*Kamati ya Maadili sasa yapewa meno
*Mukama asema hakuna kurudi nyuma
*Viongozi waagizwa kuwachukulia hatua
Na Rehema Mohamed
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza rasmi hatua ya kuwashughulikia watuhumiwa wa ufisadi ndani ya chama hicho kwa
30 November 2011
JK asaini Muswada Katiba Mpya
*Asema nafasi ya kuuboresha bado ipo wazi
*Wanaharakati wapinga, waishukia CHADEMA
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete, jana amesaini Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Mpya 2011, uliopitishwa na Bunge mjini
*Wanaharakati wapinga, waishukia CHADEMA
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete, jana amesaini Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Mpya 2011, uliopitishwa na Bunge mjini
Mwenyekiti NCCR Mbeya wamkataa Mbatia
Na Esther Macha, Mbeya
WENYEVITI wa NCCR-Mageuzi katika wilaya zote mkoani Mbeya, wamemtaka Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Bw. James Mbatia, kujiuzulu wadhifa wake kwa
WENYEVITI wa NCCR-Mageuzi katika wilaya zote mkoani Mbeya, wamemtaka Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Bw. James Mbatia, kujiuzulu wadhifa wake kwa
TAMWA yaionya Serikali, wataka ithamini waandishi
Na Benjamin Masese
SERIKALI imehadharishwa kuimarisha ushirikiano na vyombo vya habari, kutoa taarifa mbalimbali kwa wakati kwani kitendo cha baadhi ya watendaji kushindwa
SERIKALI imehadharishwa kuimarisha ushirikiano na vyombo vya habari, kutoa taarifa mbalimbali kwa wakati kwani kitendo cha baadhi ya watendaji kushindwa
Wawekezaji siyo lazima watoke nje-Waziri Pinda
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu Bw. Mizengo Pinda, amesema suala la uwekezaji nchini haliwalengi watu wa nje tu, bali hata wa ndani wanaweza kuwekeza hata kwa kiwango
WAZIRI Mkuu Bw. Mizengo Pinda, amesema suala la uwekezaji nchini haliwalengi watu wa nje tu, bali hata wa ndani wanaweza kuwekeza hata kwa kiwango
Mwenge wa uhuru Temeke
Na Andrew Ignas
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni ambaye pia ni kaimu Ukuu wa wilaya ya Temeke BW. Jordan Lugimbani amewataka viongozi wa serikali kuhakikisha wana simamia na kulinda rasilimali mbali mbali ili ziweze kuwanufaisha vizazi vijazo.
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni ambaye pia ni kaimu Ukuu wa wilaya ya Temeke BW. Jordan Lugimbani amewataka viongozi wa serikali kuhakikisha wana simamia na kulinda rasilimali mbali mbali ili ziweze kuwanufaisha vizazi vijazo.
Chipolopolo, Mbena kuzipiga Des. 2
Na Severin Blasio, Morogoro
MABONDIA wa ngumi za kulipwa mkoani Morogoro, Maneno William รข'Chipolopolo' na Albert Mbena wanatarajiwa kupigana Desemba 2 mwaka huu katika pambano lisilo la ubingwa.
MABONDIA wa ngumi za kulipwa mkoani Morogoro, Maneno William รข'Chipolopolo' na Albert Mbena wanatarajiwa kupigana Desemba 2 mwaka huu katika pambano lisilo la ubingwa.
Marsh awatetea akina Mkwassa
Na Shufaa Lyimo
KOCHA Msaidizi wa Taifa Stars Silvester Marsh, amewataka Watanzania kuacha kuwatupia lawama makocha wa timu ya Kilimanjaro Stars, Charles Boniface na Jamhuri Kihwelu 'Julio' baada ya kuanza vibaya mashindano ya Tusker Chalenji, yanayoendelea Dar es Salaam.
KOCHA Msaidizi wa Taifa Stars Silvester Marsh, amewataka Watanzania kuacha kuwatupia lawama makocha wa timu ya Kilimanjaro Stars, Charles Boniface na Jamhuri Kihwelu 'Julio' baada ya kuanza vibaya mashindano ya Tusker Chalenji, yanayoendelea Dar es Salaam.
Simba Tishio yaipa tano Simba B
Na Omary Mngindo, Kibaha
UONGOZI wa tawi la Simba la Kibaha Kwamfipa (Simba Tishio), umeipongeza timu ya vijana ya chini ya miaka 20 ya klabu hiyo, kwa kutwaa ubingwa wa michuano Kombe la Uhai, iliyomalizika mwishoni mwa wiki.
UONGOZI wa tawi la Simba la Kibaha Kwamfipa (Simba Tishio), umeipongeza timu ya vijana ya chini ya miaka 20 ya klabu hiyo, kwa kutwaa ubingwa wa michuano Kombe la Uhai, iliyomalizika mwishoni mwa wiki.
Azam kukuza soka mikoa ya Kusini
Na Shufaa Lyimo
UONGOZI wa Klabu ya Azam FC, umesema utahakikisha unakuza na kuinua vipaji vya vijana wenye umri chini ya miaka 20, katika Mikoa ya Kusini.
UONGOZI wa Klabu ya Azam FC, umesema utahakikisha unakuza na kuinua vipaji vya vijana wenye umri chini ya miaka 20, katika Mikoa ya Kusini.
Kesi ya Shabani Mintanga
Akina Mtagwa watakiwa nchini
Rehema Mohamed na Neema Malley
WASHTAKIWA wanaoshikiliwa nchini Mauritius kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya, Petro Mtagwa, Case Ramadhan na Nathalias Charles ambao ni mabondia waliokwenda nchini humo 2008, kushiriki michuano ya ngumi waletwe nchini kwa ajili ya kutoa ushahidi wa kesi hiyo, ambayo pia inamkabili Rais wa zamani wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Shabani Mintanga.
Rehema Mohamed na Neema Malley
WASHTAKIWA wanaoshikiliwa nchini Mauritius kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya, Petro Mtagwa, Case Ramadhan na Nathalias Charles ambao ni mabondia waliokwenda nchini humo 2008, kushiriki michuano ya ngumi waletwe nchini kwa ajili ya kutoa ushahidi wa kesi hiyo, ambayo pia inamkabili Rais wa zamani wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Shabani Mintanga.
