29 August 2013

SAKATA DAWA ZA KULEVYA:UPEKUZI MKALI KWA VIONGOZI



  •  NI WA SERIKALI WANAOKWENDA NJE YA NCHI
  • NI KUTOKANA NA TANZANIA KUGEUKA UCHOCHORO
  • SERIKALI YAGOMA KUTAJA MAJINA YA WAHUSIKA

Na Waandishi Wetu
SIKU chache baada ya Tanzania hasa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kugeuka uchochoro wa kupitisha dawa za kulevya kutoka na kuingia nchini, hali hiyo imesababisha viongozi na watu mashuhuri nchini kufanyiwa upekuzi mkali wanapofika kwenye viwanja mbalimbali vya ndege nje ya nchi
.Mb a l i n a u p e k u z i h u o , imebainishwa kuwa sifa ya Tanzania katika sura ya kimataifa imechafuka kutokana na kugeuzwa njia ya kuingia au kupitisha dawa za kulevya.
Kauli hiyo ilitolewa Dar es Salaam jana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki, wakati akifungua mkutano wa waandishi wa habari uliojumuisha wadau mbalimbali.
“Kwa sasa viongozi wa Tanzania na watu mashuhuri wanapofika kwenye viwanja vya ndege nje ya nchi upekuzi wao unakuwa mkali kutokana na kuwatilia shaka kwamba wanaweza kuwa wanafanya biashara ya dawa za kulevya,” alisema Sadiki na kuongeza;
“Nakiri kuwa biashara hii imekuwa kero na imeharibu uhusiano wa kimataifa; na hivi sasa hata kupata viza imekuwa shida tofauti na huko nyuma; hivyo vita hii isiwe ya Serikali peke yake, bali iwe ya wadau wote.
Aliongeza kuwa, miaka ya nyuma hati za kusafiria za Tanzania zilikuwa hazitiliwi mashaka nje ya nchi, lakini hivi sasa uaminifu ni mdogo.
Alibainisha kuwa hadhi hiyo pia wanaipata wasafiri Watanzania wanapoenda nje ya nchi kwa shughuli mbalimbali wakiwemo wafanyabiashara.
RC Sadiki, alisema wanaotajwa na vyombo vya habari kuhusika na biashara hiyo ni watu wadogo wanaotumwa kufanya biashara hiyo, lakini mtandao huo una watu wazito.
Wakat i huo huo, Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Vincent Nyerere, amesema kutokana na wimbi la uingizwaji wa dawa za kulevya nchini, hivi sasa Watanzania wengi wanaosafiri nje ya nchi, wamekuwa wakifanyiwa upekuzi mkubwa.
Alisema hali hiyoinato ka na nanchi mbalimbali kutok uwanaimani nao wakiami nikakube badawa hizoiliw awezekuz iuzaka tikanchi husikanau shahidihu oana o.
Nyer ere aliyasem ah ayoDar es Sa laamja naw ak ati akizun gumzanagaze tihil inakuongezakuwa, ukiwanahati yak usa firiaya Tanzan ia, utakuwa wamwis hokuingiaaukutoka katika nchi mbalimb ali.
“Mkiwa Watan zania10, mtatakiwak usubiriili mu wezeku fanyiwauk aguzimaalumunakutoka k wapamoj a...hali hii inatokanan aSerikali kushind wa kukomesh ab iasharaharamuyadawa zak ule vyanchin i.
“Nchi zawen zetuzinaamini Watanzaniahasaku tok aDar es Salaam, wa naing ianad awazakulevyakatika nchi zao,hivyoni wazi sualahililinac hafua Taifa...lazimawa husikawo tewashughuliki weipasav yosi kuwafumbiam acho,” a lisem a.
Alipongez avyombovyahabari
 kwakutoataarif ambalim bali zinaz ohusia na nab iasharahiyoku s hikak asi nchini ,hivyoniwajib uwaSerikalik uweka wazi bilakifich omajin aya watuwana ofanyabi asharah iyowakiwemoviongozi wadini na kuwafikisha mahakamani.
“Ha tunamudatena wa kulindana katikajamb o hili ambalolinaharibusifay an chiy etu.. .Seri kal i itenge fung ul afedh akwaajiliyakufanyamisakoyandaniili watu haowaweze kuk amatwa ...hatunam uda wa kusubiri.
Wakatihuoh uo,Serikali im esisitiza kuw ahai tawatajakwa maj inawabunge auwatuwenginewa kiwemovio ngozi wa naotu humiwaku jihusisha nadawaza kulev yahadi hapoitakapojiridhis hakw aushahidi.
Msimamohu ou lisisitizwa Bungen i, m jini D odom ajananaWaziriwaNchi,Ofisiya Waz iri Mkuu(S era, Ura tibunaBunge), Willia mLukuvi,wak ati akitoleaufafanuz imw ongozoul ioombwanaMbungew aSimanjir o,Christoph er Ole Sendeka .
AlisemaSerikali haiwezi kukurup uk akutaja majinayawabungeauvi ongoziw anaojihu sha nadawa za kulev yabilakuwana uh akikanawatuwa naot uhumi wanasakatahilo.
L ukuvi alisema kuna baadhi ya vyomb ov yaha bari vimechapis hamajinay awa tuwanaojihusishana dawa hiz o, lakini Serikal i haiw ezi kufuatamajinahayo,bilayakuwanaushahidi na mtu ambaye anahu sik a.
“ Serik alihaiwezi ku tajamajina yawatuwa naodaiwakuji husishanadawaza kul evyabil akuwanaush ahidi kwanikazi yaS erikali ni kukamat ana kuwaf ikishakatikavyombov yasheria,lakini si kazi yakeya kuwatajakwa majinaw atu amba ow anajihus ishan a dawa hizobila kujiridhisha na ushahidi kwa wahusika,”alisema Lukuvi.
Alisema swali aliloulizwa juzi lilimtaka yeye kuwataja kwa majina watu ambao wanajihusisha na dawa za kulevya kama ambavyo yalivyoandikwa ambapo alijibu kuwa Serikali haiwezi kutaja majina ya watu hao hata kama watakuwa viongozi.
Mb u n g e wa S ima n j i r o Christopher Ole Sendeka, aliomba mwongozo kwa Naibu Spika kupitia kanuni ya 68 (7) kutoka kwa Naibu Spika kuhusu kauli ya Lukuvi, kuwa akitaja majina hakuna mbunge ambaye atasalimika.
Lukuvi alilazimika kutolea ufafanuzi sakata la vigogo kuhusishwa na dawa za kulevya baada ya wabunge kutaka watajwe ili wajulikane kama ambavyo baadhi ya vyombo vya habari vilivyoorodhesha majina.
Imeandikwa na David John, Frank Moyo, Goodluck Hongo, Hytham Mushi, Anneth Kagenda

No comments:

Post a Comment