- WALIKUWA NA BUNDUKI TATU, MAPANGA 18 NA VISU
- WAKUTWA MSITUNI, WAPO WATUMISHI WA SERIKALI
Na Yusuph
Mussa, Handeni
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Luteni mstaafu Chiku
Gallawa, amesema watu waliomuua askari mgambo Salum Mgonje na kumpiga risasi
Mkuu wa Kituo cha Polisi Songe, wilayani Kilindi Edward Lusekolo ni kikundi
kilichokuwa kinaishi msituni.









