*Ahusisha ugonjwa wa Mwakyembe na kulishwa sumu
*Asema kuengulia kwake uspika mkakati wa mafisadi
*Alazimika kubadili namba za simu kukwepa vitisho
Na Tumaini Makene
KATIKA hali ambayo itaibua na kuendeleza mijadala ya kisiasa nchini, Waziri wa
26 October 2011
...........................................
Gaddafi azikwa usiku jangwani
*Mazishi yafanywa siri kama Osama Bin Laden
TRIPOLI, Libya
MWILI wa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi, mwanawe Muatassim na Mkuu wake wa Majeshi, Abu Bakr Younis Jabr imezikwa
TRIPOLI, Libya
MWILI wa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi, mwanawe Muatassim na Mkuu wake wa Majeshi, Abu Bakr Younis Jabr imezikwa
...........................................
Basi lateketea, laua abiria nane
Na Mwandishi Wetu
WATU nane wanahofiwa kufa papo hapo baada ya basi la Kampuni ya Deluxe Coach linalofanya safari kati ya Dar es Salaam na
WATU nane wanahofiwa kufa papo hapo baada ya basi la Kampuni ya Deluxe Coach linalofanya safari kati ya Dar es Salaam na
Kamati yaibana Wizara ya Viwanda
Na Peter Mwenda
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeitaka Wizara ya Viwanda na Biashara ieleze kwanini imedharau azimio la Bunge la
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeitaka Wizara ya Viwanda na Biashara ieleze kwanini imedharau azimio la Bunge la
...........................................
Wabunge waibana serikali utafiti wa madini ya urani
Na Eckland Mwaffisi
WAKATI Serikali ikiwataka Watanzania kuunga mkono uchimbaji madini ya urani katika Hifadhi ya Taifa ya Selous, mkoani Ruvuma, baadhi ya
WAKATI Serikali ikiwataka Watanzania kuunga mkono uchimbaji madini ya urani katika Hifadhi ya Taifa ya Selous, mkoani Ruvuma, baadhi ya
Basena tumbo joto Simba
*Wachezaji kupewa 'fuba'
Na Zahoro Mlanzi
SIKU chache baada ya Kocha Mkuu wa Yanga, Sam Timbe kusitishiwa mkataba wake na klabu hiyo, kocha mwenzake wa
Na Zahoro Mlanzi
SIKU chache baada ya Kocha Mkuu wa Yanga, Sam Timbe kusitishiwa mkataba wake na klabu hiyo, kocha mwenzake wa
Kibadeni aenda kuhiji Makkah
Na Mwandishi Wetu
MENEJA wa timu ya Simba, Abdallah Kibadeni 'King Mputa,' ameondoka nchini leo kwenda kuhiji Makkah, Saudi Arabia na amewaahidi
MENEJA wa timu ya Simba, Abdallah Kibadeni 'King Mputa,' ameondoka nchini leo kwenda kuhiji Makkah, Saudi Arabia na amewaahidi
Timu ya taifa ya pool yatangazwa
Na Mwali Ibrahim
KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya mchezo wa pool, Denis Lungu ametangaza vikosi viwili vya timu hiyo vitakavyoingia kambini
KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya mchezo wa pool, Denis Lungu ametangaza vikosi viwili vya timu hiyo vitakavyoingia kambini
25 October 2011
Waziri kujieleza Kamati ya Bunge
*Ni kwa kushindwa kuteua Bodi Utalii
*Wajumbe bodi ya zamani watimuliwa
*Hesabu Benki ya Posta zakataliwa
*Mrema kumwona JK wizi halmashauri
Na Waandishi Wetu
KAMATI za Bunge zimeanza kukunjua makucha baada ya Kamati ya Hesabu za
*Wajumbe bodi ya zamani watimuliwa
*Hesabu Benki ya Posta zakataliwa
*Mrema kumwona JK wizi halmashauri
Na Waandishi Wetu
KAMATI za Bunge zimeanza kukunjua makucha baada ya Kamati ya Hesabu za
Mbunge ashtakiwa kwa kuvamia kituo cha polisi
Na Moses Mabula, Nzega
MBUNGE wa Nzega, Dkt. Hamisi Kigwangala (CCM) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Wilaya ya Nzega akikabiliwa
MBUNGE wa Nzega, Dkt. Hamisi Kigwangala (CCM) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Wilaya ya Nzega akikabiliwa
...........................................
Aggreko yaingiza megawati 100 gridi ya taifa
Na Tumaini Makene
WAKATI Kampuni ya Aggreko ikizindua uzalishaji wa megawati 100 za umeme kwenye gridi ya taifa kwa mkataba wa
WAKATI Kampuni ya Aggreko ikizindua uzalishaji wa megawati 100 za umeme kwenye gridi ya taifa kwa mkataba wa
Tume kuchunguza mauaji ya Gaddafi
*Wafuasi wake 53 pia waliuawa
TRIPOLI, Libya
WAKATI Baraza la Mpito la Libya limekubali mwili wa aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo, Kanali Muammar Gaddafi
TRIPOLI, Libya
WAKATI Baraza la Mpito la Libya limekubali mwili wa aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo, Kanali Muammar Gaddafi
...........................................
...........................................
