29 November 2012

WAWEKEZAJI


Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza (wa pili kulia), akizungumza na wakazi wa Kijiji cha Gwata, mkoani Pwani, wakati wakati wa kuwatambulisha wawekezaji watarajiwa wa kilimo cha mpunga na miwa ambao watatumia treni ya TAZARA, (wa pili kushoto) ni Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania Bw. Raymond Mbilinyi, Kulia ni Meneja wa Mkoa wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) Mhandisi Abdallah Shekimweri. Kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya SAGCOT, Bw. Godfrey Kirenga. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment