Music Awards' kwa mwaka
BMT, vyama kujadili mashindano Afrika
NA Amina Athumani
VYAMA vyote vya michezo vinavyoshiriki mashindano ya Afrika 'All Africa Game' vinatarajia kukaa meza moja na Baraza la Michezo Taifa (BMT) ili kuelezea mikakati
VYAMA vyote vya michezo vinavyoshiriki mashindano ya Afrika 'All Africa Game' vinatarajia kukaa meza moja na Baraza la Michezo Taifa (BMT) ili kuelezea mikakati
Real Betis yatibua rekodi ya Barcelona
MADRID, Hispania
TIMU ya Real Betis imevuruga rekodi ya Barcelona ya kutaka kufikisha mechi 28 bila kufungwa, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 katika michuano ya
TIMU ya Real Betis imevuruga rekodi ya Barcelona ya kutaka kufikisha mechi 28 bila kufungwa, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 katika michuano ya
Chelsea kumwongezea Bosingwa mkataba
LONDON, Uingereza
KLABU ya Chelsea itakomesha matumaini ya klabu ya AC Milan kuweza kumsaini, Jose Bosingwa kwa kukumwongezea mwaka mmoja katika mkataba wake wa
KLABU ya Chelsea itakomesha matumaini ya klabu ya AC Milan kuweza kumsaini, Jose Bosingwa kwa kukumwongezea mwaka mmoja katika mkataba wake wa
20 January 2011
Nitaendelea kupinga malipo Dowans-Sitta
*Ataka wananchi wasifikiri amebadili msimamo
Na Mwandishi Wetu
SIKU moja baada ya vyombo vya habari kuripoti kuwa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Samwel Sitta amefungwa mdomo na
Na Mwandishi Wetu
SIKU moja baada ya vyombo vya habari kuripoti kuwa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Samwel Sitta amefungwa mdomo na
Polisi adaiwa kupora gari, fedha
Na Glory Muhiliwa, Arusha
MTU anayesadikiwa ni askari polisi mwenye sare za jeshi hilo, huku akiwa na silaha aina ya SMG, amempiga risasi ya shingo dereva taksi mmoja na kumjeruhi vibaya na kusababisha alazwe katika chumba cha
MTU anayesadikiwa ni askari polisi mwenye sare za jeshi hilo, huku akiwa na silaha aina ya SMG, amempiga risasi ya shingo dereva taksi mmoja na kumjeruhi vibaya na kusababisha alazwe katika chumba cha
Kamati Kuu CCM kuketi Dar leo
Na Tumaini Makene
SAKATA la Kampuni 'tata' ya Dowans inayotakiwa kulipwa mabilioni ya fedha na serikali baada ya kushinda katika Mahakama ya usuluhishi wa Biashara (ICC) na vurugu za kisiasa za Arusha, ni mambo yanayotarajiwa
SAKATA la Kampuni 'tata' ya Dowans inayotakiwa kulipwa mabilioni ya fedha na serikali baada ya kushinda katika Mahakama ya usuluhishi wa Biashara (ICC) na vurugu za kisiasa za Arusha, ni mambo yanayotarajiwa
Wadau bandari wachachamaa kukatika umeme 'Long room'
Na Mwandishi Wetu
WADAU mbalimbali wa bandari nchini wameiomba serikali kuhakikisha Idara ya Ushuru wa Forodha inapewa kipaumbele katika tatizo la sasa la mgawo wa umeme kutokana na umuhimu wake kwa uchumi wa taifa.Wakizungumza kwa
WADAU mbalimbali wa bandari nchini wameiomba serikali kuhakikisha Idara ya Ushuru wa Forodha inapewa kipaumbele katika tatizo la sasa la mgawo wa umeme kutokana na umuhimu wake kwa uchumi wa taifa.Wakizungumza kwa
'Hukumu za Jaji Mapigano hazikuwa tata'
Na Peter Mwenda
JAJI Mstaafu Dan Mapigano (72) aliyefariki Jumamosi katika Hospitali ya Aga Khan alizikwa jana katika makaburi ya Kinondoni, Dar es salaam, huku akisifiwa kuwa kutoa hukumu zisizo na utata maisha yake yote.Umati wa
JAJI Mstaafu Dan Mapigano (72) aliyefariki Jumamosi katika Hospitali ya Aga Khan alizikwa jana katika makaburi ya Kinondoni, Dar es salaam, huku akisifiwa kuwa kutoa hukumu zisizo na utata maisha yake yote.Umati wa
Shahidi abanwa kesi ya kina Mramba
Na Gladness Mboma
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemtaka shahidi wa kwanza wa upande wa mashtaka Bw. Godwin Nyelo, kuwasilisha barua iliyokuwa ikitoka benki Kuu ya Tanzania (BOT) kwenda Kampuni ya
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemtaka shahidi wa kwanza wa upande wa mashtaka Bw. Godwin Nyelo, kuwasilisha barua iliyokuwa ikitoka benki Kuu ya Tanzania (BOT) kwenda Kampuni ya
Mtemvu bado 'pasua kichwa' Yanga
Na Elizabeth Mayemba
UTEUZI wa Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu kuwa mdhamini wa Yanga limeonekana kuendelea kuwaumiza vichwa wanachama wa klabu hiyo, ambao wanashinikiza ufanyike Mkutano Mkuu wa dharura ili wajue
UTEUZI wa Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu kuwa mdhamini wa Yanga limeonekana kuendelea kuwaumiza vichwa wanachama wa klabu hiyo, ambao wanashinikiza ufanyike Mkutano Mkuu wa dharura ili wajue
Tamasha la Wanyambo laiva Dar
Na Nayla Abdulla
KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Utamaduni la kabila la Wanyambo wanatarajia kukutana leo katika Kijiji cha Makumbusho, Dar es Salaam kwa ajili ya kupanga taratibu za maandalizi ya tamasha hilo.Tamasha hilo la
KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Utamaduni la kabila la Wanyambo wanatarajia kukutana leo katika Kijiji cha Makumbusho, Dar es Salaam kwa ajili ya kupanga taratibu za maandalizi ya tamasha hilo.Tamasha hilo la
Jamhuri yajiweka kando sakata la ZFA
Na Mwajuma Juma, Zanzibar
KLABU ya soka ya Jamhuri FC ya Pemba imesema, kwamba haihusiki na mvutano wowote unaoendelea, kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA).Kauli hiyo ya Jamhuri, imekuja baada ya
KLABU ya soka ya Jamhuri FC ya Pemba imesema, kwamba haihusiki na mvutano wowote unaoendelea, kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA).Kauli hiyo ya Jamhuri, imekuja baada ya
Gerrard ataka Dalglish aendelee kuinoa Liverpool
LONDON, Uingereza
STEVEN Gerrard anamuunga mkono kocha mpya wa muda wa timu hiyo, Kenny Dalglish kupata mkataba wa kudumu wa muda mrefu baada ya kumaliza mkataba wake wa miezi sita katika msimu huu.Kocha huyo
STEVEN Gerrard anamuunga mkono kocha mpya wa muda wa timu hiyo, Kenny Dalglish kupata mkataba wa kudumu wa muda mrefu baada ya kumaliza mkataba wake wa miezi sita katika msimu huu.Kocha huyo
19 January 2011
Mgawo umeme sasa balaa
*Wanafunzi wa vyuo vikuu waja juu wagoma
*TRA 'Long room' shughuli za siku zakwama
Na Tumaini Makene
KATIKA hali inayotishia tatizo la mgawo wa umeme nchini kuanza kuathiri sekta nyeti nchini, baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) kilichopo Chang'ombe Dar es Salaam jana waligoma kwa
*TRA 'Long room' shughuli za siku zakwama
Na Tumaini Makene
KATIKA hali inayotishia tatizo la mgawo wa umeme nchini kuanza kuathiri sekta nyeti nchini, baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) kilichopo Chang'ombe Dar es Salaam jana waligoma kwa
'Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe mgonjwa'
Na Mashirika ya Habari
ZIMEIBUKA taarifa za kutatanisha juu ya hali tete ya afya ya Rais wa Zimbabwe, Bw. Robert Mugabe (87) huku zingine zikieleza kuwa hali yake si nzuri na amelazimika kulazwa hospitalini nchini Malaysia baada ya kufanyiwa
ZIMEIBUKA taarifa za kutatanisha juu ya hali tete ya afya ya Rais wa Zimbabwe, Bw. Robert Mugabe (87) huku zingine zikieleza kuwa hali yake si nzuri na amelazimika kulazwa hospitalini nchini Malaysia baada ya kufanyiwa
Wapeni wananchi taarifa za maendeleo- RC Babu
Na Livinus Feruzi, Bukoba
MKUU wa Mkoa wa Kagera Bw. Mohamed Babu amewataka wenyeviti na watendaji wa vijiji mkoani Kagera kuitisha na kufanya vikao na mikutano ya mara kwa mara ili kuwafahamisha wananchi mambo mbalimbali ya
MKUU wa Mkoa wa Kagera Bw. Mohamed Babu amewataka wenyeviti na watendaji wa vijiji mkoani Kagera kuitisha na kufanya vikao na mikutano ya mara kwa mara ili kuwafahamisha wananchi mambo mbalimbali ya
