Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo
(kulia) akijibu maswali ya Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli ambaye ni
Mbunge wa Chato (wa pili kushoto) aliyeambatana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka (wa pili kulia), Waziri wa Kilimo
Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chizza (kushoto) walipofanya ziara
jimboni humo hivi karibuni
No comments:
Post a Comment