25 October 2011

...........................................

Jaji Mkuu, Bw. Othuman Chande akimwapisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein kuwa Mjumbe wa Baraza la Mawaziri la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huku Rais Jakaya Kikwete akishuhudia, Ikulu; Dar es Salaam jana.

1 comment: