31 January 2011

Mama Maria: Kuilipa Dowans tatizo kubwa

* Ataka CCM, wanachama watafakari kabla ya kulipa

Na Daud Magesa, Butiama
                                   
MJANE wa Hayati Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere ameibuka na kusema kulipa mabilioni ya fedha kwa kampuni ya

FFU watumika kusafisha mji Shinyanga

Na Suleiman Abeid, Shinyanga
 
HALMASHAURI ya Manispaa ya Shinyanga imeendesha operesheni ‘Safisha Mji’ kwa kumwaga vyakula vya mama lishe, kuzoa viatu madukani na

CUF kuandamana kupinga malipo Dowans

Na Rabia Bakari

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba anatarajia kuongoza maandamano amani yaliyoandaliwa na

Serikali yafunga rasmi malipo ya mabomu Mbagala

Na Benjamin Masese

SERIKLI imefunga rasmi operesheni ya malipo kwa waathirika wa milipuko ya mabomu iliyotokea Aprili 29, 2009 eneo la Mbagala Kuu katika kambi ya

Babati bado hakujatulia, wawekezaji wajawa hofu

Na Peter Ringi, Babati

WAWEKEZAJI katika katika Bonde la Kiru wilayani Babati, mkoani Manyara wameeleza wasiwasi wa usalama wao na mali zao mbele ya Kamati ya

Wanaoshindwa kulipa wasifukuzwe shule-DED

Na Raphael Okello, Bunda

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, Bw. Cyprian Oyier amewaagiza wakuu wote wa shule za sekondari wilayani humo

Papic azidi kuikoroga Yanga

*Asisitiza kuondoka nchini

Na Mwandishi Wetu

SIKU chache baada ya kudaiwa Kocha Mkuu wa Yanga, Kostadin Papic kukubali kuendelea kuinoa timu hiyo, kocha huyo

Simba SC kurejea nchini leo

Na Zahoro Mlanzi

WAWAKILISHI wa Tanzania Bara katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, Simba inatarajia kutua nchini leo ikitokea Komoro huku wakijuta kuwadharau

Wanariadha kibao kushiriki Kili Martahon

Na Mwandishi Wetu

WANARIADHA nguli wa mbio za marathon kutoka nchi mbalimbali duniani, wako katika hatua za mwisho za maandalizi kabla ya kwenda Moshi kushiriki

Barcelona yazidi kuchanja mbuga

ALICANTE, Hispania

TIMU ya Barcelona, imeshinda mechi yake ya 15 ya ligi hivyo kufikisha historia ya miaka 50 katika ligi ya Hispania iliyowahi kuwekwa na Real Madrid.Barcelona

Japan yatwaa ubingwa Kombe la Asia

DOHA, Qatar

TIMU ya taifa ya Japan, imeweka rekodi ya kutwaa mara nne kombe la michuano ya Asia, baada ya mshambuliaji wake aliyetokea benchi, Tadanari Lee

28 January 2011

Sumaye akerwa uchumi kuacha kando maskini

*Asema ni hatari kwa utulivu wa nchi

Na Tumaini Makene

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Bw. Frederick Sumaye amesema kuwa takwimu za ukuaji wa uchumi ambazo hazijidhihirishi katika hali

Kushuka ufaulu "form IV" hatari kwa maendeleo ya elimu-CWT

Na Gladness Mboma

CHAMA cha Walimu Tanzania  (CWT),  kimesema kiwango cha ufaulu kwa  daraja la kwanza hadi la tatu ni kidogo na hakifanani na matokeo ya

Msuya: Kuna uwezekano CCM kung'olewa

Na Tumaini Makene

WAZIRI Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, Bw. Cleopa Msuya amesema kwa jinsi vuguvugu la kisiasa lilivyo kwa sasa nchini, si ajabu chama kingine

Majira yazindua kamati kuchochea maendeleo Kagera

Na Theonestina Juma, Bukoba

KAMPUNI ya Business Times kupitia gazeti lake la Majira imezindua kamati ya kuchochea na kufuatilia maendeleo ya Mkoa wa Kagera, ambapo

Watalaamu wa ndani wapewe upendeleo-Mwakyembe

Na Agnes Mwaijega

NAIBU Waziri wa Ujenzi, Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa mwito kwa taasisi za serikali na sekta binafsi nchini kutoa fursa za upendeleo kwa

Mshtakiwa augua, aanguka kizimbani

Na Rabia Bakari

MSHTAKIWA katika kesi ya kutapeli fedha kwa njia ya udanganyifu, Bi. Mwadawa Abdallah ameanguka na kuzimia kizimbani baada ya presha

Mshtakiwa augua, aanguka kizimbani

Na Rabia Bakari

MSHTAKIWA katika kesi ya kutapeli fedha kwa njia ya udanganyifu, Bi. Mwadawa Abdallah ameanguka na kuzimia kizimbani baada ya presha

Mwendesha bodaboda achinjwa Kahama

Na Patrick Mabula, Kahama

MWENDESHA pikipiki mmoja wilayani Kahama ameuawa kinyama kwa kukatwa shingo na kitu chenye cha kali na watu wasiofahamika na kisha

Yanga bado yamganda Papic

*Minziro kuongoza majeshi kesho

Na Elizabeth Mayemba

UONGOZI wa Yanga umesema licha ya Kocha wake Mkuu, Kostadin Papic kutangaza kubwaga manyanga kuifunza timu hiyo, wao

Wapinzani Yanga waja na 'maproo' watano

Na Zahoro Mlanzi

WAPINZANI wa timu ya Yanga, Dedebit FC kutoka Ethiopia, iliwasili jana alfajiri ikiwa na wachezaji watano wa kulipwa tayari kwa mechi ya

Real Madrid, Barcelona zashinda

MADRID, Hispania 

MAHASIMU wakuu nchini Hispania, timu za Real Madrid na Barcelona zinaelekea kukutana kwenye michuano ya Kombe la Mfalme, baada ya wapinzani hao

Mbio za Chelsea kwa Luiz zaishia ukingoni

LISBON, Ureno

MBIO za Chelsea kutaka kumsaini mlinzi wa Benfica, David Luiz zimeelekea kuvunjika juzi usiku.Blues ilipandisha dau kwa ajili ya mchezaji huyo kwa

27 January 2011

Wasichana watesa form IV

Wa Kwanza: "Siamini kabisaa, ila Mungu alikuwa akiniona nikisoma kwa bidii. Nimepata nguvu kubwa ya kuendelea kusoma kidato cha tano na sita na chuo kikuu. Matarajio yangu ni kuwa daktari," alisema kwa furaha Lucylight.

Wa Pili:
"Siri ni ufuatiliaji wa karibu wa walimu na Meneja wa shule. Pia kujituma mimi mwenyewe, mazingira mazuri ya shule na uhamasishaji wa wazazi wangu, lakini pia siwezi nikasahau msaada wa sala," alisema Maria-Dorin.

Na Waandishi Wetu, Dar, Arusha

WASICHANA wameendelea kuonesha makali yao katika masomo dhidi ya

Muro alimfunga pingu Wage- Shahidi

Na Rabia Bakari

SHAHIDI katika kesi ya kuomba rushwa ya sh. milioni 10, inayomkabili Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni  ya Taifa  (TBC1), Bw. Jerry Muro na

Serikali kutoa matibabu kisukari bure

Na Agnes Mwaijega

WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Hadji Mponda amesema huduma za upimaji na matibabu kwa wagonjwa wa kisukari zitatolewa bure katika

TAMADA kupinga malipo ya Dowans kwa maandamno

Na Rabia Bakari

CHAMA cha Uzalishaji na Mandeleo Tanzania (TAMADA) kwa kushirikiana na wafanyabiashara ndogondogo wameandaa maandamano makubwa ya

Papic atoa siri kuondoka Yanga

Na Elizabeth Mayemba

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mserbia Kostadin Papic jana waliwaaga wachezaji wake, na kutoa sababu zilizomfanya aachie ngazi kuinoa timu

ZFA yabadilisha mfumo wa ligi

Na Mussa Soraga, Zanzibar                                   

HATIMAE Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA), kimepitisha rasmi azimio la kubadilisha mfumo wake wa Ligi Kuu ambayo sasa itaanza Agosti na

Mabondia kumi kuunda timu ya taifa

Na Amina Athumani

KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya ngumi za riadha, Hurtado Primentel  anatarajia kuchagua mabondia 10 wa taifa kwa ajili ya mashindano ya

Adebayor kukipiga kwa mkopo Real Madrid

MADRID, Hispania

MSHAMBULIAJI wa Manchester City,  Emmanuel Adebayor anajiandaa kujiunga Real Madrid kwa mkopo, baada ya klabu hiyo ya Hispania kutangaza

Arsenal yapenya fainali Kombe la Ligi

LONDON, Uingereza

ARSENAL imefuzu fainali ya Kombe la Ligi, baada ya kuichapa Ipswich mabao 3-0 katika mechi ya nusu fainali iliyochezwa Uwanja wa Emirates usiku wa

26 January 2011

Muungano kambi ya upinzani mashakani

*Mbowe awataka kina Hamadi Rashidi 'wazidi kusubiri'

Na Tumaini Makene

ZIKIWA zimebaki takribani wiki mbili kabla bunge la 10 halijaanza vikao vyake vya mkutano wa pili, hatma ya

Chuo Kikuu Makumira watawanywa kwa mabomu

Na Glory Mhiliwa, Arusha

ASKARI wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) jana walitumia mabomu ya machozi kusitisha maandamano ya wanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha

RPC akiri askari kushiriki ujambazi

Na Gory Mhiliwa, Arusha

JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limethibitisha kuwa  askari wake wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mwenye namba G.6825 PC Elias Matiku ndiye

Mtego wa jerry Muro wawekwa bayana

Na Rabia Bakari

SHAHIDI wa nne katika kesi ya kuomba rushwa ya sh. milioni 10 inayomkabili aliyekuwa mtangazaji wa kituo cha televisheni cha TBC1, Bw. Jerry Muro na

Tanzania, Cuba kusaidiana tiba ya malaria

Na Dunstan Bahai

SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na ile ya Cuba, zinakusudia kujenga kiwanda cha kuzalisha viatilifu vya kupambana na vimelea vya malaria.Uamuzi huo

Barabara Gaita-Usagara kukamilika Julai

Na Wilhelm Mulinda, Mwanza

UJENZI wa Barabara ya Geita-Usagara mkoani Mwanza kwa kiwango cha lami unatarajiwa kukamilika kwa kipindi cha miezi sita kuanzia sasa, imefahamika.Akizungumza na

Shein ateua wakuu idara za SMZ

Na Mwandishi Wetu

RAIS wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein amewateua wakuu wa taasisi mbalimbali serikalini.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na

Madai ya walimu waliokosa ajira yatua OWM

Na Benjamin Masese

HATIMAYE sakata la baadhi ya walimu waliohitimu mafunzo yao ya ualimu mwaka 2009/2010 na kushindwa kuajiriwa limetinga katika Ofisi za Waziri Mkuu (OWM) na

Yanga, TFF zapishana kauli

*Ni kuhusu mechi na Dedebit
*Papic atangaza kujiuzulu


Na Elizabeth Mayemba

WAKATI uongozi wa Yanga, ukitangaza mechi yao dhidi ya

TFF 'yaichakachua' Kamati ya Waamuzi

Na Zahoro Mlanzi

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeifanyia mabadiliko Kamati ya Waamuzi kwa kumuondoa aliyekuwa Mwenyekiti, Shaibu Nampunde na

Yanga yaichanganya Polisi Tanzania

Na Mwandishi Wetu

BAADA ya kufungwa mabao 2-0 juzi na Yanga, uongozi wa timu ya Polisi Tanzania umesema utakaa na Kocha Mkuu wake, John Semkoko aeleze

Chelsea yazinduka yaichapa Bolton 4-0

BOLTON, England

BAO safi lililofungwa na mshambuliaji, Didier Drogba usiku wa kuamkia jana liliifanya timu ya Chelsea kuibuka na ushindi wa mabao 4-0, dhidi ya Bolton

Kompany amtabiria makubwa Dzeko

LONDON, Uingereza

MCHEZAJI Vincent Kompany, amesema anaamini kuwa mshambuliaji mpya wa Manchester City, aliyesainiwa kwa ada ya pauni milioni 27

25 January 2011

Chadema yamuunga mkono Kafulila

*Ni kuhusu hoja ya Dowans kurejeshwa bungeni
*Lissu asema lengo kupinga kuzawadia ufisadi


Na Jumbe Ismailly, Singida 

HOJA Binafsi ya Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), Bw. David Kafulila

Madiwani wapanga kumwengua meya

Na Suleiman Abeid, Shinyanga

BAADHI ya madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Shinyanga wanadaiwa kula njama za kutaka kumuengua Meya wao

Wahitimu ualimu wazua tafrani wizarani

Na Benjamin Masese

SAKATA la baadhi ya walimu waliohitimu mwaka 2009/2010 la kuvamia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya ufundi kudai ajira limeingia sura mpya baada ya

Shahidi aeleza Muro alivyomuomba rushwa

Na Zamzam Abdul

SHAHIDI wa tatu upande wa mashitaka Bw. Michael Wage ametoa ushahidi wake katika kesi ya kudai rushwa ya sh. milioni kumi kinayomkabili

Machinga kuendelea kutesa Mwanza

Na Daud Magesa, Mwanza

HALMASHAURI ya Jiji la Mwanza imeridhia wamachinga waendelee kufanya shughuli zao katika baadhi ya maeneo katikati ya jiji.Mvutano baina ya

Lissu kuomba matumzi TAMISEMI yachunguzwe

Na Jumbe Ismailly, Singida

MBUNGE wa Jimbo la Singida Mashariki (CHADEMA), Bw. Tundu Lissu anakusudia kuwasilisha hoja binafsi katika mkutano ujao wa bunge kuomba

'Mji Mkongwe bado urithi wa ulimwengu'

Na Mwandishi Wetu

MJI Mkongwe wa Zanzibar utaendelea kuwa urithi wa ulimwengu na Mamlaka ya Uendelezaji Mji huo, imesema hakuna tishio lolote la kufutwa kama

Yanga yaendeleza shangwe Jangwani

*Mwape aibuka shujaa tena

Na Zahoro Mlanzi

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga jana iliendeleza shangwe za ushindi huku ikiongeza wigo wa pointi nne kwa wapinzani wao wa jadi Simba, Baada

Serikali yafagilia kozi ya FIFA

Na Zahoro Mlanzi

SERIKALI imeifagilia kozi inayoandaliwa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) ya uandaaji wa matukio iliyofungiliwa jana, Dar es Salaam.

Wasanii watunga nyimbo kunadi Kili Music Awards

Na Elizabeth Mayemba

WASHINDI wa Tuzo za Kilimanjaro Music Awards wa mwaka jana, wametunga wimbo wa pamoja ambao utaanza kurushwa kwenye vituo vya televisheni na

Carrol kukaa nje kwa wiki mbili

LONDON, Uingereza

MSHAMBULIAJI Andy Carroll, atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili baada ya kuumia paja.Kutokana na kuwa nje katika kipindi hicho, mchezaji huyo atakosa

Leonardo aonja kipigo cha kwanza Inter Milan

MILAN, Italia 

KOCHA mpya wa Inter Milan, Leonardo amekutana na kipigo cha kwanza katika mechi zake sita alizoiongoza timu hiyo baada ya kuchapwa mabao

24 January 2011

Dowans kuhatarisha uhalali wa serikali

"Kama watalipa faster faster (haraka) watakuwa wameongeza upana wa hoja yangu, badala ya kuliomba bunge kumpigia kura Ngeleja ya kujiuzulu, nitaliomba bunge kadri litakavyoona inafaa, lipige kura ya kutokuwa na imani na serikali," alisema David Kafulila.