Kili Stars yazindukia Djibouti
Yaichapa 3-0, mashabiki Simba, Yanga wajigawa kuisapoti
*Rwanda hiyo robo fainali
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars imefufua matumaini ya kutinga hatua ya robo fainali baada ya kuichapa Djibouti mabao 3-0 katika mchezo wa kuwania Kombe la Chalenji uliopigwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
*Rwanda hiyo robo fainali
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars imefufua matumaini ya kutinga hatua ya robo fainali baada ya kuichapa Djibouti mabao 3-0 katika mchezo wa kuwania Kombe la Chalenji uliopigwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
29 November 2011
Maafa Mto wa Mbu
*Mafuriko yasababisha kifo, wananchi wakimbia makazi
*Mawasiliano Arusha, Karatu yakatika, eneo lageuka kisiwa
*Askari JWTZ wapelekwa eneo la tukio, vijana wapata ajira
Na Said Njuki, Monduli
WAKATI mvua zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali nchini, zikisababisha
*Mawasiliano Arusha, Karatu yakatika, eneo lageuka kisiwa
*Askari JWTZ wapelekwa eneo la tukio, vijana wapata ajira
Na Said Njuki, Monduli
WAKATI mvua zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali nchini, zikisababisha
Mtoto auawa akidaiwa kuiba sh. 10,000
*Akatwa mapanga mwili mzima
*Petroli yalipua nyumba, 2 wafa
Na John Gagarini, Kibaha
WATU sita wamekufa mkoani Pwani katika matukio tofauti likiwemo la mtoto Kelvin Mapundu (7), mwanafunzi wa
*Petroli yalipua nyumba, 2 wafa
Na John Gagarini, Kibaha
WATU sita wamekufa mkoani Pwani katika matukio tofauti likiwemo la mtoto Kelvin Mapundu (7), mwanafunzi wa
Mawakili wataka kesi ya CHADEMA Arusha ufutwe
Queen lema, na Pamella Mollel, Arusha
UPANDE wa utetezi katika kesi inayowakabili viongozi waandamizi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umewasilisha
UPANDE wa utetezi katika kesi inayowakabili viongozi waandamizi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umewasilisha
Chanzo cha ajali Kibaha,Chalinze chatajwa
Na Peter Mwenda
WAUMINI wa Kanisa Katoliki Tanzania wametaja chanzo cha ajali za mara kwa mara katika eneo la Chalinze na Kibaha Mkoa wa
WAUMINI wa Kanisa Katoliki Tanzania wametaja chanzo cha ajali za mara kwa mara katika eneo la Chalinze na Kibaha Mkoa wa
Tunatarajia kiwanda cha sukari Songea-RC
Na Emmanuel Msigwa, Songea
MKOA wa Ruvuma upo kwenye mikakati ya kuwashawishi wawekezaji kujenga kiwanda cha sukari mkoani humo pamoja na kufufua
MKOA wa Ruvuma upo kwenye mikakati ya kuwashawishi wawekezaji kujenga kiwanda cha sukari mkoani humo pamoja na kufufua
Kili Stars kibaruani tena leo
Na Zahoro Mlanzi
MABINGWA watetezi wa michuano ya Chalenji Kilimanjaro Stars, leo itakuwa na kibarua kingine ambapo itamenyana na Djibouti, katika
MABINGWA watetezi wa michuano ya Chalenji Kilimanjaro Stars, leo itakuwa na kibarua kingine ambapo itamenyana na Djibouti, katika
Bab atua Azam FC
Na Mwandishi Wetu
Baada ya mkataba wake kusitishwa na Klabu ya DT Long An ya Vietnam, kiungo Abdi Kassim 'Babi' jana amesajili kuichezea Azam FC ya
Baada ya mkataba wake kusitishwa na Klabu ya DT Long An ya Vietnam, kiungo Abdi Kassim 'Babi' jana amesajili kuichezea Azam FC ya
Kamati yasikitishwa na Z'bar Heroes
Na Mwajuma Juma, Zanzibar
KAMATI ya Mashindano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar (Mapinduzi Cup), imesikitishwa na timu ya taifa ya Zanzibar
KAMATI ya Mashindano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar (Mapinduzi Cup), imesikitishwa na timu ya taifa ya Zanzibar
28 November 2011
Mafisadi CCM sasa wakalia kuti kavu
*Mkakati wa kuwamaliza kidiplomasia yatajwa
*JK alikwepa mtafaruku,kupisha upepo mbaya
Na Mwandishi Wetu
SIKU tatu baada ya kumalizika kwa vikao vya juu vya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma wiki iliyopita, upepo mbaya umeanza
*JK alikwepa mtafaruku,kupisha upepo mbaya
Na Mwandishi Wetu
SIKU tatu baada ya kumalizika kwa vikao vya juu vya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma wiki iliyopita, upepo mbaya umeanza
JK ateta na CHADEMA Ikulu
Na Mwandishi Wetu
HATIMAYE Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bw. Freeman Mbowe, ameongoza ujumbe wa chama
HATIMAYE Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bw. Freeman Mbowe, ameongoza ujumbe wa chama
Chakula cha sumu Sengerema
*Mama naye afariki Dunia
Na Mwandishi Wetu
SIKU moja baada ya Famili ya Bw. John Mashauri, wa Kijiji cha Mwabaluhi, wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza, kupoteza
Na Mwandishi Wetu
SIKU moja baada ya Famili ya Bw. John Mashauri, wa Kijiji cha Mwabaluhi, wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza, kupoteza
Wanasiasa wanataka kumwaga damu -Mchungaji
*Ataka majadiliano si maandamano Katiba Mpya
Na Charles Mwakipesile, Mbeya
MWENYEKITI wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini, Mchungaji Clement Mwaitebele, ameibuka na kukemea
Na Charles Mwakipesile, Mbeya
MWENYEKITI wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini, Mchungaji Clement Mwaitebele, ameibuka na kukemea
NCCR wamwonya JK mchakato wa Katiba
Na Peter Mwenda
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetoa tamko rasmi kuhusu muswada wa sheria ya kuundwa kwa Tume ya kukusanya maoni ya wananchi
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetoa tamko rasmi kuhusu muswada wa sheria ya kuundwa kwa Tume ya kukusanya maoni ya wananchi
Wataka barabara ya lami kwenda hospitali
Na Eliasa Ally, Iringa
WANANCHI wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wameitaka serikali kuangalia uwezekano wa kuitengeneza kwa kiwango
WANANCHI wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wameitaka serikali kuangalia uwezekano wa kuitengeneza kwa kiwango
Vijana tafakarini kabla ya kutenda -Manyanya
Na Bryceson Mathias Dodoma
MKUU wa Mkoa wa Rukwa na Mbunge wa viti Maalum (CCM) Mhandisi Stella Manyanya, ametaka vijana nchini kusaidia nchi yao
MKUU wa Mkoa wa Rukwa na Mbunge wa viti Maalum (CCM) Mhandisi Stella Manyanya, ametaka vijana nchini kusaidia nchi yao
RC Mara akumbana na kilio cha maji Bunda
Na Raphael Okello, Bunda
SAKATA la kucheleweshwa kwa mradi mkubwa wa maji unaofadhiliwa na Benki ya Dunia (WB) mjini Bunda mkoani Mara tangu
SAKATA la kucheleweshwa kwa mradi mkubwa wa maji unaofadhiliwa na Benki ya Dunia (WB) mjini Bunda mkoani Mara tangu
Zanzibar Heroes yakaa pabaya
*Yatoka suluhu na Burundi, Zimbabwe yatakata
Na Zahoro Mlanzi
JAHAZI la timu ya Taifa ya Zanzibar 'Zanzibar Heroes', limezidi kwenda mrama baada ya kutoka suluhu na Burundi
Na Zahoro Mlanzi
JAHAZI la timu ya Taifa ya Zanzibar 'Zanzibar Heroes', limezidi kwenda mrama baada ya kutoka suluhu na Burundi
Milovan kimeeleweka Simba
Zahoro Mlanzi na Amina Athumani
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa timu ya Simba, Milovan Cirkovic ametua nchini juzi usiku na muda wowote ndani ya wiki anatarajia
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa timu ya Simba, Milovan Cirkovic ametua nchini juzi usiku na muda wowote ndani ya wiki anatarajia
25 November 2011
Kashilila aichefua CHADEMA upya
*Wamshangaa kauingilia mambo yao, kupotosha umma
*Wamtaka awataje wabunge wachanga wasiojua sheria
*Mnyika amshukia Makinda, asema alipuuza wabunge
Na Benjamin Masese
SIKU moja baada ya Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashilila, kudai mazungumzo kati ya Rais Jakaya Kikwete na Kamati teule ya
*Wamtaka awataje wabunge wachanga wasiojua sheria
*Mnyika amshukia Makinda, asema alipuuza wabunge
Na Benjamin Masese
SIKU moja baada ya Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashilila, kudai mazungumzo kati ya Rais Jakaya Kikwete na Kamati teule ya
ZUIO LA MAANDAMANO:
Jukwaa la Katiba lajibu mapigo
*Lasema maandamano ni Haki ya Watanzania
Na Rachel Balama
