16 November 2011

Muuzaji wa ndizi mbivu Bi. Georgista Mniuka, akiandaa ndizi zake kwa ajili ya kuuza kijiji cha Litola, wilayani Namtumbo jana. Biashara hiyo inakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo ukosefu wa mitaji na maeneo rasmi ya biashara.

No comments:

Post a Comment