Na Tumaini Makene

SAKATA la Kampuni tata ya Dowans bado tete na

Nchi inakoelekea si salama-Askofu

Na Benjamin Masese

KIONGOZI wa kundi la waumini waliojitenga na Kanisa la Anglikana la Tanzania, Askofu Ainea Kusehna amesema kuwa nchi inapoelekea sasa si salama kutokana na

Mtikila apongeza UV-CCM kuhusu Dowans

Na Grace Michael

MWENYEKITI wa Democratic Party, Mchungaji Christopher Mtikila amesema kuwa kitendo cha ujasiri kilichofanywa na Umoja wa Vijana wa

CHADEMA wandamana kupinga mgawanyo wa mbolea

Na Joseph Mwambije,Songea

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kimefanya maandamano ya amani kushinikiza Mkuu wa Wilaya ya Songea, Bw. Thomas Sabaya ajiuzulu

Mtandao umemomonyoa maadili ya taifa-Wadau

Na Jumbe Ismailly, Singida

WADAU wa kongamano la kujadili Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025 wamesema moja ya sababu zinazochangia mmomonyoko wa maadili kwa

Maslahi ya taifa kwanza, siasa baadaye-Mengi

Na Omari Moyo, Arusha

SERIKALI, vyama vya kisiasa na viongozi wa kidini wametakiwa kushirikiana katika utatuzi wa migogoro inayojitokeza nchini hasa ya kisiasa kuhakikisha amani ya

Fuateni utaratibu kuteketeza dawa-Wizara

Na Grace Michael, aliyekuwa Singida

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema kuwa hakuna njia ya mkato wanayoweza kuitumia waganga wakuu, wakuu wa vituo vya kutolea huduma pamoja na

Kaseja amwaga chozi uwanjani

*Baada ya Azam kuifunga Simba 3-2

Na Zahoro Mlanzi

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, timu ya Simba, jana ilianza vibaya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu baada ya kuchapwa mabao 3-2 na

Tamasha la Pasaka kushirikisha nchi sita

Na Mwandishi Wetu

TAMASHA la Pasaka linalofanyika kila mwaka, mwaka huu litawashirikisha wasanii kutoka nchi sita kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam Apili 24, mwaka

Barcelona yazidi kupaa ligi ya Hispania

BARCELONA, Hispania

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Hispania, Barcelona imeshinda mechi yake ya 14 mfululizo kwenye michuano hiyo, baada ya kuibuka na ushindi wa

Federer aweka rekodi michuano ya tenisi

MELBOURNE, Australia

BINGWA mtetezi, Roger Federer ameongeza rekodi nyingine katika orodha yake kwenye michuano ya wazi ya Australia kwa kumfikia mchezaji, Jimmy Connors

21 January 2011

UVCCM: Dowans irudi bungeni

*Prof Safari asema kuilipa ni kukiuka katiba

Na Waandishi Wetu

KAMATI ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana limeopendekeza kurudishwa

Katiba Z'bar, Muungano zagongana

Na Mwajuma Juma, Zanzibar

WAZIRI wa Katiba na Sheria Zanzibar, Bw. Abubakar Khamis Bakar amekiri kuwa Katiba ya Zanzibar na ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinagongana.Hivyo, alisema

CUF imepoteza mvuto-Prof. Safari

Na Tumaini Makene

CHAMA Cha Wananchi (CUF) kimepata pigo baada ya kada wake maarufu Profesa Abdallah Safari, kutangaza rasmi kujiondoa katika chama hicho huku

Kamati yaundwa kurekebisha STAMICO

Na David John

SERIKALI imeunda kamati ya watalaamu ya kurekebisha Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) ambalo ufanisi wake umekuwa hafifu.Hatua imeelezwa kuwa

Wabambwa wakitengeneza noti 'gesti'

Na Cresensia Kapinga, Songea

JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kukutwa wakiwa wanatengeneza noti bandia kwenye nyumba ya kulala wageni ya Kisale iliyopo

Milioni 500/- zatengwa kuboresha dampo Pugu

Na Heri Shaaban

SERIKALI imetenga sh. milioni 500 kwa ajili ya kuboresha dampo la Pugu Kinyamwezi ili kunusuru  afya ya wakazi wa eneo hilo kwa kuwaepusha na magonjwa ya

Yanga vurugu tupu

Na Elizabeth Mayemba

HALI ya hewa ndani ya Yanga, imezidi kuchafuka baada ya uongozi wa matawi wa klabu hiyo kuiagiza Kamati ya Utendaji, imsimamishe haraka Mwenyekiti

Kili Music awards yazinduliwa

Na Elizabeth Mayemba

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia kinywaji chake cha Kilimanjaro, juzi ilizindua rasmi Tuzo za Muziki za Kilimanjaro 'Kilimanjaro Music Awards' kwa mwaka

BMT, vyama kujadili mashindano Afrika

NA Amina Athumani

VYAMA vyote vya michezo vinavyoshiriki mashindano ya Afrika 'All Africa Game' vinatarajia kukaa meza moja na Baraza la Michezo Taifa (BMT) ili kuelezea mikakati

Real Betis yatibua rekodi ya Barcelona

MADRID, Hispania

TIMU ya Real Betis imevuruga rekodi ya Barcelona ya kutaka kufikisha mechi 28 bila kufungwa, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 katika michuano ya

Chelsea kumwongezea Bosingwa mkataba

LONDON, Uingereza

KLABU ya Chelsea itakomesha matumaini ya klabu ya AC Milan kuweza kumsaini, Jose Bosingwa kwa kukumwongezea mwaka mmoja katika mkataba wake wa

20 January 2011

Nitaendelea kupinga malipo Dowans-Sitta

*Ataka wananchi wasifikiri amebadili msimamo

Na Mwandishi Wetu

SIKU moja baada ya vyombo vya habari kuripoti kuwa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Samwel Sitta amefungwa mdomo na

Polisi adaiwa kupora gari, fedha

Na Glory Muhiliwa, Arusha

MTU anayesadikiwa ni askari polisi mwenye sare za jeshi hilo, huku akiwa na silaha aina ya SMG, amempiga risasi ya shingo dereva taksi mmoja na kumjeruhi vibaya na kusababisha alazwe katika chumba cha

Kamati Kuu CCM kuketi Dar leo

Na Tumaini Makene

SAKATA la Kampuni 'tata' ya Dowans inayotakiwa kulipwa mabilioni ya fedha na serikali baada ya kushinda katika Mahakama ya usuluhishi wa Biashara (ICC) na vurugu za kisiasa za Arusha, ni mambo yanayotarajiwa

Wadau bandari wachachamaa kukatika umeme 'Long room'

Na Mwandishi Wetu

WADAU mbalimbali wa bandari nchini wameiomba serikali kuhakikisha Idara ya Ushuru wa Forodha inapewa kipaumbele katika tatizo la sasa la mgawo wa umeme kutokana na umuhimu wake kwa uchumi wa taifa.Wakizungumza kwa

'Hukumu za Jaji Mapigano hazikuwa tata'

Na Peter Mwenda

JAJI Mstaafu Dan Mapigano (72) aliyefariki Jumamosi katika Hospitali ya Aga Khan alizikwa jana katika makaburi ya Kinondoni, Dar es salaam, huku akisifiwa kuwa kutoa hukumu zisizo na utata maisha yake yote.Umati wa

Shahidi abanwa kesi ya kina Mramba

Na Gladness Mboma

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemtaka shahidi wa kwanza wa upande wa mashtaka Bw. Godwin Nyelo, kuwasilisha barua iliyokuwa ikitoka benki Kuu ya Tanzania (BOT) kwenda Kampuni ya

Mtemvu bado 'pasua kichwa' Yanga

Na Elizabeth Mayemba

UTEUZI wa Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu kuwa mdhamini wa Yanga limeonekana kuendelea kuwaumiza vichwa wanachama wa klabu hiyo, ambao wanashinikiza ufanyike Mkutano Mkuu wa dharura ili wajue