Polisi 8 mbaroni wizi wa stika makao makuu ya Trafic
Na Stella Aron
JESHI la Polisi limewatia nguvuni askari wake wanane kwa kuhusika na wizi wa stika za wiki ya nenda kwa usalama zilizoibiwa hivi
JESHI la Polisi limewatia nguvuni askari wake wanane kwa kuhusika na wizi wa stika za wiki ya nenda kwa usalama zilizoibiwa hivi
...........................................
Simba wageukia saikolojia
*Wadai Yanga sawa na Oljoro JKT
Na Amina Athumani
UONGOZI wa klabu ya Simba umesema utawajenga wachezaji wake kabla ya kukutana na watani wao wa jadi, Yanga, katika
Na Amina Athumani
UONGOZI wa klabu ya Simba umesema utawajenga wachezaji wake kabla ya kukutana na watani wao wa jadi, Yanga, katika
Nchimbi kufungua tamasha Utamaduni
Na Mwali Ibrahim
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Emmanuel Nchimbi, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Emmanuel Nchimbi, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la
Maryline: Kongamano soka la wanawake litajenga mfumo bora
Na Amina Athumani
MENEJA wa Maendeleo wa Mpira wa Miguu kwa Wanawake wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Maryline Tana, amesema
MENEJA wa Maendeleo wa Mpira wa Miguu kwa Wanawake wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Maryline Tana, amesema
24 October 2011
...........................................
Hoja binafsi ya sheria ya albino kuwasilishwa
Na Faida Muyomba, Geita
MBUNGE Jimbo la Lindi, Bw. Salum Barwani (CUF), ameahidi kupeleka hoja binafsi bungeni wakati wa kikao kijacho, akitaka
MBUNGE Jimbo la Lindi, Bw. Salum Barwani (CUF), ameahidi kupeleka hoja binafsi bungeni wakati wa kikao kijacho, akitaka
Tutashirikiana na walemavu-Dkt Bilal
Na Damiano Mkumbo, Singida
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohamed Gharib Bilal, amesema serikali itashirikiana na chama cha
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohamed Gharib Bilal, amesema serikali itashirikiana na chama cha
Walimu wakuu sekondari 'wamkaba' koo Mkurugenzi
Na Eliasa Ally, Iringa
WAKUU wa Shule za Sekondari 27 katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Vijijini,, wamelelemikia Mkurugenzi wa
WAKUU wa Shule za Sekondari 27 katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Vijijini,, wamelelemikia Mkurugenzi wa
...........................................
Yanga yaiua Oljoro Chamazi
*Yashika nafasi ya pili
Na Specirose Joseph
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara, jana walishika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi hiyo, baada ya kuifunga JKT Oljoro bao 1-0 katika
Na Specirose Joseph
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara, jana walishika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi hiyo, baada ya kuifunga JKT Oljoro bao 1-0 katika
Man City yaikomoa Man United
*Yaichapa mabao 6-1
LONDON, Uingereza
MANCHESTER City, jana ilivunja mwiko wa mahasimu wao United wa kutofungwa katika Ligi Kuu England
LONDON, Uingereza
MANCHESTER City, jana ilivunja mwiko wa mahasimu wao United wa kutofungwa katika Ligi Kuu England
...........................................
Arusha watamba mbio za baiskeli
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
RICHARD Laizer wa Mkoa wa Arusha ameibuka bingwa wa mbio za wazi za baiskeli za Vodacom Mwanza Cycle Challenge, ambazo
RICHARD Laizer wa Mkoa wa Arusha ameibuka bingwa wa mbio za wazi za baiskeli za Vodacom Mwanza Cycle Challenge, ambazo
21 October 2011
GADDAFI ALIVYOUAWA
...........................................
CUF yamjia juu Edward Lowassa
Na Grace Ndossa
CHAMA Cha Wananchi (CUF) kimesema hakuna sababu ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Bw. Edward Lowassa, kukaripia vyombo vya
CHAMA Cha Wananchi (CUF) kimesema hakuna sababu ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Bw. Edward Lowassa, kukaripia vyombo vya
...........................................
Vifaa vipya vya kupima CD4 vijijini vyatinga nchini
Na Nickson Mahundi
VIFAA vipya vya kupima chembechembe hai nyeupe zinazokinga mwili dhidi ya magonjwa (CD4) vimeingizwa rasmi nchini tayari
VIFAA vipya vya kupima chembechembe hai nyeupe zinazokinga mwili dhidi ya magonjwa (CD4) vimeingizwa rasmi nchini tayari
...........................................
