05 September 2013

MSWADA WA KATIBA WACHAFUA BUNGE



 Anneth Kagenda na Goodluck Hongo
MUSWAD AwaS he riaya Mabadilikoya Katib awaMw aka2013, u mesababishaB ungelaJamhuriya Muungano w aTanza nia linaloen de leamjiniDod omakuwaka ‘moto’nakus ababi shawabu nge waCHADEMAna CU Fkuw ak itukimoja na ku amuaku tokanj eya ukumbi waBunge.

Tukiohio lilitokea jana jioni mjini Dod oma ma rab aadayaMnadhimu waKambiya Upin za ni, TunduLissu,kuwasilisham aoni yakambi hiyo, h uku akieleza kuwawa nanchiwaZan zibar h aw akush irik ishwa kwe nyemaoniyarasimuyaKatiba
H alii lianzakuc hafukamara baadayaLisu kumal izakuwasi lisham aoni yaka mbi yake am bapo aligusiak wakin akutengwakwaZ anziba rna kuita kaSerikali kuliangalia upya sualahi lo.
Al isemaKatibahiyo it aonekanani yaubagu zi kutok anan awananchi waZa nzibar kutoshirikishwanaikip itakamailivyopendekezwa na SerikaliitakuwanasurayaCCM. Aliomba Bunge li sip itishe mu swadahuo ku washeria .
Piaali semawanapinga Rais kuteuawajum bewaBu nge ma alum, kwani kwakuf any ahivyokunauwez ekano wayeyekuch agua watuambaoanaw ahitaj i. PiaLissualiainis hakaso rombal imbali zilizomokw enyemu swadahuo.
Baadaya kumali zak uwasilishamaoni y akambiya upinzani, al isimamaMbungewaJimbolaMkanyag eni Zanz ibar Habib Mnyaa , kuomba mwongo zo kwa NaibuSpika JobNdugai,ambapoalihoji kwa mbaik iwaZa nzibarimetengwakati kakut oamaoni ni kwanini mjadala huo uendelee bungeni?
“Mhesh imi SpikaAprili 5, 2011niliombamwongoz o waspika... kuhusiananawaj umbewa tumekushindwa kwe ndaZanzi barw akati kunaOfi siyaBungekul enikwanini waish iekw en ye mik oatu .”Narudiaten a leom aoniyak amati yamesikili zawada uweng in etu nasiyoZanzibar sasakunauh alal igani waku endeleak ujad ili sua lahiliik iwaZanzibar haijashirikishwa?”alihoji Mnyaa.
PiaMbung ewa Ubu ng o, JohnMnyik a nayeal isimamanakuomba mwongoz owaSpik akuhusuka sorozilizomok we nyem uswad ahuo nakusema k unavipen ge lev ip yavim eingizwaamb avyonich aCna E, lakini havik uwahik ujadiliwapopote, hivyoalitak aSerikali iviondoe .
Baadaya kupokea miongozi hiyo Naibu Spika ,al isema;“Jam boh ilini pana,nyetin ani kub wakwa tai fanaombamtulie tunaweza kuendeleakulijadil i hatakesho auJumamosi kwa kuw atuna m uda.”
Hatah ivyowabunge hao walikat aak atakatawakitakamswadahu ousijadili we, kwani hatapaleilipotolewan afasi kwa wab unge kuujadili ,wenginewaliwasha vi paza sautinak uanza kuzungumzabilampan gil iohukuwengine wak izo mea.Baada yewabungehaowaCHAD EMAna CU Fwalisu sakue ndelea na naku amuakut okanje.

No comments:

Post a Comment