JUKWAA la Katiba Tanzania ambalo linajumuisha asasi za kiraia zaidi ya 180 vikiwemo vyama vya wafanyakazi, wanataaluma, waishio na VVU/UKIMWI, vyama vya
*Lasema maandamano ni Haki ya Watanzania
Na Rachel Balama
JUKWAA la Katiba Tanzania ambalo linajumuisha asasi za kiraia zaidi ya 180 vikiwemo vyama vya wafanyakazi, wanataaluma, waishio na VVU/UKIMWI, vyama vya
NEC-CCM yamkaanga Ng'enda
Na pendo Mtibuche, Dodoma
HALMASHAURI Kuu ya Taifa (NEC), Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeanza kuonesha makali yake baada ya Bw. Kilimbe Ng’enda kuvuliwa ukatibu wa chama hicho
HALMASHAURI Kuu ya Taifa (NEC), Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeanza kuonesha makali yake baada ya Bw. Kilimbe Ng’enda kuvuliwa ukatibu wa chama hicho
Vyama vya Siasa vyatofautiana kukutana na Rais Kikwete
Na Rabia Bakari
USHAURI wa Kamati Kuu (CC), ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutaka Rais Jakaya Kikwete akutane na vyama vyote vya siasa vyenye uwakilishi bungeni ili
USHAURI wa Kamati Kuu (CC), ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutaka Rais Jakaya Kikwete akutane na vyama vyote vya siasa vyenye uwakilishi bungeni ili
Wanachama CHAWATE waitupia lawama ofisi ya Ushirika Temeke
Na Salim Nyomolelo
BAADHI ya wanachama wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Walimu wilayani Temeke (CHAWATE SACCOS), wameilalamikia ofisi ya ushirika wilayani
BAADHI ya wanachama wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Walimu wilayani Temeke (CHAWATE SACCOS), wameilalamikia ofisi ya ushirika wilayani
Waislamu Dar waihadharisha serikali tishio la Al-Shaabab
Na David John
KAMATI ya Kutetea Haki za Waislamu nchini, imeihadharisha Serikali kutojihusisha na mambo ya kidini hasa yanayohusu kundi la Al-shaabab kwa shinikizo la mataifa
KAMATI ya Kutetea Haki za Waislamu nchini, imeihadharisha Serikali kutojihusisha na mambo ya kidini hasa yanayohusu kundi la Al-shaabab kwa shinikizo la mataifa
TBS yanasa mabati bandia, yapigwa mafuruku sokoni
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limepiga marufuku uzaaji wa mabati yanayouzwa na kampuni ya Kamaka CO LTD, iliyopo Barabara ya Mandela, jijini Dar es Salaam, baada ya
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limepiga marufuku uzaaji wa mabati yanayouzwa na kampuni ya Kamaka CO LTD, iliyopo Barabara ya Mandela, jijini Dar es Salaam, baada ya
Simba, Yanga zaungana
*Zaamua kuunda timu moja
Na Amina Athumani
WAPINZANI wa jadi nchini timu za Simba na Yanga, kwa mara ya kwanza katika historia ya soka zimeungana kuunda timu moja, ambayo itacheza na
Na Amina Athumani
WAPINZANI wa jadi nchini timu za Simba na Yanga, kwa mara ya kwanza katika historia ya soka zimeungana kuunda timu moja, ambayo itacheza na
Mwaikimba, Bocco watemwa Kili Stars
Na Amina Athumani
WACHEZAJI kumi kati ya 28, walioitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars), wamechujwa katika kikosi hicho wakiwemo
WACHEZAJI kumi kati ya 28, walioitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars), wamechujwa katika kikosi hicho wakiwemo
Caravans yaandaa mashindano ya kriketi
Na Zahoro Mlanzi
KLABU ya kriketi ya Caravans, imeanzisha mashindano ya mchezo huo yakayoanza Novemba 27 mpaka Desemba 11, mwaka huu kwenye Viwanja vya
KLABU ya kriketi ya Caravans, imeanzisha mashindano ya mchezo huo yakayoanza Novemba 27 mpaka Desemba 11, mwaka huu kwenye Viwanja vya
24 November 2011
Polisi wazuia maandamano
*Wahofia uvunjifu amani, yalipangwa kufanyika J'mosi
*Wanaharakati kutafuta njia nyingine kufikisha ujumbe
*IGP Mwema asisitiza jeshi hilo halina nia mbaya
Na Benjamin Masese
SIKU moja baada ya wanaharakati kutoka asasi za kiraia zaidi ya 180, Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA) na Jukwaa la Katiba Tanzania kutangaza kufanya maandamano ya amani nchi nzima Novemba 26 mwaka huu, Jeshi la Polisi nchini limeyazuia kutokana na hofu ya kuvunjika kwa amani.
Taarifa iliyotolewa Dar es Salaam jana na
*Wanaharakati kutafuta njia nyingine kufikisha ujumbe
*IGP Mwema asisitiza jeshi hilo halina nia mbaya
Na Benjamin Masese
SIKU moja baada ya wanaharakati kutoka asasi za kiraia zaidi ya 180, Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA) na Jukwaa la Katiba Tanzania kutangaza kufanya maandamano ya amani nchi nzima Novemba 26 mwaka huu, Jeshi la Polisi nchini limeyazuia kutokana na hofu ya kuvunjika kwa amani.
Taarifa iliyotolewa Dar es Salaam jana na
Ajali mbaya yaua wawili Dar
Salim Nyomolelo na Masau Bwire
WATU wawili wamekufa na wengine wanne kujeruhiwa vibaya baada ajali mbaya iliyotokea jana saa saba mchana katika eneo la
![]() |
| Wakazi wa Jiji Dar es salaam wakiangalia gari dogo lililoharibiwa vibaya baada ya kugongwa nlori jana |
![]() |
| Polisi akiangalia moja ya magari mawili yaliyopata ajali mbaya kwa kugongwa na lori la mafuta T 264 BUC Barabara ya Mandela, Dar es salaam jana. |
![]() |
| Askari wa Usalama Barabarani akiwa amebeba Kichwa cha mtu aliyefariki baada ya kugongwa na lori jana maeneo ya Riverside Ubungo Jijini Dar es salaam. |
Serikali isitishe ombi la Tanesco
Na Rachel Balama
SERIKALI imetakiwa kusitisha ombi la dharura la kupandisha bei ya umeme kwa kiwango kikubwa ili kuepusha athari katika usalama na
SERIKALI imetakiwa kusitisha ombi la dharura la kupandisha bei ya umeme kwa kiwango kikubwa ili kuepusha athari katika usalama na
Bush kutembelea Tanzania
Na Godfrey Ismaely
RAIS Mstaafu wa Marekani, Bw. George Bush anatarajiwa kufanya ziara yake ya kikazi nchi, ziara ambayo itakuwa ya siku tano
RAIS Mstaafu wa Marekani, Bw. George Bush anatarajiwa kufanya ziara yake ya kikazi nchi, ziara ambayo itakuwa ya siku tano
Simba yawatoa kwa mkopo Kiemba, Kanoni
Na Amina Athumani
UONGOZI wa Simba, umewatoa kwa mkopo wachezaji wake beki Salum Kanoni aliyepelekwa Moro United na kiungo Amri Kiemba
UONGOZI wa Simba, umewatoa kwa mkopo wachezaji wake beki Salum Kanoni aliyepelekwa Moro United na kiungo Amri Kiemba
Mchujo Kili Stars pasua kichwa
Na Amina Athumani
MAKOCHA wa kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars), Boniface Mkwasa na Jamhuri Kihwelu 'Julio' jana
MAKOCHA wa kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars), Boniface Mkwasa na Jamhuri Kihwelu 'Julio' jana
Munich, Inter, Benfica zafuzu 16 bora Ulaya
BERLIN, Ujerumani
BAYERN Munich, Inter Milan na Benfica zimefuzu hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kucheza mechi
BAYERN Munich, Inter Milan na Benfica zimefuzu hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kucheza mechi
23 November 2011
Maandamano makubwa kumpinga JK Jumamosi
*Yatahusisha asasi 180,TUCTA, wenye VVU
*Ni kumshinikiza asisaini muswada wa katiba
*Kikwete afurahia kukutana na CHADEMA
Na Benjamin Masese
WANAHARAKATI wa asasi za kiraia zaidi ya 180, Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) na Jukwaa la
*Ni kumshinikiza asisaini muswada wa katiba
*Kikwete afurahia kukutana na CHADEMA
Na Benjamin Masese
WANAHARAKATI wa asasi za kiraia zaidi ya 180, Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) na Jukwaa la
Uvamizi viwanja:
Katibu Mkuu Ardhi apokea vitisho
Neema Malley na Jane Hamalosi
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Bw. Patrick Rutabanzibwa, amesema amekuwa
Neema Malley na Jane Hamalosi
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Bw. Patrick Rutabanzibwa, amesema amekuwa
Magamba CCM hayabanduki
*CC yachemsha, yaachia vikao vya juu
Na Pendo Mtibuche, Dodoma
KIKAO cha Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichoanza kukutana juzi na jana mjini Dodoma, kimetawaliwa
Na Pendo Mtibuche, Dodoma
KIKAO cha Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichoanza kukutana juzi na jana mjini Dodoma, kimetawaliwa
Serikali yatakiwa kutoa habari kwa wananchi
Na Salim Nyomolelo
