06 August 2013

WAWEKEZAJI WAZALENDO WATAKIWA KUJENGA UMOJA


 Na Heckton Chuwa, Rombo
WITOumetolewa kwa wawekez ajiwazalendohapa n chinih ususankweny esektayaviw andakushirikiananakuj e n gaumojautakaolengakuta ngazabidhaawanazozalisha hapanchini ili zipate soko nda ni nan jeyanchi.Witohuo u me tolewa na mkuruge nziwakiw andac hakuzalishaviny waji vyamatund ana maji kil ichoko WilayayaRombo, mkoaniKilimanjaro, Bw .ShanelNgowi, wakati aki zungumzanawaandishi wa habariwaliotembe lea kiwa ndah icho kipya, mwishoni mwawik i.

"Wa wekezaji hapanch inini vyematukatumianguvu zetukat ikakujengaumoja ambaoutatuwez esha kutanga za nakuuza bidhaazetukwawingikutokan anabidhaa zinaz ozalish wa hapan chin i kuwabo ra ku likozil ezanje, "alisema.
Bw.Ngo wia lise maw awekezaji wahapanc hin iwananafa sikubwayakuu ngan anak ujijen gaku endele za kazinzuri walizo zianzishakwakuzi fanyabidhaawanazoza lisha kupata masoko ndani na nje ya nchi.
Alisemakuwabadowazalishaji wazalendo hawa jawe za kumudumaso koya bidha amba limbali hapanch inij amboam baloalisemalinachangia wafanyabiashara kutok anjeya nchikui ngi zabidhaahapan chi nipamo janakw amba wazalishajiwa zalendo hapa nchini wanazizalis hapia.
"T ukisematuan ze kupiga navitawenyewe kwawenyewena mas hindan oyasiyo kuwa natija, hililitatoam wanyakwawaf anyabiashara kut okanj eyanch ikuuzabidhaazaohap an ch iniw akati uborawabidh aa h izosiyo mzuri ikiling anis hwanaz akwe tu,"a lisemanakwamb auborawabid ha a za Ki tanzaniau methib itish wanaTBSpamojan aTFD A.
Aidha al itoawit o kwa mamlaka ya mapat on chinikuangalia uwezekanow akupung uza kiwangocha ushuru wa bidhaa, (excise duty), wanachotozwa wazalishaji wa maji hapa nchini ambacho amesema ni kikubwa.
"Asilimia 83 tunazotozwa kwa kila lita moja ya maji tunayozalisha ni kubwa mno hasa ikitiliwa maanani maji tunayozalisha yamechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza magonjwa ya milipuko kama vile kipindupindu katika maeneo mengi hapa nchini," alisema.
Kuhusu kiwanda hicho kipya, alisema kimechangia kutoa ajira za kudumu 100 na ambazo si za kudumu zaidi ya 400 na kwamba malengo ni kuongeza ajira za kudumu kufikia 1,000 na 4,000 ambazo si za kudumu

No comments:

Post a Comment