07 October 2011

..........................................

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukulu Kawabwa (katikati)  akisalimiana na waliowahi kushika nafasi ya Postamasta Mkuu kwa miaka tofauti,  Bw. Suleiman Msofe (kulia) na Lucian Minde walipokutana wakati wa maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment