30 November 2012

MAONESHO


Rais wa Shirikisho la Maonesho ya Kimataifa la Meridyen ya Uturuki, Bw. Oguz Yalcin, akimkabidhi Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Abdallah Kigoda, kitabu cha  mwaliko wa kushiriki maonesho yatakayofanyika nchini humo hivi karibuni, mara baada ya kutembelea maonesho katika  Viwanja vya Maonesho vya Kimataifa vya Mwalimu Nyerere Sabasaba, Dar es Salaam jana. (Picha na Prona Mumwi)

No comments:

Post a Comment