Tamasha la Wanyambo laiva Dar

Na Nayla Abdulla

KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Utamaduni la kabila la Wanyambo wanatarajia kukutana leo katika Kijiji cha Makumbusho, Dar es Salaam kwa ajili ya kupanga taratibu za maandalizi ya tamasha hilo.Tamasha hilo la

Jamhuri yajiweka kando sakata la ZFA

Na Mwajuma Juma, Zanzibar

KLABU ya soka ya Jamhuri FC ya Pemba imesema, kwamba haihusiki na mvutano wowote unaoendelea, kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA).Kauli hiyo ya Jamhuri, imekuja baada ya

Gerrard ataka Dalglish aendelee kuinoa Liverpool

LONDON, Uingereza

STEVEN Gerrard anamuunga mkono kocha mpya wa muda wa timu hiyo, Kenny Dalglish kupata mkataba wa kudumu wa muda mrefu baada ya kumaliza mkataba wake wa miezi sita katika msimu huu.Kocha huyo

19 January 2011

Mgawo umeme sasa balaa

*Wanafunzi wa vyuo vikuu waja juu wagoma
*TRA 'Long room' shughuli za siku zakwama


Na Tumaini Makene

KATIKA hali inayotishia tatizo la mgawo wa umeme nchini kuanza kuathiri sekta nyeti nchini, baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) kilichopo Chang'ombe Dar es Salaam  jana waligoma kwa

'Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe mgonjwa'

Na Mashirika ya Habari

ZIMEIBUKA taarifa za kutatanisha juu ya hali tete ya afya ya Rais wa Zimbabwe, Bw. Robert Mugabe (87) huku zingine zikieleza kuwa hali yake si nzuri na amelazimika kulazwa hospitalini nchini Malaysia baada ya kufanyiwa

Wapeni wananchi taarifa za maendeleo- RC Babu

Na Livinus Feruzi, Bukoba
 
MKUU wa Mkoa wa Kagera Bw. Mohamed Babu amewataka wenyeviti na watendaji wa vijiji mkoani Kagera kuitisha na kufanya vikao na mikutano ya mara kwa mara ili kuwafahamisha wananchi mambo mbalimbali ya

Neema ya ajira yazidi kuwafuata walimu

Na Benjamin Masese

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imewapa matumaini ya ajira nyingine wanafunzi waliohitimu mafunzo ya ualimu mwaka 2009/2010  na kuachwa kutokana na sababu mbalimbali mbali ya  wale 9,226 waliotangazwa na

Kijiji cha Kunduchi hatarini kutoweka

Na Job Ndomba

KIJIJI cha kihistoria cha Kunduchi Pwani jijini Dar es Salaam, kipo hatarini kutoweka kutokana na maji ya nguvu ya bahari yanayodaiwa kusababishwa na kingo zilizojengwa na baadhi ya hotel za kitalii zinazozizunguka kijiji hicho.Akizungumza na

TAS Taifa yakanusha tuhuma dhidi ya wizara

Na Anneth Kagenda

CHAMA cha Albino Tanzania (TAS), kimekanusha shutuma zilizotolewa na Chama cha Albino Mkoa wa Shinyanga kwamba Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inawafanyia majaribio walemavu wa ngozi na kwamba majaribio hayo

UPDP kujadili katiba mpya mwezi ujao

Na Rabia Bakari

CHAMA Cha siasa cha UPDP kinatarajia kufanya mkutano wake mkuu wa mwaka mapema mwezi Februari kwa ajili ya kufanya tathmini ya uchaguzi na kujadili ajenda mbalimbali kwa maendeleo ya chama hicho.Akizungumza na

Samba la kibrazil laitesa Yanga

*Mchezo wao na Simba bureee

Na Zahoro Mlanzi

TIMU ya Atletico Paranaense kutoka Brazil, imeifundisha samba timu ya Yanga kwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-2, katika mchezo wa

Nchunga apiga 'stop' mkutano Yanga

Na Elizabeth Mayemba

MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Lloyd Nchunga ameupiga 'stop' mkutano ulioutishwa na wanachama wake kesho kwa madai ya kuwa na maandalizi ya Ligi Kuu mzunguko wa pili.Akizungumza Dar es Salaam jana Nchunga alisema

Toto Africa yatamba kuifumua JKT Ruvu

Na Shufaa Lyimo

UONGOZI wa Klabu ya Toto Africa, umesema umejipanga vizuri kuhakikisha wanaifunga timu ya JKT Ruvu katika mchezo wa Ligi Kuu unaotarajiwa kupigwa Jumamosi katia Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.Akizungumza na mwandishi wa

FA yamshitaki Rafael Kamati ya Nidhamu

LONDON, England

CHAMA cha Mpira wa Miguu Uingereza (FA) kimemshtaki mchezaji wa Manchester United, Rafael katika Kamati ya Nidhamu kuhusu utovu wa nidhamu aliouonesha katika mchezo ulioikutanisha timu yake na Tottenham.Beki huyo

Henry aitabiria neema Gunners

LONDON, Uingereza

MCHEZAJI nyota wa zamani wa Arsenal, Thierry Henry anaiunga mkono timu yake kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu wa England msimu huu.Mchezaji huyo mwenye historia ya kufunga magoli mengi katika klabu hiyo, amekana kuhusu

18 January 2011

SAKATA LA DOWANS:Wanasheria wamuunga mkono Jaji Bomani

*Wasema Hoja zake zimezingatia sheria si porojo za siasa
*Wakerwa na wasomi wanafunzi kubeza maoni yake

Na Mwandishi Wetu

SIKU moja baada ya waliojiita wanafunzi wa kitivo cha Sheria Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino, Profesa Mwesiga Baregu kupinga

Nahodha ahofia amani kutoweka nchini

Na Peter Twite
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Shamsi Vuai Nahodha, (pichani amesema kuna dalili za kutoweka maadili miongoni mwa jamii jambo linalotishia kuwepo machafuko yanayoweza kusababisha kutoweka amani nchini. Bw. Nahodha aliitoa
Na Benjamin Masese

SIKU moja baada ya serikali kutoa ajira 9,226 za walimu waliohitimu mafunzo ya ualimu mwaka 2009/2010 katika vyuo mbalimbali jana baadhi ya walioachwa walivamia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kutaka kujua hatma ya

Mwanajeshi Mbaroni kwa tuhuma za mauaji

JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia watu wawili akiwemo mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Tanzania (JWTZ)
kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya Mwamuzi Masawe ambaye awali aliripotiwa kuuawa na

Makamu SAUT ataja chanzo cha migomo vyuo vikuu

Na Moses Mabula, Tabora

MAKAMU Mkuu wa Chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT) Dkt. Charles Kitima, amesema kwamba migomo ya wanafunzi inayoendelea katika vyuo mbalimbali hapa nchini inatokana na udhaifu wa uongozi wa serikali iliyopo

Kuwaona Yanga, Wabrazil 5,000/-

Na Elizabeth Mayemba

WAANDAAJI wa mechi za kirafiki za kimataifa kati ya timu ya Atletico Paranaence ya Brazil na Yanga, wametangaza viingilio kwamba vitakuwa sh. 200,000 kwa VIP A na cha chini sh. 5,000.Viingilio hivyo ambavyo viliwahi

Kocha Micho aichambua Taifa Stars

Na Mwandishi Wetu, Cairo

KOCHA wa zamani wa Yanga, Sredojevic Milutin 'Micho', amesema ni vyema Watanzania wakampa muda Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Jan Poulsen ili aijenge timu, kwani namna alivyoiona kuna kazi kubwa inahitajika ili ilete

Tenga kupasua jipu la waamuzi wa FIFA

Na Zahoro Mlanzi

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga leo anatarajia kukata mzizi wa fitina kwa kuelezea kilichojiri katika sakata la waamuzi waliopewa beji za Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), kinyume na