Neema ya ajira yazidi kuwafuata walimu
Na Benjamin Masese
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imewapa matumaini ya ajira nyingine wanafunzi waliohitimu mafunzo ya ualimu mwaka 2009/2010 na kuachwa kutokana na sababu mbalimbali mbali ya wale 9,226 waliotangazwa na
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imewapa matumaini ya ajira nyingine wanafunzi waliohitimu mafunzo ya ualimu mwaka 2009/2010 na kuachwa kutokana na sababu mbalimbali mbali ya wale 9,226 waliotangazwa na
Kijiji cha Kunduchi hatarini kutoweka
Na Job Ndomba
KIJIJI cha kihistoria cha Kunduchi Pwani jijini Dar es Salaam, kipo hatarini kutoweka kutokana na maji ya nguvu ya bahari yanayodaiwa kusababishwa na kingo zilizojengwa na baadhi ya hotel za kitalii zinazozizunguka kijiji hicho.Akizungumza na
KIJIJI cha kihistoria cha Kunduchi Pwani jijini Dar es Salaam, kipo hatarini kutoweka kutokana na maji ya nguvu ya bahari yanayodaiwa kusababishwa na kingo zilizojengwa na baadhi ya hotel za kitalii zinazozizunguka kijiji hicho.Akizungumza na
TAS Taifa yakanusha tuhuma dhidi ya wizara
Na Anneth Kagenda
CHAMA cha Albino Tanzania (TAS), kimekanusha shutuma zilizotolewa na Chama cha Albino Mkoa wa Shinyanga kwamba Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inawafanyia majaribio walemavu wa ngozi na kwamba majaribio hayo
CHAMA cha Albino Tanzania (TAS), kimekanusha shutuma zilizotolewa na Chama cha Albino Mkoa wa Shinyanga kwamba Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inawafanyia majaribio walemavu wa ngozi na kwamba majaribio hayo
UPDP kujadili katiba mpya mwezi ujao
Na Rabia Bakari
CHAMA Cha siasa cha UPDP kinatarajia kufanya mkutano wake mkuu wa mwaka mapema mwezi Februari kwa ajili ya kufanya tathmini ya uchaguzi na kujadili ajenda mbalimbali kwa maendeleo ya chama hicho.Akizungumza na
CHAMA Cha siasa cha UPDP kinatarajia kufanya mkutano wake mkuu wa mwaka mapema mwezi Februari kwa ajili ya kufanya tathmini ya uchaguzi na kujadili ajenda mbalimbali kwa maendeleo ya chama hicho.Akizungumza na
Samba la kibrazil laitesa Yanga
*Mchezo wao na Simba bureee
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya Atletico Paranaense kutoka Brazil, imeifundisha samba timu ya Yanga kwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-2, katika mchezo wa
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya Atletico Paranaense kutoka Brazil, imeifundisha samba timu ya Yanga kwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-2, katika mchezo wa
Nchunga apiga 'stop' mkutano Yanga
Na Elizabeth Mayemba
MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Lloyd Nchunga ameupiga 'stop' mkutano ulioutishwa na wanachama wake kesho kwa madai ya kuwa na maandalizi ya Ligi Kuu mzunguko wa pili.Akizungumza Dar es Salaam jana Nchunga alisema
MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Lloyd Nchunga ameupiga 'stop' mkutano ulioutishwa na wanachama wake kesho kwa madai ya kuwa na maandalizi ya Ligi Kuu mzunguko wa pili.Akizungumza Dar es Salaam jana Nchunga alisema
Toto Africa yatamba kuifumua JKT Ruvu
Na Shufaa Lyimo
UONGOZI wa Klabu ya Toto Africa, umesema umejipanga vizuri kuhakikisha wanaifunga timu ya JKT Ruvu katika mchezo wa Ligi Kuu unaotarajiwa kupigwa Jumamosi katia Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.Akizungumza na mwandishi wa
UONGOZI wa Klabu ya Toto Africa, umesema umejipanga vizuri kuhakikisha wanaifunga timu ya JKT Ruvu katika mchezo wa Ligi Kuu unaotarajiwa kupigwa Jumamosi katia Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.Akizungumza na mwandishi wa
FA yamshitaki Rafael Kamati ya Nidhamu
LONDON, England
CHAMA cha Mpira wa Miguu Uingereza (FA) kimemshtaki mchezaji wa Manchester United, Rafael katika Kamati ya Nidhamu kuhusu utovu wa nidhamu aliouonesha katika mchezo ulioikutanisha timu yake na Tottenham.Beki huyo
CHAMA cha Mpira wa Miguu Uingereza (FA) kimemshtaki mchezaji wa Manchester United, Rafael katika Kamati ya Nidhamu kuhusu utovu wa nidhamu aliouonesha katika mchezo ulioikutanisha timu yake na Tottenham.Beki huyo
Henry aitabiria neema Gunners
LONDON, Uingereza
MCHEZAJI nyota wa zamani wa Arsenal, Thierry Henry anaiunga mkono timu yake kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu wa England msimu huu.Mchezaji huyo mwenye historia ya kufunga magoli mengi katika klabu hiyo, amekana kuhusu
MCHEZAJI nyota wa zamani wa Arsenal, Thierry Henry anaiunga mkono timu yake kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu wa England msimu huu.Mchezaji huyo mwenye historia ya kufunga magoli mengi katika klabu hiyo, amekana kuhusu
18 January 2011
SAKATA LA DOWANS:Wanasheria wamuunga mkono Jaji Bomani
*Wasema Hoja zake zimezingatia sheria si porojo za siasa
*Wakerwa na wasomi wanafunzi kubeza maoni yake
Na Mwandishi Wetu
SIKU moja baada ya waliojiita wanafunzi wa kitivo cha Sheria Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino, Profesa Mwesiga Baregu kupinga
*Wakerwa na wasomi wanafunzi kubeza maoni yake
Na Mwandishi Wetu
SIKU moja baada ya waliojiita wanafunzi wa kitivo cha Sheria Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino, Profesa Mwesiga Baregu kupinga
Nahodha ahofia amani kutoweka nchini
Na Peter Twite
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Shamsi Vuai Nahodha, (pichani amesema kuna dalili za kutoweka maadili miongoni mwa jamii jambo linalotishia kuwepo machafuko yanayoweza kusababisha kutoweka amani nchini. Bw. Nahodha aliitoa
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Shamsi Vuai Nahodha, (pichani amesema kuna dalili za kutoweka maadili miongoni mwa jamii jambo linalotishia kuwepo machafuko yanayoweza kusababisha kutoweka amani nchini. Bw. Nahodha aliitoa
Mwanajeshi Mbaroni kwa tuhuma za mauaji
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia watu wawili akiwemo mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Tanzania (JWTZ)
kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya Mwamuzi Masawe ambaye awali aliripotiwa kuuawa na
kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya Mwamuzi Masawe ambaye awali aliripotiwa kuuawa na
Makamu SAUT ataja chanzo cha migomo vyuo vikuu
Na Moses Mabula, Tabora
MAKAMU Mkuu wa Chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT) Dkt. Charles Kitima, amesema kwamba migomo ya wanafunzi inayoendelea katika vyuo mbalimbali hapa nchini inatokana na udhaifu wa uongozi wa serikali iliyopo
MAKAMU Mkuu wa Chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT) Dkt. Charles Kitima, amesema kwamba migomo ya wanafunzi inayoendelea katika vyuo mbalimbali hapa nchini inatokana na udhaifu wa uongozi wa serikali iliyopo
Kuwaona Yanga, Wabrazil 5,000/-
Na Elizabeth Mayemba
WAANDAAJI wa mechi za kirafiki za kimataifa kati ya timu ya Atletico Paranaence ya Brazil na Yanga, wametangaza viingilio kwamba vitakuwa sh. 200,000 kwa VIP A na cha chini sh. 5,000.Viingilio hivyo ambavyo viliwahi
WAANDAAJI wa mechi za kirafiki za kimataifa kati ya timu ya Atletico Paranaence ya Brazil na Yanga, wametangaza viingilio kwamba vitakuwa sh. 200,000 kwa VIP A na cha chini sh. 5,000.Viingilio hivyo ambavyo viliwahi
Kocha Micho aichambua Taifa Stars
Na Mwandishi Wetu, Cairo
