19 August 2013

PINDA AAHIDI USHIRIKIANO SEKTA BINAFSI



 Na Rachel Balama
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, a mesemaSe rikali itaendelea kufanya kazi kwa karibu na Taasisi yaSektaBinafsi Tanzan ia( TPSF)kam anjia yakuima rishase kta binafsinchinina kuifan yaku wainji ni yaukua jiwauchuminaus tawiwa j amii.

Kauli hiy oilitol ewana Waziri Mkuu, Pinda katika mkutano mku uw a14wa taa sisihiyou liofan yika mwishoni mw awik ijijini Dares Sa laa mn akusi sitiza kuwaniay a serikaliniku onak uwataasisi hiyo inas hikah ata muka tikauc humi wanch i.
Alisemak wamuda wamia kamita tusasaj itih adaza makusudi zaserik alina wad auwas ektabi nafsi zimeelekezwa katika ku jengasau tim ojaya sekt abina fsiTanzania.
“Ni mat umai niyangukwamba, t aasisi yenu itate kelezamajukumuyakeya msing i ya kuteteamaslahi yas ektabinafsi nakuta futaufumbu ziw ach an gamotozinazo ika bili sektab inafsi nc hinikwa ufanisiwa ha liyajuu,” al isemanakuongeza kuwa;
“Ninafari jikak wambatayari matundayaji tiha dahizi ya meanzakuonekanakwa kuweka mfumo madhu bu tiwauo ngozikwenye taasisiyenu tofaut i nailivyo kuw aawali. ”
Alis emakuwadha mirayase rikalini kuona lengo hilo lina fani kiw ailikuwa namajadilia nonamash aur ianoyenye tijakatiyase rik ali nasek ta binafsika m a w abiawamae ndeleokwamaslahiy anch i.
Al ibainisha ku wamkutano huu mkuu ni ushahidi wa mafanikio yajitihadahiziz akujengaSektaBina fsim adhu butinch ini.
A lisema kwa k utambua umuh imuwa sektabina fsiserikali iliamuak ufanyamabadi likoy amwele keowaseraza ke zakiuchum ikatika m iaka ya1990 ili kutokakwe nye uchu mihodhi kwendauch umiun aotawaliwan anguv u zasok o.
Alise makati kakuimarisha s ektabina fsikama injini ya ukuajiwauc humiwanc hi serikaliinatekeleza ser anami kakati mbalim ba likwa l eng olakukuza ushindaniwak at ikasektahiyo.
Akitoa mfano ya mikakati hiyo, alisema kuwa serikali inaendele a najithad azakuimaris hamiun dombinuyakiuchu mi ikiwemobara bara,re li, bandari,viw anjavya ndeg e p amojanami fumoya uzalish ajinaus afir ishaji nausambazaji wa umeme namaji ilik uvutiabia sha ranauwekeza ji.
Akitoa mfano wa changamoto ya msongamano wa magari jijini Dar es Salaam, alisema kuwa ni fursa ambayo inaweza kutumiwa na sekta binafsi kwa kusanifu na kujenga miundombiunu hivyo kushiriki katika uwekezaji kwa manufaa ya ukuaji wa uchumi wa nchi.
Kwa upande wake, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu, alielezea jitihada mbalimbali zinazofanywa na serikali kwa lengo la kuimarisha sekta binafsi nchini ikiwemo kushirikiana na sekta hiyo kuandaa sera ya maendeleo ya sekta binafsi nchini.
Alisema kuwa kwa sasa hatua zilizochukuliwa ni pamoja na kuwashirikisha wadau ili kupata maoni yao kuhusukupata sera nzuri itakayoongoza sekta hiyo

No comments:

Post a Comment