10 September 2012

WAISLAMU WAKISWALI NJE YA JENGO LA MAMBO YA NDANI YA NCHI DAR

Maelfu ya Waislamu wakiswali nje ya Jengo la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Dar es salaam jana,baada ya kufanya maandamano ili kushinikiza wenzao waliokamatwa kwa kuhamasisha watu wasishiriki Sensa ya Watu na Makazi waachiwe huru.Picha na Sittu Athuman

No comments:

Post a Comment