KOCHA wa zamani wa Yanga, Sredojevic Milutin 'Micho', amesema ni vyema Watanzania wakampa muda Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Jan Poulsen ili aijenge timu, kwani namna alivyoiona kuna kazi kubwa inahitajika ili ilete
KOCHA wa zamani wa Yanga, Sredojevic Milutin 'Micho', amesema ni vyema Watanzania wakampa muda Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Jan Poulsen ili aijenge timu, kwani namna alivyoiona kuna kazi kubwa inahitajika ili ilete
Tenga kupasua jipu la waamuzi wa FIFA
Na Zahoro Mlanzi
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga leo anatarajia kukata mzizi wa fitina kwa kuelezea kilichojiri katika sakata la waamuzi waliopewa beji za Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), kinyume na
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga leo anatarajia kukata mzizi wa fitina kwa kuelezea kilichojiri katika sakata la waamuzi waliopewa beji za Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), kinyume na
Mtemvu aipiga 'tafu' KEMWADEFO
Na Mwandishi Wetu
MBUNGE wa Jimbo wa Temeke, Abbas Mtemvu ametoa sh. 500,000 kwa ajili ya taasisi ya Keko Mwanga Development Foundation (KEMWADEFO), zitakazotumika kuendesha mashindano ya kumuenzi muasisi wa michezo katika
MBUNGE wa Jimbo wa Temeke, Abbas Mtemvu ametoa sh. 500,000 kwa ajili ya taasisi ya Keko Mwanga Development Foundation (KEMWADEFO), zitakazotumika kuendesha mashindano ya kumuenzi muasisi wa michezo katika
Everton yakubali Pienaar kwenda Chelsea
LONDON, England
KOCHA wa Everton, David Moyes amesema kuwa wamepokea ofa kutoka kwa Chelsea kuhusu kiungo wao, Steven Pienaar ikiwa ni baada ya kukataa ofa kutoka kwa Tottenham.Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28, raia wa
KOCHA wa Everton, David Moyes amesema kuwa wamepokea ofa kutoka kwa Chelsea kuhusu kiungo wao, Steven Pienaar ikiwa ni baada ya kukataa ofa kutoka kwa Tottenham.Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28, raia wa
17 January 2011
Wasomi wamshukia Jaji Mark Bomani
*Ni kwa kutetea malipo kwa kampuni ya Dowans
*Wasema, kama hakurubuniwa, anazeeka vibaya
Na John Daniel
SIKU moja baada ya aliyewahi kuwa mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Mark Bomani, kudai kuwa malipo ya sh. bilioni 94 kwa
*Wasema, kama hakurubuniwa, anazeeka vibaya
Na John Daniel
SIKU moja baada ya aliyewahi kuwa mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Mark Bomani, kudai kuwa malipo ya sh. bilioni 94 kwa
Serikali kuwaajiri walimu 9,000
Na Edmund Mihale
SERIKALI imerudisha matumani ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu waliomaliza katika nyuo, mbalimbali hapa nchi baada ya kutangaza kuwaajiri wote waliko mitaani.Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na
SERIKALI imerudisha matumani ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu waliomaliza katika nyuo, mbalimbali hapa nchi baada ya kutangaza kuwaajiri wote waliko mitaani.Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na
Treni ya kati kutoanza safari leo
Na Mwandishi Wetu
SAFARI za treni ya kati zilizokuwa zimepangwa kuanza leo zimesogezwa mbele hadi Ijumaa Januari 21, 2011 kutokana na 'kazi ngumu ya kukarabati daraja' lililopo katika stesheni za Bahi na Kintinku.Taarifa ya TRL jana ilisema kuwa
SAFARI za treni ya kati zilizokuwa zimepangwa kuanza leo zimesogezwa mbele hadi Ijumaa Januari 21, 2011 kutokana na 'kazi ngumu ya kukarabati daraja' lililopo katika stesheni za Bahi na Kintinku.Taarifa ya TRL jana ilisema kuwa
Jaji Mapigano afariki dunia
Na Gladness Mboma
JAJI Mstaafu wa Mahakama Kuu nchini, Bw. Dan Mapigano amefariki dunia katika Hospitali ya Aghakan Dar es Salaam.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana kwenye vyombo vya habari, Jaji Mapigano alifariki jana baada ya
JAJI Mstaafu wa Mahakama Kuu nchini, Bw. Dan Mapigano amefariki dunia katika Hospitali ya Aghakan Dar es Salaam.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana kwenye vyombo vya habari, Jaji Mapigano alifariki jana baada ya
Viongozi wa dini wamnusuru mfanyabiashara
Na Gladness Mboma
SERIKALI wilayani Mbarali imewapongeza baadhi ya viongozi wa dini kwa kuzima jaribio la kutaka kuuawa kwa mwekezaji wa shamba la Mpunga lililopo Ubaruku, Bw. Abrahakh Phil Mohamed kwa madai ya kutumia jina la
SERIKALI wilayani Mbarali imewapongeza baadhi ya viongozi wa dini kwa kuzima jaribio la kutaka kuuawa kwa mwekezaji wa shamba la Mpunga lililopo Ubaruku, Bw. Abrahakh Phil Mohamed kwa madai ya kutumia jina la
Uchaguzi Mkuu ZFA waota mbawa
Na Mussa Soraga, Zanzibar
UCHAGUZI Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA), ambao ulikuwa ufanyike keshokutwa Nungwi mjini hapa umefutwa, baada ya Ofisi ya Mrajisi wa Vyama vya Michezo kutaka usitishwe.Agizo hilo limetolewa na
UCHAGUZI Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA), ambao ulikuwa ufanyike keshokutwa Nungwi mjini hapa umefutwa, baada ya Ofisi ya Mrajisi wa Vyama vya Michezo kutaka usitishwe.Agizo hilo limetolewa na
Phiri: Wabrazil watatuonesha njia
Na Zahoro Mlanzi
KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema mchezo wao wa kimataifa dhidi ya Atletico Paranaence, kutoka Brazil ndiyo utakaompa hali halisi kuhusu kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara.Kauli hiyo imekuja, baada ya timu
KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema mchezo wao wa kimataifa dhidi ya Atletico Paranaence, kutoka Brazil ndiyo utakaompa hali halisi kuhusu kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara.Kauli hiyo imekuja, baada ya timu
Savio yaendeleza wimbi la ushindi
Na Amina Athumani
MABINGWA watetezi wa Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (RBA), Savio imeendeleza wimbi la ushindi katika mashindano ya ligi hiyo yaliyofanyika jana Uwanja wa ndani Taifa, Dar es Salaam ambapo timu hiyo
MABINGWA watetezi wa Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (RBA), Savio imeendeleza wimbi la ushindi katika mashindano ya ligi hiyo yaliyofanyika jana Uwanja wa ndani Taifa, Dar es Salaam ambapo timu hiyo
Villa kucheza mechi kibao za kirafiki
Na Shaban Mbegu
TIMU ya Villa Squad, imepanga kucheza mechi nyingi za kirafiki ili kujiandaa vyema Ligi Daraja la Kwanza hatua ya Tisa Bora iliyoapangwa kuanza Januari 30 mwaka huu.Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Ofisa habari wa
TIMU ya Villa Squad, imepanga kucheza mechi nyingi za kirafiki ili kujiandaa vyema Ligi Daraja la Kwanza hatua ya Tisa Bora iliyoapangwa kuanza Januari 30 mwaka huu.Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Ofisa habari wa
Ivory Coast, Congo kucheza fainali za Dunia Mexico
KIGALI, Rwanda
MABAO mawili yaliyofungwa kipindi cha kwanza na Diarrasouba Drissa na Kouassi Evrard, yaliiwezesha Ivory Coast kukata tiketi ya fainali za Kombe la Dunia la vijana wenye miaka chini ya 17.Katika mechi nyingine ya
MABAO mawili yaliyofungwa kipindi cha kwanza na Diarrasouba Drissa na Kouassi Evrard, yaliiwezesha Ivory Coast kukata tiketi ya fainali za Kombe la Dunia la vijana wenye miaka chini ya 17.Katika mechi nyingine ya
14 January 2011
Pengo: Sikutarajia polisi kuua raia
"Sikutegemea hata mara moja kwamba walinda usalama wanaweza kutumia silaha wakaua watu. Sikutegemea kwamba wanaweza kuua hata mtu mmoja. Wale wanapaswa kutetea uhai wa Watanzania. Wachukue silaha dhidi ya Watanzania, waue watu haidhuru wamekosaje, ni jambo ambalo sikutegemea kamwe kwamba lingeweza kutokea," alisema kardinali Pengo.
Na Peter Mwenda
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo amesema
Na Peter Mwenda
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo amesema
Polisi waua tena wawili Mbarali
*Wajitetea kwa mauaji ya Arusha
Na Rashid Mkwinda, Mbarali
VURUGU kubwa imeibuka wilayani Mbarali mkoani Mbeya katika kata ya Ubaruku baada ya kundi la wananchi kuvamia lori la mafuta na kulichoma moto na Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) kumfyatulia
Na Rashid Mkwinda, Mbarali
VURUGU kubwa imeibuka wilayani Mbarali mkoani Mbeya katika kata ya Ubaruku baada ya kundi la wananchi kuvamia lori la mafuta na kulichoma moto na Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) kumfyatulia
Magufuli asaini mikataba ya barabara
Na Benjamin Masese
WAZIRI wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli amesaini mikataba ya ujenzi wa barabara za lami za urefu wa km 260 huku akiwajia juu makandarasi wa ujenzi wa barabara kutoka nje kuifanya Tanzania kituo chao cha kuchota fedha kirahisi
WAZIRI wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli amesaini mikataba ya ujenzi wa barabara za lami za urefu wa km 260 huku akiwajia juu makandarasi wa ujenzi wa barabara kutoka nje kuifanya Tanzania kituo chao cha kuchota fedha kirahisi
Wakamatwa wakitoroshea mbolea Burundi
Na Sammy Kisika, Mpanda
JESHI la Polisi wilayani Mpanda, mkoani Rukwa linamshikilia Bw. Kain Buchumi (27) raia wa Burundi pamoja na Ofisa Mtendaji wa Kijiji, Bw. Hamidu Sungura (34) kwa tuhuma za kukamatwa na mifuko 195 ya mbolea ya
JESHI la Polisi wilayani Mpanda, mkoani Rukwa linamshikilia Bw. Kain Buchumi (27) raia wa Burundi pamoja na Ofisa Mtendaji wa Kijiji, Bw. Hamidu Sungura (34) kwa tuhuma za kukamatwa na mifuko 195 ya mbolea ya
KIU wagoma kuingia madarasani
Na John Daniel
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU), wamegoma kuingia darasani kuendelea na masomo kushinikiza serikali kulazimisha uongozi wa chuo hicho kuwarudishia fedha zao vinginevyo wataandamana hadi
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU), wamegoma kuingia darasani kuendelea na masomo kushinikiza serikali kulazimisha uongozi wa chuo hicho kuwarudishia fedha zao vinginevyo wataandamana hadi
Dola bandia zakamatwa Zanzibar
Na Mwandishi wa Polisi Zanzibar
JESHI la Polisi Zanzibar linawashikilia watu watatu wakiwemo wakazi wawili wa Dar es Salaam kwa tuhuma za kupatikana na dola bandia za Marekani 359,000 sawa na sh milioni 59.5 za Tanzania.Kamanda wa
JESHI la Polisi Zanzibar linawashikilia watu watatu wakiwemo wakazi wawili wa Dar es Salaam kwa tuhuma za kupatikana na dola bandia za Marekani 359,000 sawa na sh milioni 59.5 za Tanzania.Kamanda wa
Nyangwine kuvalia njuga mikataba
Na Grace Michael
MBUNGE wa Jimbo la Tarime, Bw. Nyambari Nyangwine (CCM), amesema hatavumilia kuona mikataba ya wawekezaji ambayo wameingia na wananchi katika masuala ya huduma za kijamii ikiwa haina maslahi kwa
MBUNGE wa Jimbo la Tarime, Bw. Nyambari Nyangwine (CCM), amesema hatavumilia kuona mikataba ya wawekezaji ambayo wameingia na wananchi katika masuala ya huduma za kijamii ikiwa haina maslahi kwa
Abomolewa nyumba akiwa ndani
Na Emmanuel Msigwa, Songea
MKAZI wa Kota za Majengo katika Manispaa ya Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bi. Juliana Ngimba , amejikuta katika wakati mgumu yeye pamoja na familia yake baada ya nyumba aliyokuwa amepanga kubomolewa paa ikiwa ni
MKAZI wa Kota za Majengo katika Manispaa ya Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bi. Juliana Ngimba , amejikuta katika wakati mgumu yeye pamoja na familia yake baada ya nyumba aliyokuwa amepanga kubomolewa paa ikiwa ni
Wachezaji Simba walamba mil. 15/-
Na Elizabeth Mayemba
UONGOZI wa klabu ya Simba umewapa wachezaji wake sh. milioni 15 ikiwa ni zawadi baada ya kufanikiwa kuchukua ubingwa wa Kombe la Mapinduzi.Simba juzi ilifanikiwa kuwafunga mahasimu wao Yanga mabao 2-0, katika
UONGOZI wa klabu ya Simba umewapa wachezaji wake sh. milioni 15 ikiwa ni zawadi baada ya kufanikiwa kuchukua ubingwa wa Kombe la Mapinduzi.Simba juzi ilifanikiwa kuwafunga mahasimu wao Yanga mabao 2-0, katika
TEFA yatembeza bakuli kuandaa ligi
Na Andrew Ignas
UONGOZI wa Chama cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Temeke (TEFA), umewataka wadau mbali mbali nchini kudhamini ligi ya wanawake ya wilaya hiyo ambayo mpaka sasa muelekeo wake haujaeleweka.Akizungumza na mwandishi
UONGOZI wa Chama cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Temeke (TEFA), umewataka wadau mbali mbali nchini kudhamini ligi ya wanawake ya wilaya hiyo ambayo mpaka sasa muelekeo wake haujaeleweka.Akizungumza na mwandishi
Mashabiki 20,000 wamlaki Ronaldinho
SAO PAULO, Brazil
MASHABIKI wapatao 20,000 juzi walijitokeza kumlaki mshambuliaji Ronaldinho, wakati akitambulishwa rasmi katika klabu yake mpya Flamengo ya nchini Brazil.Taarifa zilieleza jana kuwa kundi la ngoma ya Samba, ndilo lililoongoza
MASHABIKI wapatao 20,000 juzi walijitokeza kumlaki mshambuliaji Ronaldinho, wakati akitambulishwa rasmi katika klabu yake mpya Flamengo ya nchini Brazil.Taarifa zilieleza jana kuwa kundi la ngoma ya Samba, ndilo lililoongoza
Liverpool mwaka wa shetani
LONDON, Uingereza
LIVERPOOL imekuwa kama sikio la kufa ambalo halisikii dawa.Msemo huu imejidhirisha usiku wa kuamkia jana ambapo, Liverpoolikiwa ugenini imekubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Blackpool, ikiwa ni mechi ya
LIVERPOOL imekuwa kama sikio la kufa ambalo halisikii dawa.Msemo huu imejidhirisha usiku wa kuamkia jana ambapo, Liverpoolikiwa ugenini imekubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Blackpool, ikiwa ni mechi ya
13 January 2011
Waliouawa na polisi waagwa na halaiki
*Viongozi wa dini wasema wamekufa wakitetea taifa
*Freeman Mbowe adai mauaji hayo yalikuwa yamepangwa
Na Glory Mhiliwa, Arusha.
MAELFU ya wakazi wa Arusha na mikoa ya jirani jana walijitokeza katika kuaga miili ya
*Freeman Mbowe adai mauaji hayo yalikuwa yamepangwa
Na Glory Mhiliwa, Arusha.
MAELFU ya wakazi wa Arusha na mikoa ya jirani jana walijitokeza katika kuaga miili ya
Mauaji Arusha ya kupanga-Mbowe
Na Grace Michael
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa mauaji yaliyofanywa na Askari Polisi mkoani Arusha yalipangwa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na Chama Cha Mapinduzi (CCM) walihusika moja kwa moja katika
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa mauaji yaliyofanywa na Askari Polisi mkoani Arusha yalipangwa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na Chama Cha Mapinduzi (CCM) walihusika moja kwa moja katika
FemAct yataka meya Arusha ajiuzulu
Na Gladness Mboma
SERIKALI imetakiwa kuufuta uchaguzi wa Meya Arusha na kuitisha uchaguzi mwingine huru ili wananchi wachague meya mwingine wanayemtaka, ikiwa ni pamoja na kumtaka aliyepo madarakani kwa sasa ajiuzulu ili kupisha
SERIKALI imetakiwa kuufuta uchaguzi wa Meya Arusha na kuitisha uchaguzi mwingine huru ili wananchi wachague meya mwingine wanayemtaka, ikiwa ni pamoja na kumtaka aliyepo madarakani kwa sasa ajiuzulu ili kupisha
Uwanja wa ndege Mwanza kukarabatiwa
Na Wilhelm Mulinda, Mwanza
SERIKALI inaandaa mpango wa kuongeza urefu wa uwanja wa ndege wa Mwanza kwa ajili ya kuwezesha ndege kubwa za mizigo kutua ili kurahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka jiji hilo kwenda nje ya nchi.Kauli hiyo ilitolewa jana na
SERIKALI inaandaa mpango wa kuongeza urefu wa uwanja wa ndege wa Mwanza kwa ajili ya kuwezesha ndege kubwa za mizigo kutua ili kurahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka jiji hilo kwenda nje ya nchi.Kauli hiyo ilitolewa jana na
SAFIA wadai Waziri Maige amedanganywa
Na Eliasa Ally, Iringa
WANACHAMA wa Sao Hill Forest Industry Association (SAFIA) iliyopo katika Wilaya ya Mufindi wamesema kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Bw. Ezekiel Maige amedanganywa na viongozi wa chama hicho alipofika kusikiliza matatizo
WANACHAMA wa Sao Hill Forest Industry Association (SAFIA) iliyopo katika Wilaya ya Mufindi wamesema kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Bw. Ezekiel Maige amedanganywa na viongozi wa chama hicho alipofika kusikiliza matatizo
UDASA yaandaa kongamano kuhusu katiba
Na Dunstan Bahai
JUMUIYA ya Wanataaluma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), imesema ipo haja ya kuwepo kwa katiba mpya kama wananchi wanavyohitaji.
Jumuiya hiyo imesema kwamba kutokana na umuhimu huo, imeandaa kongamano
JUMUIYA ya Wanataaluma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), imesema ipo haja ya kuwepo kwa katiba mpya kama wananchi wanavyohitaji.
