26 July 2013

MADIWANI WATAKIWA KUACHA KUFANYA KAZI KWA MAZOEA



NaMwandishi wetu, Ma kambako
MADIWANI na watendajiwa idaramb alimbali katikaHalma shauriyaMji Makam bakowame tak iwakua chakuf anya k azikwam azoea nabad alayakewa tumi efursazil izopopamoj anarasi limali watuilikuch ocheak asi yaukuaji wa maendeleo katika halmashauri hiyo.Kaulihiyoi me tolewanaMkurugen zi Mku uwaMamlak a ya Uendelezaji wa Bondela MtoRufiji(RUBADA),Aloyc eMas anja, wakati waseminay akuwajengea uwezowat endaji n am adiwani wahal mashaurihiy oju u yaMpangowaUendelez ajiw aKilim o katika UkandawaKusini mwa Tanzania (SAGCO T)
.“Nduguzangun aom batufanyekazi, haya mamb oyakul aumiana hayawezik utuf ikishapop ote,ni vyema kil amtuakatim izawaji buwakemahal apakepakazi,ili kufikis ha taifah ili kule lina kotaki wakwenda,”alisema .Aliwaombamadiwani na watendaji kutoa ushir ikianokwa mamlakahiyokwakuain ishama eneoambayoyanafa akwakilimoiliyawe ze kuta futiwaw awe kezaji wata kaowek ez a katik a sektahiyo hapanchiniilikuletamaendel eo.
“Mamla kasikuzote in ahakikishawananchiwa nafa idikasambamba nauwek ezaji unaofanyikakatikama eneoyaonawaomba wana Makamb akomlit ambue hilo,” alisisitizaMas anja.Aliwatakawatend ajihaokuwatumikia w ananchiwao kwa nguv uzaoz otei kiz ingati wakuwam ji hu obad onimdogona unahitaji kuendelezwakwakiasikikubwai li kuubadilishi sha to fauiti nailivyo sasa. Ali wakumbushawaten daji haokuwakati ka mkakati wa seri kaliwamatok eomakubwasasa, (BigResults Now) hakunakulalan akwambakasi k a ti ka kufanyakazizakuwatu mik ia wan anchi ndiojambo lamsingi.
Akizu ngumza kwaniaba ya mad iwaninawatendaji wah almashauri yamji Makambako ,Mwenyekiti wahalmashauri hiyo diwani,Ch escoMfikwa, alisemah almasha urihiyo imejip an gavyemakuibua miradi mingiyama endeleo .“Sis iwanaMak ambakotupo tayarik ushirik ianana RUB ADAkatikam pango waSAGCOTili kujeng auchumi wa mji wetu nawatuwe tu ili tuweze kujitegemea,” alisem aMfikwa.
Aliongezaku was emina waliyopata kuto kakwa mamlakahiyo imewafungua macho kwa kiasi kikubwa hivyo mkakati wao ni kutoa ushirikiano wa kutosha katika kuendeleza kilimo hasa kilimo cha umwagiliaji katika eneo hilo.“Semina imetujenga kwa kiasi kikubwa mimi nikiwa mwenyekiti nitakuwa mstari wa mbele kuwahimiza vijana kujiunga katika vikundi vya uzalishaji mali ili kukuza kilimo katika halmashauri yetu na kuleta mabadiliko ya kweli,” alisema

No comments:

Post a Comment