23 August 2012

Vunja na Vurugu


Baadhi ya wafanyakazi wa Yono Action Mart, wakivunja Nyumba namba 80 kwa amri ya Mahakama. Kuvunjwa kwa nyumba hiyo iliyoko Kongo na Mkunguni, kulizusha vurugu kubwa zilizosababisha Polisi kurusha mabomu ya machozi kutawanya watu, Dar es Salaam jana. (Picha Charles Lucas na Shufaa Lyimo)

No comments:

Post a Comment