Jumuiya hiyo imesema kwamba kutokana na umuhimu huo, imeandaa kongamano
Mabingwa Zambia watua Dar
*Kuzikabili Yanga, Simba
Na Addolph Bruno
MABINGWA wa soka nchini Zambia, timu ya Zesco imetua nchini jana ikiwa na kikosi cha wachezaji 29 kwa ajili kucheza na
Na Addolph Bruno
MABINGWA wa soka nchini Zambia, timu ya Zesco imetua nchini jana ikiwa na kikosi cha wachezaji 29 kwa ajili kucheza na
Sara, Mashaka kukimbia Marathon Mali
Na Amina Athumani
WANARIADHA Sara Kavina na Mashaka Masumbuko, wanatarajia kuondoka nchini Januari 21 mwaka huu kwenda Bamalo, Mali kushiriki mbio za marathon Januari 23, mwaka huu Akizungumza Dar es Salaam juzi, Katibu Mkuu wa
WANARIADHA Sara Kavina na Mashaka Masumbuko, wanatarajia kuondoka nchini Januari 21 mwaka huu kwenda Bamalo, Mali kushiriki mbio za marathon Januari 23, mwaka huu Akizungumza Dar es Salaam juzi, Katibu Mkuu wa
Wakala akana Arshavin kutimka Arsenal
LONDON, England
WAKALA wa mchezaji Andrey Arshavin, Dennis Lachter amezikana tetesi zinazomuhusisha nyota huyo wa Arsenal, kutimkia katika Klabu ya Juventus ya Italia.Mchezaji huyo wa kimataifa raia wa Russia, amebakiza miaka miwili
WAKALA wa mchezaji Andrey Arshavin, Dennis Lachter amezikana tetesi zinazomuhusisha nyota huyo wa Arsenal, kutimkia katika Klabu ya Juventus ya Italia.Mchezaji huyo wa kimataifa raia wa Russia, amebakiza miaka miwili
Dzeko aipitia filamu ya Man City
LONDON, Uingereza
MSHAMBULIAJI Edin Dzeko, amesoma filamu ya Manchester City ya masikitiko ya kutotwaa ubingwa katika miaka iliyopita na ameahidia neema kwa kwa siku zijazo kwa mashabiki wa timu hiyo.City ilimsaini mshambuliaji
MSHAMBULIAJI Edin Dzeko, amesoma filamu ya Manchester City ya masikitiko ya kutotwaa ubingwa katika miaka iliyopita na ameahidia neema kwa kwa siku zijazo kwa mashabiki wa timu hiyo.City ilimsaini mshambuliaji
11 January 2011
Ngoma CCM, CHADEMA Arusha bado mbichi
*Mbunge kutoka Tanga ashiriki tena uchaguzi
*CHADEMA waususia, wasema hawashiriki uhuni
Na Glory Mhiliwa, Arusha
MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Tanga kupitia CCM, Bi. Mary Chatanda jana alizidi kuleta mvutano wa
*CHADEMA waususia, wasema hawashiriki uhuni
Na Glory Mhiliwa, Arusha
MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Tanga kupitia CCM, Bi. Mary Chatanda jana alizidi kuleta mvutano wa
Mabomu yarindima kutawanya wanafunzi UDOM
Na Waandishi Wetu, Dodoma
POLISI mjini Dodoma jana walilazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya wanafunzi na wahadhiri wa Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) walipojaribu kuandamana kwenda Ofisi ya waziri Mkuu kufikisha malalamiko yao.Jeshi
POLISI mjini Dodoma jana walilazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya wanafunzi na wahadhiri wa Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) walipojaribu kuandamana kwenda Ofisi ya waziri Mkuu kufikisha malalamiko yao.Jeshi
TTCL sasa kuuzwa Vietnam-TEWUTA
Na Mwandishi Wetu
CHAMA cha Wafanyakazi wa Sekta ya Huduma za Mawasiliano Tanzania (TEWUTA) kimesema serikali ina mpango wa 'kuiuza' tena Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwa mwekezaji kutoka Vietnam, hatua ambayo wanaamini
CHAMA cha Wafanyakazi wa Sekta ya Huduma za Mawasiliano Tanzania (TEWUTA) kimesema serikali ina mpango wa 'kuiuza' tena Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwa mwekezaji kutoka Vietnam, hatua ambayo wanaamini
Mwandosya atoa angalizo CCM 2015
Na Moses Mabula, Tabora
VIONGOZI wa vyama vya siasa nchini, wametakiwa kuacha kusaka mchawi baada ya kushindwa katika baadhi yamaeneo na badala yake kuchapa kazi ili kuwaletea wananchi maendeleo.Kauli hiyo ilitolewa jana na mjumbe wa
VIONGOZI wa vyama vya siasa nchini, wametakiwa kuacha kusaka mchawi baada ya kushindwa katika baadhi yamaeneo na badala yake kuchapa kazi ili kuwaletea wananchi maendeleo.Kauli hiyo ilitolewa jana na mjumbe wa
Polisi waminya kesi ya mwanafunzi aliyelawitiwa
Na Lilian Justice, Morogoro
MWANAFUNZI wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari ya Murad wilayani Mvomero mkoani Morogoro, amelawitiwa na kuibiwa sh 150,000 za ada na mtuhumiwa aliyekamatwa na polisi wa Kituo cha Turiani na kuachiwa.Badala
MWANAFUNZI wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari ya Murad wilayani Mvomero mkoani Morogoro, amelawitiwa na kuibiwa sh 150,000 za ada na mtuhumiwa aliyekamatwa na polisi wa Kituo cha Turiani na kuachiwa.Badala
Mtuhumiwa afa akiwatoroka Polisi
Na Suleiman Abeid, Shinyanga
MKAZI wa eneo la New Stand Manispaa ya Shinyanga aliyetambuliwa kwa jina la Bw. Haji Omari (30) amekufa papo hapo baada ya kuruka kutoka ndani ya gari la polisi wakati akijaribu kutoroka.Kwa mujibu wa mashuhuda wa
MKAZI wa eneo la New Stand Manispaa ya Shinyanga aliyetambuliwa kwa jina la Bw. Haji Omari (30) amekufa papo hapo baada ya kuruka kutoka ndani ya gari la polisi wakati akijaribu kutoroka.Kwa mujibu wa mashuhuda wa
ZESCO kuzinoa Simba, Yanga
Na Zahoro Mlanzi
MABINGWA wa Ligi Kuu ya soka ya Zambia, ZESCO United inatarajia kujipima na wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kimataifa, Simba na Yanga katika michezo itakayopigwa Jumamosi na Jumapili Uwanja wa
MABINGWA wa Ligi Kuu ya soka ya Zambia, ZESCO United inatarajia kujipima na wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kimataifa, Simba na Yanga katika michezo itakayopigwa Jumamosi na Jumapili Uwanja wa
Congo, Ivory Coast zatesa U-17 Afrika
KIGALI, Rwanda
TIMU ya taifa ya Gambia imepata kichapo cha nguvu katika michuano ya Afrika kwa vijana wenye miaka chini ya 17, baada ya kufungwa mabao 3-0 na Congo juzi.Ikiwa ni siku ya pili tangu kuanza kwa mashindano hayo nchini
TIMU ya taifa ya Gambia imepata kichapo cha nguvu katika michuano ya Afrika kwa vijana wenye miaka chini ya 17, baada ya kufungwa mabao 3-0 na Congo juzi.Ikiwa ni siku ya pili tangu kuanza kwa mashindano hayo nchini
Torres akana kuitema Liverpool
LONDON, England
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Hispania, Fernando Torres amekana tetesi za kwamba ana mpango wa kuitema Liverpool na badala yake akawataka mashabiki kuwa nyuma ya timu hiyo.Nyota huyo wa Reds, amekuwa
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Hispania, Fernando Torres amekana tetesi za kwamba ana mpango wa kuitema Liverpool na badala yake akawataka mashabiki kuwa nyuma ya timu hiyo.Nyota huyo wa Reds, amekuwa
Ancelotti ahadharisha wachezaji Chelsea
LONDON, England
KOCHA Carlo Ancelotti amewaeleza wachezaji, Chelsea ambao ni mabingwa wa FA Cup kuwa ushindi wa mabao 7-0 iliyoupata katika duru ya tatu ya michuano hiyo dhidi ya Ipswich, hautakuwa na maana kama kiwango hicho hakitahamishiwa
KOCHA Carlo Ancelotti amewaeleza wachezaji, Chelsea ambao ni mabingwa wa FA Cup kuwa ushindi wa mabao 7-0 iliyoupata katika duru ya tatu ya michuano hiyo dhidi ya Ipswich, hautakuwa na maana kama kiwango hicho hakitahamishiwa
Harakati za Spurs kwa Beckham zaanza upya
LONDON, Uingereza
HARAKATI za uhamisho wa mchezaji, David Beckham kuichezea Tottenham zimerejea baada ya Spurs kuanza upya harakati za kuhakikisha wanamnyakua.Mchezaji huyo wa kingereza, bado anajaribu kupata ruhusu
HARAKATI za uhamisho wa mchezaji, David Beckham kuichezea Tottenham zimerejea baada ya Spurs kuanza upya harakati za kuhakikisha wanamnyakua.Mchezaji huyo wa kingereza, bado anajaribu kupata ruhusu
10 January 2011
Meya hataondoka kwa maandamano
*Makamba asema suluhisho la Arusha ni kortini
Na Gladness Mboma
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Yusufu Makamba ameibuka na kusema Meya wa Manispaa ya
Na Gladness Mboma
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Yusufu Makamba ameibuka na kusema Meya wa Manispaa ya
Mnyika aendelea na mchakato wa hoja
Na Gladness Mboma
MBUNGE wa Ubungo, Bw. John Mnyika ameamua kuendelea kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusu katiba kama alivyokusudia kutokana na serikali kuacha kutoa ufafanuzi wiki moja baada ya mwito wa kutakiwa kufanya
MBUNGE wa Ubungo, Bw. John Mnyika ameamua kuendelea kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusu katiba kama alivyokusudia kutokana na serikali kuacha kutoa ufafanuzi wiki moja baada ya mwito wa kutakiwa kufanya
Tukivunja amani tukemeeni-Waziri
Na Wilhelm Mulinda, Mwanza
SERIKALI imeomba madhehebu ya dini nchini kuwa mstari wa mbele katika kusaidia kuasa viongozi na taifa kwa ujumla pale dalili za uvunjifu wa amani zinapoonekana ili utulivu na amani uendelee kuwepo nchini.Hayo yalisemwa
SERIKALI imeomba madhehebu ya dini nchini kuwa mstari wa mbele katika kusaidia kuasa viongozi na taifa kwa ujumla pale dalili za uvunjifu wa amani zinapoonekana ili utulivu na amani uendelee kuwepo nchini.Hayo yalisemwa
CCM: Tuna madiwani 16 Arusha
Na John Daniel
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimedai kuna taarifa za uongo zinazosambazwa kuhusu idadi ya madiwani wake katika Manispaa ya Arusha na kueleza kuwa chenyewe ndicho kinachoongoza kwa kuwa na jumla ya madiwani 16 wakiwemo
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimedai kuna taarifa za uongo zinazosambazwa kuhusu idadi ya madiwani wake katika Manispaa ya Arusha na kueleza kuwa chenyewe ndicho kinachoongoza kwa kuwa na jumla ya madiwani 16 wakiwemo
Mchungaji Yehova jela kwa wizi
Na Kassian Nyandindi, Mbinga
MCHUNGAJI wa Kanisa la Yehova la mjini Songea mkoani Ruvuma amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na kosa la wizi wa vifaa vya umeme.Hukumu hiyo ilitolewa dhidi ya mchungaji huyo na
MCHUNGAJI wa Kanisa la Yehova la mjini Songea mkoani Ruvuma amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na kosa la wizi wa vifaa vya umeme.Hukumu hiyo ilitolewa dhidi ya mchungaji huyo na
Mlinzi duka la dhahabu achinjwa
Na Faida Muyomba, Geita
MAJAMBAZI wamemchinja mlinzi wa duka la dhahabu katika Mtaa wa Misheni, Kata ya Kalangalala, wilayani Geita, na kupora masalia ya mchanga wa madini hayo.Mlinzi huyo, Bw. Fikiri Bundala (27) mkazi wa Kijiji cha Kamena
MAJAMBAZI wamemchinja mlinzi wa duka la dhahabu katika Mtaa wa Misheni, Kata ya Kalangalala, wilayani Geita, na kupora masalia ya mchanga wa madini hayo.Mlinzi huyo, Bw. Fikiri Bundala (27) mkazi wa Kijiji cha Kamena
Wapinzani wa Yanga CAF wapata pigo
*'Mashushu' wao watua Dar
Na Zahoro Mlanzi
WAPINZANI wa timu ya Yanga katika michuano ya Kombe la Shirikisho, Dedebit FC kutoka Ethiopia, imepata pigo baada
Na Zahoro Mlanzi
WAPINZANI wa timu ya Yanga katika michuano ya Kombe la Shirikisho, Dedebit FC kutoka Ethiopia, imepata pigo baada
Rwanda, Misri zachanua U-17
KIGALI, Rwanda
WENYEJI wa michuano ya Afrika kwa vijana wenye miaka chini ya 17, Rwanda imeonesha malengo yake ya kutwaa ubingwa huo baada ya kuichapa Burkina Faso mabao 2-1, katika michuano ya tisa ya vijana hao iliyoanza kuchezwa
WENYEJI wa michuano ya Afrika kwa vijana wenye miaka chini ya 17, Rwanda imeonesha malengo yake ya kutwaa ubingwa huo baada ya kuichapa Burkina Faso mabao 2-1, katika michuano ya tisa ya vijana hao iliyoanza kuchezwa
Pwani kujengwa uwanja soka wa kisasa
Na Masau Bwire, Kibaha
HATIMAYE ujenzi wa uwanja wa soka wa kisasa mkoani Pwani utaanza mapema mwezi huu mara baada ya jiwe la msingi la ujenzi wa uwanja huo kutarajiwa kuwekwa Alhamisi wiki hii.Jiwe hilo la msingi pamoja na uzinduzi wa
HATIMAYE ujenzi wa uwanja wa soka wa kisasa mkoani Pwani utaanza mapema mwezi huu mara baada ya jiwe la msingi la ujenzi wa uwanja huo kutarajiwa kuwekwa Alhamisi wiki hii.Jiwe hilo la msingi pamoja na uzinduzi wa
Angola kulipa fidia waathirika shambulizi la Cabinda
LOME,Togo
SERIKALI ya Togo imesema kuwa majadiliano yanaendelea kati yao na Serikali ya Angola ili kulipa fidia kuhusu shambulizi dhidi ya timu ya Taifa ya nchi hiyo lililotokea katika Jimbo la Cabinda mwaka mmoja uliopita.Katika shambulizi
SERIKALI ya Togo imesema kuwa majadiliano yanaendelea kati yao na Serikali ya Angola ili kulipa fidia kuhusu shambulizi dhidi ya timu ya Taifa ya nchi hiyo lililotokea katika Jimbo la Cabinda mwaka mmoja uliopita.Katika shambulizi
07 January 2011
Mbowe, Slaa kizimbani
*Washtakiwa kwa kukusanyika bila kibali
*Serikali yakubali kuzungumza na CHADEMA
Glory Mhiliwa na Reuben Kagaruki
WAFUASI 31 wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwemo Mwenyekiti wake
*Serikali yakubali kuzungumza na CHADEMA
Glory Mhiliwa na Reuben Kagaruki
WAFUASI 31 wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwemo Mwenyekiti wake
Serikali yasalimu amri kwa CHADEMA
*Yakubali kutatua mgogoro kwa mazungumzo
Na Reuben Kagaruki
SIKU mbili baada ya kutokea vurugu zilizosababisha watu wawili kuuawa na polisi kwa risasi, sita kujeruhiwa huku viongozi wa kitaifa na wabunge wa CHADEMA wakikamatwa, serikali imesalimu amri na kutangaza kushughulikia mgogoro wa
Na Reuben Kagaruki
SIKU mbili baada ya kutokea vurugu zilizosababisha watu wawili kuuawa na polisi kwa risasi, sita kujeruhiwa huku viongozi wa kitaifa na wabunge wa CHADEMA wakikamatwa, serikali imesalimu amri na kutangaza kushughulikia mgogoro wa
Serikali itailipa Dowans-Ngeleja
Na John Daniel
HATIMAYE serikali imetangaza rasmi kuwabebesha wananchi msalaba wa kuilipa Kampuni ya Dowans dola za Marekani milioni 65 karibu sawa na sh. bilioni 94 za Tanzania, huku ikikanusha sh. bilioni 185 zilizotajwa awali. Pia imeweka
HATIMAYE serikali imetangaza rasmi kuwabebesha wananchi msalaba wa kuilipa Kampuni ya Dowans dola za Marekani milioni 65 karibu sawa na sh. bilioni 94 za Tanzania, huku ikikanusha sh. bilioni 185 zilizotajwa awali. Pia imeweka
CHADEMA yashinda umeya Mwanza
Na Wilhelm Mulinda, Mwanza
BAADA ya malumbano ya muda mrefu kati ya vyama vitatu vya siasa kuhusiana na uchaguzi wa Meya na Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, hatimaye hali hiyo ilifikia kikomo jana baada ya madiwani wa
BAADA ya malumbano ya muda mrefu kati ya vyama vitatu vya siasa kuhusiana na uchaguzi wa Meya na Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, hatimaye hali hiyo ilifikia kikomo jana baada ya madiwani wa
Mwema ametumika kisiasa-Lipumba
Na Rabia Bakari
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba ambaye alisema kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Jenerali Said Mwema ametumika kisiasa katika kuzuia maandamano hayo kwa kuwa sababu alizotoa ni
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba ambaye alisema kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Jenerali Said Mwema ametumika kisiasa katika kuzuia maandamano hayo kwa kuwa sababu alizotoa ni
Dereba Abood asomea mashtaka 51
Na John Gagarini, Kibaha
DEREVA Maulid Mohamed (36) wa basi la Kampuni ya Abood ambalo lililosababisha ajali Januari 5, mwaka huu na kusababisha vifo vya watu wawili na majeruhi 49 amefikishwa mahakama ya wilaya ya Kibaha akishtakiwa kwa
DEREVA Maulid Mohamed (36) wa basi la Kampuni ya Abood ambalo lililosababisha ajali Januari 5, mwaka huu na kusababisha vifo vya watu wawili na majeruhi 49 amefikishwa mahakama ya wilaya ya Kibaha akishtakiwa kwa
Papic agoma kuchukua hati ya mkataba
Na Zahoro Mlanzi
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Kostadin Papic, amegoma kuchukua hati ya mkataba mpya kwa kile kinachodaiwa, hana mpango tena wa kuendelea kuinoa timu hiyo.Kitendo hicho kilitokea kabla ya timu hiyo haijakwenda
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Kostadin Papic, amegoma kuchukua hati ya mkataba mpya kwa kile kinachodaiwa, hana mpango tena wa kuendelea kuinoa timu hiyo.Kitendo hicho kilitokea kabla ya timu hiyo haijakwenda