Yanga hakuna kulala
*Yaichapa Toto 4-2 *Asamoah aibuka shujaa
Na Zahoro Mlanzi
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara, Yanga imeendeleza wimbi lake la ushindi kwa kuichapa Toto African ya
Na Zahoro Mlanzi
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara, Yanga imeendeleza wimbi lake la ushindi kwa kuichapa Toto African ya
Mrwanda aishangaa TFF 'kumtolea macho'
Na Zahoro Mlanzi
SIKU chache baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kuiachia Kamati ya Ufundi ya shirikisho hilo suala la
SIKU chache baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kuiachia Kamati ya Ufundi ya shirikisho hilo suala la
Simba, Shooting zaingiza mil. 14.7/-
Na Frank Balile
TIMU za soka za Simba na Ruvu Shooting, zimeingiza sh. milioni 14.755,000, katika mechi yao ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa kwenye
TIMU za soka za Simba na Ruvu Shooting, zimeingiza sh. milioni 14.755,000, katika mechi yao ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa kwenye
Makocha 30 kunolewa Novemba
Na Zahoro Mlanzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeteua makocha 30 kutoka Tanzania Bara na Zanzibar kwa ajili ya kozi ya kupata
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeteua makocha 30 kutoka Tanzania Bara na Zanzibar kwa ajili ya kozi ya kupata
20 October 2011
Lowassa ang'aka
*Akana kumhujumu rais, kuchochea UV-CCM
*Akwepa kuongelea Dowans, kujivua gamba
*Asisitiza hajakutana na JK barabarani
Na Waandishi Wetu, Arusha
ALIYEKUWA Waziri Mkuu, Bw. Edward Lowassa amejitenga na tuhuma zilizogaa kuwa anaandaa mikakati ya kumhujumu
*Akwepa kuongelea Dowans, kujivua gamba
*Asisitiza hajakutana na JK barabarani
Na Waandishi Wetu, Arusha
ALIYEKUWA Waziri Mkuu, Bw. Edward Lowassa amejitenga na tuhuma zilizogaa kuwa anaandaa mikakati ya kumhujumu
...........................................
Askofu Mkuu KKKT aonya umeme kugeuzwa siasa
Na Livinus Feruzi, Bukoba
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Alex
Malasusa amesema suala la tatizo la umeme linaloendelea
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Alex
Malasusa amesema suala la tatizo la umeme linaloendelea
...........................................
Wajerumani wachefuliwa na ufisadi kwenye miradi
Na Nickson Mahundi
UBALOZI wa Ujerumani nchini Tanzania umesema ubabaishaji uliokithiri nchini, ndio unakwamisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya
UBALOZI wa Ujerumani nchini Tanzania umesema ubabaishaji uliokithiri nchini, ndio unakwamisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya
..............................................
Simba hii haikamatiki!
*Yaichapa Ruvu 2-0
Na Speciroza Joseph
VINARA wa Ligi Kuu Bara, timu ya Simba imezidi kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo baada ya
Na Speciroza Joseph
VINARA wa Ligi Kuu Bara, timu ya Simba imezidi kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo baada ya
Botswana kuzipiga bao Nigeria, Cameroon Chalenji
Na Zahoro Mlanzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limesema Botswana ina nafasi nzuri ya kushiriki mashindano ya Kombe la
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limesema Botswana ina nafasi nzuri ya kushiriki mashindano ya Kombe la
Michuano ya gofu kuanza Nov. 8
Na Amina Athumani
MICHUANO ya Chalenji mchezo wa gofu, inatarajia kuanza Novemba 8 hadi 11 mwaka huu katika viwanja vya
MICHUANO ya Chalenji mchezo wa gofu, inatarajia kuanza Novemba 8 hadi 11 mwaka huu katika viwanja vya
19 October 2011
Kujiuzulu Lowassa kulinishtua-Sitta
*Asema alimbabatiza bila kutarajia hali hiyo
*Akiri kushindwa kuahirisha kikao cha bunge
*Asema mpambano dhidi ya Dowans bado mbichi
Na Edmund Mihale
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Samuel Sitta, amesema kuwa
*Akiri kushindwa kuahirisha kikao cha bunge
*Asema mpambano dhidi ya Dowans bado mbichi
Na Edmund Mihale
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Samuel Sitta, amesema kuwa
...........................................
..............................................
Ahadi ya Bajaj kwa wajawazito ngumu-Wabunge
Na Tumaini Makene
MOJA ya ahadi za Rais Jakaya Kikwete alizoahidi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka jana, inayohusu matumizi ya pikipiki aina
MOJA ya ahadi za Rais Jakaya Kikwete alizoahidi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka jana, inayohusu matumizi ya pikipiki aina
.............................................
...........................................
Simba vitani tena leo
Na Zahoro Mlanzi
VINARA wa Ligi Kuu Bara, timu ya Simba leo itakuwa katika mtihani mwingine itakapoumana na Ruvu Shooting ya Pwani kwa kutaka
VINARA wa Ligi Kuu Bara, timu ya Simba leo itakuwa katika mtihani mwingine itakapoumana na Ruvu Shooting ya Pwani kwa kutaka
Mafunzo judo yasogezwa mbele
Na Mwali Ibrahim
SHIRIKISHO la Kimataifa la Judo (IJF), limesogeza mbele tarehe ya kuanza kozi ya makocha wa daraja la pili ya mchezo huo hapa
SHIRIKISHO la Kimataifa la Judo (IJF), limesogeza mbele tarehe ya kuanza kozi ya makocha wa daraja la pili ya mchezo huo hapa
Simba, Yanga, Azam zaingiza mil. 85/-
Na Zahoro Mlanzi
TIMU za Simba, Yanga na Azam FC katika michezo yao ya mwisho ya Ligi Kuu Bara, zimeingiza sh. milioni 85. Mapato hayo
TIMU za Simba, Yanga na Azam FC katika michezo yao ya mwisho ya Ligi Kuu Bara, zimeingiza sh. milioni 85. Mapato hayo
18 October 2011
Zitto Kabwe, Makamba moto kwenye mdahalo
*Waibua kashfa matumizi mabaya serikalini
*Wataka waliojiuzulu Richmond walipe Dowans
Na Tumaini Makene
WAKATI makali ya mgawo wa umeme yakionekana kupungua huku nchi ikiwa bado katika hali ya udharura bila kupata suluhisho la kudumu, serikali imeingia
*Wataka waliojiuzulu Richmond walipe Dowans
Na Tumaini Makene
WAKATI makali ya mgawo wa umeme yakionekana kupungua huku nchi ikiwa bado katika hali ya udharura bila kupata suluhisho la kudumu, serikali imeingia
.................................
