16 November 2011

Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, wakisaidia kuliinua gari namba T 354 AGD Mitsubish Canter, lililogongwa na Daladala (halipo pichani) na kuanguka katikati ya Barabara ya Nyerere jana. Dereva wa gari hilo alijaeuhiwa vibaya.

No comments:

Post a Comment