Simba kama Yanga Uhai Cup
Na Addolph Bruno
TIMU ya soka ya vijana wenye miaka chini ya 20, ya JKT Ruvu, imetinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Uhai, baada ya kuichapa Simba bao 1-0, katika mchezo wa robo fainali uliochezwa Uwanja wa
TIMU ya soka ya vijana wenye miaka chini ya 20, ya JKT Ruvu, imetinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Uhai, baada ya kuichapa Simba bao 1-0, katika mchezo wa robo fainali uliochezwa Uwanja wa
Mourinho, Preciado wanusurika kufungiwa
MADRID, Hispania
KOCHA wa timu ya Real Madrid, Jose Mourinho na kocha mwenzake wa timu ya Sporting Gijon, Manuel Preciado, wamenusurika adhabu ya kufungiwa kutokana na jazba waliyoionesha Novemba mwaka jana, baada ya Shirikisho la Mpira
KOCHA wa timu ya Real Madrid, Jose Mourinho na kocha mwenzake wa timu ya Sporting Gijon, Manuel Preciado, wamenusurika adhabu ya kufungiwa kutokana na jazba waliyoionesha Novemba mwaka jana, baada ya Shirikisho la Mpira
Mnenguaji wa FM atupwa Segerea
Na Rehema Maigala,Kinondoni
MNENGUAJI wa bendi ya FM Academia, Stephania Mchunguya, amelia mbele ya Mahakama ya Mwanzo Kinondoni, baada ya Hakimu kumwambia kuwa, amefuta dhamana yake na anakwenda mahabusu Segerea.Mshitakiwa huyo
MNENGUAJI wa bendi ya FM Academia, Stephania Mchunguya, amelia mbele ya Mahakama ya Mwanzo Kinondoni, baada ya Hakimu kumwambia kuwa, amefuta dhamana yake na anakwenda mahabusu Segerea.Mshitakiwa huyo
Toure atoboa siri ya kutwangana na Adebayor
LONDON, Uingereza
MLINZI wa klabu ya soka ya Manchester City, Kolo Toure, amezipuuza habari za kugombana na mchezaji mwezake wa zamani katika klabu ya Arsenal, Emmanuel Adebayor, wakiwa mazoezini na kusema kuwa, suala hilo tayari
MLINZI wa klabu ya soka ya Manchester City, Kolo Toure, amezipuuza habari za kugombana na mchezaji mwezake wa zamani katika klabu ya Arsenal, Emmanuel Adebayor, wakiwa mazoezini na kusema kuwa, suala hilo tayari
05 January 2011
Mitambo Dowans bado ya Richmond
*Rostam Aziz atajwa hukumu ya ICC
Na Mwandishi Wetu
WAKATI serikali ikisubiriwa kutoa msimamo kama ama italipa sh. bilioni 185 kama tuzo kwa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans au la, imebainika kuwa
Na Mwandishi Wetu
WAKATI serikali ikisubiriwa kutoa msimamo kama ama italipa sh. bilioni 185 kama tuzo kwa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans au la, imebainika kuwa
Walimu wahamishia familia kwa mwajiri
Na Benjamin Masese
JUMLA ya walimu 12 na familia zao wa shule ya sekondari Mkandawile, Kata ya Chanika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, wamehamishia makazi yao kwa
JUMLA ya walimu 12 na familia zao wa shule ya sekondari Mkandawile, Kata ya Chanika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, wamehamishia makazi yao kwa
Vigogo 4,700 hawajataja mali zao
Rabia Bakari na Rose Itono
ZAIDI ya viongozi wa kisiasa na wa umma 4,700 hawajeresha fomu zinazotaja mali zao kwa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, ghivyo kuwa katika hatihati ya
ZAIDI ya viongozi wa kisiasa na wa umma 4,700 hawajeresha fomu zinazotaja mali zao kwa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, ghivyo kuwa katika hatihati ya
Polisi yazua maandamano CHADEMA
Na Agnes Mwaijega
JESHI la Polisi limesitisha maandamano yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha kushinikiza kurudiwa uchaguzi wa
JESHI la Polisi limesitisha maandamano yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha kushinikiza kurudiwa uchaguzi wa
Serikali yajidhatiti Homa ya Manjano
Na Grace Ndossa
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imezitaka timu za afya za mikoa na wilaya kuchukua tahadhari kuhusu ugonjwa wa Homa ya Manjano kwa kuimarisha mfumo wa ufuatiliaji wa
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imezitaka timu za afya za mikoa na wilaya kuchukua tahadhari kuhusu ugonjwa wa Homa ya Manjano kwa kuimarisha mfumo wa ufuatiliaji wa
'Watanzania wafahamishwe umuhimu wa elimu huria'
Na Mwandishi Wetu
VIONGOZI wa serikali na vyama vya siasa wameombwa kutambua mchango mkubwa wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ambacho sasa kimefikia udahili wa
VIONGOZI wa serikali na vyama vya siasa wameombwa kutambua mchango mkubwa wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ambacho sasa kimefikia udahili wa
Mtibwa Sugar yatinga robo fainali kombe la Uhai
Na Addolph Bruno
TIMU ya soka ya vijana wenye miaka chini ya miaka 20 ya Mtibwa Sugar, imekata tiketi ya kucheza robo fainali ya Kombe la Uhai, baada ya kuichapa Kagera Sugar
TIMU ya soka ya vijana wenye miaka chini ya miaka 20 ya Mtibwa Sugar, imekata tiketi ya kucheza robo fainali ya Kombe la Uhai, baada ya kuichapa Kagera Sugar
Mwanamke ajuta 'kumuuzia' Ronaldo mtoto kwa mabilioni
* Sasa atamani kumwona
LONDON, Uingereza
MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo anadaiwa kuwa na hofu dhidi ya mwanamke aliyezaa naye mtoto, ambaye amejulikana kwa mara ya
LONDON, Uingereza
MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo anadaiwa kuwa na hofu dhidi ya mwanamke aliyezaa naye mtoto, ambaye amejulikana kwa mara ya
Ancelotti ajipa matumaini ya kutwaa ubingwa
LONDON, England
KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelott, amesisitiza kuwa, timu yake inaweza kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu ya England, licha ya kulazimishwa sare ya mabao 3-3 na
KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelott, amesisitiza kuwa, timu yake inaweza kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu ya England, licha ya kulazimishwa sare ya mabao 3-3 na
04 January 2011
Pinda awaomba radhi Wakatoliki
Na Sammy Kisika, Sumbawanga
WAZIRI Mkuu, Bw. Mizengo Pinda amewaomba radhi viongozi wa dini hasa Kanisa Katoliki kutokana na kitendo cha baadhi ya wafuasi na wagombea wa
WAZIRI Mkuu, Bw. Mizengo Pinda amewaomba radhi viongozi wa dini hasa Kanisa Katoliki kutokana na kitendo cha baadhi ya wafuasi na wagombea wa
Vuteni subira Katiba mpya- Msekwa
Na Gladness Mboma
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Bw. Pius Msekwa amewataka mwananchi mwenye mawazo Katiba kuwa na subira hadi
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Bw. Pius Msekwa amewataka mwananchi mwenye mawazo Katiba kuwa na subira hadi
Tume ya Katiba mbinu kuteka mjadala-Lissu
Na Reuben Kagaruki
MBUNGE wa Singida Magharibi, Bw. Tindu Lissu, amesema Tume ya Maalumu ya Katiba itakayoundwa na Rais Jakaya Kikwete, ni mbinu ya miaka yote ya
MBUNGE wa Singida Magharibi, Bw. Tindu Lissu, amesema Tume ya Maalumu ya Katiba itakayoundwa na Rais Jakaya Kikwete, ni mbinu ya miaka yote ya
Mahabusu waliovua nguo kushtakiwa
Na Cresensia Kapinga, Songea
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linatarajia kuwafikisha mahakamani mahabusu 23 wanaokabiliwa na kesi za mauaji na unyang’anyi wa kutumia silaha kujibutuhuma mpya
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linatarajia kuwafikisha mahakamani mahabusu 23 wanaokabiliwa na kesi za mauaji na unyang’anyi wa kutumia silaha kujibutuhuma mpya
CUF yataja mafanikio yake 2010
Na Peter Mwenda
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kitaboresha mafanikio yaliyopatikana 2010 kwa kuwa chama pekee cha upinzani kuwa na wabunge wengi wa kuchaguliwa na
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kitaboresha mafanikio yaliyopatikana 2010 kwa kuwa chama pekee cha upinzani kuwa na wabunge wengi wa kuchaguliwa na
Mkapa aenda kusimamia kura za maoni Sudan
Na Andrew Ignas
RAISI Mstaafu wa awamu ya tatu, Bw. Benjamini Mkapa amewataka Watanzania kumuombea aweze kusimamia upigaji kura za maoni Januari 9 mwaka huu ambazo
