30 May 2012

ALBINO


Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Under The Same Sun, Bw. Peter Ash (aliyeinua kofia), akiwahimiza watoto wenye ulemavu wa ngozi (Albino), kuvaa kofia ili kujikinga na jua, alipotembelea kituo chao kilichoko Shule ya Msingi Jumuishi ya Buhangija, mkoani Shinyanga hivi karibuni. (picha na David John)

No comments:

Post a Comment