27 August 2013

MSONGAMANO BANDARINI

Magari yakiwa katika eneo la Bandari ya Dar es Salaam jana yakisubiri kuchukuliwa na wahusika. Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA),ipo katika mkakati wa kuondokana na tatizo la msongamano wa mizigo kwa kuongeza vifaa vya kisasa vya upakuaji na upakiaji pia kuondoa urasimu kwa wateja wanaotumia bandari hiyo.

No comments:

Post a Comment