03 September 2013

RUFAA YA DPP DHIDI YA MAHALU YAKWAMA



Na Rehema Mohamed
MAHA KAMAK uu KandayaDares Salaam imeshindw a kuanzakusik iliza Rufaaya Mkurug enziwaM ashta kanchini( DPP) dhidi yaal iyekuwaBaloz iwaTanzani anchini Italia,Pro fesaCost aM ahaluna mwenz akekuto kanan akutope wakumbuku mbuzakes i yauhujumuuchumiiliyo ku waiki wakabili katikaMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu .

Katikakesihiyo Mahalualishtakiwa pamo ja naaliyekuwa MkuuwaFedhana Utawala katika ubaloz i hu o, Gra ceMartin.JanaRuf aah iyoil ile twamahaka maniha pombe leyaJaji JohnUtamwakwaaji li yakua nza kusik ilizwa a mba poupan dewaMashta kaulikuwau kiwak ilishwanawakiliwa serikali, TimonVitalis na walikuw ataya ri kwausiki lizwaji.
Hatahiv yo,Jaji Uta mwaaliieleza mahakama kuwa,ha watawezakusikilizakesi hi yokutokana nakutopewa rekodi hizo za ma hakama.Katika hatuanyingine W akili wa Utetezi,Beatu s Malimaalielezakuwam aw akiliw anaomteteamrufan iwakwanz a(Prof.Mahalu) ambaon i AlexMgongolwanaMabere Marand o wanaudhu ru, hivyowameshindwa kufika mahaka mani hapo.
Kutok ananahal ihiyo,Jaji Utamwaalia hiri shas hauri hilohadi No vemba11mwaka huu kwa ajiliyausikiliz wa ji.Baa dhiy ahoja zaDP Pkatika rufaahiyo ni pamoja nak wambahakimu waMa hakamaya HakimuMkaziKis utualikose akisheria kusemak uwa, mjiburufani kusa ini mikatab amiwili hali kuwakosalajinai.
Hoja nyingine ni kwamba, hakimu huyo alikosea kisheria kukubali na kutumia ushahidi usiokubalika na kuwaachiwa huru wajibu waliokuwa washtakiwa wa kesi hiyo.Nyingine ni kwamba alikosea kisheria kuamua kuwa, upande wa mashtaka haukuweza kuthibitisha mashtaka yao bila kuacha mashaka yoyote.
Kutokana na hoja hizo, DPP anaiomba mahakama hiyo itengue hukumu hiyo iliyowaachia huru Mahalu na mwenzake kisha iwatie hatiani na kuwahukumu adhabu kwa mujibu wa sheria na kutoa amri nyingine yoyote itakayoona kuwa inafaa.
Prof. Mahalu na mwenzake walikuwa wakikabiliwa na mashtaka sita yakiwamo ya uhujumu uchumi na kuisababishia Serikali hasara ya Euro 2,065,827.60, katika mchakato wa ununuzi wa jengo la Ubalozi wa Tanzania nchini Italia.

No comments:

Post a Comment