Na Goodluck Hongo
SERIKAL I imet aki wa kuanzishamfumo mpyawakuwataja nak uwafich
uawatuwanaotumi anafasiza o za kazikutafun a fedhaza umma na kujin
ufaishabinafsi.Akizu ngumzana
M ajira Dar es Salaamjana, Ka tibuMtendaji waKitu ochaUta fitina U badhirifuwaM
ali zaUm ma(CFRI,) An dendek isyeMw akabalulaalisema nivyemaSerik aliikaanzisha
mfumohuowak uwat ajawa tuwanao tumianafa si z akazikati kaku tafunafedha za
umma.
Sambamba na
kujinufaisha binafsi ingawa Serikali inajitahidi ku pambanana watumishi ambao
siwaadilifu.
Al isema, k
uanziamwaka 2006hadi sasaserikali imefanyama boreshomengi ka tikakupam bana
nawatumis hi wasiowaad ilifukatikanafasizaoz akazik uan zishwakwa kamat i za b
unge zakusima miahesa bu za se rikalia mbazozimel eta tijakubwakatika uwajib
ikajinauwazi katika matumizi ya pesa za umma.
A lisema , mbal
i na hiyolakini piaSheriaMpyayaKupa mbanana Ru shway am waka2007nayaukagu ziw
arasilim ali za ummayamwaka2008amb azonazo k wa pamoja zime letatija katika
kupambana na watumishi wanaotumia nafasi zao za kazi kwa manufaa yao.
“Katika ripoti ya tathmini ya mwenendo wa
upambanaji wa rushwa Tanzania iliyotolewa mwaka 2011 kwa kushirikisha mataifa
mbalimbali kama DFID, SADEV, ADB, Sida, Danida pamoja na Norway inaonesha kuwa
Tanzania imepiga hatua katika kupambana na rushwa kutoka kupata alama D+ mwaka
2005 mpaka alama C+ mwaka 2008,”alisema Mwakabalula.
Aliongeza kuwa, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu
wa Hesabu za Serikali (CAG) ameifanya Tanzania kuwa katika kiwango cha
kimataifa katika udhibiti na ukaguzi zaidi mpaka kufikia kiwango cha kwanza
katika ukaguzi ambao unatambulika kimataifa (Level 1 of AFROSAI-E) lakini
pamoja na jitihada zote hizo bado watumishi wanazidi kutumia nafasi zao za kazi
katika kujinufaisha wenyewe.
Alibainisha kuwa, hali hiyo ya kutumia fedha za umma
inatokana na mfumo ambao watumishi hao hawaogopi kwa sababu wanaona kuwa hamna
mfumo ambao utawawajibisha kikamilifu mbele ya jamii na familia yake huku
wakati mwingine serikali ikishindwa kuyafanyia kazi mapendekezo yanayotolewa na
CAG.
No comments:
Post a Comment