SERIKALI imetakiwa kujenga mazoea ya kutoa habari kwa wananchi ili kuwawezesha kutambua mabadiriko ya sheria, maendeleo
SERIKALI imetakiwa kujenga mazoea ya kutoa habari kwa wananchi ili kuwawezesha kutambua mabadiriko ya sheria, maendeleo
Serikali yatakiwa kuongeza uwekezaji sekta ya maji
Na Agnes Mwaijega
NAIBU Katibu Wizara ya Maji, Bw. Bashiri Mrindoko, amesema upo umuhimu mkubwa kwa serikali kuongeza uwekezaji katika sekta ya
NAIBU Katibu Wizara ya Maji, Bw. Bashiri Mrindoko, amesema upo umuhimu mkubwa kwa serikali kuongeza uwekezaji katika sekta ya
Yanga kuingia kambini J'pili
Na Mwandishi Wetu
UONGOZI wa klabu ya Yanga umewataka wachezaji wa timu hiyo kuripoti kambini ifikapo Jumapili.Akizungumza Dar es Salaam jana
UONGOZI wa klabu ya Yanga umewataka wachezaji wa timu hiyo kuripoti kambini ifikapo Jumapili.Akizungumza Dar es Salaam jana
TOC yaruka kimanga kozi ya ngumi
Na Amina Athumani
KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC), imesema aihusiki na kuvurugika kwa kozi ya kimataifa ya ngumi za ridhaa iliyoahirishwa.TOC imesema
KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC), imesema aihusiki na kuvurugika kwa kozi ya kimataifa ya ngumi za ridhaa iliyoahirishwa.TOC imesema
Wanaokimbiza bendera waagwa Dar
Na waandishi maalumu
Wanariadha 30 wanaokimbiza bendera ya taifa, kupitia kampeni ya Kilimanjaro Jivunie uTanzania inayoenda sambamba na
Wanariadha 30 wanaokimbiza bendera ya taifa, kupitia kampeni ya Kilimanjaro Jivunie uTanzania inayoenda sambamba na
22 November 2011
Moto wa Katiba Mpya CHADEMA kutinga Ikulu
*KAMATI Kuu yateua kamati ndogo ya muafaka
*Maandamano yawekwa kiporo kusubiri suluhu
*Mbowe: Hotuba ya rais imetusikitisha sana
*Wanaharakati Dar kutoa msimamo mzito leo
Na Benjamin Masese
SIKU tatu baada ya Bunge la Tanzania kupitisha muswada wa Sheria ya kuundwa Tume ya Kukusanya maoni kuhusu
*Maandamano yawekwa kiporo kusubiri suluhu
*Mbowe: Hotuba ya rais imetusikitisha sana
*Wanaharakati Dar kutoa msimamo mzito leo
Na Benjamin Masese
SIKU tatu baada ya Bunge la Tanzania kupitisha muswada wa Sheria ya kuundwa Tume ya Kukusanya maoni kuhusu
Polisi Moro yatangaza vita na waandishi
Na Mwandishi Wetu, Morogoro
BAADHI ya askari wa Jeshi la Polisi mkoani Morogoro, wametangaza vita na waandishi wa habari mkoani humo kwa madai kuwa, vyombo wanavyoandikia vinawatuhumu
BAADHI ya askari wa Jeshi la Polisi mkoani Morogoro, wametangaza vita na waandishi wa habari mkoani humo kwa madai kuwa, vyombo wanavyoandikia vinawatuhumu
Kamati Kuu CCM yawaka moto
*Taarifa ya Kamati ya maadili yaumiza kichwa wajumbe
Na Pendo Mtibuche, Dodoma
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. Jakaya Kikwete, amefungua kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho cha siku mbili huku taarifa ya Kamati ya
Na Pendo Mtibuche, Dodoma
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. Jakaya Kikwete, amefungua kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho cha siku mbili huku taarifa ya Kamati ya
CCM yaanza kujipanga kunyakua Ilemela, Nyamagana
Na Moses Matthew, Mwanza
KAMATI ya Habari na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilemela Mkoa wa Mwanza, imekamilisha kazi ya kupata maoni mbalimbali kutoka kwa
KAMATI ya Habari na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilemela Mkoa wa Mwanza, imekamilisha kazi ya kupata maoni mbalimbali kutoka kwa
Utetezi kesi ya samaki wa Maguli yafungwa
Na Rehema Mohamed na Zena Mohamed
UPANDE wa utetezi katika kesi ya uvuvi haramu ndani ya Bahari ya Hindi kwenye kina kirefu cha Ukanda wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania maarufu kesi ya ‘Samaki wa Magufuli'
UPANDE wa utetezi katika kesi ya uvuvi haramu ndani ya Bahari ya Hindi kwenye kina kirefu cha Ukanda wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania maarufu kesi ya ‘Samaki wa Magufuli'
Majambazi wateka mabasi matatu
Na Moses Mabula, Tabora
MAJAMBAZI sita wakiwa na bunduki pamoja na mapanga, wameteka mabasi matatu yaliyokuwa yakitokea Jijini Dar es Salaam kwenda Tabora na kupora mali pamoja na
MAJAMBAZI sita wakiwa na bunduki pamoja na mapanga, wameteka mabasi matatu yaliyokuwa yakitokea Jijini Dar es Salaam kwenda Tabora na kupora mali pamoja na
Hakuna atakayewabugudhi wamachinga Mbeya-Kandoro
Na Charles Mwakipesile Mbeya
MKUU Mkoa wa Mbeya Bw. Abbas Kandoro, amewatangazia neema wafanyabiashara mdogondogo wa mitaani maarufu kama wamachinga kuwa hawatabugudhiwa na mtu yeyote
MKUU Mkoa wa Mbeya Bw. Abbas Kandoro, amewatangazia neema wafanyabiashara mdogondogo wa mitaani maarufu kama wamachinga kuwa hawatabugudhiwa na mtu yeyote
Boban amchefua Julio
*SMG, Mgosi waitwa Kili Stars
Na Zahoro Mlanzi
PAMOJA na kupewa nafasi katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars), mshambuliaji Haruna Moshi 'Boban' amemchefua Kocha Msaidizi wa
Na Zahoro Mlanzi
PAMOJA na kupewa nafasi katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars), mshambuliaji Haruna Moshi 'Boban' amemchefua Kocha Msaidizi wa
Wagombea ujumbe CECAFA waanikwa
Na Zahoro Mlanzi
JUMLA ya wagombea wanane kutoka nchi mbalimbali za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati ambao ni wanachama wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu vya ukanda
JUMLA ya wagombea wanane kutoka nchi mbalimbali za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati ambao ni wanachama wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu vya ukanda
Simba yainyuka Oljoro JKT
Na Shaban Mbegu
TIMU ya vijana ya Simba, jana imetinga nusu fainali ya michuano ya vijana ya Uhai Cup kwa kishindo, baada ya kuwafunga JKT Oljoro 5-3 katika mchezo wa robo fainali uliofanyika
TIMU ya vijana ya Simba, jana imetinga nusu fainali ya michuano ya vijana ya Uhai Cup kwa kishindo, baada ya kuwafunga JKT Oljoro 5-3 katika mchezo wa robo fainali uliofanyika
Uchaguzi Mkuu FRAT sasa Aprili 24
Na Zahoro Mlanzi
KAMATI ya Uchaguzi ya Chama cha Waamuzi Tanzania (FRAT), imepanga kufanya Uchaguzi Mkuu Aprili 24, mwakani. Awali uchaguzi huo ulipangwa kufanyika mapema mwaka
KAMATI ya Uchaguzi ya Chama cha Waamuzi Tanzania (FRAT), imepanga kufanya Uchaguzi Mkuu Aprili 24, mwakani. Awali uchaguzi huo ulipangwa kufanyika mapema mwaka
21 November 2011
Mbunge aishukia CCM
*Asema muswada waliopitisha unawagawa Watanzania
*Ahoji uhalali wa NEC kusimamia kura za maoni
*Askofu aonya wanaopotosha kuhusu mchakato huo
Na Mwandishi Wetu
SIKU chache baada ya Bunge kupitisha Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba 2011, Mbunge wa Kigoma Kusini, Bw. David Kafulila (NCCR-Mageuzi), amesema
*Ahoji uhalali wa NEC kusimamia kura za maoni
*Askofu aonya wanaopotosha kuhusu mchakato huo
Na Mwandishi Wetu
SIKU chache baada ya Bunge kupitisha Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba 2011, Mbunge wa Kigoma Kusini, Bw. David Kafulila (NCCR-Mageuzi), amesema
Waumin wamkataa Askofu Anglikana
*Wamzuia kuingia kanisani kuongoza ibada
Na Jumbe Ismailly, Manyoni
SAKATA la waumini wa Kanisa la Anglikana Kilimatinde, Wilaya ya Manyoni, mkoani Singida, kumkataa Askofu wa Dayosisi ya Rift Valley, John Lupaa, limechukua sura mpya
Na Jumbe Ismailly, Manyoni
SAKATA la waumini wa Kanisa la Anglikana Kilimatinde, Wilaya ya Manyoni, mkoani Singida, kumkataa Askofu wa Dayosisi ya Rift Valley, John Lupaa, limechukua sura mpya
Vifo ajali ya basi Kagera vyaongezeka
Na Theonestina Juma, Bukoba
IDADI ya watu waliofariki katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria na garila mizigo kwa kugongana uso kwa uso imeongezeka kutoka 16 hadi 18. Habari zilizopatikana
IDADI ya watu waliofariki katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria na garila mizigo kwa kugongana uso kwa uso imeongezeka kutoka 16 hadi 18. Habari zilizopatikana
Kamati Kuu CCM kuwang'oa vigogo leo?
