19 October 2011

.............................................

Mbunge wa Mufindi Kusini, Bw. Mendrad Ligola akisisitiza jambo wakati wa kikao cha Kamati ya Bunge ya Hesabu za Seriakali (PAC) na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dar es Salaam jana. Wengine ni wajumbe wa kamati hiyo, Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mkoani Rukwa Bw. Ally Kessy Mohamed na Mbunge wa Musoma Mjini, Bw. Vicent  Nyerere.

No comments:

Post a Comment