Anayedaiwa kupora kwa Chami ataka 'suluhu'
Na Mwandishi Wetu, Moshi
WAKATI polisi wamekamata watu wanne wanaodaiwa kuvamia nyumbani kwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Cyril Chami na kumtishia maisha mama yake, mmoja wa
WAKATI polisi wamekamata watu wanne wanaodaiwa kuvamia nyumbani kwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Cyril Chami na kumtishia maisha mama yake, mmoja wa
.................................
Hundi za fidia G'mboto kurejeshwa hazima
Na Grace Ndossa
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Meck Sadik ametoa wiki mbili kwa waathirika wa milipuko ya mabomu katika eneo la Gongolamboto kwenda kuchukua hundi zao
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Meck Sadik ametoa wiki mbili kwa waathirika wa milipuko ya mabomu katika eneo la Gongolamboto kwenda kuchukua hundi zao
Siasa za chuki zatikisa Kahama
Na Patrick Mabula, Kahama
OFISI ya serikali Kata ya Malunga Wilayani Kahama imenusurika kuungua baada ya kuchomwa moto usiku wa manane na watu wasiojulika kutokana na tofauti za kisiasa za viongozi
OFISI ya serikali Kata ya Malunga Wilayani Kahama imenusurika kuungua baada ya kuchomwa moto usiku wa manane na watu wasiojulika kutokana na tofauti za kisiasa za viongozi
...................................
Msikosoe kila kitu kinachofanywa na serikali-Waziri
Nickson Mahundi na Mariam Bokero
SERIKALI imewataka wadau wa maendeleo hususan mashirika yasikuwa ya kiserikali (NGOs) kuacha tabia ya kulaumu na
SERIKALI imewataka wadau wa maendeleo hususan mashirika yasikuwa ya kiserikali (NGOs) kuacha tabia ya kulaumu na
Wabunge waivamia Simba
Na Zahoro Mlanzi
WABUNGE wanne wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, wameibukia katika Kamati mbalimbali mpya za Klabu ya Simba, zilizoundwa
WABUNGE wanne wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, wameibukia katika Kamati mbalimbali mpya za Klabu ya Simba, zilizoundwa
Simba yatangaza kumuuza Yondani
Na Zahoro Mlanzi
UONGOZI wa Klabu ya Simba, umefungua milango kwa timu yoyote inayomhitaji beki wao 'mtukutu', Kelvin Yondani kumsajili
UONGOZI wa Klabu ya Simba, umefungua milango kwa timu yoyote inayomhitaji beki wao 'mtukutu', Kelvin Yondani kumsajili
Watanzania watakiwa kucheza skwashi
Na Amina Athumani
KLABU Gymkhana ya Dar es Salaam, imewaomba Watanzania kujitokeza katika viwanja hivyo, kujifunza mchezo wa skwashi ambao kwa
KLABU Gymkhana ya Dar es Salaam, imewaomba Watanzania kujitokeza katika viwanja hivyo, kujifunza mchezo wa skwashi ambao kwa
17 October 2011
Magamba yazidi kuiandama CCM
*Nape asema bila kuyavua haraka nchi haitatawalika
*Asema wanaopinga wanafaidika na rasilimali za nchi
*Aonya wapambanaji wasipokuwa makini wanatolewa roho
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
FALSAFA ya kuvuana magamba ncani ya Chama Cha mapinduzi (CCM) imezidi kukitesa
*Asema wanaopinga wanafaidika na rasilimali za nchi
*Aonya wapambanaji wasipokuwa makini wanatolewa roho
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
FALSAFA ya kuvuana magamba ncani ya Chama Cha mapinduzi (CCM) imezidi kukitesa
..................................
.................................
'Taja wauaji albino upate mil.5/-'
Na Waandishi Wetu, Mwanza
MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Said Mwema ametangaza bingo ya sh. milioni tano kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa ya watu wanaojihusisha na vitendo vya mauaji ya walemavu
MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Said Mwema ametangaza bingo ya sh. milioni tano kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa ya watu wanaojihusisha na vitendo vya mauaji ya walemavu
...................................