Na Mwandishi Wetu
WAKATI vikao vya juu vya maamuzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), vikianza leo mjini Dodoma, chini ya Mwenyekiti wake Rais Jakaya Kikwete, hofu kubwa imetanda kuwa
WAKATI vikao vya juu vya maamuzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), vikianza leo mjini Dodoma, chini ya Mwenyekiti wake Rais Jakaya Kikwete, hofu kubwa imetanda kuwa
Watimuliwa kufanya mitihani kwa kukosa ada
Na Salim Nyomolelo
ZAIDI ya wanafunzi 100 wa kidato cha kwanza na cha tatu katika Shule ya Sekondari Kwamkono wilayani Handeni mkoani Tanga wamezuiliwa kufanya mitihani yao ya mwisho wa mwaka kwa kushindwa kukamilisha michango mbalimbali ikiwemo ada.
ZAIDI ya wanafunzi 100 wa kidato cha kwanza na cha tatu katika Shule ya Sekondari Kwamkono wilayani Handeni mkoani Tanga wamezuiliwa kufanya mitihani yao ya mwisho wa mwaka kwa kushindwa kukamilisha michango mbalimbali ikiwemo ada.
Dkt. Kafumu awaonya watumishi wa Umma Igunga
Na Mwandishi Wetu, Igunga
MBUNGE wa Igunga Dkt. Peter Kafumu, (CCM), ametoa onyo kali kwa watumishi wa Halmashauli ya wilaya kuwajibika na kuwataka wenye tabia ya kula fedha zinazotolewa na serikali kwa ajili ya miradi ya maendeleo kuacha mara moja kabla ya kufikiwa.
MBUNGE wa Igunga Dkt. Peter Kafumu, (CCM), ametoa onyo kali kwa watumishi wa Halmashauli ya wilaya kuwajibika na kuwataka wenye tabia ya kula fedha zinazotolewa na serikali kwa ajili ya miradi ya maendeleo kuacha mara moja kabla ya kufikiwa.
Mkazi wa nyanduga alilalamikia baraza la ardhi wilaya ya Tarime
Na Timothy Itembe Tarime Mara
MKAZI wakijiji cha Nyanduga wilayani Rorya Mkoani Mara amelelemikia baraza la Ardhi na Nyumba la wilayani Tarime kuwa halikumtende haki katika shauri la kesi yake ya Ardhi No 117,2010 kuhusu kukaza rufaa
MKAZI wakijiji cha Nyanduga wilayani Rorya Mkoani Mara amelelemikia baraza la Ardhi na Nyumba la wilayani Tarime kuwa halikumtende haki katika shauri la kesi yake ya Ardhi No 117,2010 kuhusu kukaza rufaa
CCM yaanza kujipanga kunyakua Ilemela, Nyamagana
Na Moses Matthew, Mwanza
KAMATI ya Habari na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilemela Mkoa wa Mwanza, imekamilisha kazi ya kupata maoni mbalimbali kutoka kwa wananchi ngazi ya Kata kujua sababu zilizosababisha chama hicho kupoteza majimbo mawili ya Ilemela na Nyamagana katika uchaguzi Mkuu uliopita.
KAMATI ya Habari na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilemela Mkoa wa Mwanza, imekamilisha kazi ya kupata maoni mbalimbali kutoka kwa wananchi ngazi ya Kata kujua sababu zilizosababisha chama hicho kupoteza majimbo mawili ya Ilemela na Nyamagana katika uchaguzi Mkuu uliopita.
Wezi wa mifugo wadaiwa kuchoma nyumba ya Kamanda
Na Timothy Itembe Tarime Mara
MKAZI wa Kijiji cha Kwisarara wilayani Tarime, Mkoa wa Mara Bw. Machero Ghati, (33) amenusurika kufa baada ya mji wake kuteketezwa na mto na watu wanaoaminika kuwa ni wezi wa mifugo wanaokasirishwa na msimamo wake wa kupinga wizi huo.
MKAZI wa Kijiji cha Kwisarara wilayani Tarime, Mkoa wa Mara Bw. Machero Ghati, (33) amenusurika kufa baada ya mji wake kuteketezwa na mto na watu wanaoaminika kuwa ni wezi wa mifugo wanaokasirishwa na msimamo wake wa kupinga wizi huo.
Five Stars ziarani Kanda ya Kusini
Na Shufaa Lyimo
KUNDI la muziki wa taarabu la Five Stars, linatarajia kufanya ziara katika mikoa ya Kusini kuanzia Novemba 24 hadi 27, mwaka huu kwa lengo la kutoa burudani kwa mashabiki wao.
KUNDI la muziki wa taarabu la Five Stars, linatarajia kufanya ziara katika mikoa ya Kusini kuanzia Novemba 24 hadi 27, mwaka huu kwa lengo la kutoa burudani kwa mashabiki wao.
Castle yatia mkono Ligi Kuu Uingereza
Na Victor Mkumbo
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia yake ya Castle Lager, imedhamini kuonesha Ligi Kuu ya Uingereza (Barclays) kwenye vituo 48 vya televisheni barani Afrika.
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia yake ya Castle Lager, imedhamini kuonesha Ligi Kuu ya Uingereza (Barclays) kwenye vituo 48 vya televisheni barani Afrika.
Simba, JKT Oljoro hapatoshi robo fainali Uhai Cup
Na Zahoro Mlanzi
TIMU za JKT Oljoro na Simba, zitapambana leo asubuhi kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam katika robo fainali ya michuano ya Uhai Cup.
TIMU za JKT Oljoro na Simba, zitapambana leo asubuhi kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam katika robo fainali ya michuano ya Uhai Cup.
Wadau wataka Taifa Stars mpya
Na John Gagarini, Kibaha
WADAU wa soka nchini wameliomba Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kuitumia michuano ya Chalenji kuchagua wachezaji wengine watakaounda kikosi cha timu ya taifa (Taifa Stars) ya baadaye.
WADAU wa soka nchini wameliomba Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kuitumia michuano ya Chalenji kuchagua wachezaji wengine watakaounda kikosi cha timu ya taifa (Taifa Stars) ya baadaye.
