07 August 2013

KODI KUUA ZAO LA ZABIBU NA SOKO


Na Rehema Maigala
UTOZWAJI w ak odi katika ununuzi waza olazabibumko ani D odom aut asababisha zaohilokufan awakulimakukosamasokokama ilivyosa sa.Aki zungum zambel eya wa andishi wa habari janajijini Dar esSalaamMkurugenzi M kuuwaKampuni ya Tanzania Distilleries Limited,Dav idMgwassa alis ema utozwaji wako di katikazaohilolina sab abishawanun uz i kukimbilianjeyanchi b adalayakunufaisha zabibuziliz opohapa n chini.

Alise maKam puniya Konyagi imefufuaza olaza bibumkoani Dodoma k wakw en dakuwa chukuliawakuli mambeguyazabibuAf rika Kusiniili wanunu zi wasifua tezaohilo nje ya nchi na wanufaishe wakulima waliopo ndani ya nchi.“Zao la zabibu bado halijakua hapa nchini na kitendo cha wanunuzi kulipishwa kodi ni njia inayosababisha wakulima kutopata wanunuzi kutoka ndani ya nchi,”alisema Mgwassa.
Aliongeza kuwa kampuni yao inanunua asilimia 90 ya zao hilo mkoani Dodoma na hununua kilo moja kwa sh.800 huku soko la dunia huuza kilo sh.200 .
“Tunafanya hivyo ili wakulima wetu wa Tanzania waongeze uchumi wao na waone faida ya kilimo ndani ya nchi yao,”alisema Mgwassa.Hata hivyo alisema mwaka jana walinunua zabibu zenye thamani ya sh.bilioni 1.8 na mwaka huu watatumia sh.bilioni 2.3.

No comments:

Post a Comment