Mkuu wa Shule achomwa moto Igunga
*Adaiwa kuiba saruji ya shule
Na Mwandishi Wetu, Igunga
MKUU wa Shule ya Sekondari ya Mwashiku, Wilaya ya Igunga, Mkoa wa Tabora, Bw. Charles Medadi (42) amepigwa hadi kufa kisha mwili wake kuchomwa moto na wananchi
Na Mwandishi Wetu, Igunga
MKUU wa Shule ya Sekondari ya Mwashiku, Wilaya ya Igunga, Mkoa wa Tabora, Bw. Charles Medadi (42) amepigwa hadi kufa kisha mwili wake kuchomwa moto na wananchi
UWAKA wachanga mil. 44 kusaidia Masista wadogo
Na Peter Mwenda
WANAUME Wakatoliki wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam (UWAKA) wamechanga sh. milioni 44 kwa ajili ya kusaidia masista wadogo wa
WANAUME Wakatoliki wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam (UWAKA) wamechanga sh. milioni 44 kwa ajili ya kusaidia masista wadogo wa
Magavana EAC wakubaliana kusimamia mfumko wa bei
Na Godfrey Ismaely
MAGAVANA wa Benki Kuu katika nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubaliana kusimamia mpango
MAGAVANA wa Benki Kuu katika nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubaliana kusimamia mpango
Manji aivutia pumzi Yanga
Na Zahoro Mlanzi
ALIYEKUWA Mfadhili wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji ametua nchini jana alfajiri akitokea Marekani na kutaka apewe wiki moja atafakari
ALIYEKUWA Mfadhili wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji ametua nchini jana alfajiri akitokea Marekani na kutaka apewe wiki moja atafakari
Extra Bongo yateka mashabiki Mbeye
Na Mwandishi Wetu, Mbeya
MAMIA ya wakazi wa jiji la Mbeya, juzi wamejitokeza kwenye tamasha la Kili Jivunie uTanzania, ambalo lilipambwa na bendi ya
MAMIA ya wakazi wa jiji la Mbeya, juzi wamejitokeza kwenye tamasha la Kili Jivunie uTanzania, ambalo lilipambwa na bendi ya
'Wekundu wa Msimbazi' wapata viongozi
Na Heri Shaaban
TAWI la Simba la 'Wekundu wa Msimbazi' lililopo kituo kikuu cha mabasi ya mikoani Ubungo, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki
TAWI la Simba la 'Wekundu wa Msimbazi' lililopo kituo kikuu cha mabasi ya mikoani Ubungo, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki
13 October 2011
Mafisadi wamtisha Rais Kikwete, CCM
*Nape alia wana mkakati kutenganisha urais, uenyekiti
*Asema wanatumia pesa nyingi kufanikisha malengo yao
*Adai walipanga washindwe uchaguzi Igunga, wakakwama
Na Agnes Mwaijega
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema ndani yake kuna kikundi cha waasi chenye nguvu ya
*Asema wanatumia pesa nyingi kufanikisha malengo yao
*Adai walipanga washindwe uchaguzi Igunga, wakakwama
Na Agnes Mwaijega
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema ndani yake kuna kikundi cha waasi chenye nguvu ya
.................................
CHADEMA Mbeya wasusa Baraza la Madiwani
*Aliyeuawa Igunga kufanyiwa Dar hitma leo
Na Charles Mwakipesile, Mbeya
WABUNGE na madiwani wenzao wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana walisusa na kutoka nje ya kikao cha
Na Charles Mwakipesile, Mbeya
WABUNGE na madiwani wenzao wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana walisusa na kutoka nje ya kikao cha
...............................
Vumbi la Rostam bado latimka Tabora
Na Moses Mabula, Tabora
WAKATI vumbi la aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Igunga, Bw. Rostam Azizi (CCM) halijatua, makundi yamezidi kukitafuna Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa
WAKATI vumbi la aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Igunga, Bw. Rostam Azizi (CCM) halijatua, makundi yamezidi kukitafuna Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa
.................................
Mulugo: Wananchi wafahamishe misaada anayotoa mbunge wao
Na Esther Macha, Chunya
VIONGOZI wa vijiji katika Kata ya Kanga, Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya, wametakiwa kuwaeleza wananchi misaada na vifaa vinavyotolewa na mbunge wa Jimbo
VIONGOZI wa vijiji katika Kata ya Kanga, Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya, wametakiwa kuwaeleza wananchi misaada na vifaa vinavyotolewa na mbunge wa Jimbo
Wafuata huduma ya maji nchini Kenya
Na Gift Mongi, Rombo
ZAIDI ya wakazi 2,500 wa Vijiji vya Kahe na Urauni, katika Ukanda wa Chini, Wilaya ya Rombo, mkaoni Kilimanjaro, wanalazimika kwenda nchi jirani ya Kenya kutafuta
ZAIDI ya wakazi 2,500 wa Vijiji vya Kahe na Urauni, katika Ukanda wa Chini, Wilaya ya Rombo, mkaoni Kilimanjaro, wanalazimika kwenda nchi jirani ya Kenya kutafuta
................................