18 November 2011
JK kuteta na wabunge wanachama wa TAPAC leo Dom
Na Godfrey Ismaely, Dodoma
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete, anatarajia kuwa
ngeni rasmi katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 10 ya Umoja wa
Wabunge wa Tanzania wa Kupambana na Ukimwi (TAPAC) utakaofanyika katika
ukumbi wa zamani wa bunge maarufu kama ukumbi wa Pius Msekwa leo.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete, anatarajia kuwa
ngeni rasmi katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 10 ya Umoja wa
Wabunge wa Tanzania wa Kupambana na Ukimwi (TAPAC) utakaofanyika katika
ukumbi wa zamani wa bunge maarufu kama ukumbi wa Pius Msekwa leo.
Wafanyakazi mgodi wa Buzwagi walalamikia Polisi
Na Suleiman Abeid, Shinyanga
SAKATA la wafanyakazi wa mgodi wa dhahabu wa Buzwagi wilayani Kahama Mkoani
Shinyanga kufungua jalada la kutukanwa na mmoja wa waajiri wa mgodi huo
polisi limechukua sura mpya baada walihusika kufungua jalada hilo kuanza kufukuzwa kazi.
SAKATA la wafanyakazi wa mgodi wa dhahabu wa Buzwagi wilayani Kahama Mkoani
Shinyanga kufungua jalada la kutukanwa na mmoja wa waajiri wa mgodi huo
polisi limechukua sura mpya baada walihusika kufungua jalada hilo kuanza kufukuzwa kazi.
Jaji Kiongozi ataja mafanikio sekta ya sheria
Na Salim Nyomolelo
WANANCHI wameombwa kujitokeza kwa wingi kupata huduma mbalimbali za kisheria na maelezo ya kina kuhusu maendeleo ya sekta hiyo katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam bila malipo.
WANANCHI wameombwa kujitokeza kwa wingi kupata huduma mbalimbali za kisheria na maelezo ya kina kuhusu maendeleo ya sekta hiyo katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam bila malipo.
Acheni kulinda makosa magari yanayomilikiwa na Polisi-DC
Na Esther Macha, Mbeya
MKUU wa Wilaya ya Mbeya Bw. Evance Balama, amemuagiza Kamanda wa Polisi na Mkuu wa usalama barabarani mkoani humo kuwathibiti na kuwachukulia hatua kali askari wanaodaiwa kuyalinda magari ya abiria yanayolalamikiwa na wananchi pindi yanapofanya makosa kwa maslahi yao binafisi.
MKUU wa Wilaya ya Mbeya Bw. Evance Balama, amemuagiza Kamanda wa Polisi na Mkuu wa usalama barabarani mkoani humo kuwathibiti na kuwachukulia hatua kali askari wanaodaiwa kuyalinda magari ya abiria yanayolalamikiwa na wananchi pindi yanapofanya makosa kwa maslahi yao binafisi.
Tumepiga hatua kubwa sekta ya afya- Wizara
Na Riziki lupatu
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imejitamba kuwa licha ya kuwepo kwa onhezeko kubwa la watu imepata mafanikio makubwa katika uboreshaji wa sekta ya afya nchini katika kipindicha miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara.
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imejitamba kuwa licha ya kuwepo kwa onhezeko kubwa la watu imepata mafanikio makubwa katika uboreshaji wa sekta ya afya nchini katika kipindicha miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara.
Yanga yapata ushindi wa kwanza
Na Shaban Mbegu
BAADA ya kuanza vibaya katika mashindano ya vijana ya Uhai Cup, timu vijana ya Yanga jana ilizinduka na kupata ushindi wa kwanza wa mabao 2-0 dhidi ya Polisi Dodoma.
BAADA ya kuanza vibaya katika mashindano ya vijana ya Uhai Cup, timu vijana ya Yanga jana ilizinduka na kupata ushindi wa kwanza wa mabao 2-0 dhidi ya Polisi Dodoma.
Mabondia waachwa kwenye mataa
Na Amina Athumani
WASHIRIKI 30 wa kozi ya ukocha wa ngumi, ambayo ilipangwa kuanza jana mjini Kibaha wamejikuta wakiachwa kwenye mataa na kozi hiyo kuota mbawa, baada ya mkufunzi kutoka Aljeria kushindwa kutokea.
WASHIRIKI 30 wa kozi ya ukocha wa ngumi, ambayo ilipangwa kuanza jana mjini Kibaha wamejikuta wakiachwa kwenye mataa na kozi hiyo kuota mbawa, baada ya mkufunzi kutoka Aljeria kushindwa kutokea.
Papic aridhia Chuji kurudi Yanga
Na Mwandishi Wetu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Kostadin Papic ameridhia kumrudisha kundini aliyekuwa kiungo wa timu hiyo, Athuman Idd 'Chuji' kwa ajili ya mashindano mbalimbali.
KOCHA Mkuu wa Yanga, Kostadin Papic ameridhia kumrudisha kundini aliyekuwa kiungo wa timu hiyo, Athuman Idd 'Chuji' kwa ajili ya mashindano mbalimbali.
Boban, Mwaikimba waitwa Kili Stars
Na Zahoro Mlanzi
HATIMAYE yametimia! Ndivyo unavyoweza kusema kwa wachezaji Haruna Moshi 'Boban' na Gaudance Mwaikimba, baada ya kuitwa katika kikosi cha wachezaji 28 cha timu ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars), kitakachoshiriki michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Novemba 25, Dar es Salaam.
HATIMAYE yametimia! Ndivyo unavyoweza kusema kwa wachezaji Haruna Moshi 'Boban' na Gaudance Mwaikimba, baada ya kuitwa katika kikosi cha wachezaji 28 cha timu ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars), kitakachoshiriki michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Novemba 25, Dar es Salaam.
17 November 2011
Al-shababab waitesa nchi
*Serikali yahadharisha wananchi
*Kenya wakamata Watanzania 10
*Nahodha akerwa kauli za fujo
Na Reuben Kagaruki
SERIKALI imesema Tanzania inakabiliwa na tishio kubwa la kushambuliwa na kikundi cha kigaidi cha Al-Shabaab hivyo kuwataka wananchi kuchukua tahadhari pindi wanapoona watu wanaowatilia mashaka.
*Kenya wakamata Watanzania 10
*Nahodha akerwa kauli za fujo
Na Reuben Kagaruki
SERIKALI imesema Tanzania inakabiliwa na tishio kubwa la kushambuliwa na kikundi cha kigaidi cha Al-Shabaab hivyo kuwataka wananchi kuchukua tahadhari pindi wanapoona watu wanaowatilia mashaka.
Tuko tayari kufa kutetea Watanzania-BAVICHA
Kamati Kuu CHADEMA yaota mbawa, sasa J.pili
Na Rehema Maigala
BARAZA la Vijana wa Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (BAVICHA) limesema lipo tayari kufa kwa kile wanachodai kwua ni kutetea haki ya mtanzania.
Na Rehema Maigala
BARAZA la Vijana wa Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (BAVICHA) limesema lipo tayari kufa kwa kile wanachodai kwua ni kutetea haki ya mtanzania.
Waziri Kombani awaomba wananchi kupata huduma za sheria kuanzia leo
Na Godfrey Ismaely Dodoma
WAZIRI wa Katiba na Sheria Bi. Celina Kombani, amewahimiza wananchi
kushiriki katika maadhimisho ya miaka 50 ya wizara hiyo yatakayoanza leo ili waweze kuwasilisha maoni yao na kero zinazowakabili kwa upande wa
sheria sambamba na huduma za usajili wa vizazi.
WAZIRI wa Katiba na Sheria Bi. Celina Kombani, amewahimiza wananchi
kushiriki katika maadhimisho ya miaka 50 ya wizara hiyo yatakayoanza leo ili waweze kuwasilisha maoni yao na kero zinazowakabili kwa upande wa
sheria sambamba na huduma za usajili wa vizazi.
