16 August 2013

WAHAMIAJI HARAMU WANASWA SHINYANGA



 Na Mwandishi Wetu, Shinyanga
IDARA yaU hamiajimkoani Shinya ng ainawas hikiliawaha mi ajiharamu18kuto ka nchizaRw anda, B uru ndinaKenya wanao dai wakukimbilia katikamikoayaSh inyanga naGe itakuto kamiko ayaKa geranaKig omaku fuatiaa gizo laRais JakayaK ikwet ek uwataka wa rejeemakwa ondaniy akipindic hawiki mbili.

Ofisa Uhamiaji wa mkoa wa Shinyanga, Anna mariaYond ani akizungumza nawaan dishiwahaba rim jiniSh inyangamapema wikihi ialisem awahamia ji haramu16walikamatwa wilayaniKahamana wawili wamekamatiw a mjini Shinyangaamb apon ane katiyaowalikutwa nahat iayakuin gia nchini ki nyu mechasheria natayari taratibuzakuw are jeshama kwaozinafanyika.
Yondanialisema wahamiaji wengine 10 bado wanaendelea kuhoji waka bla yakuwa chukulia hatuazai dizakis heriaambapohatahivyoju hu di zakumpataofisa uhamia jiwamkoa wa Geita, Char les Washimaku zungu mzia idadiyaw aliokamat wakatikamkoahuohazikufa nikiwakutokanana simu yake yakiganj ani kutoku wahewanihiyojan a.
Kuka mat wakwa wahamiaji haoha ramukum efany ikamudamfu pibaada yamudaulio kuwa umetolewa naRaisK ikwete kumalizikarasm i juz iambapobaadhiyaoi mebain ikawa mekuw awakiki mbia kutokakati kamikoaya Ka geranaKig om anak ung iamikoa yaShin yan ganaGe ita kwaku tumianjia za panya kwa lengo la kukwepa kukamatwa.
Imed aiwak uwabaadayaku igia katikamiko ahiyo waha mia jihaohuishi kwauficho kat ikamiji yaRunzewe, U shirombo,Ma sumbwe wil ayaniBuk ombemkoaw aGeita naweng inekuki mbili ak atikavijiji vilivyopo ndani ya wilaya ya Kahamam ko awaShi nyan ga.
Baadh iyaw ak aziwamaeneo ha yowalioz ungumza kwanjia yasim u kwasharti yakutot ajwamajinaya owa lisemam arabaadayakutolew akw aagizo la Rais Kikwe te kuwatak awahamia ji haramuwote kurejeam akwaokumekuw eponawimbi ku bwala wage ni wa siofahamikakuto kam ikoayaKageranaKigoma kuingia katika maeneo ya o.
Hatahi vyowanan chih aowalielez eakusik itishwakwa ona tabiaya baadhiya viongoziwa ngazi yav itongoji nav ijiji kutoku wamakinikatik akuwafuatilia wahamia ji haoa mbao inadaiwawame kuwawak iingi anyakati zausikumaku ndikwam akundina kujificha kwa baadhi ya jamaa zao.
Wana nchih aowam eiombaSerikaliichuku ehat ua zaharaka ili kuepush awahamiajihaowasi wechanzoc ha kuvurug a am aniya nchi kwa lengo la wao kutaka kupata unafuu wa kuishi bila ya kubughudhiwa wakati nchi ikishughulika kurejesha amani ambayo itakuwa imetoweka.
Mkazi mwingine mjini Kahama alisema baadhi ya wahamiaji hao wamekuwa wakiingia katika maeneo yao kwa mwavuli wa wafanyabiashara ndogo ndogo huku wengine wakijishughulisha na usafirishaji wa abiria kwa kutumia baiskeli maarufu kwa jina la 'daladala.'
"Mtu anapokuja kwa kisingizio cha mfanyabiashara siyo rahisi kumgundua kuwa ni mhamiaji haramu na wengine wanajenga mahusiano ya haraka na wenyeji na hivyo kuhisiwa kuwa ni ndugu wa karibu, sasa hii ni hatari, na zipo taarifa wengine wameishajipenyeza hadi ndani ya vijiji vya mkoa wa Tabora," alieleza mwananchi huyo.

No comments:

Post a Comment