16 May 2013

Madiwani wawasimamisha kazi watumishi kwa ubadhirifu

Na Queen lema, Arusha


BARAZA la Madiwani Halmashauriya ArushaVijijini,WilayayaArumeru limewasimamishakazi watumish iwatano wahalmashauri hiyokwatuhuma zaubadhirifu.
Watumishi hao wanakabiliwanatuhuma yaubadhirifuwash.milio ni 56 6,654,173zilizoto lewa kwaajili yakujenga vyumbavyamada rasaka tikabaadhi ya shule za sekondari zahalmashaurih iyo.
M wenye kitiwaHal mashauriyaArusha,Bw.Sai monSaning'o, akitangaza uamuzi huo
jana,a lisemamhusikamkuu katikakatikashauri hilo ni wasaidizi wake watatu .
Alisemawatumi shih a o wamesimam ishwaku pishauchunguzi.Alionge zakuwa wamebain ikabaada yaMku rugenzi Mtendajiali yehamish iwakatikaHalmashauri hiyo kumuagiza Mkaguzi wandanikatikahalmashauri hiyo, Bw. Jackson Laizer, kufanya ukaguzi.
Mwenyekiti huyo alisema wamebaini wizi wa fedha hizo Februari, mwaka huu na kuwa mchezo ulianza kufanyika Desemba mwaka uliopita.
Alisema kuwa, fedha hizo hazikupelekwa shuleni kama ilivyoelekezwa.
Mkaguzi huyo anadaiwa kubaini kuwa hati za malipo ziliandaliwa nje bila mfumo funganishi wa EPICOR na malipo kufanyika bila hidhini ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, malipo kufanyika bila vifungu vya bajeti na hati za malipo zilizoandikwa kwa mkono.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha kwa sasa, Fedelist Lumato akizungumzia tukio la kusimamishwa kwa watumishi hao, alisema kuwa watumishi hao watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

No comments:

Post a Comment