Wananchi walia na uzembe wa serikali mgomo wa daladala Dar
Na Benjamin Masese
MGOMO wa mabasi madogo ya abiria maarufu kama daladala yaendayo Kigogo Mburahati Kinondoni Dar es Salaam kushinikiza barabara hiyo kutengenezwa umeingia siku ya pili huku maelfu ya wananchi wa eneo hilo wakilaani vikali serikali kushindwa kuchukua hatua kurekebisha miundo mbinu hiyo.
MGOMO wa mabasi madogo ya abiria maarufu kama daladala yaendayo Kigogo Mburahati Kinondoni Dar es Salaam kushinikiza barabara hiyo kutengenezwa umeingia siku ya pili huku maelfu ya wananchi wa eneo hilo wakilaani vikali serikali kushindwa kuchukua hatua kurekebisha miundo mbinu hiyo.
Wana habari watatu wakadhidhiwa hundi za uchunguzi
Na Grace Ndossa
TAASISI ya utafiti ya utetezi wa haki za Aridhi imekabidhi hundi za sh. milioni tatu kwa waandishi wa habari watatu kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa kina wa hali ya uwekezaji kwenye nishati mimea kwa lengo la kuibua masuala yaliyofichika na yanayoendelea kuathiri jamii.
TAASISI ya utafiti ya utetezi wa haki za Aridhi imekabidhi hundi za sh. milioni tatu kwa waandishi wa habari watatu kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa kina wa hali ya uwekezaji kwenye nishati mimea kwa lengo la kuibua masuala yaliyofichika na yanayoendelea kuathiri jamii.
Mkufunzi wa Algeria aikera BFT Na Amina Athumani
Na Amina Athumani
MKUFUNZI aliyeteuliwa kuendesha kozi ya ngumi nchini na Shirikisho la Ngumi la Ridhaa la Kimataifa (AIBA), Azzedin Aggoune kutoka Algeria amewakera viongozi wa Shirikisho la Ngumi za Ridha Tanzania (BFT), kutokana na kushindwa kufika kwa wakati.
MKUFUNZI aliyeteuliwa kuendesha kozi ya ngumi nchini na Shirikisho la Ngumi la Ridhaa la Kimataifa (AIBA), Azzedin Aggoune kutoka Algeria amewakera viongozi wa Shirikisho la Ngumi za Ridha Tanzania (BFT), kutokana na kushindwa kufika kwa wakati.
Kaseja ampa tano nahodha Chad
Na Shufaa Lyimo
MLINDA mlango namba moja wa Simba na Taifa Stars, Juma Kaseja ameusifu uchezaji wa nahodha wa timu ya Chad, Mahamat Habib kutokana na jinsi anavyojua kupeleka mashambulizi langoni mwa wapinzani.
MLINDA mlango namba moja wa Simba na Taifa Stars, Juma Kaseja ameusifu uchezaji wa nahodha wa timu ya Chad, Mahamat Habib kutokana na jinsi anavyojua kupeleka mashambulizi langoni mwa wapinzani.
Timu ya taifa ya pool yaenda Malawi
Na Victor Mkumbo
KIKOSI cha timu ya taifa ya pool, kimeondoka jana kwenda nchini Malawi kushiriki katika mashindano ya All African Cup, yanayotarajiwa kuanza Novemba 22 hadi Novemba 26 mwaka huu.
KIKOSI cha timu ya taifa ya pool, kimeondoka jana kwenda nchini Malawi kushiriki katika mashindano ya All African Cup, yanayotarajiwa kuanza Novemba 22 hadi Novemba 26 mwaka huu.
Namba ya simu yatajwa kesi ya Mintanga
Rehema Mohamed
SHAHIDI wa tatu katika kesi kusafirisha dawa za kulevya Godfrey John, inayomkabili Rais wa zamani wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Shaabani Mintanga ametaja namba ya simu ya mtu aliyekata tiketi za ndege za mabondia waliokwenda nchini Mauritius.
SHAHIDI wa tatu katika kesi kusafirisha dawa za kulevya Godfrey John, inayomkabili Rais wa zamani wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Shaabani Mintanga ametaja namba ya simu ya mtu aliyekata tiketi za ndege za mabondia waliokwenda nchini Mauritius.
Kili Stars kufungua naRwanda chalenji
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya Taifa (Taifa Stars), imepangwa katika kundi linaloonekana kuwa gumu kuliko mengine kwa kukutanishwa na Ethiopia, Rwanda na Djbouti katika hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Chalenji, linalotarajiwa kuanza kutimua vumbi Novemba 25, mwaka huu, Dar es Salaam.
TIMU ya Taifa (Taifa Stars), imepangwa katika kundi linaloonekana kuwa gumu kuliko mengine kwa kukutanishwa na Ethiopia, Rwanda na Djbouti katika hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Chalenji, linalotarajiwa kuanza kutimua vumbi Novemba 25, mwaka huu, Dar es Salaam.
Tenga akiri Stars kucheza 'fyongo'
Na Mwandishi Wetu
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga amekiri timu ya taifa (Taifa Stars), kucheza chini ya kiwango katika mchezo dhidi ya Chad, licha ya kufuzu kucheza hatua ya awali ya makundi ya kuwania kucheza Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil.
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga amekiri timu ya taifa (Taifa Stars), kucheza chini ya kiwango katika mchezo dhidi ya Chad, licha ya kufuzu kucheza hatua ya awali ya makundi ya kuwania kucheza Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil.
16 November 2011
Chadema wateka Bunge
*Wabunge walia na Lissu, wahoji usomi wake
*Waionya serikali kutochukua hatua mapema
*Mnyika: Kikao cha Kamati Kuu kukutana kesho
Na Godfrey Ismaely, Dodoma
SIKU moja baada ya wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na NCCR-Mageuzi, kususia mjadala wa
*Waionya serikali kutochukua hatua mapema
*Mnyika: Kikao cha Kamati Kuu kukutana kesho
Na Godfrey Ismaely, Dodoma
SIKU moja baada ya wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na NCCR-Mageuzi, kususia mjadala wa
Polisi Moro kashfa nzito
*Wadaiwa kuwalinda wauza mihadarati
Na Lilian Justice, Morogoro
SIKU chache baada ya Kikosi Maalumu cha Kupambana na Ujambazi mkoani Morogoro 'Anti-Robery', kutuhumiwa kujihusisha
Na Lilian Justice, Morogoro
SIKU chache baada ya Kikosi Maalumu cha Kupambana na Ujambazi mkoani Morogoro 'Anti-Robery', kutuhumiwa kujihusisha
Amuua mdogo wake kwa ahadi ya pikipiki
Na Esther Macha, Mbeya
MKAZI wa Kijiji cha Mpanda, Kata ya Nyimbili, Wilaya ya Mbozi, mkoani Mbeya, Bw. Iman Kalinga (22), anadaiwa kumuua mdogo wake
MKAZI wa Kijiji cha Mpanda, Kata ya Nyimbili, Wilaya ya Mbozi, mkoani Mbeya, Bw. Iman Kalinga (22), anadaiwa kumuua mdogo wake
Malindi yazidi kutupwa chini
Na Mwajuma Juma, Zanzibar
CHAMA cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA), jana imetangaza kuishusha daraja la pili timu ya malindi kutokana na kupeleka masuala la
CHAMA cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA), jana imetangaza kuishusha daraja la pili timu ya malindi kutokana na kupeleka masuala la
Kesi ya Prof. Mahalu kusikilizwa tena leo
Na Rehema Mohamed
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imeshindwa kuendelea kusikiliza kesi ya kuhujumu uchumi na kuipatia serikali hasara ya
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imeshindwa kuendelea kusikiliza kesi ya kuhujumu uchumi na kuipatia serikali hasara ya
Wasamaria jitokezeni kumsaidia Abdallay
15 November 2011
Lema akubali dhamana
Imeandaliwa na Pamela Malel,Quine Lema na Richard Konga
Asema wataandamana bila kibali cha polisi
HATIMAYE Mbunge wa Arusha mjini Bw. Godbless Lema, (CHADEMA) ameaga mahabusu baada ya kukaa kwa takriban siku 14 baada ya kukubali kuwekewa dhanama katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa mkoani huo jana.
