24 May 2013

Lumumba walilia kujengewa daraja

Na John Gagarini, Kibaha




MTAA waLumumba wilayani Kibaha unahitaji zaidi yashilingi milioni tisa kwa ajili yakuweka nguzotatu  zadaraja lambaokwenyekivuko cha mtoMpijimpakani mwa wilaya yaKibaha na Kinondoni.
Akizungumza na mwandishi wahabari hizi Mwenyekiti wa mtaahuo, Gidion Tarimo alisema kuwa daraja hilo nim uhimu kwaokwa ajili yakupata mahitaji yaoyakila siku ambayo huyapata mtaa waKibw egereWilayayaKinond oni,Dares Salaam.
Tarimo alisema kuwa Wi layayaKinondoni kwaonikar ibu ukilinganisha na Kibaha Maili Moja hivyo daraja hilolinahit ajikufanyiwamatengenezoili liwezekupitika kwaurahisi hasa kupitishamagari ambapokwasasahayapiti.
"T ume azimiakujenga
darajah ilohad imagari yawez eku pitaa mbapokwas asamag ari hayapiti ha ta hi v yotumepigahatuakwa ni zaman iwatuwalik uwawakipitam toni moja kwamojalak ini kwasasah awag usi m ajinamaji yalipokuwayakijaawatuwalikuwa hawawezi kuvuka kwenda ng’ambo ya pili," alisemaTarimo.
Alise makuw a hadikufikiahatuahiy owame tumia kiasi cha shilin gimilioninaneambapowa nanchi wamej itol eahuk ufedha za mfukowaJim boni kiasic hashilingi milioni mbili.
" Changam otozam atumizi yadarajahili n ikubwakwaniilimtuupate huduma mbalim ba li za kijamii lazimauvukenakama k unamama mjamz ito lazimaash ushwekwenyep ikipi kiamba zohutumik ahaliam bayosi sal ama kwawa gonjwa wanamna hiy o,"alisemaTarimo.
Aidha alisema kuwa tayari wameshapeleka baruakwamkurugenzi wah almas hauri yaMj iwaKiba hakusaidiwa fed hak wa ajiliya ujenzi wadaraja hilo.
Aliwaomba watu na mashirika mbalimbali kuwasaidia ili kufanikisha ujenzi huo ambao unatarajiwa kukamilika ifikapo mwaka 2015 ilikurahisisha mawasiliano na sehemu za huduma.

No comments:

Post a Comment