30 July 2013

MILA POTOFU ZACHANGIA VIFO VYA WATOTO MORO



BAAD HIyaMilanaD esturi zime tajw akuch angia vifovya ak inama ma wajawazitonawa totowaliochini yaum ri wami akamitanokat ikabaadhi ya maen eoyaMk oawa Morogo ro,an aripotiMwandishi Wetu
.Waki zung umzanaw aandishi w aha bar i,baadhi yawakaziwaKijiji cha Kibagara,Ka tayaT chenzema Wilaya yaMv omer o,m koani Mo rogoro, Ve nera ndaKibua,a lise mamilazao zimekuwazikichangiavifovya watotobaada ya mtotok uzaliwa.Mila hizoz inakataz amtoto kunyonyeshwa maziwa ya mamamara baada ya kujifungua kwa madai kuwa nimachaf u.
“Kwamilazetuz aKi lugurumtotoakizal iwahanyonye shwi maziw ay aleya kwan za yana yotokakwa mamayake kwaimani kuwani machafu,hivyo mama hulazi mikakuyak amuahali in ayochangia m totok ukosavirutubisho,” alisem a.Aliongezakuwakatika mila na desturi hizo jamii ilielew a kwa mb amto tomwenye umrichiniyamiakamitanonila z imaan yweshweuji wa mahi ndi ya liyokobole wana kulowe kwaja mboambalo alisema nihatari kwaku wauji huohaun avirutu bisho.
Naye,Mwenyek iti waKit ongoji chaT chenzem a, PriscaMwenda , alisemakwa s asajamiihiyo imeanzakuelewa umuhi muwakuzing atia masualayalishebaad a yakupataelimukut oka KituochaUshauri Na saha chaChak ula na Lishe(C ECOFON).“Vi tuambavyo vilikuwa havipewi kipaumbele na wananc hi wa kijij ihiki ni ma sualayalishe nandiyomaanavifovyaw atotonawaja wa zitovil ikuwa vikiripoti was ana, lakini tang uwananchi waanze kupewa mafunzovif ovimepungua,”a lisema.
A lisemakati k a kit ongoji hichow am eanzakupiga vita nakutokom ezamilazinazokinzan anaunyony eshajib orakwal engola kuhakikisha kwamba wananchi wanazingitia lishe bora.Alisemajap os ualala lishekwakiasikikubwalinachangi wan akipa toduni, lakin i wan ajitahidi kuhakiki shaelim uin awafikiawalengwahasaikizingatiwa kwambamk oahu ounazalish a vyakula kwa wingi.
Alitajaba adhi yachan gamoto wanazokabiliananazoni baadhi yaviongoz i wadini nas erikali kutozungu mzia masualaya lishewakatiwa nafahamuk wambabilanzuri ma endeleo hayawe zikupatikana kwa har aka.  

No comments:

Post a Comment