Yanga yampigia 'magoti' Manji
Na Suleiman Mbuguni
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umwendikia barua aliyekuwa mfadhili wao, Yusuf Manji ili arudi tena kuokoa jahazi.Akizungumza Dar es Salaam jana Mwenyekiti wa
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umwendikia barua aliyekuwa mfadhili wao, Yusuf Manji ili arudi tena kuokoa jahazi.Akizungumza Dar es Salaam jana Mwenyekiti wa
Savio yazinduka, yaichapa Vijana
Na Amina Athumani
TIMU ya mpira wa kikapu ya Savio, imezinduka usiingizini baada ya kuichapa Vijana kwa pointi 63-53 katika mwendelezo wa mashindano ya mpira wa kikapu ya
TIMU ya mpira wa kikapu ya Savio, imezinduka usiingizini baada ya kuichapa Vijana kwa pointi 63-53 katika mwendelezo wa mashindano ya mpira wa kikapu ya
David Haye afikiria kustaafu
LONDON, England
BINGWA wa zamani wa uzani wa juu katika ngumi za kulipwa, David Haye amesema anatazamia kustaafu ngumi baada ya bodi inayoongoza mchezo huo nchini Uingereza kutangaza
BINGWA wa zamani wa uzani wa juu katika ngumi za kulipwa, David Haye amesema anatazamia kustaafu ngumi baada ya bodi inayoongoza mchezo huo nchini Uingereza kutangaza
12 October 2011
Sitta apasua
*Aapa kamwe hatakubali serikali kuilipa Dowans
*Asema iliirithi Richmond isiyotambuliwa kisheria
*Wanaharakati watangaza siku 10 za maandamano
*Yaelezwa TANESCO kukata rufaa changa la macho
Na Waandishi Wetu
SIKU chache baada ya Mahakama Kuu kusajili tuzo ya malipo ya sh. bilioni 94 ambazo
*Asema iliirithi Richmond isiyotambuliwa kisheria
*Wanaharakati watangaza siku 10 za maandamano
*Yaelezwa TANESCO kukata rufaa changa la macho
Na Waandishi Wetu
SIKU chache baada ya Mahakama Kuu kusajili tuzo ya malipo ya sh. bilioni 94 ambazo
.................................
Maiti ya wakala CHADEMA yaokotwa Igunga
Na Mwandishi Wetu
MAITI ya kada na wakala wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) aliyepotea wakati wa uchaguzi wa Igunga imeokotwa katika pori la Magereza ikiwa
MAITI ya kada na wakala wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) aliyepotea wakati wa uchaguzi wa Igunga imeokotwa katika pori la Magereza ikiwa
Warioba: Tanzania itapata matatizo makubwa
Na Benjamin Masese
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba ametoa tathmini yake ya miaka 50 ijayo, akisema
Maiti ya wakala CHADEMA yaokotwa Igunga
Na Mwandishi Wetu
MAITI ya kada na wakala wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) aliyepotea wakati wa uchaguzi wa Igunga imeokotwa katika pori la Magereza
MAITI ya kada na wakala wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) aliyepotea wakati wa uchaguzi wa Igunga imeokotwa katika pori la Magereza
Karume, Nyerere waenziwe kwa vitendo
Na Eckland Mwaffisi, aliyekuwa Zanzibar
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zanzibar, Bw. Vuai Ali Vuaia, amesema waasisi wa Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Nyerere na
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zanzibar, Bw. Vuai Ali Vuaia, amesema waasisi wa Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Nyerere na
................................
Simba yavamia Bamba Beach
*Yawapandisha vijana nane
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya Simba, imeamua kujichimbia katika fukwe za Bamba Beach, Kigamboni kwa ajili ya kujinoa kwa michezo yao ya Ligi Kuu Bara, huku ikiwa na
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya Simba, imeamua kujichimbia katika fukwe za Bamba Beach, Kigamboni kwa ajili ya kujinoa kwa michezo yao ya Ligi Kuu Bara, huku ikiwa na
African Stars Band waibuka na Twanga Festival
Na Frank Balile
BENDI ya muziki ya African Stars 'Twanga Pepeta', imeandaa tamasha kubwa la Twanga Festival litakalohusisha sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika
BENDI ya muziki ya African Stars 'Twanga Pepeta', imeandaa tamasha kubwa la Twanga Festival litakalohusisha sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika
TBL yazindua mashindano ya mitumbwi
Na Zahoro Mlanzi
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia ya Balimi Extra Lager, imezindua rasmi mashindano ya mitumbwi kwa mwaka huu, ambapo bingwa kwa wanaume
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia ya Balimi Extra Lager, imezindua rasmi mashindano ya mitumbwi kwa mwaka huu, ambapo bingwa kwa wanaume
11 October 2011
NHC yawageukia JWTZ wizara nyeti, polisi
*Yawapa miezi miwili la sivyo kutupwa nje
Na Willbroad Mathias
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limezidi kucharuka na sasa limezipa notisi ya
Mbunge CCM ashtakiwa kwa kutishia kuua
*Wa CHADEMA nusura wafutiwe dhamana
Na Waandishi Wetu, Mbeya, Tabora
MBUNGE wa Jimbo la Mbarali (CCM), Bw. Modestus Kirufi amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Mkoa kujibu mashtaka ya kutishia kuua kwa
Na Waandishi Wetu, Mbeya, Tabora
MBUNGE wa Jimbo la Mbarali (CCM), Bw. Modestus Kirufi amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Mkoa kujibu mashtaka ya kutishia kuua kwa
Kikwete ataka watendaji kutoa maamuzi
................................
Kilio cha polisi chaanza kusikika
Na Florah Temba, Moshi
SERIKALI imeondoa kodi kwenye baadhi ya bidhaa za ujenzi kwa askari polisi ili kuwawezesha kujenga nyumba kwa gharama nafuu kulingana na vipato vyao.Hatua hiyo imechukuliwa
SERIKALI imeondoa kodi kwenye baadhi ya bidhaa za ujenzi kwa askari polisi ili kuwawezesha kujenga nyumba kwa gharama nafuu kulingana na vipato vyao.Hatua hiyo imechukuliwa
.................................
