18 January 2012

Mchezaji wa timu ya Taifa ya Kikapu, Alphaeus David, akiagwa na Baba yake, David Kisusi (kushoto), alipondoka Dar es Salaam jana, kwenda Nchini Canada, baada ya kupata udhamini wa kujiunga na Chuo Kikuu cha Newfounde Memorial. Kulia ni Mama yake mzazi Elizabeth Kisusi. (Picha na Nyakasagani Masenza)

No comments:

Post a Comment