17 November 2011

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Dioniz Malinzi (kushoto) akikabidhi bendera ya taifa kwa timu ya taifa ya pool, ambayo imeondoka jana kwenda nchini Malawi kushiriki katika mashindano ya All Africa Cup, yanayotarajiwa kuanza Novemba 22 mwaka huu. (Picha na Victor Mkumbo)

No comments:

Post a Comment