24 May 2013

Mchumba wa Dkt. Slaa ‘kicheko’

Na Rehema Mohamed


 MAHAKAMAyaWilayaya Kinondoni, Dar e s Salaam, imetupilia mbali rufaa iliyokatwana Bw.Am inielMaimbo aliyedai kuwa mumewaBi. Josephine Mushumbusi ,baada yakuiona rufaa hiyo hainamsingi wa kisheria.
Hu kumu yashauri hilolamadaiya ndoa namba32/2012 ,ilitolewa jan a naH akimu AnisethWamburaambaye alisema m ahakama hiyo imefikiauamuzi huobaadaya kukubaliana na hukumu iliyotolewa Aprili2012 na Mahakama ya Mwanzo Sinza.
Bi.Mushumbusi alikuwa akitetewa nawakiliBw.Philemon Mutakyamilwa, ambapo katika hukumuya awali m ahakama hiyo ilidaihakukuwa  nandoa baina ya watuhao kwasababu  Bw.
Maimbo alikuwa mzinzi,si mwaminifu katika ndoayake na alikuwa akimtesamkewe.
HakimuWam bura alisema, baadaya mahakama yakekusikiliza hoja zamwomba rufaa namjiburufaa, mahakama hiyoilik ubalia nanahojayaBi. Mushumbusi kuwa tabia mbaya ya uzinzi na ukosefuwauaminifu katika ndoayake hapakuwepon andoabaina yao. 
“Mahakama hii inasema kuwa, hukumu yamahakamayaMwanzoSinzaa mbayo iliivunjandoa hiyo ilikuwa sahihi, ”alisema .
Akizu ngu mzabaadayakutolewakwahukum u hiyo, Bw. Mu takyamilwa alidai kufurah ishwa nauamuzi huonakuongezakuwa, mahakama hiyoi metenda hak I kwasababukesi hiyo yamadai yatalaka ilikuw anam sukumo w asia sachafuam baz ozilikuwan ale ngola kumchafulia jina mteja wake.

No comments:

Post a Comment