24 August 2012

MWEKYEMBE


Waziri wa Uchukuzi, Dkt Harrison Mwakyembe akitoa tamko la kuwasimamisha kazi baadhi ya Watendaji wa Mamlamka ya Bandari Tanzania (TPA) kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)Dar es Salaam jana, hatua hiyo imechukuliwa kufuatia tuhuma za wizi, rushwa na utendaji mbovu. (Picha na Heri Shaaban)

No comments:

Post a Comment