Na Heckton Chuwa, Same
CHAMAkikuuc
ha ushir ikakatika w ilaya z aMwangana Sam e,mkoaniKili manjarochaVuasu, (VC
U),kimeuza jumlay akilozaka haw asa fi52,928zenye d ham an iyash .m ilioni
226.4,kwenye mn adaw akahawaunaoen deshwanaBod iya kahawa nchini,(TCB), katika
msimu wa 2012/13
.H ayoya
meelezwan a mwenyekitiwaVuas uBw.Elinaz iBerya,wakati wamk utanomkuuwa2 9wacha
mahicho, uliofa nyik am jini Same, Mkoa wa Kilimanjaro, hivi karibuni.Katikataarifa
iliyotolewa kwa niabayakenameneja mkuuwaVuasu Bw.J ohn Kiure,Bw. Be rya
alisemakuwak atikamsimu2012/13 , cham ahicho tayari kilikuwa kimesh aku sanyaki
lozakahawa73,519zakahaw aha di kufikia Mei, 201 3.
"Makusanyohaya
ni nje ya lengolakukusanya kilo 100,000zakahaw a; upungufuhuuumetoka na nahaliya
uk ameamb aouliathiri uza lisha jiw akaha wa,"ali sema.Mw enyek it
ihuyopiaalisemakuwambalinam apato hay o, chama hicho kikuu pia kilipata mapato
menginek uto kanana k upan gishamajengo naseh emuzaofisi zinazomilikiw anachama
hicho.
"Chamak il ipat ajuml a yash.12,6
54,000kutokananakuk odishanyumba na baadhi ya ofisizetu,w akatibiash aray
asukari ilitui ngizi ash. mi lioni9.3, "a lisemanak uong ezamapatoyau
kodish waji wa ofisiyang eongez eka iwapoofisizotezinge patawapa ngaji.
Ku husumip angoya baadaye ya
chamahicho, Bw .Bery a a lisemakuwa u ongoziwabodiwachama hichokin amipang o y
akujenga hoteli nau kumbiwam ikutanoambavyo alisema vitakuwa vitega uchumi vya
chama hicho kikuu.
Alisema kuwa pia chama hicho kimeanza
mchakato wa kuanzisha mgahawa wa wa kisasa ambao alisema mbali na kukiongeza
chama hicho mapato, pia utachangiaji uongezaji wa unywaji wa kahawa kwa soko la
ndani.
"Aidha pia tumeanza mchakato wa kuwa wakala wa pembejeo za kilimo
za aina mbalimbali kwa ajili ya wanachama wetu na wakulima wengine,biashara
ambayo ina faida kubwa; hii pia itatusaidia kuongeza mapato ya Vuasu,"
alisema.
No comments:
Post a Comment