Poulsen ageukia Kombe la Dunia
*Ni baada kupigwa kumbo CAN 2012
Na Zahoro Mlanzi
SAA chache baada ya kushuhudia timu yake ikishindwa kukata tiketi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika mwakani (CAN 2012), Kocha Mkuu wa timu ya
Na Zahoro Mlanzi
SAA chache baada ya kushuhudia timu yake ikishindwa kukata tiketi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika mwakani (CAN 2012), Kocha Mkuu wa timu ya
TFF yasubiri ripoti ya Poulsen
Na Zahoro Mlanzi
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), linasubiri ripoti ya Kocha Mkuu wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Jan Poulsen, itakayoelezea majumuisho ya matokeo ya
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), linasubiri ripoti ya Kocha Mkuu wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Jan Poulsen, itakayoelezea majumuisho ya matokeo ya
Kamati TFF yaigeukia FAM
Na Zahoro Mlanzi
KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imeitaka Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa Mara (FAM), kuhakikisha
KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imeitaka Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa Mara (FAM), kuhakikisha
Mkutano Mkuu TASWA Desemba
Na Mwandishi Wetu
MKUTANO Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), umepanga kufanyika Desemba 17, 2011, Dar es Salaam Zoo
MKUTANO Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), umepanga kufanyika Desemba 17, 2011, Dar es Salaam Zoo
Askofu: Rasilimali zinufaishe wananchi
*Aonya kinyume chake ni kuhatarisha amani
*Ataka migodi ya kusini iepushe migogoro
Na Dennis Gondwe, Njombe
SERIKALI imeshauriwa kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi zinatumika kwa maslahi ya nchi na kuwanufaisha wananchi wenyewe walio wengi, vinginevyo ni
*Ataka migodi ya kusini iepushe migogoro
Na Dennis Gondwe, Njombe
SERIKALI imeshauriwa kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi zinatumika kwa maslahi ya nchi na kuwanufaisha wananchi wenyewe walio wengi, vinginevyo ni
10 October 2011
.....................................
....................................
Mafuta ya taa, dizeli yapaa, Petroli yashuka
Na Mwandishi Wetu
BEI za jumla na rejareja kwa aina zote za mafuta nchini, zimebadilika huku bei ya petroli ikishuka lakini ile ya mafuta ya taa na diseli ikipanda ikilinganishwa na bei elekezi ya toleo
BEI za jumla na rejareja kwa aina zote za mafuta nchini, zimebadilika huku bei ya petroli ikishuka lakini ile ya mafuta ya taa na diseli ikipanda ikilinganishwa na bei elekezi ya toleo
Wabunge CHADEMA kortini leo
Na Moses Mabula, Tabora
KESI inayowakabili wabunge wawili wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) na mjumbe mmoja wa Baraza la Vijana la chama hicho leo itatajwa katika
KESI inayowakabili wabunge wawili wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) na mjumbe mmoja wa Baraza la Vijana la chama hicho leo itatajwa katika
..................................
...................................
Wajawazito wajifungulia kwenye ubao
Na Sammy Kisika, Sumbawanga.
WAJAWAZITO wa Kijiji cha Kilando Tarafa ya Kipeta wilayani Sumbawanga wameuomba uongozi wa halmashauri ya wilaya hiyo kunusuru masiha yao na watoto kutokana na
WAJAWAZITO wa Kijiji cha Kilando Tarafa ya Kipeta wilayani Sumbawanga wameuomba uongozi wa halmashauri ya wilaya hiyo kunusuru masiha yao na watoto kutokana na
...............................
Yanga yaingia hofu
Na Zahoro Mlanzi
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umefuta mechi za kirafiki kwa sasa kutokana na kuhofia wachezaji wake kuumizwa hususani, kipindi hiki ambacho wapo katika mkakati wa
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umefuta mechi za kirafiki kwa sasa kutokana na kuhofia wachezaji wake kuumizwa hususani, kipindi hiki ambacho wapo katika mkakati wa
Mashindano ya Muungano yafutwa
Na Mwandishi Wetu
MICHUANO ya netiboli ya muungano mwaka huu, imefutwa kutokana na Chama cha Netiboli Zanzibar (CHANEZA), kukabiliwa na Uchaguzi Mkuu.CHANEZA imekiandikia
MICHUANO ya netiboli ya muungano mwaka huu, imefutwa kutokana na Chama cha Netiboli Zanzibar (CHANEZA), kukabiliwa na Uchaguzi Mkuu.CHANEZA imekiandikia
Sitta ataka wachezaji wasitumie dawa
Na Amina Athumani
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta amewataka wanamichezo wa ukanda huo kuifanya Afrika Mashariki kuwa yenye wachezaji wasiotumia dawa za
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta amewataka wanamichezo wa ukanda huo kuifanya Afrika Mashariki kuwa yenye wachezaji wasiotumia dawa za
JKT Ruvu yainyuka Mtibwa 3-2
Na Speciroza Joseph
TIMU ya JKT Ruvu jana, imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa Uwanja wa Chamazi, nje ya
TIMU ya JKT Ruvu jana, imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa Uwanja wa Chamazi, nje ya
07 October 2011
Jinamizi la Igunga laing'ang'ania CCM
*Mabalozi 18 wajiengua, wadai rushwa ilitawala
*Madiwani Songea wagomea kikao kupinga uchaguzi
*M'kiti Lushotoa ajiuzulu kwa tuhuma za ufisadi
Na Waandishi Wetu, Igunga, Songea
Madiwani wagomea kikao
Wakati hali ikiwa hivyo Igunga, baadhi ya madiwani wa Chama CCM Manispaa ya Songea wamesusia
*Madiwani Songea wagomea kikao kupinga uchaguzi
*M'kiti Lushotoa ajiuzulu kwa tuhuma za ufisadi
Na Waandishi Wetu, Igunga, Songea
Madiwani wagomea kikao
Wakati hali ikiwa hivyo Igunga, baadhi ya madiwani wa Chama CCM Manispaa ya Songea wamesusia
..........................................