Mtemvu aipiga 'tafu' KEMWADEFO

Na Mwandishi Wetu

MBUNGE wa Jimbo wa Temeke, Abbas Mtemvu ametoa sh. 500,000 kwa ajili ya taasisi ya Keko Mwanga Development Foundation (KEMWADEFO), zitakazotumika kuendesha mashindano ya kumuenzi muasisi wa michezo katika

Everton yakubali Pienaar kwenda Chelsea

LONDON, England

KOCHA wa Everton, David Moyes amesema kuwa wamepokea ofa kutoka kwa Chelsea kuhusu kiungo wao, Steven Pienaar ikiwa ni baada ya kukataa ofa kutoka kwa Tottenham.Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28, raia wa

17 January 2011

Wasomi wamshukia Jaji Mark Bomani

*Ni kwa kutetea malipo kwa kampuni ya Dowans
*Wasema, kama hakurubuniwa, anazeeka vibaya


Na John Daniel
SIKU moja baada ya aliyewahi kuwa mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Mark Bomani, kudai kuwa malipo ya sh. bilioni 94 kwa

Serikali kuwaajiri walimu 9,000

Na Edmund Mihale

SERIKALI imerudisha matumani ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu waliomaliza katika nyuo, mbalimbali hapa nchi baada ya kutangaza kuwaajiri wote waliko mitaani.Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na

Treni ya kati kutoanza safari leo

Na Mwandishi Wetu

SAFARI za treni ya kati zilizokuwa zimepangwa kuanza leo zimesogezwa mbele hadi Ijumaa Januari 21, 2011 kutokana na 'kazi ngumu ya kukarabati daraja' lililopo katika stesheni za Bahi na Kintinku.Taarifa ya TRL jana ilisema kuwa

Jaji Mapigano afariki dunia

Na Gladness Mboma

JAJI Mstaafu wa Mahakama Kuu nchini, Bw. Dan Mapigano amefariki dunia katika Hospitali ya Aghakan Dar es Salaam.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana kwenye vyombo vya habari, Jaji Mapigano alifariki jana baada ya

Viongozi wa dini wamnusuru mfanyabiashara

Na Gladness Mboma

SERIKALI wilayani Mbarali imewapongeza baadhi ya viongozi wa dini kwa kuzima jaribio la kutaka kuuawa kwa mwekezaji wa shamba la Mpunga lililopo Ubaruku, Bw. Abrahakh Phil Mohamed kwa madai ya kutumia jina la

Uchaguzi Mkuu ZFA waota mbawa

Na Mussa Soraga, Zanzibar                                                 

UCHAGUZI Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA), ambao ulikuwa ufanyike keshokutwa Nungwi mjini hapa umefutwa, baada ya Ofisi ya Mrajisi wa Vyama vya Michezo kutaka usitishwe.Agizo hilo limetolewa na

Phiri: Wabrazil watatuonesha njia

Na Zahoro Mlanzi

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema mchezo wao wa kimataifa dhidi ya Atletico Paranaence, kutoka Brazil ndiyo utakaompa hali halisi kuhusu kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara.Kauli hiyo imekuja, baada ya timu

Savio yaendeleza wimbi la ushindi

Na Amina Athumani

MABINGWA watetezi wa Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (RBA), Savio imeendeleza wimbi la ushindi katika mashindano ya ligi hiyo yaliyofanyika jana Uwanja wa ndani Taifa, Dar es Salaam ambapo timu hiyo

Villa kucheza mechi kibao za kirafiki

Na Shaban Mbegu

TIMU ya Villa Squad, imepanga kucheza mechi nyingi za kirafiki ili kujiandaa vyema Ligi Daraja la Kwanza hatua ya Tisa Bora iliyoapangwa kuanza Januari 30 mwaka huu.Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Ofisa habari wa

Ivory Coast, Congo kucheza fainali za Dunia Mexico

KIGALI, Rwanda

MABAO mawili yaliyofungwa kipindi cha kwanza na Diarrasouba Drissa na Kouassi Evrard, yaliiwezesha Ivory Coast kukata tiketi ya fainali za Kombe la Dunia la vijana wenye miaka chini ya 17.Katika mechi nyingine ya

14 January 2011

Pengo: Sikutarajia polisi kuua raia

"Sikutegemea hata mara moja kwamba walinda usalama wanaweza kutumia silaha wakaua watu. Sikutegemea kwamba wanaweza kuua hata mtu mmoja. Wale wanapaswa kutetea uhai wa Watanzania. Wachukue silaha dhidi ya Watanzania, waue watu haidhuru wamekosaje, ni jambo ambalo sikutegemea kamwe kwamba lingeweza kutokea," alisema kardinali Pengo.

Na Peter Mwenda
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo amesema

Polisi waua tena wawili Mbarali

*Wajitetea kwa mauaji ya Arusha

Na Rashid Mkwinda, Mbarali
VURUGU kubwa imeibuka wilayani Mbarali mkoani Mbeya katika kata ya Ubaruku baada ya kundi la wananchi kuvamia lori la mafuta na kulichoma moto na Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) kumfyatulia

Magufuli asaini mikataba ya barabara

Na Benjamin Masese

WAZIRI wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli amesaini mikataba ya ujenzi wa barabara za lami za urefu wa km 260 huku akiwajia juu makandarasi wa ujenzi wa barabara kutoka nje kuifanya Tanzania kituo chao cha kuchota fedha kirahisi

Wakamatwa wakitoroshea mbolea Burundi

Na Sammy Kisika, Mpanda

JESHI la Polisi wilayani Mpanda, mkoani Rukwa linamshikilia Bw. Kain Buchumi (27) raia wa Burundi pamoja na Ofisa Mtendaji wa Kijiji, Bw. Hamidu Sungura (34) kwa tuhuma za kukamatwa na mifuko 195 ya mbolea ya

KIU wagoma kuingia madarasani

Na John Daniel

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU), wamegoma kuingia darasani kuendelea na masomo kushinikiza serikali kulazimisha uongozi wa chuo hicho kuwarudishia fedha zao vinginevyo wataandamana hadi

Dola bandia zakamatwa Zanzibar

Na Mwandishi wa Polisi Zanzibar

JESHI la Polisi Zanzibar linawashikilia watu watatu wakiwemo wakazi wawili wa Dar es Salaam kwa tuhuma za kupatikana na dola bandia za Marekani 359,000 sawa na sh milioni 59.5 za Tanzania.Kamanda wa

Nyangwine kuvalia njuga mikataba

Na Grace Michael

MBUNGE wa Jimbo la Tarime, Bw. Nyambari Nyangwine (CCM), amesema hatavumilia kuona mikataba ya wawekezaji ambayo wameingia na wananchi katika masuala ya huduma za kijamii ikiwa haina maslahi kwa

Abomolewa nyumba akiwa ndani

Na Emmanuel Msigwa, Songea

MKAZI wa Kota za Majengo katika Manispaa ya Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bi. Juliana Ngimba , amejikuta katika wakati mgumu yeye pamoja na familia yake baada ya nyumba aliyokuwa amepanga kubomolewa paa ikiwa ni

Wachezaji Simba walamba mil. 15/-

Na Elizabeth Mayemba

UONGOZI wa klabu ya Simba umewapa wachezaji wake sh. milioni 15 ikiwa ni zawadi baada ya kufanikiwa kuchukua ubingwa wa Kombe la Mapinduzi.Simba juzi ilifanikiwa kuwafunga mahasimu wao Yanga mabao 2-0, katika

TEFA yatembeza bakuli kuandaa ligi

Na Andrew Ignas

UONGOZI wa Chama cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Temeke (TEFA), umewataka wadau mbali mbali nchini kudhamini ligi ya wanawake ya wilaya hiyo ambayo mpaka sasa muelekeo wake haujaeleweka.Akizungumza na mwandishi

Mashabiki 20,000 wamlaki Ronaldinho

SAO PAULO, Brazil

MASHABIKI wapatao 20,000 juzi walijitokeza kumlaki mshambuliaji  Ronaldinho, wakati akitambulishwa rasmi katika klabu yake mpya Flamengo ya nchini Brazil.Taarifa zilieleza jana kuwa kundi la ngoma ya Samba, ndilo lililoongoza

Liverpool mwaka wa shetani

LONDON, Uingereza

LIVERPOOL imekuwa kama sikio la kufa ambalo halisikii dawa.Msemo huu imejidhirisha usiku wa kuamkia jana ambapo, Liverpoolikiwa ugenini imekubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Blackpool, ikiwa ni mechi ya

13 January 2011

Waliouawa na polisi waagwa na halaiki

*Viongozi wa dini wasema wamekufa wakitetea taifa
*Freeman Mbowe adai mauaji hayo yalikuwa yamepangwa


Na Glory Mhiliwa, Arusha.

