16 May 2013

Waandishi wa habari washauriwa kujilinda



 WAANDISHI wahabarinchini wametakiwa kuhakikisha wanajilinda dhidiya maaduiwabayakwaki lekilichoda iwakuwahivisasausalama waonimdogo, anaripoti AnnethKagenda.
Wito huo umetolewaDaresSalaamjananaMwe nyekitiwaMakampuni ya IPPkwenyeMk utanowakenavyom bovya habari ulio lenga kuang alia nikwajinsi ganiusalam awawaand ishi utaboreshwa.
“Lakini ninachoweza kusema nikwamba maran yingiwapowa andishiambao wame kuwa wakihata risham aishay awaa ndishiwenzaokwa kutoa s irinje... jamani naombat abiahiitu iacheili
tusitoemwanya kwa ha owaba yakuhatarisham aisha yetu,” alisema.
Alisema wengine ambaowamekuwa wakisababisha waandishikupigwa,kuteswana kuuawaniviongoz iwasiokuwa waadilifua mbaowamekuwa wakishiriki ananawaandishi wasiokuwa waadilifu kufanyavitendo viovu.
Bw. Mengi alisema kwa muda mrefu sasa Tanzania imekuwa ikitajwa kuwa ni nchi ya amani, amani lakini kwa wakati huu mambo yanayojitokeza yamekuwa yakitisha wananchi.
Hata hivyo, alisema usalama unaotakiwa kwa waandishi ni kuanzia kwa mmiliki pamoja na mwandishi mwenyewe. Mratibu wa Kitaifa katika mtandao wa utetezi haki za Binadamu, Bw. Onesmo Olengurumwa, alisema usalama wa waandishi ni muhimu kwa taifa lolote linalotaka kusonga mbele.
Alisema ni jambo la kusikitisha kuona kila siku waandishi 30 duniani wanauawa kuteswa na kupigwa.
“Taifa lolote linalotaka maendeleo haliwezi kukwepa waandishi wa habari, lakini pia usalama wa waandishi unatakiwa kwani bila wao hatuwezi kujua ni fedha shilingi ngapi zimeidhinishwa kwa ajili ya maendeleo."

No comments:

Post a Comment