21 October 2011

...........................................

Rais Jakaya Kikwete (kulia),Rais Yoweri Museveni wa Uganda(katikati)na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM)Balozi Fulgence Kazaura wakiwasili chuoni hapo kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 50 kutoka kuanzishwa kwa chuo hicho.

No comments:

Post a Comment