MAELFU ya wakazi wa Arusha na mikoa ya jirani jana walijitokeza katika kuaga miili ya

Mauaji Arusha ya kupanga-Mbowe

Na Grace Michael

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa mauaji yaliyofanywa na Askari Polisi mkoani Arusha yalipangwa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na Chama Cha Mapinduzi (CCM) walihusika moja kwa moja katika

FemAct yataka meya Arusha ajiuzulu

Na Gladness Mboma

SERIKALI imetakiwa kuufuta uchaguzi wa Meya Arusha na kuitisha uchaguzi mwingine huru  ili wananchi wachague meya mwingine wanayemtaka, ikiwa ni pamoja na kumtaka aliyepo madarakani kwa sasa ajiuzulu ili kupisha

Uwanja wa ndege Mwanza kukarabatiwa

Na Wilhelm Mulinda, Mwanza

SERIKALI inaandaa mpango wa kuongeza urefu wa uwanja wa ndege wa Mwanza kwa ajili ya kuwezesha ndege kubwa za mizigo kutua ili kurahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka jiji hilo kwenda nje ya nchi.Kauli hiyo ilitolewa jana na

SAFIA wadai Waziri Maige amedanganywa

Na Eliasa Ally, Iringa

WANACHAMA wa Sao Hill Forest Industry Association (SAFIA) iliyopo katika Wilaya ya Mufindi wamesema kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Bw. Ezekiel Maige amedanganywa na viongozi wa chama hicho alipofika kusikiliza matatizo

UDASA yaandaa kongamano kuhusu katiba

Na Dunstan Bahai

JUMUIYA ya Wanataaluma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), imesema ipo haja ya kuwepo kwa katiba mpya kama wananchi wanavyohitaji.
Jumuiya hiyo imesema kwamba kutokana na umuhimu huo, imeandaa kongamano

Mabingwa Zambia watua Dar

*Kuzikabili Yanga, Simba

Na Addolph Bruno
MABINGWA wa soka nchini Zambia, timu ya Zesco imetua nchini jana ikiwa na kikosi cha wachezaji 29 kwa ajili kucheza na

Sara, Mashaka kukimbia Marathon Mali

Na Amina Athumani

WANARIADHA Sara Kavina na Mashaka Masumbuko, wanatarajia kuondoka nchini Januari 21 mwaka huu kwenda Bamalo, Mali kushiriki mbio za marathon Januari 23, mwaka huu Akizungumza Dar es Salaam juzi, Katibu Mkuu wa

Wakala akana Arshavin kutimka Arsenal

LONDON, England

WAKALA wa mchezaji Andrey Arshavin, Dennis Lachter amezikana tetesi zinazomuhusisha nyota huyo wa Arsenal, kutimkia katika Klabu ya Juventus ya Italia.Mchezaji huyo wa kimataifa raia wa Russia, amebakiza miaka miwili

Dzeko aipitia filamu ya Man City

LONDON, Uingereza

MSHAMBULIAJI Edin Dzeko, amesoma filamu ya Manchester City ya masikitiko ya kutotwaa ubingwa katika miaka iliyopita na ameahidia neema kwa kwa siku zijazo kwa mashabiki wa timu hiyo.City ilimsaini mshambuliaji

11 January 2011

Ngoma CCM, CHADEMA Arusha bado mbichi

*Mbunge kutoka Tanga ashiriki tena uchaguzi
*CHADEMA waususia, wasema hawashiriki uhuni


Na Glory Mhiliwa, Arusha
MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Tanga kupitia CCM, Bi. Mary Chatanda jana alizidi kuleta mvutano wa

Mabomu yarindima kutawanya wanafunzi UDOM

Na Waandishi Wetu, Dodoma

POLISI mjini Dodoma jana walilazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya wanafunzi na wahadhiri wa Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) walipojaribu kuandamana kwenda Ofisi ya waziri Mkuu kufikisha malalamiko yao.Jeshi

TTCL sasa kuuzwa Vietnam-TEWUTA

Na Mwandishi Wetu

CHAMA cha Wafanyakazi wa Sekta ya Huduma za Mawasiliano Tanzania (TEWUTA) kimesema serikali ina mpango wa 'kuiuza' tena Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwa mwekezaji kutoka Vietnam, hatua ambayo wanaamini

Mwandosya atoa angalizo CCM 2015

Na Moses Mabula, Tabora

VIONGOZI wa vyama vya siasa nchini, wametakiwa kuacha kusaka mchawi baada ya kushindwa katika baadhi yamaeneo na badala yake kuchapa kazi ili kuwaletea wananchi maendeleo.Kauli hiyo ilitolewa jana na mjumbe wa

Polisi waminya kesi ya mwanafunzi aliyelawitiwa

Na Lilian Justice, Morogoro

MWANAFUNZI wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari ya Murad wilayani Mvomero mkoani Morogoro, amelawitiwa na kuibiwa sh 150,000 za ada na mtuhumiwa aliyekamatwa na polisi wa Kituo cha Turiani na kuachiwa.Badala

Mtuhumiwa afa akiwatoroka Polisi

Na Suleiman Abeid, Shinyanga

MKAZI wa eneo la New Stand Manispaa ya Shinyanga aliyetambuliwa kwa jina la Bw. Haji Omari (30) amekufa papo hapo baada ya kuruka kutoka ndani ya gari la polisi wakati akijaribu kutoroka.Kwa mujibu wa mashuhuda wa

ZESCO kuzinoa Simba, Yanga

Na Zahoro Mlanzi

MABINGWA wa Ligi Kuu ya soka ya Zambia, ZESCO United inatarajia kujipima na wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kimataifa, Simba na Yanga katika michezo itakayopigwa Jumamosi na Jumapili Uwanja wa

Congo, Ivory Coast zatesa U-17 Afrika

KIGALI, Rwanda

TIMU ya taifa ya Gambia imepata kichapo cha nguvu katika michuano ya Afrika kwa vijana wenye miaka chini ya 17, baada ya kufungwa mabao 3-0 na Congo juzi.Ikiwa ni siku ya pili tangu kuanza kwa mashindano hayo nchini

Torres akana kuitema Liverpool

LONDON, England

MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Hispania, Fernando Torres amekana tetesi za kwamba ana mpango wa kuitema Liverpool na badala yake akawataka mashabiki kuwa nyuma ya timu hiyo.Nyota huyo wa Reds, amekuwa

Ancelotti ahadharisha wachezaji Chelsea

LONDON, England

KOCHA Carlo Ancelotti amewaeleza wachezaji, Chelsea ambao ni mabingwa wa FA Cup kuwa ushindi wa mabao 7-0 iliyoupata katika duru ya tatu ya michuano hiyo dhidi ya Ipswich, hautakuwa na maana kama kiwango hicho hakitahamishiwa

Harakati za Spurs kwa Beckham zaanza upya

LONDON, Uingereza

HARAKATI za uhamisho wa mchezaji, David Beckham kuichezea Tottenham zimerejea baada ya Spurs kuanza upya harakati za kuhakikisha wanamnyakua.Mchezaji huyo wa kingereza, bado anajaribu kupata ruhusu

10 January 2011

Meya hataondoka kwa maandamano

*Makamba asema suluhisho la Arusha ni kortini

Na Gladness Mboma

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Yusufu Makamba ameibuka na kusema Meya wa Manispaa ya

