26 June 2012

YANGA WAKIJIFUA

Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi mepesi kando ya ufukwe wa Bahari ya Hindi, Dar es Salaam jana, kujiandaa na michuano ya Kombe la Kagame inayotarajiwa kuanza Julai 14, mwaka huu. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment