10 September 2013

KIWANDA CHA KOMPYUTA CHAANZISHWA NCHINI



 Frank M onyona FatumaMsha mu
KAMPUNI yaNordicy anchini Denmarki me anzisha ki wandachak utenge nezakompyuta jijin iDar esSalaa m.

A kizung umza nawa andishi wahabarijanaD ar esSalaamMkuru genziwa kampu ni hiyoChris Adleralisem alengolakufu nguakiw anda hich onchin i ni kutoa fursa zaajirak wav ijanawaKitanzaniapamojana kuwah amasis ha Watanza niakutumiabidhaazaKitanzan ia.
"Tunalengo la kuwaajiri vijana kumim pak ak ufikiamwish owamwak ahuun atunate gemeaz aidi ya3 0na vija nah aohawata pataajir ape keyakebal iwat ajifunzakwa vitendo sehemu za kazi," alisema Adler.
Alisema, k utoka nanaupun gufu mkubwa wasokola bi dhaahiyowameamuaku in gizas oko nibidhaa zitakazokuw anaubor awakim ataifapamojana ku zifanyi ama tengene zokompyu tazawatejak waharakana kutumia teknolojia ya hali ya juu na kuepusha kusubiri muda mrefu.
Naye Ofisa mauzo wa kampuni hiyo Clement Mugabo alisema kuwa kiwanda hicho kitakuwa mkombozi kwa watumiaji wa kompyuta, kwani hawatapata shida tena katika kuagiza kutoka nje ya nchi na badala yake watatumia kompyuta zinazotengenezwa hapa Tanzania na pia watajifunza kutumia bidha za nyumbani, kwani ni nafuu na zina ubora wa hali ya juu.
Al i s ema k uwa , No r d i c wameshirikiana na kampuni za kimataifa za uuzaji wa kompyuta duniani ili kutoa huduma bora kwa Watanzania hata hivyo kompyuta hizo zipo katika makundi matatu na kila moja lina uwezo tofauti kutokana na mahitaji ya mtumiaji, makundi hayo ni zile kompyuta za biashara, ofisini na za matumizi ya kawaida.
Pia aliwataka Watanzania kuthamini na kutumia bidhaa zinazozalishwa ndani ya nchi, kwani zinapunguza gharama za uagizaji wa kompyuta kutoka nje.

No comments:

Post a Comment