Mnyika aendelea na mchakato wa hoja

Na Gladness Mboma

MBUNGE wa Ubungo, Bw. John Mnyika ameamua kuendelea  kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusu katiba kama alivyokusudia kutokana na serikali kuacha kutoa ufafanuzi wiki moja baada ya mwito wa kutakiwa kufanya

Tukivunja amani tukemeeni-Waziri

Na Wilhelm Mulinda, Mwanza

SERIKALI imeomba madhehebu ya dini nchini kuwa mstari wa mbele katika kusaidia kuasa viongozi na taifa kwa ujumla pale dalili za uvunjifu wa amani zinapoonekana ili utulivu na amani uendelee kuwepo nchini.Hayo yalisemwa

CCM: Tuna madiwani 16 Arusha

Na John Daniel

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimedai kuna taarifa za uongo zinazosambazwa kuhusu idadi ya madiwani wake katika Manispaa ya Arusha na kueleza kuwa chenyewe ndicho kinachoongoza kwa kuwa na jumla ya madiwani 16 wakiwemo

Mchungaji Yehova jela kwa wizi

Na Kassian Nyandindi, Mbinga

MCHUNGAJI wa Kanisa la Yehova la mjini Songea mkoani Ruvuma amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na kosa la wizi wa vifaa vya umeme.Hukumu hiyo ilitolewa dhidi ya mchungaji huyo na

Mlinzi duka la dhahabu achinjwa

Na Faida Muyomba, Geita

MAJAMBAZI wamemchinja mlinzi wa duka la dhahabu katika Mtaa wa Misheni, Kata ya Kalangalala, wilayani Geita, na kupora masalia ya mchanga wa madini hayo.Mlinzi huyo, Bw. Fikiri Bundala (27) mkazi wa Kijiji cha Kamena

Wapinzani wa Yanga CAF wapata pigo

*'Mashushu' wao watua Dar

Na Zahoro Mlanzi

WAPINZANI wa timu ya Yanga katika michuano ya Kombe la Shirikisho, Dedebit FC kutoka Ethiopia, imepata pigo baada

Rwanda, Misri zachanua U-17

KIGALI, Rwanda

WENYEJI wa michuano ya Afrika kwa vijana wenye miaka chini ya 17, Rwanda imeonesha malengo yake ya kutwaa ubingwa huo baada ya kuichapa Burkina Faso mabao 2-1, katika michuano ya tisa ya vijana hao iliyoanza kuchezwa

Pwani kujengwa uwanja soka wa kisasa

Na Masau Bwire, Kibaha

HATIMAYE ujenzi wa uwanja wa soka wa kisasa mkoani Pwani utaanza mapema mwezi huu mara baada ya jiwe la msingi la ujenzi wa uwanja huo kutarajiwa kuwekwa Alhamisi wiki hii.Jiwe hilo la msingi pamoja na uzinduzi wa

Angola kulipa fidia waathirika shambulizi la Cabinda

LOME,Togo

SERIKALI ya Togo imesema kuwa majadiliano yanaendelea kati yao na Serikali ya Angola ili kulipa fidia kuhusu shambulizi dhidi ya timu ya Taifa ya nchi hiyo lililotokea katika Jimbo la Cabinda mwaka mmoja uliopita.Katika shambulizi

07 January 2011

Mbowe, Slaa kizimbani

*Washtakiwa kwa kukusanyika bila kibali
*Serikali yakubali kuzungumza na CHADEMA


Glory Mhiliwa na Reuben Kagaruki

WAFUASI 31 wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwemo Mwenyekiti wake

Serikali yasalimu amri kwa CHADEMA

*Yakubali kutatua mgogoro kwa mazungumzo

Na Reuben Kagaruki
SIKU mbili baada ya kutokea vurugu zilizosababisha watu wawili kuuawa na polisi kwa risasi, sita kujeruhiwa huku viongozi wa kitaifa na wabunge wa CHADEMA wakikamatwa, serikali imesalimu amri na kutangaza kushughulikia mgogoro wa

Serikali itailipa Dowans-Ngeleja

Na John Daniel
  
HATIMAYE serikali imetangaza rasmi kuwabebesha wananchi msalaba wa kuilipa Kampuni ya Dowans dola za Marekani milioni 65 karibu sawa na sh. bilioni 94 za Tanzania, huku ikikanusha sh. bilioni 185 zilizotajwa awali. Pia imeweka

CHADEMA yashinda umeya Mwanza

Na Wilhelm Mulinda, Mwanza

BAADA ya malumbano ya muda mrefu kati ya vyama vitatu vya siasa kuhusiana na uchaguzi wa Meya na Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, hatimaye hali hiyo ilifikia kikomo jana baada ya madiwani wa

Mwema ametumika kisiasa-Lipumba

Na Rabia Bakari

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba ambaye alisema kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Jenerali Said Mwema ametumika kisiasa katika kuzuia maandamano hayo kwa kuwa sababu alizotoa ni

Dereba Abood asomea mashtaka 51

Na John Gagarini, Kibaha

DEREVA Maulid Mohamed (36) wa basi la Kampuni ya Abood ambalo lililosababisha ajali Januari 5, mwaka huu na kusababisha vifo vya watu wawili na majeruhi 49 amefikishwa mahakama ya wilaya ya Kibaha akishtakiwa kwa

Papic agoma kuchukua hati ya mkataba

Na Zahoro Mlanzi

KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Kostadin Papic, amegoma kuchukua hati ya mkataba mpya kwa kile kinachodaiwa, hana mpango tena wa kuendelea kuinoa timu hiyo.Kitendo hicho kilitokea kabla ya timu hiyo haijakwenda

Simba kama Yanga Uhai Cup

Na Addolph Bruno

TIMU ya soka ya vijana wenye miaka chini ya 20, ya JKT Ruvu,  imetinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Uhai, baada ya kuichapa Simba bao 1-0, katika mchezo wa robo fainali uliochezwa Uwanja wa

Mourinho, Preciado wanusurika kufungiwa

MADRID, Hispania
KOCHA wa timu ya Real Madrid, Jose Mourinho na kocha mwenzake wa timu ya Sporting Gijon, Manuel Preciado, wamenusurika adhabu ya kufungiwa kutokana na jazba waliyoionesha Novemba mwaka jana, baada ya Shirikisho la Mpira

Mnenguaji wa FM atupwa Segerea

Na Rehema Maigala,Kinondoni

MNENGUAJI wa bendi ya FM Academia, Stephania Mchunguya, amelia mbele ya Mahakama ya Mwanzo Kinondoni, baada ya Hakimu kumwambia kuwa, amefuta dhamana yake na anakwenda mahabusu Segerea.Mshitakiwa huyo

Toure atoboa siri ya kutwangana na Adebayor

LONDON, Uingereza

MLINZI wa  klabu ya soka ya Manchester City, Kolo Toure,  amezipuuza habari za kugombana na mchezaji mwezake wa zamani katika klabu ya Arsenal, Emmanuel Adebayor, wakiwa mazoezini na kusema kuwa, suala hilo tayari

05 January 2011

Mitambo Dowans bado ya Richmond

*Rostam Aziz atajwa hukumu ya ICC

Na Mwandishi Wetu

WAKATI serikali ikisubiriwa kutoa msimamo kama ama italipa sh. bilioni 185 kama tuzo kwa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans au la, imebainika kuwa

Walimu wahamishia familia kwa mwajiri

Na Benjamin Masese

JUMLA ya walimu 12 na familia zao wa shule ya sekondari Mkandawile, Kata ya Chanika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, wamehamishia makazi yao kwa

Vigogo 4,700 hawajataja mali zao

Rabia Bakari na Rose Itono

ZAIDI ya viongozi wa kisiasa na wa umma 4,700 hawajeresha fomu zinazotaja mali zao kwa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, ghivyo kuwa katika hatihati ya

Polisi yazua maandamano CHADEMA

Na Agnes Mwaijega

JESHI la Polisi limesitisha maandamano yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha kushinikiza kurudiwa uchaguzi wa

