01 August 2013

UINGEREZA KUHAMASISHA MICHEZO NCHINI



Na Grace Ndossa
SERIKALI ya Tanzania, imesaini mkataba na Serikali ya Uingereza ya makubaliano ya mradi wa kuhamasisha vijana na watoto kushiriki michezo ili waweze kufikia hatua ya kimataifa, lengo likiwa ni kuboresha maisha yao.Makubaliano hayo yalifanyika Dar es Salaam jana, kati ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Sihaba Nkinga na Balozi wa Uingereza nchini, Diana Melrose.

Akizungumza mara baada ya kusaini mkataba huo Katibu Nkinga, alisema kuwa Serikali ya Uingereza na mashirika yake, imekubali kushirikiana na wadau wa Tanzania katika kutoa mafunzo ya tunu za Olimpiki kwa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) na Kamati ya Paralimpiki Tanzania (TPC) kwa vijana na watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
"Hiki ni kiashirio kuwa Serikali ya Uingereza na Tanzania, zitaendelea kushirikiana katika kuonesha maendeleo endelevu ya mradi wa International Inspiration kama ilivyoahidiwa na Kamati ya Olimpiki ya Uingereza," alisema.
Alisema Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo na Baraza la Michezo la Taifa (BMT) wanashirikiana katika kutekeleza mradi huo, ili kubadili maisha ya vijana na watoto walioko shuleni.
Mkinga alisema lengo la mradi huoni k uwafik iavijana naWato tomili onimbili,wa liokoshu lenina nje ya shule kupitiang uvu bora naj umuishiy a miche zonak utoaelimuyamichez okwaujuml a.
Pia al isemau t ekel ezajiwa mradihu o,unac hangiakwakiasi kikubw aka tikakufikia mal engoyaMileniumkwakui buavipajimb alimbali vy a vij anana w atoto.
Nay eBaloz i waUi nger eza, Dianaal isemamkata bahuokwaajiliyak usaidiavijananawatotowali oko shuleni pamoja na kuibua vipaji vyaokatika kuwapatia elimuy a mic hezo

No comments:

Post a Comment