06 August 2013

AIRTEL YATOA MSHINDI WA NYUMBA


MKAZIw a IringanaMhasib uwa Taasisi ya kut eteahak i zawanawakenawat oto(TA RWOC), Bw.Sil van usJ umaa me ibukamshi ndiwadro okubw ayamwezi ya p romosheniya Ai rtel yatoshakwakujishindia mojayanyumba tatuzinazo shind aniwail iyo poKiga mboniyenyethaman iyash. milioni65, anaripoti Gladness Theone st.

Ak izung umzakwanjia yasimujanamarabaada ya k ucheze shwa kwadroohiy ojanaDar esSalaamna k uibu kam shin di,Bw .Juma alisemaku wakil asikualikuwa akijiung akat ikak ifuru shi chayatoshaak iam inik wamba ikosikuatashind anakwa kupitiaush indi huoameamini kuwa Airtel haina ubag uzi.
“Nimefurahi sanakwa ushindi huu,nawaombawana nchiw enginewasikateta maa waende leekununuavifurush ivyaAirtelyat osha,hii inaonesh akuwa Ai rtel haina ubaguzi,”al isemaB w.Juma.
Akizungumza wak ati wa kuchezesha droohiyoMenejaUhusianowa Airtel, Bw. Ja cksonMmband o alitoawitokwa Watanzan ianawa tejawaAirtelkuendeleaku tum ia‘Airt el Ya tosha’ nakujiunga navifurushi mbalimbali ili wawezeku jishindia.
“NawakumbushaWatanzania kuwa nyumba zimeba ki mbili hivyowajitahidi kuji ungakwakunun uavifurushivyaAirte l Ya toshaili waonge zenafasizakus hinda,” alisemaBw .Mmb an do.
Aidha kwa upande mwingine washindi wengine saba kutoka katika mikoa mbalimbali waliweza kujinyakulia kitita cha sh.milioni moja, washindi hao ni pamoja na Peter Ignasho (Muheza Tanga), Bi.Edita Rweyabura (Bukoba), Bi.Vero Mispela (Biharamulo) pamoja na Bw.Siasa Songo (Singida) wengine ni pamoja na Bw. Steven Maguro, Bw.Rakesh Ali Mauji na Bi. Mwajuma Hassani wote kutoka Dar es Salaam.  

No comments:

Post a Comment