07 October 2011

..........................................

Rais Jakaya Kikwete akikagua mitambo ya kuzalisha umeme katika Bwawa la Kidatu mkoani Morogoro juzi. Kushoto ni Meneja wa TANESCO wa mkoa na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Bw. Joel Bendera.

No comments:

Post a Comment