24 October 2011

...........................................

Mshindi wa kwanza wa mbio za baiskeli za Vodacom Mwanza Open Cycle Challenge za kilometa 196,  Richard Laizer wa Arusha akimaliza mbio hizo zilizoanzia Shinyanga na kumalizikia Mwanza ambapo alitumia saa 5:02:28.

No comments:

Post a Comment