Serikali yajidhatiti Homa ya Manjano

Na Grace Ndossa

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imezitaka timu za afya za mikoa na wilaya kuchukua tahadhari kuhusu ugonjwa wa Homa ya Manjano kwa kuimarisha mfumo wa ufuatiliaji wa

'Watanzania wafahamishwe umuhimu wa elimu huria'

Na Mwandishi Wetu

VIONGOZI wa serikali na vyama vya siasa wameombwa kutambua mchango mkubwa wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ambacho sasa kimefikia udahili wa

Mtibwa Sugar yatinga robo fainali kombe la Uhai

Na Addolph Bruno

TIMU ya soka ya vijana wenye miaka chini ya miaka 20 ya Mtibwa Sugar, imekata tiketi ya kucheza robo fainali ya Kombe la Uhai, baada ya kuichapa Kagera Sugar

Mwanamke ajuta 'kumuuzia' Ronaldo mtoto kwa mabilioni

* Sasa atamani kumwona
LONDON, Uingereza

MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo anadaiwa kuwa na hofu dhidi ya mwanamke aliyezaa naye mtoto, ambaye amejulikana kwa mara ya

Ancelotti ajipa matumaini ya kutwaa ubingwa

LONDON, England

KOCHA wa Chelsea, Carlo Ancelott, amesisitiza kuwa, timu yake inaweza kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu ya England, licha ya kulazimishwa sare ya mabao 3-3 na

04 January 2011

Pinda awaomba radhi Wakatoliki

Na Sammy Kisika, Sumbawanga

WAZIRI Mkuu, Bw. Mizengo Pinda amewaomba radhi viongozi wa dini hasa Kanisa Katoliki kutokana na kitendo cha baadhi ya wafuasi na wagombea wa

Vuteni subira Katiba mpya- Msekwa

Na Gladness Mboma

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Bw. Pius Msekwa amewataka mwananchi mwenye mawazo Katiba kuwa na subira hadi

Tume ya Katiba mbinu kuteka mjadala-Lissu

Na Reuben Kagaruki

MBUNGE wa Singida Magharibi, Bw. Tindu Lissu, amesema Tume ya Maalumu ya Katiba itakayoundwa na Rais Jakaya Kikwete, ni mbinu ya miaka yote ya

Mahabusu waliovua nguo kushtakiwa

Na Cresensia Kapinga, Songea

JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linatarajia kuwafikisha mahakamani mahabusu 23 wanaokabiliwa na kesi za mauaji na unyang’anyi wa kutumia silaha kujibutuhuma mpya

CUF yataja mafanikio yake 2010

Na Peter Mwenda

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kitaboresha mafanikio yaliyopatikana 2010 kwa kuwa chama pekee cha upinzani kuwa na wabunge wengi wa kuchaguliwa na

Mkapa aenda kusimamia kura za maoni Sudan

Na Andrew Ignas

RAISI Mstaafu wa awamu ya tatu, Bw. Benjamini Mkapa amewataka Watanzania kumuombea aweze kusimamia upigaji kura za maoni Januari 9 mwaka huu ambazo

Osiah, Wambura kuanika mikakati yao kesho

Na Zahoro Mlanzi

KATIBU Mkuu mpya wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Angetile Osiah na Ofisa Habari wake, Boniface Wambura, kesho wanatarajia kuanika mikakati

Taifa Stars yaenda Misri

Na Zahoro Mlanzi

KIKOSI cha wachezaji 21 wa timu ya Taifa 'Taifa Stars', kimeondoka jana alfajiri kwenda Misri huku kikiwa na matumaini ya kufanya vizuri katika mashindano ya

Yanga kumuaga Babi Zanzibar leo

Na Elizabeth Mayemba

TIMU ya soka ya Yanga, inatarajia kumuaga rasmi mchezaji wake Abdi Kassim 'Babi', wakati wa mechi yao ya dhidi ya Mafunzo ya Zanzibar, ya kuwania Kombe la

Simba yatinga robo fainali Uhai Cup

Na Addolph Bruno

TIMU ya soka Simba ya vijana wenye umri chini ya miaka 20, imemaliza vizuri hatua ya makundi na kutinga robo fainali ya Kombe la Uhai, kwa kuikung'uta African Lyon mabao

Filamu za This is It, Huba zatwaa tuzo

Na Amina Athumani, Zanzibar

FILAMU ya This is it ya msanii Stiven Kanumba na Huba, zimepata tuzo ndogo za ZIFF zinazotolewa na Zanzibar Internation Film Festival,  zitaiwakilisha nchi katika tamasha

03 January 2011

Kauli ya Kikwete sasa yashtukiwa

*Ni kuhusu kuridhia mabadiliko ya katiba 2011
*CUF wahoji, ni kuweka viraka, au katiba mpya


Na Rabia Bakari
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kuweka wazi msimamo wa kauli yake kuhusu mabadiliko ya katiba, endapo inawekewa viraka ama inaandikwa upya. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kaimu

Hoja ya Mnyika yasubiri tamko la serikali

Na Grace Michael

MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, Bw. John Mnyika amesema kuwa anasubiri ufafanuzi wa serikali kuhusu suala zima la katiba ikiwemo muundo wa tume, hadidu za rejea na kama serikali itapeleka bungeni mapendekezo kuhusu mchakato kabla

Mwanafunzi mbaroni kwa kubaka mwenzie

Na Suleiman Abeid, Shinyanga

JESHI la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Kishimba wilayani Kahama kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa shule ya msingi wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 11.Kamanda wa

Mvua ya mawe yajeruhi sita Rukwa

Na Sammy Kisika, Sumbawanga

WATU sita wamejeruhiwa na nyumba 13 kuezuliwa na zingine kubomolewa katika kijiji cha Miangalua wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa kutokana na mvua ya mawe iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha juzi kijijini hapo kwa takribani

Pinda atolea macho mashamba yaliyobinafsishwa

Na Sammy Kisika, Sumbawanga

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewaagiza wakuu wa mikoa nchini kuanza kufuatilia mara moja mashamba yote ya serikali yaliyouzwa au kubinafsishwa kwa wawekezaji mbalimbali kwa lengo la kutaka kufahamu iwapo yanafanya

Meya aanza kula na wazembe Songea

Na Mhaiki Andrew, Songea

MSTAHIKI Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, Bw. Ally Manya ameanza kazi kwa kukemea watumishi waotelekeza ofisi na kwenda kufanya shughuli binafsi, huku wakiwaacha wananchi wakiangaika kutafuta huduma.Meya

Phiri aipa uzito Mapinduzi

Na Julius Kihampa

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, ameitaja michuano ya Mapinduzi kama moja ya kipimo sahihi kwa timu yao kwa ajili ya maandakilizi ya Ligi Kuu na Klabu Bingwa Afrika.Simba ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Bara,  wakiongoza

Watanzani watakiwa kuthamini filamu za wazawa

Na Amina Athumani, Zanzibar

WATANZANIA wameombwa kununua nakala halisi za filamu za wasanii wa ndani, ili kuwapa moyo wa kuendelea na kazi hiyo. Kauli hiyo imetolewa mjini Zanzibar jana na Meneja wa nembo halisi za filamu zinazojulikana kama

Wachezaji Toto washindwa kuingia kambini

Na Addolph Bruno

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Toto African ya Mwanza, Choki Abeid, ameshitushwa na kitendo cha baadhi ya wachezaji wake kushindwa kuripoti kambini kujiandaa na Ligi Kuu Bara hatua ya lala salama.Timu hiyo ilianza kambi baada ya

Abramovich atumia bilioni 11 kusherehekea mwaka mpya

LONDON, Uingereza

WAKATI watu wengi wakifikiria watapataje fedha, lakini wengine kwa hilo si tatizo, kwao tatizo ni jinsi ya kutumia.Tajiri wa Kirusi, ambaye ni mmiliki wa timu ya ya soka ya Chelsea, Roman Abramovich,  aliamua kutumia fedha