24 August 2012

Ombaomba


Mwanamke anaeshi katika mazingira magumu akiwa na mtoto wake kando ya makutano ya Barabara ya Nyerere na Uhuru, Mnazi Mmoja wakiwa wakijiandaa na shughuli ya kuomba msaada kama walivyokutwa na kamera yetu jana, Dar es salaam jana.(Picha na Sittu Athuman)


No comments:

Post a Comment