16 November 2011

Wanafunzi hawa ambao hawakufahamika madarasa na shule wanazosoma, walikutwa na kamera yetu wakigombea kunywa maji kwenye moja ya mabomba yaliyopo viwanja vya maonesho ya nane nane vilivyoko Msamala, Manispaa ya Songea jana.

No comments:

Post a Comment