..........................................
Waangalizi waibua utata walioandikishwa Igunga
Na Tumaini Makene
SIKU chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi mdogo Jimbo la Igunga na mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Dalaly Kafumu kuibuka mshindi, kimeibuliwa
SIKU chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi mdogo Jimbo la Igunga na mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Dalaly Kafumu kuibuka mshindi, kimeibuliwa
Auawa na polisi katika mapigano Geita
Na Faida Muyomba, Geita
MTU mmoja ameuawa kwa risasi na wangine wanne wakiwemo askari polisi watatu kujeruhiwa, katika mapambano ya polisi na wachimbaji wadogo wa dhahabu katika
MTU mmoja ameuawa kwa risasi na wangine wanne wakiwemo askari polisi watatu kujeruhiwa, katika mapambano ya polisi na wachimbaji wadogo wa dhahabu katika
..........................................
DC atoboa siri nzito kuhusu waombaji
*Ataja chanzo cha kuungua kwa soko
Na Charles Mwakipesile Mbeya
MKUU wa Wilaya ya Mbeya Bw. Evans Balama, amewashangaza umma uliojitokeza kumsikiliza katika Kanisa la Moravian Yerusalem Jijini hapa baada ya
Na Charles Mwakipesile Mbeya
MKUU wa Wilaya ya Mbeya Bw. Evans Balama, amewashangaza umma uliojitokeza kumsikiliza katika Kanisa la Moravian Yerusalem Jijini hapa baada ya
..........................................
Walemavu watishia kuandamana kudai makontena
Na Anneth Kagenda
CHAMA Cha Walemavu kwa kushirikiana na Taasisi isiyokuwa ya kiserikali inayojishughulisha na Kutoa Huduma Bure kwa Walemavu (UDF), kimeandaa maandamano ya
CHAMA Cha Walemavu kwa kushirikiana na Taasisi isiyokuwa ya kiserikali inayojishughulisha na Kutoa Huduma Bure kwa Walemavu (UDF), kimeandaa maandamano ya
Yanga yatembeza mkwara
*Wanaotumia nembo yao kukiona
Na Zahoro Mlanzi
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umetoa notisi ya mwezi mmoja kuanzia jana kuhakikisha wafanyabiashara wanaouza kinyemela bidhaa zenye nembo yao
Na Zahoro Mlanzi
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umetoa notisi ya mwezi mmoja kuanzia jana kuhakikisha wafanyabiashara wanaouza kinyemela bidhaa zenye nembo yao
Twiga Stars yapangiwa na Namibia
Na Zahoro Mlanzi
TIMU ya taifa ya wanawake (Twiga Stars), imepangwa kucheza na Namibia katika mechi ya mchujo wa kuwania tiketi ya kucheza fainali za nane za Kombe la Mataifa ya
TIMU ya taifa ya wanawake (Twiga Stars), imepangwa kucheza na Namibia katika mechi ya mchujo wa kuwania tiketi ya kucheza fainali za nane za Kombe la Mataifa ya
Mnigeria kuwasindikiza BSS
Na Amina Athumani
MSANII wa muziki kutoka nchini Nigeria, N’Abania 'Mr Flavour', amealikwa kutumbuiza katika fainali za mashindano ya kuibua vipaji ya Bongo Star Search Second Chance, itakalofanyika
MSANII wa muziki kutoka nchini Nigeria, N’Abania 'Mr Flavour', amealikwa kutumbuiza katika fainali za mashindano ya kuibua vipaji ya Bongo Star Search Second Chance, itakalofanyika
06 October 2011
Uchaguzi Igunga waigawa CCM upya
*Mwenyekiti Tabora ataja kundi la wasaliti
*Asema walitaka ishindwe uchaguzi 'waheshimiane'
Na Moses Mabula, Tabora
SIKU tatu baada ya CCM kushinda uchaguzi wa Jimbo la Igunga, Mwenyekiti wa Chama hicho
*Asema walitaka ishindwe uchaguzi 'waheshimiane'
Na Moses Mabula, Tabora
SIKU tatu baada ya CCM kushinda uchaguzi wa Jimbo la Igunga, Mwenyekiti wa Chama hicho
..........................................
Mgawo wa umeme wafunga kiwanda
Na Grace Michael
NAIBU Waziri wa Kazi na Ajira, Dkt. Makongoro Mahanga ameshuhudia madhara ya mgawo wa umeme baada ya kukuta kiwanda cha uzalishaji mifuko ya plastiki kimefungwa na
NAIBU Waziri wa Kazi na Ajira, Dkt. Makongoro Mahanga ameshuhudia madhara ya mgawo wa umeme baada ya kukuta kiwanda cha uzalishaji mifuko ya plastiki kimefungwa na
..........................................
Subscribe to:
Posts (Atom)






