RAISI Mstaafu wa awamu ya tatu, Bw. Benjamini Mkapa amewataka Watanzania kumuombea aweze kusimamia upigaji kura za maoni Januari 9 mwaka huu ambazo
Osiah, Wambura kuanika mikakati yao kesho
Na Zahoro Mlanzi
KATIBU Mkuu mpya wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Angetile Osiah na Ofisa Habari wake, Boniface Wambura, kesho wanatarajia kuanika mikakati
KATIBU Mkuu mpya wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Angetile Osiah na Ofisa Habari wake, Boniface Wambura, kesho wanatarajia kuanika mikakati
Taifa Stars yaenda Misri
Na Zahoro Mlanzi
KIKOSI cha wachezaji 21 wa timu ya Taifa 'Taifa Stars', kimeondoka jana alfajiri kwenda Misri huku kikiwa na matumaini ya kufanya vizuri katika mashindano ya
KIKOSI cha wachezaji 21 wa timu ya Taifa 'Taifa Stars', kimeondoka jana alfajiri kwenda Misri huku kikiwa na matumaini ya kufanya vizuri katika mashindano ya
Yanga kumuaga Babi Zanzibar leo
Na Elizabeth Mayemba
TIMU ya soka ya Yanga, inatarajia kumuaga rasmi mchezaji wake Abdi Kassim 'Babi', wakati wa mechi yao ya dhidi ya Mafunzo ya Zanzibar, ya kuwania Kombe la
TIMU ya soka ya Yanga, inatarajia kumuaga rasmi mchezaji wake Abdi Kassim 'Babi', wakati wa mechi yao ya dhidi ya Mafunzo ya Zanzibar, ya kuwania Kombe la
Simba yatinga robo fainali Uhai Cup
Na Addolph Bruno
TIMU ya soka Simba ya vijana wenye umri chini ya miaka 20, imemaliza vizuri hatua ya makundi na kutinga robo fainali ya Kombe la Uhai, kwa kuikung'uta African Lyon mabao
TIMU ya soka Simba ya vijana wenye umri chini ya miaka 20, imemaliza vizuri hatua ya makundi na kutinga robo fainali ya Kombe la Uhai, kwa kuikung'uta African Lyon mabao
Filamu za This is It, Huba zatwaa tuzo
Na Amina Athumani, Zanzibar
FILAMU ya This is it ya msanii Stiven Kanumba na Huba, zimepata tuzo ndogo za ZIFF zinazotolewa na Zanzibar Internation Film Festival, zitaiwakilisha nchi katika tamasha
FILAMU ya This is it ya msanii Stiven Kanumba na Huba, zimepata tuzo ndogo za ZIFF zinazotolewa na Zanzibar Internation Film Festival, zitaiwakilisha nchi katika tamasha
03 January 2011
Kauli ya Kikwete sasa yashtukiwa
*Ni kuhusu kuridhia mabadiliko ya katiba 2011
*CUF wahoji, ni kuweka viraka, au katiba mpya
Na Rabia Bakari
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kuweka wazi msimamo wa kauli yake kuhusu mabadiliko ya katiba, endapo inawekewa viraka ama inaandikwa upya. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kaimu
*CUF wahoji, ni kuweka viraka, au katiba mpya
Na Rabia Bakari
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kuweka wazi msimamo wa kauli yake kuhusu mabadiliko ya katiba, endapo inawekewa viraka ama inaandikwa upya. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kaimu
Hoja ya Mnyika yasubiri tamko la serikali
Na Grace Michael
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, Bw. John Mnyika amesema kuwa anasubiri ufafanuzi wa serikali kuhusu suala zima la katiba ikiwemo muundo wa tume, hadidu za rejea na kama serikali itapeleka bungeni mapendekezo kuhusu mchakato kabla
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, Bw. John Mnyika amesema kuwa anasubiri ufafanuzi wa serikali kuhusu suala zima la katiba ikiwemo muundo wa tume, hadidu za rejea na kama serikali itapeleka bungeni mapendekezo kuhusu mchakato kabla
Mwanafunzi mbaroni kwa kubaka mwenzie
Na Suleiman Abeid, Shinyanga
JESHI la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Kishimba wilayani Kahama kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa shule ya msingi wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 11.Kamanda wa
JESHI la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Kishimba wilayani Kahama kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa shule ya msingi wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 11.Kamanda wa
Mvua ya mawe yajeruhi sita Rukwa
Na Sammy Kisika, Sumbawanga
WATU sita wamejeruhiwa na nyumba 13 kuezuliwa na zingine kubomolewa katika kijiji cha Miangalua wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa kutokana na mvua ya mawe iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha juzi kijijini hapo kwa takribani
WATU sita wamejeruhiwa na nyumba 13 kuezuliwa na zingine kubomolewa katika kijiji cha Miangalua wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa kutokana na mvua ya mawe iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha juzi kijijini hapo kwa takribani
Pinda atolea macho mashamba yaliyobinafsishwa
Na Sammy Kisika, Sumbawanga
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewaagiza wakuu wa mikoa nchini kuanza kufuatilia mara moja mashamba yote ya serikali yaliyouzwa au kubinafsishwa kwa wawekezaji mbalimbali kwa lengo la kutaka kufahamu iwapo yanafanya
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewaagiza wakuu wa mikoa nchini kuanza kufuatilia mara moja mashamba yote ya serikali yaliyouzwa au kubinafsishwa kwa wawekezaji mbalimbali kwa lengo la kutaka kufahamu iwapo yanafanya
Meya aanza kula na wazembe Songea
Na Mhaiki Andrew, Songea
MSTAHIKI Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, Bw. Ally Manya ameanza kazi kwa kukemea watumishi waotelekeza ofisi na kwenda kufanya shughuli binafsi, huku wakiwaacha wananchi wakiangaika kutafuta huduma.Meya
MSTAHIKI Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, Bw. Ally Manya ameanza kazi kwa kukemea watumishi waotelekeza ofisi na kwenda kufanya shughuli binafsi, huku wakiwaacha wananchi wakiangaika kutafuta huduma.Meya
Phiri aipa uzito Mapinduzi
Na Julius Kihampa
KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, ameitaja michuano ya Mapinduzi kama moja ya kipimo sahihi kwa timu yao kwa ajili ya maandakilizi ya Ligi Kuu na Klabu Bingwa Afrika.Simba ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Bara, wakiongoza
KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, ameitaja michuano ya Mapinduzi kama moja ya kipimo sahihi kwa timu yao kwa ajili ya maandakilizi ya Ligi Kuu na Klabu Bingwa Afrika.Simba ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Bara, wakiongoza
Watanzani watakiwa kuthamini filamu za wazawa
Na Amina Athumani, Zanzibar
WATANZANIA wameombwa kununua nakala halisi za filamu za wasanii wa ndani, ili kuwapa moyo wa kuendelea na kazi hiyo. Kauli hiyo imetolewa mjini Zanzibar jana na Meneja wa nembo halisi za filamu zinazojulikana kama
WATANZANIA wameombwa kununua nakala halisi za filamu za wasanii wa ndani, ili kuwapa moyo wa kuendelea na kazi hiyo. Kauli hiyo imetolewa mjini Zanzibar jana na Meneja wa nembo halisi za filamu zinazojulikana kama
Wachezaji Toto washindwa kuingia kambini
Na Addolph Bruno
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Toto African ya Mwanza, Choki Abeid, ameshitushwa na kitendo cha baadhi ya wachezaji wake kushindwa kuripoti kambini kujiandaa na Ligi Kuu Bara hatua ya lala salama.Timu hiyo ilianza kambi baada ya
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Toto African ya Mwanza, Choki Abeid, ameshitushwa na kitendo cha baadhi ya wachezaji wake kushindwa kuripoti kambini kujiandaa na Ligi Kuu Bara hatua ya lala salama.Timu hiyo ilianza kambi baada ya
Abramovich atumia bilioni 11 kusherehekea mwaka mpya
LONDON, Uingereza
WAKATI watu wengi wakifikiria watapataje fedha, lakini wengine kwa hilo si tatizo, kwao tatizo ni jinsi ya kutumia.Tajiri wa Kirusi, ambaye ni mmiliki wa timu ya ya soka ya Chelsea, Roman Abramovich, aliamua kutumia fedha
WAKATI watu wengi wakifikiria watapataje fedha, lakini wengine kwa hilo si tatizo, kwao tatizo ni jinsi ya kutumia.Tajiri wa Kirusi, ambaye ni mmiliki wa timu ya ya soka ya Chelsea, Roman Abramovich, aliamua kutumia fedha
Subscribe to:
Comments (Atom)