05 September 2013

NMB YAWAPA MBINU MPYA WAKULIMA



Na Mashaka Mhando, Korogwe
BENKI ya National Micro- Finance(NMB) imetoamafunzo yawiki mbili kwavyamav ya ushirikavya wakulimawampun gawilayani Korogwe, ma funzoya liyolengakuwaongezea uwezowa namnawatakavyoweza ku viendesha vyamahi vyokatika dha nanzimayakuondo auma skinik wawa nacham a wao.

Mafunzo hayo ambayo yalikuwa yakitolewana mkufun zi wama funzo hayo, Alfre dC honyayalian zatanguAgosti 17, mw ak ahuun aku fungwaSeptemba3naM kuu w awilaya yaKor ogwe, Mrish oMashaka Ga mboyaliyof anyikam ji mdogowaMombowilay aniKor ogwe.
A kizungu mzakat ikamafunzo hayo,Ga mboalise maniush ahidi ulioku wawaz i kwaBe nki yaNMBambayo imek uwaiki fadhili m iradi mbalimbalikati kawilayahiyokilainapoom bwahivyomafunzowan ayotoakwa wana ushirika yatasa idia kuongeza uelew awa namnayak uendeshav yamahi vyovyau shirika kutokana nakwamba mar anyingiv imekuwavik ikabiliwanamatat izolukuki.
" Kaziya kutoaelimu ilikuwa itolewe naSe rikaliku pitiamaofisaushi rikawaliop o,lakini wenze tuwaNMBkwakujali namnaya kus hirikia na na watejawaowam eonanivyemaw akatoamafu nzohaya k wa niaba y aSerikali tunawapongez ana tu nawaombamuwe na moyoh uow akuwasaidia watejawenu ," alisema .
Alis emalengola Serikali kuanzishaush irikaliliku wa kuwakomb oawaku limanawana us hirika mbalimbalih ivyosualalaNMBkutoa mafunz ohayo kutakuw aniukom bozim kubwaingawaa lis emamara nyingi mafunzohuw ayanat olewakwa viongozi waus hirikaakaon eshahajayawaka ti mw ingineni vye ma wan ach amanaowakafa idikanamafunzoy anamna hiyo.
Gambo al isemaSerikali ina nia njemaya ku wasaidiawajasiriamali wadog oiliwaweze kujikwamuakiuchuminasual alab enkiya NMBkusaidia v iku ndih iv ikatik aw ilaya yetu nijambolafaraja kubwa kwasab abu lita wa fanyaw awezekuendes havikundi vy aokwautaalamuna umahiriwakuf unga ma hesabuna kukopa kwa makini namarejes hoyake.
Awalimkuf unziwamafunzohayo Ch onyaamb aye alisema mafu nzoha yo wameya toakupitia idarampy ayaN MB yaMa endeleoyaKilimo(NFAD)'FoundationFor Ag ricultur al Develo pment', alise mavikundim balimbal i walivyowapamafunzo waliwezakuwafundisha waj ibuwa bod i zamik opo ,wajibuwakat ibuaumen ejawas acco's, Misingiy aUta wa la Bora , Si fa yakiongoz ib oranawajibunahaki kwawanachama.
"T umeweza kuwapa mafunzo haya katika ngazimba limb ali kwamfanounapos emasifayakiongozi boraniipinilazima awe mkwelidaim a, hu on gozakwakuonesh an jianapiaaweana fuata misingiya uta wa la bo ra k wakuwamwaminifukwawenza kenayale anayoyafany a," a lisemaCh on ya.
Meneja waN MBTawilaKorogwe,E rast oMwam alumb ili, alisema benki hiyo imeanzisha idara hiyo mpya kwa lengo la kuwafuata wananchi kule walipo hasa katika maeneo ya vijijini kwa ajili ya kuwajengea uwezo wa kukopesheka kwa ajili ya kuongeza mitaji yao ya kilimo na vyama vyao vya ushirika.
Alisema baada ya mafunzo hayo ya awamu ya kwanza wanataraji watatoa tena mafunzo ya awamu ya pili ili waweze kuwasaidia wakulima na vyama vya ushirika vilivyopo katika wilaya hiyo ya Korogwe.
Akitoa shukurani zake Mbunge wa jimbo la Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani 'almaarufu Profesa Majimarefu', alishukuru benki hiyo akieleza kwamba imekuwa mkombozi mkubwa kwa wananchi hasa waliokuwa vijijini na kwamba atakuwa balozi wao bungeni kwa kuishawishi Serikali itazame kwa jicho la pekee kwa vile imekuwa ikiwasaidia mno wakulima na wananchi kwa ujumla wenye kipato cha chini..

No comments:

Post a Comment