Asema wataandamana bila kibali cha polisi
HATIMAYE Mbunge wa Arusha mjini Bw. Godbless Lema, (CHADEMA) ameaga mahabusu baada ya kukaa kwa takriban siku 14 baada ya kukubali kuwekewa dhanama katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa mkoani huo jana.
Bungeni kwachafuka
CHADEMA wasusia muswada, watoka nje, Mbowe kutangaza msimamo wao leo, Makinda awajibu wanaharakati.
Wanafunzi waliokamatwa UDSM wafikishwa kortini
Rehema Maigala na Rehema Mohamed
WANAFUNZI 50 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) waliokatwa Ijumaa wiki iliyopita wakidaiwa kujihusisha na fujo mefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu chini ya ulinzi mkali kujibu mashitaka mawili yanayowakabili.
WANAFUNZI 50 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) waliokatwa Ijumaa wiki iliyopita wakidaiwa kujihusisha na fujo mefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu chini ya ulinzi mkali kujibu mashitaka mawili yanayowakabili.
Tutabomoa nyumba zote maeneo yaliyovamiwa-CDA
Na Pendo Mtibuche, Dodoma
MAMLAKA ya Ustawishaji Makao Makuu Makao Makuu Dodoma (CDA) imesisitiza kuwa maeneo yote yameliyovamiwa na watu kinyume cha sheria hata kama ni kwa kushawishiwa na baadhi ya watu kuwadanganya kuwasaidia ni lazima yabomolewe.
MAMLAKA ya Ustawishaji Makao Makuu Makao Makuu Dodoma (CDA) imesisitiza kuwa maeneo yote yameliyovamiwa na watu kinyume cha sheria hata kama ni kwa kushawishiwa na baadhi ya watu kuwadanganya kuwasaidia ni lazima yabomolewe.
Stars kazi moja leo
Na Zahoro Mlanzi
WAKATI timu ya taifa (Taifa Stars), ikishuka uwanjani leo kuumana na Chad katika mchezo wa kuwania kutinga hatua ya awali ya makundi ya kufuzu Kombe la Dunia, kocha wa timu hiyo, Jan Poulsen amesema lolote linaweza kutokea katika mchezo huo.
WAKATI timu ya taifa (Taifa Stars), ikishuka uwanjani leo kuumana na Chad katika mchezo wa kuwania kutinga hatua ya awali ya makundi ya kufuzu Kombe la Dunia, kocha wa timu hiyo, Jan Poulsen amesema lolote linaweza kutokea katika mchezo huo.
Esperance washangilia ubingwa wa Afrika TUNIS
Tunisia
MFUNGAJI wa bao la ushindi, Harrison Afful ameimwagia sifa timu yake ya Esperance kwa kutwaa ubingwa wa Afrika, akisema kuwa, ndoto zake zimetimia.
MFUNGAJI wa bao la ushindi, Harrison Afful ameimwagia sifa timu yake ya Esperance kwa kutwaa ubingwa wa Afrika, akisema kuwa, ndoto zake zimetimia.
14 November 2011
Moto wa Katiba Mpya kuwaka bungeni leo
Na Salim Nyomolelo
*Wanaharakati: Kutachimbika kama utapitishwa
*Watishia kuhitisha maandamano nchi nzima
*Walemavu wauponda, wasema si rafiki
*Wabunge nao wajipanga kuonesha uzalendo
WAKATI Bunge la Tanzania linatarajia kupokea, kujadili na kupitisha muswada wa sheria ya jinsi ya kukusanya maoni ya Katiba Mpya, wanaharakati wanaojipambanua kama Jukwa la Katiba Jijini Dar es Salaam wamekuja juu na kutangaza kufanya maandamano ya nchi nzima iwapo itasomwa kwa mara ya pili kama ilivyopangwa na serikali.
*Wanaharakati: Kutachimbika kama utapitishwa
*Watishia kuhitisha maandamano nchi nzima
*Walemavu wauponda, wasema si rafiki
*Wabunge nao wajipanga kuonesha uzalendo
WAKATI Bunge la Tanzania linatarajia kupokea, kujadili na kupitisha muswada wa sheria ya jinsi ya kukusanya maoni ya Katiba Mpya, wanaharakati wanaojipambanua kama Jukwa la Katiba Jijini Dar es Salaam wamekuja juu na kutangaza kufanya maandamano ya nchi nzima iwapo itasomwa kwa mara ya pili kama ilivyopangwa na serikali.
Kamati ya Majadiliano imechangia kuharakisha maendeleo - Kombani
na Godfrey Ismaely, Dodoma
SERIKALI imesema jitihada za kuishirikisha Kamati ya Majadiliano kabla ya kuweka saini mikataba mbalimbali ikiwemo ile inayohusu huduma za kijamii, zimechangia kuharakisha maendeleo.
SERIKALI imesema jitihada za kuishirikisha Kamati ya Majadiliano kabla ya kuweka saini mikataba mbalimbali ikiwemo ile inayohusu huduma za kijamii, zimechangia kuharakisha maendeleo.
MAONI YA KAFULILA KUHUSU MAMLAKA YA RAIS MCHAKATO WA KATIBA MPYA.
Jana wakati nachangia kwenye mjadala wa wabunge wote kuhusu namna ya kuenenda katika mjadala wa katiba nilijaribu kuweka msimamo wangu wa ujumla kuhusu misingi ya kufanya mjadala huu ufike salama na kufikia matokeo tunayotaka kama Taifa.
Taasisi za fedha zashauriwa kusaidia elimu
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TAASISI za fedha nchini zimeshauriwa kusaidia sekta ya elimu nchini kama njia ya kufikia maendeleo ya kweli.
Ushauri huo ulitolewa na Askofu Msaidizi wa Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam alipokua akipokea hundi kwa ajili ya upanuzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT) mkoani Kagera.
TAASISI za fedha nchini zimeshauriwa kusaidia sekta ya elimu nchini kama njia ya kufikia maendeleo ya kweli.
Ushauri huo ulitolewa na Askofu Msaidizi wa Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam alipokua akipokea hundi kwa ajili ya upanuzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT) mkoani Kagera.
Mchakato wa katiba mpya
Na Rachel Balama
MCHAKATO wa uundaji wa katika mpya ni kiini macho kilichowekwa na serikali kwa nia ya kuwahadaa wananchi wakati serikali haina nia ya kufanya hivyo.
Kadharika serikali imetakiwa kuweka wazi kama kweli ina lengo la kuundwa kwa katiba mpya au kuifanyia marekebisho katiba ya sasa.
MCHAKATO wa uundaji wa katika mpya ni kiini macho kilichowekwa na serikali kwa nia ya kuwahadaa wananchi wakati serikali haina nia ya kufanya hivyo.
Kadharika serikali imetakiwa kuweka wazi kama kweli ina lengo la kuundwa kwa katiba mpya au kuifanyia marekebisho katiba ya sasa.
Nape atamba kuyavua magamba yaliyokwama
Na Rachel Balama
KATIBU wa Uenezi na Itikadi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Bw. Nape Nnauye, amesema kuwa viongozi wote wanaojitapa kwamba magamba yao yapo kiunoni na hayawezi kuondolewa wanajidanganya, yataondolewa kwa shoka kwenye kikao kijacho cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.
KATIBU wa Uenezi na Itikadi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Bw. Nape Nnauye, amesema kuwa viongozi wote wanaojitapa kwamba magamba yao yapo kiunoni na hayawezi kuondolewa wanajidanganya, yataondolewa kwa shoka kwenye kikao kijacho cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.
Ni vita mbeya
| JWTZ, Polisi, wapambana na Machinga *Wafunga mitaa, wachoma moto magari *Chanzo Kandoro na sera ya safisha jiji |
Na Esther Macha, Mbeya
JESHI la Polisi mkoani Mbeya jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafanyabishara ndogo ndogo maarufu kama (Machinga) kutokana na kukaidi amri iliyotolewa na uongozi wa Jiji wa kuwataka kuondoka katika maeneo wasiyoruhusiwa kufanya biashara.
Subscribe to:
Posts (Atom)
















