20 August 2013

PAC YAIBANA VILIVYO WIZARA YA FEDHA



Anneth Kagenda na Grace Ndossa
KAMATI ya Hesab uzaSerik ali (PAC), ime ibanaW iz arayaFe dhan aku itak aitoe maelezoyakin aj uuyad enila fedha sh.bilio ni 249l aKampu niyaImp ortSuppor ta mbazoha di leohazij akusanywab aadayakam punimbalimbal ikupe wa miko potangu mwaka 1987 hadi2004.Hadis asa,de nihi lohalijalipw aamba pomaj inaya kampunizilizochukuamikopo hiyo, yak ionekana ni h ewa.

Kamatihiyoi ligeu kam bogoDar es Sa laam janana kudai kuw a, fedhazote zilizotolewa naKampu niinayoitwaJapanese Commod ityI mpo rt Support,s h. bilioni391 ,katiyahiz osh.bilion i14 2zimelipwanash . bi lioni24 9ha zijalipwa.Mwenyek itiwakam atihiyo, Bw. ZittoKa bw e,alis emafed hazilit olewakwaajili yams aadakwa S erika li yaTanz ania lakini ni mu damrefudenihilohalijalipwana kudai kuw a ina wezekan akunamradi waEPAambaou naen delealakini haujuli kani.
“Naonasua l a h i l i sasalimetus hinda hivyo tuna lipelekakwaKatibuwaBungeawezekul itoleamaa muzi...h aiwezek anifedha nyingi zaWatanzan iazinapoteana sisitun aendeleaku nyamaza, kila m waka deni hili halipungui kunanini?“Kamp uni900ndizozilizokopafedh a hizi ambazo zilik uw azimet olewakwaajiliyaku saidianchi y etu... KampuniyaUkusa nyaji madeni ya Ms olopa,ndiyoiliyokuwa ikifany akaziyakukusanyamadenina kuba ini baadhi ya kampuni hewa,” alisema.
A liongeza kuwa, baadhiyakampunihizo wamiliki wakeinadaiwawa lifilisika, kufa, hawajalip a,wenginewanaend eleakulipajambo ambalolina mkanga nyikomkubwa.Alisema pamoja na kuwepo kampuni hewa, waliosababisha upotevu wa fedha hizo lazima kuchukuliwa hatua za kisheria kwani kufanya hivyo ni ufisadi na wizi kwani waliongopa kwa kuweka majina feki.
“Kuna suala lingine ambalo kamati hatujalielewa...tunataka Hazina itueleze sh. bilioni 13 ilizotumia kwenye Mkutano wa African Development Bank (ADB) huko Mjini Arusha ambazo ziko nje ya bajeti zilitoka wapi wakati mlikuwa hamna bajeti ya kufanya shughuli hiyo,” alisema.
Bw. Zitto alisema suala hilo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), anapaswa kufanya ukaguzi wa hesabu ili kujua kama zilitumika kwa shughuli hiyo.
Aliongeza kuwa, pia kuna suala la viti, meza, sofa na vitu vingine vilivyoachwa katika Ukumbi wa Mkutano wa AICC ambavyo kama vingerudi vingepelekwa kwenye ofisi ya Bunge iliyopo Mjini Dodoma.
Pia alihoji kompyuta ndogo (Laptop) 220, printa 120, televisheni 40 za inchi 60, zilinunuliwa kwa kazi gani na kwamba zilikuwa na umuhimu gani katika mkutano huo.
“Huu ndio utaratibu wa Serikali katika kuendesha mikutano, mwingine ukitokea eneo lingine mtanunua vifaa vya namna hiyo?” alisema Bw. Zitto.
Akijibu baadhi ya hoja zilizotolewa ndani ya Kamati hiyo, Kamishna wa Fedha za Nje, Bw. Samweli Maro, alisema zipo kampuni zilizopeleka fedha hizo kwa Kampuni ya Msolopa na nyingine zimekaidi na kudai hazikupewa fedha hizo hivyo vi vyema uchunguzi ukafanyika.
Naye Kaimu Katibu Mkuu Wizara hiyo, Bi. Elizabeth Nyambibo, ambaye alionekana kuelemewa na maswali, alisema ushauri na maagizo yaliyotolewa na kamati yatashughulikiwa

1 comment:

  1. Kamati imefanya kazia nzuri.
    Nina maoni juu ya fedha zinazolipwa nchi za nje wakati huduma zikifanyika nchini .Mfano mtu ana logde huku Tanzania lakini malipo yanafanyika Afrika kusini au ulaya hata india ,mnapata vipi kodi zenu na hiyo lodge inatufaidishaje?
    Kwa sababu hata booking inafanyikia huko huko hivyo hakuna nafasi za kazi zinazopatikana za kutosha wala kodi kamili ya kutosha

    ReplyDelete