10 September 2013

KINANA, NAPE KUTUA SHY LEO



KATIBUMkuuwaChamaChaMapindu zi (CC M) Taifa, Bw. Abdu lra hma nKinana,le oanaanzaziarayasikun ne mkoan iSh inyanga ambapopamoja namambomengine, atakaguau teke lezaji wa mirad iyamaend eleokatika wilayazote,a na ripotiSule imanAbeid, Shinyanga.

A kizungumzanaw aan dishi wahabari jana, K atib uwaCCMmkoani humo, Bw. Adam Ngalawa, alisemaBw. Kinana piaa taangaliautekele zaji waIlan i yaUchaguziyaCCM,kutoa k adikwa wanacham a wa pyanakufany avika ovy andani ilikui ma rishau haiw ac hamahicho.
Alisema msafara wa Bw. Kinana aki wemoKatib uwaNEC, Itikadi naUene zi waC CM , Bw. NapeNnauye ,kesho(leo),saata tuasubuhiu tawasil i katika Ka taya Isaka, w ila yaniKa hamawakitokea WilayayaNzeg a,mkoan i Tabora.
Akiw a k atika katahi yo,a tapok eataarifayautekeleza jiwa kaziza CC MWilayanaMko a, ta arifa yaSe rikali, k ug awakadikwawanacham awa pya nakus alimia wananchika blayak we ndakatikaKatayaM wendakuli maambakoataka gu amiradi yama endeleo ukiwemoujenziwa Kituo cha Afya Mwendak ulima.
Pia Bw. Kinana ataweka jiwe la msingi katika Ofisi ya CCM, Kata ya Majengo, kufungua shina la wakereketwa la Mkombozi SACCOS Majengo na kufanya kikao cha ndani na viongozi wa kata, matawi, mabalozi, wazee na madiwani wa CCM wilayani humo.
Bw. Ngalawa alisema mchana Bw. Kinana atafanya mkutano wa hadhara Uwanja wa CDT ambapo kesho atakwenda mjini Shinyanga ambako atakagua shughuli mbalimbali za maendeleo katika Wilaya hiyo, kushiriki katika ujenzi wa hospitali ya Wilaya na kufanya mkutano wa hadhara Kijiji cha Salawe.
Alisema ziara hiyo itaendelea katika Wilaya za Kishapu na Shinyanga Manispaa ambako atakagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo kama ilivyoainishwa ndani ya ilani ya uchaguzi ya CCM mwaka 2010.
Bw. Kinana na msafara wake, wataondoka mkoani Shinyanga Septemba 14 mwaka huu kwenda mkoa mpya wa Simiyu ambako pia atakagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM na kuimarisha chama hicho wilaya zote za mkoa huo

No comments:

Post a Comment